Huyu askofu anajua haswa kua uislam ndio dini yahaki ila kinachomsumbua niugali tu usilimu tu kwenye uislam kunaneema kubwa kubwa allah akuongoze usilimu baba
Mungu ndyo kila kitu anaweza kujigeuza na kutokea apendavyo. Yesu ndyo password ya kweli. Poteza Muda tu, hata quaran inamtaja kuwa Issa bin Mariam atarudi kukaa katika kiti cha daudi tena. Mbona haisemi wkt wa kiyama atakuja huyo mtume unayemtaja ww?
Tumsifu YESU mtumishi,kwani wewe huwezi,ama mazinge pekee ndiye Ufunuo wa uzima?,,,wacha kukufuru,,mwelekeze mwenzako,hata mazinge Kama unamjali, mwelekeze kwa Yesu Kristo.. Yesu Kristo pekee ndiye tumaini.. barikiwa Sana mtumishi.Amina
YESU NI MUNGU... Kuelewa hili inakupasa uwe tayari kufundishika vinginevyo utakuwa kama hao wanaosema wkristo ni makafiri lkn wao wenyewe ni makafiri zaidi yao
Mungu kwa kuwa ni Mungu anaweza akafanya lolote kwa makusudi fulani. Je unajua kama alifufuka au unakalili tu alikufa msalabani. Mbona Mhamad anamkili Yesu( Issa bn Mariam) kuwa yy ndye atakaye rudi siku ya kiama kukaa ktk kiti cha daudi na siyo yy? Sasa kama mnaamini alikufa kwann kwann mjue atarudi? Atatokea kaburini au wap?
Hawa ni wapinga kristo na ile roho iko dani yao ni ya mpinga kristo. Shetani amewapa porojo nyingi ya kupinga ukweli Wanasomabiblia kuta futa kukubalika ,lakini sio waweze kupata ukweli wa wokofu.
Pastor anichekesha sana. Anajua ukweli na Kisha hajiamini na anachokisema. Sheikh Ramadhan amemuuliza maswali simple, kwa mwenye akili ni rahisi kukubali lakini pastor anakataa haki waziwazi. Allah amuongoze
Utatu ni kizunguzungu wakrsto mmeamua kuuamini tu lakn ni jambo ambalo hata nyinyi hamlielewi...Kumbuka bible sio neno la mungu moja kwa moja kuna baadhi ya mambo yanayopishana humo humo
@@Yu-jr9uf Tumsifu YESU mtumishi,ili utambue kuwa Biblia Ni Neno la Mungu, lazima uongozwe na Roho mtakatifu kusoma maandiko awafunulie mafumbo hakika,,mathayo13:10-16,,,, kumbukumbu 29:29.Amina.
Askofu, ni kama umeshindwa kujibu vyema lkn nimekuelewa sana. Ila wapendwa, iko hivi YESU ni Mungu. Anayeamini aamini, asiyeamini bac kazi kwake. Matendo4:12. Wakovu haupo kwa waislamu, wokovu upo kwa YESU KRISTO TU. AMEN. Sasa ole wake amsalitiye YESU, na ole wake asiyemwamini YESU. UFUNUO21:6.
Waisilamu wanamuamini yefu kuliko nyinyi hamumuamini wapi yesu kasema mimi mungu na niabuduni mimi alafu mungu anazaliwa kwenye njia ya mwanamke mungu ananyonya mungu anatahiriwa kabla yake alikuwa mungu nani na hao malaika walotumwa kwa maryam walitumwa na mungu gani hebu semeni astafiru wallaj
@@highvoltages4169 Ni lazima achunge mtego asije akanaswa vile Judas Iscariot alivyo naswa Na akakubali kurudi nyuma badala ya kuabatana Na Yesu hadi dakika za mwisho kama wale wanafunzi wengine waliombatana Na Yesu hadi dakika ya mwisho. Hapo panahitaji Roho Mtakatifu afanye kazi yake bila Roho Mtakatifu mchungaji kwisha jina lako Yesu litafutwa Na Yesu katika kitabu chake uzima. Yesu Na Shetani wanafanya Campaigni .Yesu anataka kuona ni nani wataokao simama imara kama vile wakina Mtume Petro ambao walihatarisha Maisha yao kwa kuhubiri injili ya Yesu Kristo ulimwenguni kote.
Tumsifu YESU mtumishi,huyo MUNGU baba jina lake ni Yesu,huyo Mungu mwana jina lake ni Yesu, Roho mtakatifu jina lake ni Yesu...mtu wa rohoni huyatambua yote lakini yeye hatambuliwi na mtu,,(1corinrhians2:14-15) barikiwa Sana mtumishi, Amina.
