lenga lenga ni uncle wangu ilo jina lilikuja kipindi alikuaga akiuza nyama pori lugufu enzi izo ni marufuku kabisa kuuza nyama pori...ndo wateja wakawa wanamuulizia bile lengalenga mboka 😂😂😂 ila ana roho nzuri sana tena sana kiukweli pamoja na mke wake wana roho nzuri sana kabisa
🤣🤣🤣bado hacha viachaga hivyo tu Father Toka utotoni LUGUFU hadi NYARUGUSU Atariiiiiiii jameni nawapata vizuri nikiwa AMERIKA🤣🤣🤣🇺🇸🛬Tanganyika Tv nipashe
Ndugu yangu Lengalenga umenifurahisha sana tena sana, umenikumbusha Lugufu hadi Nyarugusu, naomba unitafute ili nikuunge mukono, wewe uliza kaka yake ya KILAMBAMAWE atakupa number yangu ili tuwasiliyane. Ni mimi Yanga-Zezo walukichwa anaomba pipi ya............
lenga lenga ni uncle wangu ilo jina lilikuja kipindi alikuaga akiuza nyama pori lugufu enzi izo ni marufuku kabisa kuuza nyama pori...ndo wateja wakawa wanamuulizia bile lengalenga mboka 😂😂😂
ila ana roho nzuri sana tena sana kiukweli pamoja na mke wake wana roho nzuri sana kabisa
🤣🤣🤣bado hacha viachaga hivyo tu Father
Toka utotoni LUGUFU hadi NYARUGUSU Atariiiiiiii jameni nawapata vizuri nikiwa AMERIKA🤣🤣🤣🇺🇸🛬Tanganyika Tv nipashe
Ale amwamwa Shina mónaka bibyo, Nabucwa abele.
Huyu mzee safi kabisa
😂😂😂 good job 🔥🔥
Lenga lenga Niatari namuhona huyo mzee tokeaa Lugufu
Kwa jina lengalenga😂😂😂🔥🔥nilikuwa na mkubali sana wakati nilikuwepo nyarugusu camp🔥
Wow 🇨🇩🇨🇩😂😂😂 sawa baba iyo ni yako baba😂❤️
Hahhahaha na Miranda miwili kwenye kiuno daaah atari bwana lenga lenga huyu
Le grand sapeur
Daaa ndo ssa babaako kudadekii😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Pwaaaa 👀 🔥 🤣 🤣 🤣
Fachon man 🔥🔥🔥🔥
Amehongeza mkanda mwingine
Nime ipenda saaaana
Jamani haiko jo ule alituchekesha jana harusini apa USA nawalikuwa namuita Lengalega??
Mitostudioemotv Chanelle tuna furahi ku pata video yenu
😁😁😂dah na mkumbuka uyu mzee
😃😃😃Mr.lenga lenga, Big-up sana , 😃😃😃
🔥🔥🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣
Hahahahahahaha
Lenga lenga hahaha
ila kapendeza tusemeni ukweli!.
nzuli sana
Sasaivi watamuiga baba wawatu😀😀
Ivi unaweza ukanipa namba yako
Nice 👌
Bonne idée
❤️❤️ love it 😊
Watamuigaa sasa ivi mzee uyu
Lengalenga
Hhhhhhhh lenga lenga
Ndugu yangu Lengalenga umenifurahisha sana tena sana, umenikumbusha Lugufu hadi Nyarugusu, naomba unitafute ili nikuunge mukono, wewe uliza kaka yake ya KILAMBAMAWE atakupa number yangu ili tuwasiliyane. Ni mimi Yanga-Zezo walukichwa anaomba pipi ya............
Byondo kwasasa ukowapi?
Jamaa ana style yake pekee
Wa wapi huyu nae anatuletea vituko tu.
Anafanana kama MAU FUNDI hadi kuongea
Ni mwanamke labda
🔥🔥🔥🔥
😂😂
To be continued
Uta kuta angali naishi kwa bazazi yake
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