Nikisilimu moja kwa moja itakuwa balaa - Askofu Stephen Gichuhi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 255

  • @rajabomar6703
    @rajabomar6703 Před rokem +1

    Shida ya askofu sio uislamu ni sadaka

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 Před 3 lety +2

    Najivunia na nitajivunia kuwa Muislam mpk mwisho wa maisha yng

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Před rokem

    Askofu anahubiri tu ndio apate sadaka .hajui bibilia kabisaaa

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před rokem

    Huyu askofu anajua haswa kua uislam ndio dini yahaki ila kinachomsumbua niugali tu usilimu tu kwenye uislam kunaneema kubwa kubwa allah akuongoze usilimu baba

  • @johnvascogodfrey7070
    @johnvascogodfrey7070 Před 3 lety +3

    Mtaelewa siku Yesu akirudi kulinyakua kanisa ndo mtajua Yesu Ni Nani

    • @ayoubsaid7842
      @ayoubsaid7842 Před 3 lety +1

      Hhhahahahaa yesu kazaliwa na ww umezaliwa .uliskia wapy mungu anazaliwa

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před 3 lety +1

      Mungu ndyo kila kitu anaweza kujigeuza na kutokea apendavyo. Yesu ndyo password ya kweli. Poteza Muda tu, hata quaran inamtaja kuwa Issa bin Mariam atarudi kukaa katika kiti cha daudi tena. Mbona haisemi wkt wa kiyama atakuja huyo mtume unayemtaja ww?

    • @alimakame3529
      @alimakame3529 Před 3 lety

      @@elishakayagwa9371 wewee chunga ulimi wako usije kujuta

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 Před 3 lety +7

    shekh iko vizuri askof acha ujanja.

  • @ramadhanidaudihaji2174
    @ramadhanidaudihaji2174 Před 3 lety +18

    Huyo jama afafutiwe habibu Othman mazinge atasilimu hapo hapo ☝️🙏

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 Před 3 lety

      Tumsifu YESU mtumishi,kwani wewe huwezi,ama mazinge pekee ndiye Ufunuo wa uzima?,,,wacha kukufuru,,mwelekeze mwenzako,hata mazinge Kama unamjali, mwelekeze kwa Yesu Kristo.. Yesu Kristo pekee ndiye tumaini.. barikiwa Sana mtumishi.Amina

    • @ramadhanidaudihaji2174
      @ramadhanidaudihaji2174 Před 3 lety +1

      Yesu sio mungu ni mtume 👉

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před 3 lety +1

      YESU NI MUNGU...
      Kuelewa hili inakupasa uwe tayari kufundishika vinginevyo utakuwa kama hao wanaosema wkristo ni makafiri lkn wao wenyewe ni makafiri zaidi yao

    • @ramadhanidaudihaji2174
      @ramadhanidaudihaji2174 Před 3 lety +1

      Yesu sio mungu na kama mungu kwanini mungu amekufa mstalabani na mungu Hafi wala hafufuki ila makafiri wakaidi kama Nini haaad ☝️

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před 3 lety

      Mungu kwa kuwa ni Mungu anaweza akafanya lolote kwa makusudi fulani. Je unajua kama alifufuka au unakalili tu alikufa msalabani. Mbona Mhamad anamkili Yesu( Issa bn Mariam) kuwa yy ndye atakaye rudi siku ya kiama kukaa ktk kiti cha daudi na siyo yy? Sasa kama mnaamini alikufa kwann kwann mjue atarudi? Atatokea kaburini au wap?

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Před 3 lety +13

    MashaAllah!
    Allah awape nguvu kwa kuendesha daawah kwa mfumo wa kisasa uliokusanya adabu na hikma/busara. 🙏

  • @mariarin6428
    @mariarin6428 Před 2 lety

    Yesu n tegemeo yetu sasa na ata milele

    • @domianomururu6885
      @domianomururu6885 Před rokem

      Ni mwisilamu wao .. wamekubaliwa na qoran kucheat hili kushawishi watu

  • @alicemangat3165
    @alicemangat3165 Před 2 lety

    Very good Bishop. Naam Issa bin Mariam sio Kristo wa biblia!.