Shida ya maaskofu huwa wanakuwa hawakujiandaa kwa ajili ya mabishano, na anatakiwa atafutwe mwanaharakati wa ukristo anayesoma vitabu kwa ajili ya kubishana hapo ndipo moto ungewaka. Hapo nikamavile umchukue sheikh wa kawaida msikitini ukampambanishe na mwanaharakati wa kikristo anayesoma vitabu kwa ajili ya mabishano sheikh lazima akae. Yote kwa yote hizi dini mbili vitabu vyake vinapingana sana vyenyewe kwa vyenyewe hata ukristo wenywe kama kila kilichoandikwa kwenye Bible kingekuwa kinafatwa na kushikiliwa ukristo nao ungekuwa ni dini ya hovyo tu. Ukweli niwaislam wachache wanaopingana hata na mafundisho mabaya ya koran, wengi hutetea kuwa Allah ndiye aliyeagiza na wengine wachache hukataa kabisa kujadili maandiko hayo yasiofaa na badalayake huibuka na maneno mengine yanayopingana na yale yasiofaa. Mfano unaweza muuliza muislam mjanja kuwa mbona dini yenu inakataa ushirikiano wowote na makafiri sasa tuishi vipi wakati Dunia ni yetu sote, majibu atakayokujanayo ni ile mistari inayosema utakuta adui mkubwa wa waislam ni mayaudi na rafiki wa waislam ni waliotanguliziwa kitabu/wakristo. Au atakwambia mtume Mohammed alipokimbia maka kwenda madinana na hata Ethiopian alitunzwa na wakristo. Korani husema ndugu wa mwislam ni mwislam wengine ni watu baki, mwislam mjanja atakwambia hapana sote ni ndugu moja wana wa Adam. Yaani kwakifupi vitabu vyenu ni full kujipinga vyenyewe kwa vyenyewe. Uzuri wakristo ni wajanja sana yale maandiko ya kishenzi yaliyo kwenye Bible huwezi wasikia wakiyaongea au kuyajadili na ukiwauliza maswali kwanini imeandikwa hivyo majibu huwa ni hilo ni fumbo atalifumbua Mungu mwenyewe.
Benjamin unatakiwa kusomamna kuujua uislam Mtu akijilipua akiua watu huo sio uislam alio uleta mtume muhammad Mtume aliletwa dunian kwa lengo la watu wamche mungu waache maovu mambo mengine mengi.
Nadhan ww ndo huelewi an nvema useme unachokijua ila jambo jema nikufkisha unachokijua an Dini ni uislamu hakuna jins namambo haya yanahitajia wenye akili nawe ooa jitahd kumtafuta Mwenyez Mungu wakweli
Kama huyu pastor kinachomzuia ni pesa tu .. maana ana makanisa yanamtilia pesa nyingi sana .. it takes courage and Allah's guidance kwa mtu kama huyu kukubali uislamu coz he will lose a lot.
Bado na anaendelea na huduma kwa JINA LA YESU, Unajua Bwana YESU ni MUNGU mwana na ukitaka kuthibitisha hilo *taja jina la YESU uone mapepo na majini yanavyotoroka mbio* Mimi binafsi siwezi kuabudu kwny dini ambayo wanaabudu na majini,mapepo
Ni muhimu kuamini kwamba Mungu ni mmoja pekee. Hana baba wala mke wala watoto. Imani hii ndio inakubalika katika Dini iliyofunzwa na Mtume Musa na Isa (Yesu) na Mtume wa mwisho, MUHAMMAD, swalla Allahu alayhi wa sallam. Inaonekana kule kudai kuna siri (ya uteuwa) ambayo inajulikana na wachache ni kuzua kikwazo....au?
Kumbe askofu alijua kwmba diini y uislamu ndio diini y haki.... Lkn ako n biashara y makanisa ndio maana anakatalia kwa ukristo ila sio diini y haki.... Ni pesa tu inamshikilia huko n sifa ya kuitwa askofu
Jama anaogopa 😂😂😂 asikose ajira na ufahari maskini kwa sababu ya pesa 😂😂😂 nibora afe ni kafiri kuliko kokosa pesa .Subhana Allah yesu alizaliwa marekani wazungu wametowa wapi dini mtihani
Tumsifu YESU mtumishi,wajua huyu pastor Yuko rohoni,ndio maana mtu wa mwilini hawezi kumuelewa.. ukitaka kumuelewa,ni rahisi Sana,kumpokea Yesu Kristo Kama mwokozi wa maisha yako,na ukubali kuongozwa na Roho mtakatifu wa Yesu....hivyo tu..wajua Biblia haisomwi Kama gazeti lazma uongozwe na Roho mtakatifu (mithali, mafumbo na misemo..bila kuongozwa na Roho mtakatifu, hutaweza kumuelewa mtumishi awaye yeyote..barikiwa Sana.Amina.
