MUDATHIR, AUCHO WALIVYOZUNGUMZA BAADA YA KILELE CHA WIKI YA WANANCHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 188

  • @SantinaChale
    @SantinaChale Před měsícem +15

    Asanteni sana wanachama yanga.hii ni historia kumbwa sana.sisi ndo yangaaaa.hongera sana aucho bado tunakuhitaji sanaaaa

  • @noelamkwala4462
    @noelamkwala4462 Před měsícem +39

    Hongera sana wanayanga Kwa upendo huo mkubwa. Dr. Aucho anastahili sana . Thank you Dr. Aucho . We are proud of you and other players. You deceive it.

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Před měsícem +22

    👏👏👏👏YANGA oyeee!!! Mashabiki wenye upendo. Ahsante Mwalimu Yanga

  • @noelamkwala4462
    @noelamkwala4462 Před měsícem +35

    Mwalimu yanga big up sana. Mmetenda jambo la heshima sana.

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Před měsícem +31

    BRAVO khalid Aucho we love you

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +10

    Dah hii nimeipenda sana aisee hongereni woooote wana Yanga waliojitolea zawadi hii pongezi kwenu msimu ujao mwingine pia kwa nchango wake kwenye timu🙏🤝👍👏👏👏👏

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV Před měsícem +27

    Mwalimu Yanga , how can i add kwa hii zawadi ya Aucho. The best midfielder for the last 3 seasons. Jamani i want to also add on this maana kwa kweli he has been the best . Tuzo ya mashabiki

  • @SakinaMuhsin-nc4zq
    @SakinaMuhsin-nc4zq Před měsícem +7

    Hongereni timu yangu yanga kwa upendo wenu kwa doktor aucho mungu. Awabarik

  • @halimahamis7370
    @halimahamis7370 Před měsícem +9

    Sijakosea kuchagua hii team wallah hadi vimachozi vimenitoka hongereni wote mliomkumbuka engine yetu Khalid Aucho

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Před měsícem +8

    Aucho alistahili, pongezi kwake na wananchi wote kwa kuona umuhimu wake,tunamuomba MUNGU aendelee kumpigania 🙏

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Před měsícem +20

    Mwalimu Yanga Mungu Wetu Akulinde,Amen 🙏🙏🙏

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Před měsícem +25

    👏👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪💪🤣🤣🤣🤣 Nafurahia Kuona Hata Mimi Mchango Wangu Nilioutoa Kwa Mwalimu Haujapotea, Hongera Sana Kijana Wangu Mwalimu,🙏🙏🙏💪💪

  • @omarmatata-dc3mv
    @omarmatata-dc3mv Před měsícem +17

    Mudathir ndo man of the match 👏 🙌👊💪💛💚

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je Před měsícem +2

      Hapana ni goli keeper wa red arrows

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Před měsícem +19

    Hongera Sana Mwalim na Timu Yako hii ilitakiwa itolewe pale Uwanjani ikawe fundisho Kwa TFF

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před měsícem +4

    Vyema Aucho kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @leemabibaphotography8053
    @leemabibaphotography8053 Před měsícem +24

    Kiukweli mmefanya kitu kikubwa sana kwa aucho

  • @user-zi4et6uz2u
    @user-zi4et6uz2u Před měsícem +3

    Ninefurahi san hiu nikitu kikubwa sana maan khalid alitubeba sana wengne kwa tamaa zao walitukimbia kwa kujua tutadhalilika asante sana dr kharid aucho wananchi tunakupenda sana

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick Před měsícem +21

    I once said and repeat again Aucho better nyekundu than kuumia

  • @azizahamza5586
    @azizahamza5586 Před měsícem +1

    Kwakwweli nijambo jema mungu awabaliki nyote mliotoa inapendeza nakutia amasa kwa wachezaji wengine kufanya vizuri 🧡💛🧡💚

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 Před měsícem +18

    Timu ya wananchi 🎉🎉🎉❤❤❤ timu kubwa

  • @mariamhamis4323
    @mariamhamis4323 Před měsícem +14

    Very nice aucho 🎉🎉

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Před měsícem +3

    Pongezi kwa Mudathir kwa mchezo mzuri🎉🎉🎉MUNGU aendelee kukulinda🙏

  • @user-qt9fm2lj6b
    @user-qt9fm2lj6b Před měsícem +13

    Bg up makamanda wetu❤❤❤

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem +10

    Mashabiki wa Yanga SC ndio kivutio cha kwanza cha wachezaji kuja kucheza Yanga SC "Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii......."