  • @issaally7928
    @issaally7928 Před rokem

    Mashallah hoja tamu kwetu sisi waisilamu

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 Před 3 lety +4

    Huyo n kwenda nae taratibu ataslimu tu ila anaogopa kwamba jamii watamchukia

  • @mohammadalfani8004
    @mohammadalfani8004 Před 3 lety +2

    Mungu amuongoze azidi kujua Ukweli InshaAllah

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 Před 3 lety +3

    Mzee anakwepa kweli kweeeli maana anaujua ukweli ila kuudhihirisha ndio shidaaaaaaaaaaaaaaa

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 3 lety +2

    Yesu Kristo ni yeye yule Jana leo na hata milele pia Yesu alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe siyo chini ya mitende.

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 Před 3 lety +9

    Mashaallah wisilam ustadh endelea ataslim huyu mchungaj insha'Allaha 🙏

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 Před 3 lety +4

    Imran ni babu ya yesu. ..yaani babake mariam

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f Před 2 lety

    Huyo Bishoo Anaopa Atafungiwa ACourt Yke

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 Před 4 lety +4

    B Shop mwisho wako mungu Atakuongoa..ukubali kuslim..B Shop nmtu nzur kbsa..

  • @suhailmasoud7891
    @suhailmasoud7891 Před 3 lety

    KAMA ni miujiza sio Yesu tu mitume wote walipewa.

  • @nimohass1919
    @nimohass1919 Před 3 lety +1

    Mansha Allah ya sheikh this guy know deep in his heart that Islam is the true religion but he scared to lose his position

  • @medadiissa324
    @medadiissa324 Před 3 lety +1

    HAPO MNAFURAHISHANA TU HUYU JAMAA NI ASKOFU KWASABABU ALIANZISHA MAKANISA,NA HANA USAHIHI WA KUJUA NENO LA MUNGU!

  • @shushu8105
    @shushu8105 Před 2 lety

    Ao wanaona aibu kutoka mudini Zao kisa watakufa nanjaaa subhan Allah

  • @horatiusmzaledo1698
    @horatiusmzaledo1698 Před 3 lety +1

    Hawa ni wapinga kristo na ile roho iko dani yao ni ya mpinga kristo. Shetani amewapa porojo nyingi ya kupinga ukweli Wanasomabiblia kuta futa kukubalika ,lakini sio waweze kupata ukweli wa wokofu.

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f Před 2 lety

    MASHA ALLAH sote Twakuoenda Shekhe Ramadhan Kzi Unayo Ifanya Ni Zuri

  • @karimscomedy2021
    @karimscomedy2021 Před 2 lety

    Pastor anichekesha sana. Anajua ukweli na Kisha hajiamini na anachokisema. Sheikh Ramadhan amemuuliza maswali simple, kwa mwenye akili ni rahisi kukubali lakini pastor anakataa haki waziwazi. Allah amuongoze

  • @asfarsham9037
    @asfarsham9037 Před 3 lety +5

    Mtangazaji upo tamaman mashallah

  • @sarambereotama693
    @sarambereotama693 Před 3 lety

    Unaaamaaanaaa unatangaza Uislam Anna haki kwenye hii dini pole sana njooni kwa Yesu kuna rahaa

    • @eddy4998
      @eddy4998 Před 3 lety

      Raha kwenye kupiga kelele kule hakuna kitu huko

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Před 3 lety +5

    Njaaaaa hizi ni shida sna , endeleen kuchambua din

  • @davidimushi1238
    @davidimushi1238 Před 3 lety +6

    Mashaallhaa

  • @pastorbaharia598
    @pastorbaharia598 Před 3 lety +1

    YESU NI NAMBA MOJA

    • @gammamsagama7106
      @gammamsagama7106 Před 3 lety +2

      Mungu aliyeumba namba hana aja ya namba kwaiyo yy ni zaidi ya namba

  • @johntay8813
    @johntay8813 Před 3 lety

    Aelewi japo anataka umuelewe katika ujinga wake Allah amuongoze Aiyone haki

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 3 lety +1

    Shekhe unachanganyikiwa kwasababu uanawaza na kufikiri kimwili na siyo kiroho.