Shida ya askofu sio uislamu ni sadaka
Najivunia na nitajivunia kuwa Muislam mpk mwisho wa maisha yng
Askofu anahubiri tu ndio apate sadaka .hajui bibilia kabisaaa
Huyu askofu anajua haswa kua uislam ndio dini yahaki ila kinachomsumbua niugali tu usilimu tu kwenye uislam kunaneema kubwa kubwa allah akuongoze usilimu baba
Mtaelewa siku Yesu akirudi kulinyakua kanisa ndo mtajua Yesu Ni Nani
Hhhahahahaa yesu kazaliwa na ww umezaliwa .uliskia wapy mungu anazaliwa
Mungu ndyo kila kitu anaweza kujigeuza na kutokea apendavyo. Yesu ndyo password ya kweli. Poteza Muda tu, hata quaran inamtaja kuwa Issa bin Mariam atarudi kukaa katika kiti cha daudi tena. Mbona haisemi wkt wa kiyama atakuja huyo mtume unayemtaja ww?
@@elishakayagwa9371 wewee chunga ulimi wako usije kujuta
shekh iko vizuri askof acha ujanja.
Huyo jama afafutiwe habibu Othman mazinge atasilimu hapo hapo ☝️🙏
Tumsifu YESU mtumishi,kwani wewe huwezi,ama mazinge pekee ndiye Ufunuo wa uzima?,,,wacha kukufuru,,mwelekeze mwenzako,hata mazinge Kama unamjali, mwelekeze kwa Yesu Kristo.. Yesu Kristo pekee ndiye tumaini.. barikiwa Sana mtumishi.Amina
Yesu sio mungu ni mtume 👉
YESU NI MUNGU...
Kuelewa hili inakupasa uwe tayari kufundishika vinginevyo utakuwa kama hao wanaosema wkristo ni makafiri lkn wao wenyewe ni makafiri zaidi yao
Yesu sio mungu na kama mungu kwanini mungu amekufa mstalabani na mungu Hafi wala hafufuki ila makafiri wakaidi kama Nini haaad ☝️
Mungu kwa kuwa ni Mungu anaweza akafanya lolote kwa makusudi fulani. Je unajua kama alifufuka au unakalili tu alikufa msalabani. Mbona Mhamad anamkili Yesu( Issa bn Mariam) kuwa yy ndye atakaye rudi siku ya kiama kukaa ktk kiti cha daudi na siyo yy? Sasa kama mnaamini alikufa kwann kwann mjue atarudi? Atatokea kaburini au wap?
MashaAllah!
Allah awape nguvu kwa kuendesha daawah kwa mfumo wa kisasa uliokusanya adabu na hikma/busara. 🙏
Yesu n tegemeo yetu sasa na ata milele
Ni mwisilamu wao .. wamekubaliwa na qoran kucheat hili kushawishi watu
Very good Bishop. Naam Issa bin Mariam sio Kristo wa biblia!.
Mashallah hoja tamu kwetu sisi waisilamu
Huyo n kwenda nae taratibu ataslimu tu ila anaogopa kwamba jamii watamchukia
Mungu amuongoze azidi kujua Ukweli InshaAllah
Mzee anakwepa kweli kweeeli maana anaujua ukweli ila kuudhihirisha ndio shidaaaaaaaaaaaaaaa
Yesu Kristo ni yeye yule Jana leo na hata milele pia Yesu alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe siyo chini ya mitende.
Usi kariri chambua Kwanza
Kwahiyo naww unaamini ni mungu kama kazaliwa !!!
Mashaallah wisilam ustadh endelea ataslim huyu mchungaj insha'Allaha 🙏
Ameen kwa idhini ya Allah
czcams.com/video/Y1PQzdsFCpQ/video.html
Imran ni babu ya yesu. ..yaani babake mariam
😂😂😂😂
Huyo Bishoo Anaopa Atafungiwa ACourt Yke
B Shop mwisho wako mungu Atakuongoa..ukubali kuslim..B Shop nmtu nzur kbsa..
Tunamuombea hidaya kwa Allah
KAMA ni miujiza sio Yesu tu mitume wote walipewa.
Mansha Allah ya sheikh this guy know deep in his heart that Islam is the true religion but he scared to lose his position
HAPO MNAFURAHISHANA TU HUYU JAMAA NI ASKOFU KWASABABU ALIANZISHA MAKANISA,NA HANA USAHIHI WA KUJUA NENO LA MUNGU!
