Video není dostupné.
Omlouváme se.

#Exclusive

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024

Komentáře • 79

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před měsícem +12

    Mzee mwenda njooo Kwa wanachi utapona presha

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před měsícem +6

    2liokuw 2nasubr mzee mwenda asema k2 2juane kwa like!! Mwenda unafurahisha kwa maneno mazur ety angetimuliwa kama mhamiaji!!😅😅😅

  • @BenedictoDioniz-uu5to
    @BenedictoDioniz-uu5to Před měsícem +3

    mzee mwenda tunakukalibisha sanaa

  • @rashidisalimu4150
    @rashidisalimu4150 Před měsícem +3

    Mimi nkukubali sanaaa

  • @hdgodiweson8579
    @hdgodiweson8579 Před měsícem

    Mzee salute kwako💪💪💪💪

  • @OmaryAthumani-db3vp
    @OmaryAthumani-db3vp Před měsícem +6

    Uko sawa sana Mzee mko wachache sana mlio Baki wasema ukwel mpira unaujua

    • @FRANSKALITUSI4937
      @FRANSKALITUSI4937 Před měsícem

      Unatamani kushiriki hii exclusive interviews muda huu karibuni sana hii ndiyo link kusikiliza zaidi gusa hii link na MUNGU atakubariki zaidi
      Gusa hi Link👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
      czcams.com/video/9PHCCr1Etvs/video.htmlsi=ed1d9CLulSg9GJmB

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 Před měsícem +5

    Mmmmh yanga bingwa

  • @bigbrother3196
    @bigbrother3196 Před měsícem +7

    Kocha mwenda hongera sana, wewe ndio unaujua mpira.

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před měsícem +2

    Wa Tanzania hatupendi ukweli mwenda unajua bori na mkweli

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před měsícem +3

    Ili zee senge TU halina kazi

  • @StephenDavid-cz4jg
    @StephenDavid-cz4jg Před měsícem +3

    Acheni kumtukana haya anayoyasema tusubili ligi ianze nd tumtukane sasa hiv msimtukane

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Před měsícem +1

    Mwenda nikovha mambumbumbu😢wamadundukahawatakuelewaaa

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Před měsícem +2

    Wakipigwa kumi Tena watasema Mo kauza mechi

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Před měsícem +10

    Mzee mwenda hauna kazi nyingine ya kufanya kila mara kwenye vyombo vya habari kumkandia MO wewe umchangia bei gani ?

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Před měsícem +4

      Anamkandia au ndio ukweli kwani key yupo wapi

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 Před měsícem +5

      Hampendi kuambiwa ukweli ndio maana timu linafeli tu

    • @idybwoytz8485
      @idybwoytz8485 Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂😂😂​@@AjiaMohamed-rt5pb

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 Před měsícem +4

      Unakosea ukisema Hana Kaz za kufanya vp amewahi kuomba msaada kwako punguza chuki zisizo za msingi

    • @Kilolomaseselemani
      @Kilolomaseselemani Před měsícem +3

      ukiona umpendi acha kuangalia

  • @user-mw6ym2vr9f
    @user-mw6ym2vr9f Před měsícem +1

    Unajifanya unajua sana kumbe hujui

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před měsícem +2

    HUYU MWENDA HUWA ANAONA MBALI SANA NA INASHANGAZA AMEKUWAJE YUKO SIMBA NA SIO YANGA ,.. KWSSB AINA HII YA WATU HUWA NI WATU WA YANGA...HATA MTU UKIKATAA SAWA TU ... AMJIULIZI KWNN YANGA ASHACHUKUA UBINGWA ZAIDI YA MALA 30 WATAKUWA WATAKUWA WANAWAZIDI MAARIFA KWA MBALI SANA SIMBA UHITAJI KUTUMIA AKILI NYINGI

  • @user-gr6hz5oq2g
    @user-gr6hz5oq2g Před měsícem +1

    Engineer alikiri kuwa kwa Aziz simba walitoa ofa kubwa kuliko yanga

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před měsícem +2

    Ww sio mtu wa mpira tatizo hamtaki kusikia ukweli hauwezi kumshangilia wachezaji kabla hawajaingia uwanjani Yanga walileta balinya, sadney, moringa, sibomana, bigirimana wallcott, lamina molo, kalengo , Morrison,sonzo, safari balama mapinduzi na bui lakini waliofanya vizuri ni wachache

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      😂😂😂 kwaiyo na nyinyi mnaona hakuna shida kuleta wengi ili wakifeli mseme kama yanga 😂😂😂

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p Před měsícem +1

    Ukweli unauma

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Před měsícem +1

    Mwenda Hauna kazi nyingine ya kufanya? Mbona Kila siku unakuwa na Kaz ya kumponda Mo tuu?

  • @user-ql2cf1to7f
    @user-ql2cf1to7f Před měsícem +1

    We mwenda kama hunaga kaz c ukawe shoga wa yanga

  • @maxmia100
    @maxmia100 Před měsícem +1

    Mwenda anajua ila mnaobisha ndo nyie makolo msiojitambua mo kila siku anawazingua na safarii hii Simba isipochukua ubingwa mashabiki msiojitambua mtashabikia yanga wote

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y Před měsícem +1

    Huyu mwenda ni kichaa na chizi mkubwa yeye kila siku maneno, wewe mwenda si ulipe umsajili Azizi K

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 Před měsícem +1

    Mpuuzi huyu

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 Před měsícem +1

    Sawa ww umemsajil nani ww

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Před měsícem +1

    Liko vzr

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga Před měsícem +1

    Unapigwa ngozi,nani alikuambia MO anataka Aziz ki?