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před 3 lety

      Utatu ni kizunguzungu wakrsto mmeamua kuuamini tu lakn ni jambo ambalo hata nyinyi hamlielewi...Kumbuka bible sio neno la mungu moja kwa moja kuna baadhi ya mambo yanayopishana humo humo

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 Před 3 lety

      @@Yu-jr9uf Tumsifu YESU mtumishi,ili utambue kuwa Biblia Ni Neno la Mungu, lazima uongozwe na Roho mtakatifu kusoma maandiko awafunulie mafumbo hakika,,mathayo13:10-16,,,, kumbukumbu 29:29.Amina.

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před 3 lety

      @@davismwamachi1145 ndo mnapojifichiaga humo sio...kuna mambo ambayo yapo wazi mno hata kitoto cha darasa la kwanza kinaelewa tu!!!

  • @mamoulovecherry5121
    @mamoulovecherry5121 Před 3 lety

    Uyu simda atakuwa ameshaidia in sha Allah icho kitu kinaonekan kbs

  • @barazaadonias341
    @barazaadonias341 Před 3 lety +2

    Prof Habib mazinge anamtoshaa atasilimu tuu

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 Před 3 lety

      Tumsifu YESU mtumishi,habib mazinge si tosha, Yesu pekee ndiye tosha.. tumaini la mwanadamu liko mikoni mwa yesu ..Amina.

  • @mariarin6428
    @mariarin6428 Před 2 lety

    Mchungaji mwambie hao uwa wanabatiza watu aje maana cc uyu tunabatizwa kwa jina la Baba la mwana na roho mtakatifu..na hao je

  • @zamzamsalimu6772
    @zamzamsalimu6772 Před rokem

    Bishop ana mabiashara ya makanisha

  • @mohammedramadhan472
    @mohammedramadhan472 Před 4 lety +5

    Allah akuzidishie rama

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Před 3 lety

    Allah awalipeni Masheikhs wangu. AMIN

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi2854 Před 4 lety +1

    In sha Allah.. ipo cku atasilimu Kwa huruma zake Allah

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 Před 2 lety

    Shifts ni lights ya Kiswahili shehe hajamuelewa Askofu maana yake

  • @HAHSMIYU
    @HAHSMIYU Před 4 lety +3

    Mashallah uko na hekma sana kwenda na kondoo. Kumfanya awe mbuzi.

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před 4 lety +4

      Hawa wanatakiwa kupelekwa kwa hekima

    • @joelakello8335
      @joelakello8335 Před 4 lety

      Bishop hawezi kuwa muislamu kaka ramadhani
      Kwenye Face book ulitwambia kwamba bishop ameslimu kumbe ni uongo mkubwa

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Před 3 lety +6

    MashaAllah

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed837 Před 4 lety +5

    Mashallah shekh Ramadhani

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 Před 4 lety +2

    Bishop Inshaallah kwauwezo wa Allah atasilimu hiyo ipo wazi

  • @annaharon8151
    @annaharon8151 Před 3 lety +1

    Mohammad sio mtume wa Mungu waislamu mmepotea Sana.

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před 3 lety

      Qur'an inajua maneno yako katika Sura ya 13 aya 43

    • @mamitomamita6284
      @mamitomamita6284 Před 3 lety

      Maskini ameshajuwa ule ukweli uko wapi lakini anafikiria Tumbo anyway in shaa Allah siku moja atakuwa mwenzetu in shaa Allah

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před 3 lety

      Naam

    • @dawaseif3699
      @dawaseif3699 Před 3 lety

      Uislamu ndio dini ya kweli wakristo hamjui mlitendalo

    • @annaharon8151
      @annaharon8151 Před 3 lety +1

      @@dawaseif3699 ninyi waislam mpo gizani mwaminini MWANA WA MUNGU YRSU KRISTO MPATE WOKOVU.kwa Mohammad uzima wa milele hakuna.

