Dah hii nimeipenda sana aisee hongereni woooote wana Yanga waliojitolea zawadi hii pongezi kwenu msimu ujao mwingine pia kwa nchango wake kwenye timu🙏🤝👍👏👏👏👏
Mwalimu Yanga , how can i add kwa hii zawadi ya Aucho. The best midfielder for the last 3 seasons. Jamani i want to also add on this maana kwa kweli he has been the best . Tuzo ya mashabiki
Ninefurahi san hiu nikitu kikubwa sana maan khalid alitubeba sana wengne kwa tamaa zao walitukimbia kwa kujua tutadhalilika asante sana dr kharid aucho wananchi tunakupenda sana
MUNGU ni mwema hongera Sana wanachama na mashabiki wa Yanga MWENYEZI MUNGU awazidishie muendelee kua na huo moyo kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Manara apunguze sifaaa,, mambo ya kuingia ingia na wanawake anatukwazaa aaache uzwazwa wakee na ukolo wake. Me silipend hilo baba aiseeeh bora angeendee kufungiwa
@@deven.oauditx7547 Yaaan Ali kamwe yupo smart sana kwanza angalia jinsi anavyojiweka karibu na mashabiki pamoja na wachezaj yaan yupo vizuri kwa kweli huyo baba na mdomo wake mchafu hatumtak
Wewe RashidSaid, una wivu sana watu kumpa zawadi Aucho. Kama una huruma, hii hela ulito nunulia vocha kuwajibu watu walio mpa zawadi Aucho, unge nunu hata panado kisha upeleke hospital wapewe wagonjwa ungekuwa umefanya jambo la maana Sana. Kila jambo lina ratiba zake. Juzi mikoa mbalimbali yanga walitoa misaada mahospitalini, mbona Hilo hulisifu? Wewe ni kati ya wale wanao ona mabaya na kuyasema, lakini mazuri hawayasifu. Kuwa na moyo wa shukran. Badirika
Wewe ni mtu wa mpira Sana .... Kwenye soccer wewe ni mtu wa maana sanaa , umeona kitu Cha msingi Aziz Andambwile sio center back ni typical mildifielder..... Kuna Mwamba 😂😂 pale Singida Rasta man anaitwa Lauren Omar Makame ni mtu wa kazi ni bacca mtupu
Hongereni kwa siku ya wananchi ila kwa sasa makolo au sanda FC wanatusema tu eti timu yetu mbovu ni ya wazee tumebebwa na refa ndio furaha yao Leo dah ila naimani na viongozi wetu na benchi la hufundi hawatotuangusha ngao ya jamii Wacha madunduka yaendelee kujiamini kuwa timu yetu mbovu na Haina speed,na ni ya wazee ila sisi ni pipo
Akika mashabiki wenzangu wa Yanga! Mmefanya kitu kikubwa sana kwa Aucho kwa kumpatia zawadi ambayo mmeuumbua uteuzi wa Tff kwa teuzi zilizojaa ukakasi kwani Aucho Alistaili kupata lakini was eti hawakumuona kama Alistaili kupata zawadi Hongereni sana
Pongezi nyingi sana mno Wananchi wenzangu kwa jambo ADHIM hakika mmeonesha UPENDO/MAHABA mazito kwa kjn wetu Dr.Khalid Aucho nina imani limeweka HISTORIA ktk maisha yake ya soka,Hakuna uddugu popote zaidi ya YANGA,nimewapenda/nawapenda/nitawapenda DAIMA,Wananchiiiiiiiiiiii ALUTA CONTINUA !!!
Asanteni sana wanachama yanga.hii ni historia kumbwa sana.sisi ndo yangaaaa.hongera sana aucho bado tunakuhitaji sanaaaa
Hongera sana wanayanga Kwa upendo huo mkubwa. Dr. Aucho anastahili sana . Thank you Dr. Aucho . We are proud of you and other players. You deceive it.
Not deceive andika deserved
👏👏👏👏YANGA oyeee!!! Mashabiki wenye upendo. Ahsante Mwalimu Yanga
Mwalimu yanga big up sana. Mmetenda jambo la heshima sana.