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před měsícem +23

    Kama si Derby cku 3 mbele wangechapwa ❤❤❤

  • @JumaMngumba
    @JumaMngumba Před měsícem +8

    Ule mgoli wa kideo🙌🙌 muda one 🔥

  • @frankndebile-mw9mu
    @frankndebile-mw9mu Před měsícem +32

    Me wakwanza naombeni like zangu

  • @Shija-g4m
    @Shija-g4m Před měsícem +7

    Tears on my eyes for aucho u r the man n 1/2. Really.

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před měsícem +2

    Safi sana MWALIMU kiukweli mumetuheshimisha hata tusio changia🤝🤝

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m Před měsícem +8

    Muda tunae na tunatambanae❤❤❤

  • @claratango9262
    @claratango9262 Před měsícem +6

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw Před měsícem +3

    Mashabiki hongera😘😘😘😘😘😘 kwa zawadi ya Auchu

  • @NgomelejiSindiyo-yt5ib
    @NgomelejiSindiyo-yt5ib Před měsícem +3

    I appreciate and ❤ for the award for Dr.Khalid Aucho

  • @user-cd3jr4nr3p
    @user-cd3jr4nr3p Před měsícem +13

    Mungu amsaidie aucho

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Před měsícem +5

    This is incredible.....you have done marvelous

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před měsícem +13

    Mm ni simba lkn tunajivunia sana zanzibar finest wetu zanzibar ball nature❤🎉

  • @frankndebile-mw9mu
    @frankndebile-mw9mu Před měsícem +13

    Tulitegemea cm kuita💚💛💚

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před měsícem +13

    Nimefurabi saan kwa auchooo

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před měsícem +2

    MUNGU ni mwema hongera Sana wanachama na mashabiki wa Yanga MWENYEZI MUNGU awazidishie muendelee kua na huo moyo kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @marianaboniphace
    @marianaboniphace Před měsícem +4

    Najivunia Kwa nilichokitoa kimamfikia mlengwa 💚💚💚💚

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před měsícem +10

    Vnawaoenda mungu awalindeee jmn

  • @VIVIANMUKULU-kr8xp
    @VIVIANMUKULU-kr8xp Před měsícem +6

    Mwalimuuu🎉🎉🎉🎉🎉kitu kizuri sana

  • @FaudhiaBashiru
    @FaudhiaBashiru Před měsícem +6

    Hongera mudathir

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 Před měsícem +7

    Manara apunguze sifaaa,, mambo ya kuingia ingia na wanawake anatukwazaa aaache uzwazwa wakee na ukolo wake. Me silipend hilo baba aiseeeh bora angeendee kufungiwa

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Před měsícem +2

      Pole Mwajay yule jamaa ni limbukeni na sijui kwa nini viongozi wa Yanga wanamuendekeza. Ally Kamwe ametosha ile nafasi.

    • @mwajayhaxxan5507
      @mwajayhaxxan5507 Před měsícem +1

      @@deven.oauditx7547 Yaaan Ali kamwe yupo smart sana kwanza angalia jinsi anavyojiweka karibu na mashabiki pamoja na wachezaj yaan yupo vizuri kwa kweli huyo baba na mdomo wake mchafu hatumtak

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Před měsícem +6

    Young Africa find way to win Africa champion not only to destroy simba fight for Africa