  • @Asiyah2000
    @Asiyah2000 Před 3 lety +1

    mashaAllah ☝️

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 Před 3 lety

    ndugu yangu askofu achana nandugu zetu ao unacho kielewa wewe hawawezi kukielewa

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 3 lety +2

    Askofu, ni kama umeshindwa kujibu vyema lkn nimekuelewa sana. Ila wapendwa, iko hivi YESU ni Mungu. Anayeamini aamini, asiyeamini bac kazi kwake. Matendo4:12. Wakovu haupo kwa waislamu, wokovu upo kwa YESU KRISTO TU. AMEN. Sasa ole wake amsalitiye YESU, na ole wake asiyemwamini YESU. UFUNUO21:6.

    • @yasiralkindi5332
      @yasiralkindi5332 Před 3 lety +2

      Uspanic bro ikiwa baba ako kashindwa ww utawezaje

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Před 3 lety

      @@yasiralkindi5332 sikia nikwambie, baba niliyenaye ni YESU TU. Sio mtu. Upo.

    • @hiimbinaimmuslim3041
      @hiimbinaimmuslim3041 Před 3 lety +1

      Waisilamu wanamuamini yefu kuliko nyinyi hamumuamini wapi yesu kasema mimi mungu na niabuduni mimi alafu mungu anazaliwa kwenye njia ya mwanamke mungu ananyonya mungu anatahiriwa kabla yake alikuwa mungu nani na hao malaika walotumwa kwa maryam walitumwa na mungu gani hebu semeni astafiru wallaj

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 Před 4 lety +3

    MashaAllah ustaz Ramadhan

  • @hannanyokabi7588
    @hannanyokabi7588 Před 3 lety

    Without Jesus you are usless

  • @ugaascashaale1869
    @ugaascashaale1869 Před 4 lety +1

    MashaAllah sheikh ramadhan mungu Aku hifadhi na aku zidishe ilmi

  • @abdulissaahmed6215
    @abdulissaahmed6215 Před 3 lety +1

    This one will be ours soon in Shaa Allah

  • @shabanabdi5489
    @shabanabdi5489 Před rokem

    Mafundisho mema

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 Před 4 lety +2

    Mashaallah
    ustadh kuria

  • @erickrichard7329
    @erickrichard7329 Před 3 lety +1

    Uyu askofu anajichanganya sana

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 Před 3 lety

      Anajichanganya vipi? Mbona anaeleza vizuri tu,

    • @annkuya1446
      @annkuya1446 Před 3 lety

      @@highvoltages4169 Ni lazima achunge mtego asije akanaswa vile Judas Iscariot alivyo naswa Na akakubali kurudi nyuma badala ya kuabatana Na Yesu hadi dakika za mwisho kama wale wanafunzi wengine waliombatana Na Yesu hadi dakika ya mwisho. Hapo panahitaji Roho Mtakatifu afanye kazi yake bila Roho Mtakatifu mchungaji kwisha jina lako Yesu litafutwa Na Yesu katika kitabu chake uzima. Yesu Na Shetani wanafanya Campaigni .Yesu anataka kuona ni nani wataokao simama imara kama vile wakina Mtume Petro ambao walihatarisha Maisha yao kwa kuhubiri injili ya Yesu Kristo ulimwenguni kote.

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 Před 3 lety +1

      @@annkuya1446 🙌🙌🙌💪💪💪

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Před rokem

    ❤❤❤🙏🙏🙏🤲🤲🤲

  • @fatumakilimba76
    @fatumakilimba76 Před 3 lety +1

    Uislamu ndo dini ya haki

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Před rokem

    Huyo hawezi kuacha sababu amezowea kupokea sadaka

  • @omarmuhammed8987
    @omarmuhammed8987 Před 3 lety

    Huyo MUNGU baba jina lake nan maana kila baba lazima awe na jina

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 Před 3 lety

      Tumsifu YESU mtumishi,huyo MUNGU baba jina lake ni Yesu,huyo Mungu mwana jina lake ni Yesu, Roho mtakatifu jina lake ni Yesu...mtu wa rohoni huyatambua yote lakini yeye hatambuliwi na mtu,,(1corinrhians2:14-15) barikiwa Sana mtumishi, Amina.

