Gerald Mathias Mdamu amwaga chozi, inahitajika operesheni nyingine, awataja Manula, Mayay, Dodi
Vložit
- čas přidán 12. 05. 2024
- Nyota wa mpira wa miguu aliyewahi kuitumikia Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu amedondosha chozi ndani ya studio za Azam TV, akielezea hali yake ya kiafya ilivyo kwa sasa huku akibainisha bado inahitajika operesheni nyingine.
Mdamu anasema vipimo vya X-Rays vinaonesha bado inahitajika kwenda kufanya operseheni nyingine. - Sport
Mungu amsaidie apone inshallah
Mungu mponyee kijana wakooo
Dah natamani kumsaidia huyu jamaa lkn nipo Kenya nitawezaje
Unamtumia pesa kwa mpesa ambayo kenya ni Safar com, au unaweza ukampigia then akutumie details zake then unamtumia pea kwa njia ya West union
U can send to him through his number
Dah mm nimetoa machoz inauma sana
Kwakweli nchi inawatu wagum sana halafu mtu akifa pambe nyingi galama yoyote ile itatumika kwenye msiba wake sifa nyingi Leo mtu anaomba msaada et akasome ukocha haà! Hiyo familia yake itakuaje? Jamani mungu yupo madam ndugu yangu pole sana mungu anakusudi zake upo kwenye mtihani unapendwa ukiwa mzima
Mungu mponye anateseka inatoshaa
Pole
Hakika insha'Allah 🙏🏾 utapona ila nchi hii ngumu Sana yaan mchezaji kaumia katika majukumu ya timu ya taasisi ya jeshi la police na wanashindwa kumsaidia mungu anawaona malipo hapa hapa
Kijana bado mdg jmn angekua anaendelea kucheza mwenyewe Mungu wetu muweza wa yote mtete kijana wako
So sad
Alivyopata ajali wakamuongezea mkataba kumbe ilikua njia ya kumuangamiza mazima skutegemea kama timu ya polisi inaweza kufanya hivi
Daahhh siamin kma viongozi wa vilabu nchini kushindwa kumshika mkono huyu kijana mwenzetu mwenye ndo ya mafanikio pamoja na familia yake
Alikuwa anachezea team ya jeshi la polisi....IGP uko wapi???? hii ni aibu Kwa jeshi
Sasa jamani mfani hizi hela watu wanazonunu magoli Tena goli Moja milioni Tano mpaka ishilini kwanini huyu kijana asipewe imsaidie katika maisha yake au mpaka mtu ajinyonge ndo watalizika
Utapona kwa uwezo wa munguu