BRAVO khalid Aucho we love you
Dah hii nimeipenda sana aisee hongereni woooote wana Yanga waliojitolea zawadi hii pongezi kwenu msimu ujao mwingine pia kwa nchango wake kwenye timu🙏🤝👍👏👏👏👏
Mwalimu Yanga , how can i add kwa hii zawadi ya Aucho. The best midfielder for the last 3 seasons. Jamani i want to also add on this maana kwa kweli he has been the best . Tuzo ya mashabiki
Nice comment
Hongereni timu yangu yanga kwa upendo wenu kwa doktor aucho mungu. Awabarik
Sijakosea kuchagua hii team wallah hadi vimachozi vimenitoka hongereni wote mliomkumbuka engine yetu Khalid Aucho
Aucho alistahili, pongezi kwake na wananchi wote kwa kuona umuhimu wake,tunamuomba MUNGU aendelee kumpigania 🙏
Mwalimu Yanga Mungu Wetu Akulinde,Amen 🙏🙏🙏
👏👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪💪🤣🤣🤣🤣 Nafurahia Kuona Hata Mimi Mchango Wangu Nilioutoa Kwa Mwalimu Haujapotea, Hongera Sana Kijana Wangu Mwalimu,🙏🙏🙏💪💪
Mpaka nimetokwa machozi aisee
Mudathir ndo man of the match 👏 🙌👊💪💛💚
Hapana ni goli keeper wa red arrows
Hongera Sana Mwalim na Timu Yako hii ilitakiwa itolewe pale Uwanjani ikawe fundisho Kwa TFF
Mwl pig up sana,Gamond 🙌🏽
Vyema Aucho kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Kiukweli mmefanya kitu kikubwa sana kwa aucho
Ninefurahi san hiu nikitu kikubwa sana maan khalid alitubeba sana wengne kwa tamaa zao walitukimbia kwa kujua tutadhalilika asante sana dr kharid aucho wananchi tunakupenda sana
I once said and repeat again Aucho better nyekundu than kuumia
Kwakwweli nijambo jema mungu awabaliki nyote mliotoa inapendeza nakutia amasa kwa wachezaji wengine kufanya vizuri 🧡💛🧡💚
Timu ya wananchi 🎉🎉🎉❤❤❤ timu kubwa
Very nice aucho 🎉🎉
Pongezi kwa Mudathir kwa mchezo mzuri🎉🎉🎉MUNGU aendelee kukulinda🙏
Bg up makamanda wetu❤❤❤
Mashabiki wa Yanga SC ndio kivutio cha kwanza cha wachezaji kuja kucheza Yanga SC "Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii......."
Kama si Derby cku 3 mbele wangechapwa ❤❤❤
Ule mgoli wa kideo🙌🙌 muda one 🔥
Me wakwanza naombeni like zangu
Tears on my eyes for aucho u r the man n 1/2. Really.
Safi sana MWALIMU kiukweli mumetuheshimisha hata tusio changia🤝🤝
Muda tunae na tunatambanae❤❤❤
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Mashabiki hongera😘😘😘😘😘😘 kwa zawadi ya Auchu
I appreciate and ❤ for the award for Dr.Khalid Aucho
Mungu amsaidie aucho
This is incredible.....you have done marvelous
Mm ni simba lkn tunajivunia sana zanzibar finest wetu zanzibar ball nature❤🎉
Uhakika
Tulitegemea cm kuita💚💛💚
Nimefurabi saan kwa auchooo
MUNGU ni mwema hongera Sana wanachama na mashabiki wa Yanga MWENYEZI MUNGU awazidishie muendelee kua na huo moyo kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Najivunia Kwa nilichokitoa kimamfikia mlengwa 💚💚💚💚
Vnawaoenda mungu awalindeee jmn
Mwalimuuu🎉🎉🎉🎉🎉kitu kizuri sana
Hongera mudathir
Manara apunguze sifaaa,, mambo ya kuingia ingia na wanawake anatukwazaa aaache uzwazwa wakee na ukolo wake. Me silipend hilo baba aiseeeh bora angeendee kufungiwa
Pole Mwajay yule jamaa ni limbukeni na sijui kwa nini viongozi wa Yanga wanamuendekeza. Ally Kamwe ametosha ile nafasi.