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 Před 3 lety +3

    Mashaallah tabarak allah

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před 3 lety

      Alhamdulillah

    • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
      @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 Před 3 lety

      czcams.com/video/Y1PQzdsFCpQ/video.html

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 Před 3 lety

      Shida ya maaskofu huwa wanakuwa hawakujiandaa kwa ajili ya mabishano, na anatakiwa atafutwe mwanaharakati wa ukristo anayesoma vitabu kwa ajili ya kubishana hapo ndipo moto ungewaka. Hapo nikamavile umchukue sheikh wa kawaida msikitini ukampambanishe na mwanaharakati wa kikristo anayesoma vitabu kwa ajili ya mabishano sheikh lazima akae.
      Yote kwa yote hizi dini mbili vitabu vyake vinapingana sana vyenyewe kwa vyenyewe hata ukristo wenywe kama kila kilichoandikwa kwenye Bible kingekuwa kinafatwa na kushikiliwa ukristo nao ungekuwa ni dini ya hovyo tu. Ukweli niwaislam wachache wanaopingana hata na mafundisho mabaya ya koran, wengi hutetea kuwa Allah ndiye aliyeagiza na wengine wachache hukataa kabisa kujadili maandiko hayo yasiofaa na badalayake huibuka na maneno mengine yanayopingana na yale yasiofaa.
      Mfano unaweza muuliza muislam mjanja kuwa mbona dini yenu inakataa ushirikiano wowote na makafiri sasa tuishi vipi wakati Dunia ni yetu sote, majibu atakayokujanayo ni ile mistari inayosema utakuta adui mkubwa wa waislam ni mayaudi na rafiki wa waislam ni waliotanguliziwa kitabu/wakristo. Au atakwambia mtume Mohammed alipokimbia maka kwenda madinana na hata Ethiopian alitunzwa na wakristo. Korani husema ndugu wa mwislam ni mwislam wengine ni watu baki, mwislam mjanja atakwambia hapana sote ni ndugu moja wana wa Adam.
      Yaani kwakifupi vitabu vyenu ni full kujipinga vyenyewe kwa vyenyewe.
      Uzuri wakristo ni wajanja sana yale maandiko ya kishenzi yaliyo kwenye Bible huwezi wasikia wakiyaongea au kuyajadili na ukiwauliza maswali kwanini imeandikwa hivyo majibu huwa ni hilo ni fumbo atalifumbua Mungu mwenyewe.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 3 lety +1

    Yesu wa wazungu

  • @mombasaali5153
    @mombasaali5153 Před 3 lety

    Bishop ni kazi aliandikwa haezi acha lakini anajua ukweli uko wapi.

  • @mohdsaid5038
    @mohdsaid5038 Před 3 lety +4

    Anazunguka mbuyu tu

  • @evalettmuthoni5996
    @evalettmuthoni5996 Před 3 lety +1

    Kweli dawah munaifanya nawaombea uzima na afya na Allah awape nguvu tuko pamoja katika imani inshaallah

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Před 4 lety +1

    Bishop niheri umuogope Mungu kuliko kuogopa watu watashangaa

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před 4 lety

      kweli jkabisa

    • @hamidahamida1473
      @hamidahamida1473 Před 4 lety

      Mikomamakanisakazaaa.subhanalha

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 Před 3 lety

      Tumsifu YESU mtumishi,unapotambua ukuu wa Yesu Kristo kuwa ni Mungu,hakika hapo utakuwa unamuogopa na kumheshimu,,,2peter3:17-18...Amina.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 3 lety

    Uislam siyo dini ya kweli

  • @tarikuendege1774
    @tarikuendege1774 Před 3 lety

    MASHA AIIHA

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Před 2 lety

    tafuteni kwenye youtube WATER VEITH - MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI ujifunze kweli ambazo hukuwahi kuzijua