  • @shamiramwaya4631
    @shamiramwaya4631 Před měsícem +5

    Congrats Dr of Football 💪🏼

  • @RahimAzCapable
    @RahimAzCapable Před měsícem +12

    Litimu likubwa 😅😅😅

  • @user-wl8cq2rn8z
    @user-wl8cq2rn8z Před měsícem +3

    Mzamzibar anajuwa mpira huyu jamani. Nyie kwani hamuogopi😂

  • @BennyMabendi
    @BennyMabendi Před měsícem +1

    Mungu awabariki mmefanya jambo jema kbx

  • @yuzomaneno
    @yuzomaneno Před měsícem +10

    Ubaya umbege 😂😂

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham Před měsícem +2

    That'is absolutely love for yanga funs,they show Aucho ,

  • @user-xv8ch2tf2y
    @user-xv8ch2tf2y Před měsícem +1

    Kwer mwalimu ni muaminifu amefikisha sa lama micha ngo yetu🎉

  • @user-wm2tm6oq1f
    @user-wm2tm6oq1f Před měsícem +1

    Big up sana nakubali sana show yako

  • @JumaMngumba
    @JumaMngumba Před měsícem +4

    💚💚💚💛💛💛 My team kila kheir

  • @RukiaMideko
    @RukiaMideko Před měsícem +7

    Wananchiiiiiiii

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 Před měsícem +4

    Mzenji asie na papala❤❤❤

  • @NyamongoLife
    @NyamongoLife Před měsícem +8

    Mudathir

  • @rickyramsey1469
    @rickyramsey1469 Před měsícem +9

    . Nyie hamuogop¿ 💚💛🖤🤲✌️

  • @fortunatafelician5625
    @fortunatafelician5625 Před měsícem +4

    Aucho love you

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před měsícem +1

    Hongera upo vzr sn mungu yupo na ww

  • @hyahasisihussein6666
    @hyahasisihussein6666 Před měsícem +6

    Niceeee

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +1

    Ila AUCHO noma sanaaa 😂😂kapongezwa lakn kakataa ety "sio sana"

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 Před měsícem +1

    Ustadh, Shkh, Doctor Aucho

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b Před měsícem +2

    Aucho kiungo bora muda wote

  • @user-ox9wj6tu3c
    @user-ox9wj6tu3c Před měsícem +6

    💚💛💚💛💛💚💛

  • @KondoMhando
    @KondoMhando Před měsícem +1

    Wewe RashidSaid, una wivu sana watu kumpa zawadi Aucho. Kama una huruma, hii hela ulito nunulia vocha kuwajibu watu walio mpa zawadi Aucho, unge nunu hata panado kisha upeleke hospital wapewe wagonjwa ungekuwa umefanya jambo la maana Sana. Kila jambo lina ratiba zake. Juzi mikoa mbalimbali yanga walitoa misaada mahospitalini, mbona Hilo hulisifu? Wewe ni kati ya wale wanao ona mabaya na kuyasema, lakini mazuri hawayasifu. Kuwa na moyo wa shukran. Badirika

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 Před měsícem +4

    Mubasharaaaaaa

  • @user-rk5qu1pt4m
    @user-rk5qu1pt4m Před měsícem

    Mubarikiwe Sanaa mumefikiria kitu kikubwa sana

  • @user-cs9jb8ok4v
    @user-cs9jb8ok4v Před měsícem

    Saw yanga day iliKuW nzuri lkn mimi ombi langu jaribuni kufupish muda man kun watu waliingia mapem sana lifikrieni hili msimu ujao 🙏👍🤕

  • @emmanueljohn4018
    @emmanueljohn4018 Před měsícem +2

    YANGA TAMU SANA I WISH TO DO SOMETHING

  • @Tzdiaspora
    @Tzdiaspora Před měsícem +4

    noma sana noma sana❤‍🔥❤‍🔥

  • @user-hs4pk5sj1n
    @user-hs4pk5sj1n Před měsícem +1

    Yanga💚💚 injinia tunaomba utuongezee beki wa kati Moja big up sana

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem

      Wewe ni mtu wa mpira Sana .... Kwenye soccer wewe ni mtu wa maana sanaa , umeona kitu Cha msingi
      Aziz Andambwile sio center back ni typical mildifielder..... Kuna Mwamba 😂😂 pale Singida Rasta man anaitwa Lauren Omar Makame ni mtu wa kazi ni bacca mtupu