@@deven.oauditx7547 Yaaan Ali kamwe yupo smart sana kwanza angalia jinsi anavyojiweka karibu na mashabiki pamoja na wachezaj yaan yupo vizuri kwa kweli huyo baba na mdomo wake mchafu hatumtak
Young Africa find way to win Africa champion not only to destroy simba fight for Africa
Congrats Dr of Football 💪🏼
Litimu likubwa 😅😅😅
Mzamzibar anajuwa mpira huyu jamani. Nyie kwani hamuogopi😂
Mungu awabariki mmefanya jambo jema kbx
Ubaya umbege 😂😂
That'is absolutely love for yanga funs,they show Aucho ,
Kwer mwalimu ni muaminifu amefikisha sa lama micha ngo yetu🎉
Big up sana nakubali sana show yako
💚💚💚💛💛💛 My team kila kheir
Wananchiiiiiiii
Mzenji asie na papala❤❤❤
Mudathir
. Nyie hamuogop¿ 💚💛🖤🤲✌️
Aucho love you
Hongera upo vzr sn mungu yupo na ww
Niceeee
Ila AUCHO noma sanaaa 😂😂kapongezwa lakn kakataa ety "sio sana"
Ustadh, Shkh, Doctor Aucho
Aucho kiungo bora muda wote
💚💛💚💛💛💚💛
Wewe RashidSaid, una wivu sana watu kumpa zawadi Aucho. Kama una huruma, hii hela ulito nunulia vocha kuwajibu watu walio mpa zawadi Aucho, unge nunu hata panado kisha upeleke hospital wapewe wagonjwa ungekuwa umefanya jambo la maana Sana. Kila jambo lina ratiba zake. Juzi mikoa mbalimbali yanga walitoa misaada mahospitalini, mbona Hilo hulisifu? Wewe ni kati ya wale wanao ona mabaya na kuyasema, lakini mazuri hawayasifu. Kuwa na moyo wa shukran. Badirika
Mubasharaaaaaa
Mubarikiwe Sanaa mumefikiria kitu kikubwa sana
Saw yanga day iliKuW nzuri lkn mimi ombi langu jaribuni kufupish muda man kun watu waliingia mapem sana lifikrieni hili msimu ujao 🙏👍🤕
YANGA TAMU SANA I WISH TO DO SOMETHING
noma sana noma sana❤🔥❤🔥
Yanga💚💚 injinia tunaomba utuongezee beki wa kati Moja big up sana
Wewe ni mtu wa mpira Sana .... Kwenye soccer wewe ni mtu wa maana sanaa , umeona kitu Cha msingi
Aziz Andambwile sio center back ni typical mildifielder..... Kuna Mwamba 😂😂 pale Singida Rasta man anaitwa Lauren Omar Makame ni mtu wa kazi ni bacca mtupu
@@mwanangusanana mbona kulikuwa tetesi za usajili wa hyu mtu
Ndio Cha msingi
Watusajirie jaman
Mudathiri mwamba kubali sana
Dah!nimependa Sana hongereni wanachama wa yangu kwa mlicho kifanya kwa aucho
Baleke kila kitu yanga anakiona kipya 😂
This is love jamn uuuh
All the best Aucho we appreciate you 🔰🔰💪
Mzee saidi alisema 😂😂😂anamuwaza sanaaa 😂😂😂anacheza rafuu
Kitu kikubwa sana🎉🎉🎉❤
Dr Aucho ulicho pata sio haba ila upendo tunau kupo ni mkubwa sanaaaa chukua hiyo Babu kubwa💪💛💚🙏
Hii ni zaid ya upendo kwa Khalid Aucho doctor The Tank
Dockta la boll jifunze kiswahili wewe ni monster hunter
❤❤❤❤❤❤
Hongereni kwa siku ya wananchi ila kwa sasa makolo au sanda FC wanatusema tu eti timu yetu mbovu ni ya wazee tumebebwa na refa ndio furaha yao Leo dah ila naimani na viongozi wetu na benchi la hufundi hawatotuangusha ngao ya jamii Wacha madunduka yaendelee kujiamini kuwa timu yetu mbovu na Haina speed,na ni ya wazee ila sisi ni pipo
asanteni sanaashabiki wa yanga
Akika mashabiki wenzangu wa Yanga! Mmefanya kitu kikubwa sana kwa Aucho kwa kumpatia zawadi ambayo mmeuumbua uteuzi wa Tff kwa teuzi zilizojaa ukakasi kwani Aucho Alistaili kupata lakini was eti hawakumuona kama Alistaili kupata zawadi Hongereni sana
Sherehe imeisha ya team kubwa, nchini imetulia Kelele pyeeeeeh 🔰🔰💪
Baleke akitaka mgao 😂😂
Yanga hii tutapata raha sana
Pongezi nyingi sana mno Wananchi wenzangu kwa jambo ADHIM hakika mmeonesha UPENDO/MAHABA mazito kwa kjn wetu Dr.Khalid Aucho nina imani limeweka HISTORIA ktk maisha yake ya soka,Hakuna uddugu popote zaidi ya YANGA,nimewapenda/nawapenda/nitawapenda DAIMA,Wananchiiiiiiiiiiii ALUTA CONTINUA !!!
Wana chiiiii I I I I I 🎉
Hongera wananchiiiiiii ✅🔰💚💛🖤🖤💛💚
Kubwa sana hii
Wow
Lile goli ni tamu sanaaa
Ndomaana ya litimu likubwa tumewaacha mbali sana wala nguruwe
Yaani mlichokifanya hata TFF wataona aibu😅😅😅😅
Hongereni wananchi inazidi kumpa moyo aucho
Safi
Love yanga