  • @KHALIFAMPYA-TV
    @KHALIFAMPYA-TV Před 3 lety +1

    Subhanallah

  • @suhailmasoud7891
    @suhailmasoud7891 Před 3 lety

    Mpelekee kidume Mazinge uyo

  • @mauriciocelsotembe4753

    Yesu nabii

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Před 3 lety

    UISLAMU SIO IMANI YA MAANA.NI IMANI YA KIGAIDI NI IMANIBYA ROHO MBAYA . IMANI YA KUUA WATU. JUZI TU WAMEUA WATU WAKIWAAMBIA WASOME SURATUL FATIHA

    • @mtulandunguse182
      @mtulandunguse182 Před 3 lety

      Benjamin unatakiwa kusomamna kuujua uislam
      Mtu akijilipua akiua watu huo sio uislam alio uleta mtume muhammad
      Mtume aliletwa dunian kwa lengo la watu wamche mungu waache maovu mambo mengine mengi.

    • @kimayamkinahiza7585
      @kimayamkinahiza7585 Před 3 lety

      Subili.siku.ya.kutolewa.loho.ndio.utajua.kama wisilam.ni dini.au.sio.dini

    • @kimayamkinahiza7585
      @kimayamkinahiza7585 Před 3 lety

      MATAYO..15.24.).MATAYO.1.21.(.YAKOBO..1.17.

    • @kimayamkinahiza7585
      @kimayamkinahiza7585 Před 3 lety

      Yelemia.50.6.)isaya.56.10.)yelemia.8.8.)matayo.2.6.).matendo.13.21..yohana.17.3.)

    • @kimayamkinahiza7585
      @kimayamkinahiza7585 Před 3 lety

      MATAYO.24.23.)yohana.17.8.)

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 Před 3 lety

    Maashaallah

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 Před 3 lety +2

    Hakuna askofu apo

  • @dottomarko1890
    @dottomarko1890 Před 3 lety +1

    Hapo nyie wote si huyo askofu si huyo shekhe nyie wote hamjui kuhusu mungu

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 Před 3 lety

      hata wew humjui Mungu ungemjua Mwenyezi Mungu usingeandika jina lake kwa herufi ndogo

    • @abdallahahmedmmary225
      @abdallahahmedmmary225 Před 3 lety

      Nadhan ww ndo huelewi an nvema useme unachokijua ila jambo jema nikufkisha unachokijua an Dini ni uislamu hakuna jins namambo haya yanahitajia wenye akili nawe ooa jitahd kumtafuta Mwenyez Mungu wakweli

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 Před 3 lety

    Kwenye Mitende hapo kakwepa Mzeeeeeeeeee

  • @mamoulovecherry5121
    @mamoulovecherry5121 Před 3 lety

    Allahu Akbaru

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Před 3 lety +2

    MNAENDA KUHOJI ASKOFU AMBAYE HAJUI UISLAMU HATA KISWAHILI CHENYEWE HAJUI VIZURI

  • @evansjorammachajoram9746

    Hakuna mungu waivo wa haki ila niwafuga majini

  • @maryamdunga3896
    @maryamdunga3896 Před 3 lety +1

    😄😄Alhamdullah kunavitu havihitaji nguvu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před rokem

    Kama huyu pastor kinachomzuia ni pesa tu .. maana ana makanisa yanamtilia pesa nyingi sana .. it takes courage and Allah's guidance kwa mtu kama huyu kukubali uislamu coz he will lose a lot.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 3 lety +1

    Mitende ipo saudia tu !hee huyu padri mbona anatia aibu

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 Před 4 lety

    Naam

  • @happysalim4120
    @happysalim4120 Před 3 lety

    Napenda kuuliza huyu askofu bado hajaslim ?