    • @user-nl8ec4np1t
      @user-nl8ec4np1t Před měsícem

      ​@@mwanangusanana mbona kulikuwa tetesi za usajili wa hyu mtu

    • @user-hs4pk5sj1n
      @user-hs4pk5sj1n Před měsícem

      Ndio Cha msingi

    • @user-hs4pk5sj1n
      @user-hs4pk5sj1n Před měsícem

      Watusajirie jaman

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před měsícem

    Mudathiri mwamba kubali sana

  • @user-un6bn5jo3i
    @user-un6bn5jo3i Před měsícem +3

    Dah!nimependa Sana hongereni wanachama wa yangu kwa mlicho kifanya kwa aucho

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 Před měsícem +1

    Baleke kila kitu yanga anakiona kipya 😂

  • @talcykyariga1718
    @talcykyariga1718 Před měsícem +1

    This is love jamn uuuh

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 Před měsícem

    All the best Aucho we appreciate you 🔰🔰💪

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem

    Mzee saidi alisema 😂😂😂anamuwaza sanaaa 😂😂😂anacheza rafuu

  • @wandibaitonge8832
    @wandibaitonge8832 Před měsícem

    Kitu kikubwa sana🎉🎉🎉❤

  • @bahatichikoko6362
    @bahatichikoko6362 Před měsícem

    Dr Aucho ulicho pata sio haba ila upendo tunau kupo ni mkubwa sanaaaa chukua hiyo Babu kubwa💪💛💚🙏

  • @scopy0428
    @scopy0428 Před měsícem

    Hii ni zaid ya upendo kwa Khalid Aucho doctor The Tank

  • @kupazahotnews6747
    @kupazahotnews6747 Před měsícem +3

    Dockta la boll jifunze kiswahili wewe ni monster hunter

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před měsícem +3

    ❤❤❤❤❤❤

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Před měsícem +1

    Hongereni kwa siku ya wananchi ila kwa sasa makolo au sanda FC wanatusema tu eti timu yetu mbovu ni ya wazee tumebebwa na refa ndio furaha yao Leo dah ila naimani na viongozi wetu na benchi la hufundi hawatotuangusha ngao ya jamii Wacha madunduka yaendelee kujiamini kuwa timu yetu mbovu na Haina speed,na ni ya wazee ila sisi ni pipo

  • @latifakikoti9808
    @latifakikoti9808 Před měsícem

    asanteni sanaashabiki wa yanga

  • @josephnyota-hb4ck
    @josephnyota-hb4ck Před měsícem

    Akika mashabiki wenzangu wa Yanga! Mmefanya kitu kikubwa sana kwa Aucho kwa kumpatia zawadi ambayo mmeuumbua uteuzi wa Tff kwa teuzi zilizojaa ukakasi kwani Aucho Alistaili kupata lakini was eti hawakumuona kama Alistaili kupata zawadi Hongereni sana

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 Před měsícem

    Sherehe imeisha ya team kubwa, nchini imetulia Kelele pyeeeeeh 🔰🔰💪

  • @mohdmtopa5831
    @mohdmtopa5831 Před měsícem +1

    Baleke akitaka mgao 😂😂

  • @wizmanhalinga1541
    @wizmanhalinga1541 Před měsícem

    Yanga hii tutapata raha sana

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Před měsícem

    Pongezi nyingi sana mno Wananchi wenzangu kwa jambo ADHIM hakika mmeonesha UPENDO/MAHABA mazito kwa kjn wetu Dr.Khalid Aucho nina imani limeweka HISTORIA ktk maisha yake ya soka,Hakuna uddugu popote zaidi ya YANGA,nimewapenda/nawapenda/nitawapenda DAIMA,Wananchiiiiiiiiiiii ALUTA CONTINUA !!!

  • @JumaNassoro-x2n
    @JumaNassoro-x2n Před měsícem +1

    Wana chiiiii I I I I I 🎉

  • @mwajumampokileomckapela7541

    Hongera wananchiiiiiii ✅🔰💚💛🖤🖤💛💚

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt Před měsícem +1

    Kubwa sana hii

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q Před měsícem +1

    Wow

  • @davismaganga1264
    @davismaganga1264 Před měsícem

    Lile goli ni tamu sanaaa

  • @angeljohnny
    @angeljohnny Před měsícem

    Ndomaana ya litimu likubwa tumewaacha mbali sana wala nguruwe

  • @JosephineIbrahim-e6h
    @JosephineIbrahim-e6h Před měsícem

    Yaani mlichokifanya hata TFF wataona aibu😅😅😅😅

  • @JulianaMunubi
    @JulianaMunubi Před měsícem

    Hongereni wananchi inazidi kumpa moyo aucho

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 Před měsícem +1

    Safi

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r Před měsícem +4

    Love yanga