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c Před měsícem +1

    Kwani Gamondi kasajili wachezaji pale Yanga msimu uliopita ama aliwakuta ?

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 Před měsícem +1

    Wewe siyo Simba kwanza hueleweki, unataka MO afanye nini? Kuwaondoa wasaliti wote hasa CHAMA, MANULA, MKUDE MADUKA YOTE. SIMBA NI KLbu bora ya 6 je ya yanga yangspi? Nenda na takwimu . Hujui mpira ni ishabiki tu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      Yanga ya inapanda kwenda kwenye top 10 then dunduka anashuka kutoka kwenye top 10 ki takwimu zaidi yanga ipo club bingwa dunduka yupo shirikisho then bingwa wa ligi kuu , dunduka namba nafasi 3

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před měsícem +1

    Yaani linavyoongea unadhani linatoabhela lenyewe.hela sio makalio mzee

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před měsícem +1

    Hana uwezo vipi? We ni zee senge

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Před měsícem

    Aziz k hayupo kwenye mipango ya Simba, mzee mwenda akili yako unaijua mwenyewe

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem +1

    Sasa ccm na issue ya mpira unaiingizaje? Inaonyesha wewe ni kilaza mkubwa, hata kuandika sifuri. Mwenda anazungumzia simba wewe unarukia ccm, mara ufisadi, mara ohh magufuri, hufai ku comment mawazo ya mwenda.

  • @kelvinjohnlazimatushinde9310
    @kelvinjohnlazimatushinde9310 Před měsícem +1

    jamani tuwenaadabu vijana musitukane wazee atakama amekosea ndomaana vijana tunakufa mapema ukiona mutu kaongea vibaya achanae maana maneno sio moto usemeutaunguwa utaisha mngu awabariki wote

  • @johnmwanja4476
    @johnmwanja4476 Před měsícem +1

    Mwenda NJAA ya Uzeeni Inakusumbua..huna tofauti na Mchome.

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Před měsícem +1

    Saf mwenda

  • @NgetaNyaroche
    @NgetaNyaroche Před měsícem +1

    Hyo Mzee ana akili nying kweny mpira tumpe sifa zake

  • @gregoryshao1302
    @gregoryshao1302 Před měsícem +1

    Wewe kenge tu sajili basi mamluki wa utopolo tu wewe

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před měsícem +2

    Huyu Mzee Mpumuzisheni.

  • @BoniventureRiwa-fs2py
    @BoniventureRiwa-fs2py Před měsícem +1

    😂😂😂Utopolo mshaingia kwenye mfumo wa simba mchezo mliokuwa mkifanya kwa chama sasa tutakifanya kwa azizi k

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g Před měsícem

    Wewe huna akili bx towa wewe izo pesa huna akili wewe unapenda mitandao tu mpe mamayako bx huyo enginia wewe mbwa wa kocha wa timu gani mbona yanga unawasifika na ligi haijaaza

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před měsícem +1

    Wewe Mzee mwenda huna Imani wewe Kila siku unaponda Simba wewe kocha gani wachezaji wote Hawa bado uamini wewe muislam gani ufai kabisa watu wanakuoki hawana kazi

  • @sadih5333
    @sadih5333 Před měsícem

    Sasa si ndio Simba wanajitafuta wewe unazungumzia ubigwa si mtu wa mpira unatafuta tu umaarufu.

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 Před měsícem +1

    HUYU NJAA TU NA CHAWA WA HERSI

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +1

    Kweli huyu ana chuki binafsi ndio wanatumika

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před měsícem +1

    Mjinga wewe na midevu yako ka misumari.et no Hana uwezo we unao uwezo? hela zaetu za walipa Kodi na li sisiemu lenu la mafisadi ndo useme no Hana uwezo.hyo aziza kawaona washamba TU nyie huyo inginia na giesiemu wenu na vi Senti vyao Wana hela gani hao.ombeni magufuli asiludi mnavyochezea hela zaetu kwa ujinga huo

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d Před měsícem

    Hahaaaa et mijitu inatukana haya simba mchukuuni sasa azz ki

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Před měsícem

    Mhindi na mpira wap na wap?

  • @sadih5333
    @sadih5333 Před měsícem

    Huyu jamaa Hana jema anaonekana anatafuta basha,

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem

    Hili ni la yanga limejificha usimba

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před měsícem

    Wachezaji wote wameondoka Sasa unaongea nini

  • @leusissa3855
    @leusissa3855 Před měsícem

    Huyu ni mmoja wa mashabiki wapumbavu wa simba anatakiwa kupimwa afya ya akili

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Nenda yanga hunahakili pia umeshikiwa Akili mpumbavu mkubwa

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +1

    Mpumbavu kabisa wewe

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Před měsícem +1

    Wenzako waungana kupambana kuwa kitu kimoja wewe kutwa kumsema MO, vibaya sisi mkutano ufike tumtoe mangungu na wewe lazima tukutoe

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      😂😂😂😂 hamna mwenye ubavu wa kumtoa mangungu labda mangungu awatoe nyinyi😂😂😂 .....

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před měsícem

    Hili zee hajiwahi kuwa na akili hata siku moja! Linachojua ni kufuga ndevu na kuvaa miwani ya elfu 3..

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      😂😂😂 unavaaje miwani ya milioni 50 ?

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Před měsícem +1

      @@mwanangusana Jinga sana hili zee..😅..

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      @@noelbryson7840 mbona jamaa yupo vzr sanaaaaa

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před měsícem +1

    Wa Tanzania hatupendi ukweli mwenda unajua bori na mkweli

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Před měsícem +3

    Wakipigwa kumi Tena watasema Mo kauza mechi