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 Před 3 lety

      Bado na anaendelea na huduma kwa JINA LA YESU,
      Unajua Bwana YESU ni MUNGU mwana na ukitaka kuthibitisha hilo *taja jina la YESU uone mapepo na majini yanavyotoroka mbio*
      Mimi binafsi siwezi kuabudu kwny dini ambayo wanaabudu na majini,mapepo

  • @mwanyunimadee4157
    @mwanyunimadee4157 Před 3 lety +1

    Hawa n bishop kuniita jina but nimesikiza mjadala hata mmi sheikh haezi nichalleng hebu niconnect n huyu sheikh nifanye myhadhara naye

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 3 lety

    Ni muhimu kuamini kwamba Mungu ni mmoja pekee. Hana baba wala mke wala watoto. Imani hii ndio inakubalika katika Dini iliyofunzwa na Mtume Musa na Isa (Yesu) na Mtume wa mwisho, MUHAMMAD, swalla Allahu alayhi wa sallam. Inaonekana kule kudai kuna siri (ya uteuwa) ambayo inajulikana na wachache ni kuzua kikwazo....au?

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk8373 Před 3 lety

    ww ramadhan ni muislamu au ww ni kama muislam

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Před 3 lety +4

    Askofu unajichanganya, huyo mtu anatakiwa akitane na mm ili nimwelimishe.

    • @mauahamdani7801
      @mauahamdani7801 Před 3 lety

      Walimchukua ambae wqlijua hawezi kujibu ipasavyo! Ili washinde lkn imeandikwa asiye mwamini Yesu amehukuniwa

  • @absameosman9113
    @absameosman9113 Před 4 lety +4

    Kumbe askofu alijua kwmba diini y uislamu ndio diini y haki.... Lkn ako n biashara y makanisa ndio maana anakatalia kwa ukristo ila sio diini y haki.... Ni pesa tu inamshikilia huko n sifa ya kuitwa askofu

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před 4 lety +1

      Kweli kabisa hawa watu wako kazi na ndio inawazuia kusilimu.

    • @laxmax5594
      @laxmax5594 Před 3 lety

      Aliekueleza uislam dini ya kweli nani hacha uongo

  • @rashidmoche8709
    @rashidmoche8709 Před 3 lety +1

    Sio kila kitu una amini kisa kimeandikwa ,,vitu vingine akili tuu inaweza kujua .

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 Před 3 lety

      Tumsifu YESU mtumishi,mithali 3:5,,, mpendwa akili ya mtu haisaidii chocho Bali ukijazwa Roho mtakatifu utajua vyote . Amina.

  • @mathiasmageni8568
    @mathiasmageni8568 Před 3 lety +1

    Ni dhambi kufanya maigizo ili kuwaaminisha watu. Huyo jamaa amepangwa.

  • @bcbestcartoon576
    @bcbestcartoon576 Před 3 lety +1

    Siri ya utauaaaa

  • @fatmasule1175
    @fatmasule1175 Před 4 lety +2

    Yaan kila nikiangalia bado dini ya kikristo haijanishawish kuingia Ni uongo mtupu

  • @rayasloom8711
    @rayasloom8711 Před 2 lety

    Jama anaogopa 😂😂😂 asikose ajira na ufahari maskini kwa sababu ya pesa 😂😂😂 nibora afe ni kafiri kuliko kokosa pesa .Subhana Allah yesu alizaliwa marekani wazungu wametowa wapi dini mtihani

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki2716 Před 3 lety +1

    Nahivyo kashavua lile joho lake hh

  • @salmamohammed2412
    @salmamohammed2412 Před 3 lety +1

    YYtuma

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 Před 3 lety

    mtangazaji angalia camera hiyo

  • @mkushplatnam1595
    @mkushplatnam1595 Před 3 lety

    uyu pastor sijamwelewa nia yake nini bado

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 Před 3 lety +1

      Tumsifu YESU mtumishi,wajua huyu pastor Yuko rohoni,ndio maana mtu wa mwilini hawezi kumuelewa.. ukitaka kumuelewa,ni rahisi Sana,kumpokea Yesu Kristo Kama mwokozi wa maisha yako,na ukubali kuongozwa na Roho mtakatifu wa Yesu....hivyo tu..wajua Biblia haisomwi Kama gazeti lazma uongozwe na Roho mtakatifu (mithali, mafumbo na misemo..bila kuongozwa na Roho mtakatifu, hutaweza kumuelewa mtumishi awaye yeyote..barikiwa Sana.Amina.

  • @jangombeboys4536
    @jangombeboys4536 Před 3 lety

    jangombeboys1999