Ao wanaona aibu kutoka mudini Zao kisa watakufa nanjaaa subhan Allah
Hawa ni wapinga kristo na ile roho iko dani yao ni ya mpinga kristo. Shetani amewapa porojo nyingi ya kupinga ukweli Wanasomabiblia kuta futa kukubalika ,lakini sio waweze kupata ukweli wa wokofu.
MASHA ALLAH sote Twakuoenda Shekhe Ramadhan Kzi Unayo Ifanya Ni Zuri
Pastor anichekesha sana. Anajua ukweli na Kisha hajiamini na anachokisema. Sheikh Ramadhan amemuuliza maswali simple, kwa mwenye akili ni rahisi kukubali lakini pastor anakataa haki waziwazi. Allah amuongoze
Mtangazaji upo tamaman mashallah
Unaaamaaanaaa unatangaza Uislam Anna haki kwenye hii dini pole sana njooni kwa Yesu kuna rahaa
Raha kwenye kupiga kelele kule hakuna kitu huko
Njaaaaa hizi ni shida sna , endeleen kuchambua din
Unalaana ww
Ndo maana mnatakiwa muusome uislam jina lako mariam halafu ulichocmment mmh
Mashaallhaa
YESU NI NAMBA MOJA
Mungu aliyeumba namba hana aja ya namba kwaiyo yy ni zaidi ya namba
Aelewi japo anataka umuelewe katika ujinga wake Allah amuongoze Aiyone haki
Shekhe unachanganyikiwa kwasababu uanawaza na kufikiri kimwili na siyo kiroho.
Utatu ni kizunguzungu wakrsto mmeamua kuuamini tu lakn ni jambo ambalo hata nyinyi hamlielewi...Kumbuka bible sio neno la mungu moja kwa moja kuna baadhi ya mambo yanayopishana humo humo
@@Yu-jr9uf Tumsifu YESU mtumishi,ili utambue kuwa Biblia Ni Neno la Mungu, lazima uongozwe na Roho mtakatifu kusoma maandiko awafunulie mafumbo hakika,,mathayo13:10-16,,,, kumbukumbu 29:29.Amina.
@@davismwamachi1145 ndo mnapojifichiaga humo sio...kuna mambo ambayo yapo wazi mno hata kitoto cha darasa la kwanza kinaelewa tu!!!
Uyu simda atakuwa ameshaidia in sha Allah icho kitu kinaonekan kbs
Prof Habib mazinge anamtoshaa atasilimu tuu
Tumsifu YESU mtumishi,habib mazinge si tosha, Yesu pekee ndiye tosha.. tumaini la mwanadamu liko mikoni mwa yesu ..Amina.
Mchungaji mwambie hao uwa wanabatiza watu aje maana cc uyu tunabatizwa kwa jina la Baba la mwana na roho mtakatifu..na hao je
Bishop ana mabiashara ya makanisha
Allah akuzidishie rama
Ameen, nawe pia
Allahuma Amin
Allah awalipeni Masheikhs wangu. AMIN
In sha Allah.. ipo cku atasilimu Kwa huruma zake Allah
ameen
Aamin, In shaa Allah!!
Shifts ni lights ya Kiswahili shehe hajamuelewa Askofu maana yake
Mashallah uko na hekma sana kwenda na kondoo. Kumfanya awe mbuzi.
Hawa wanatakiwa kupelekwa kwa hekima
Bishop hawezi kuwa muislamu kaka ramadhani
Kwenye Face book ulitwambia kwamba bishop ameslimu kumbe ni uongo mkubwa
MashaAllah
Mashallah shekh Ramadhani
shukran Nailah
czcams.com/video/Y1PQzdsFCpQ/video.html
Bishop Inshaallah kwauwezo wa Allah atasilimu hiyo ipo wazi
Ameen
Amiina InshaAllah
Mohammad sio mtume wa Mungu waislamu mmepotea Sana.
Qur'an inajua maneno yako katika Sura ya 13 aya 43
Maskini ameshajuwa ule ukweli uko wapi lakini anafikiria Tumbo anyway in shaa Allah siku moja atakuwa mwenzetu in shaa Allah
Naam
Uislamu ndio dini ya kweli wakristo hamjui mlitendalo
@@dawaseif3699 ninyi waislam mpo gizani mwaminini MWANA WA MUNGU YRSU KRISTO MPATE WOKOVU.kwa Mohammad uzima wa milele hakuna.
mashaAllah ☝️
ndugu yangu askofu achana nandugu zetu ao unacho kielewa wewe hawawezi kukielewa
Askofu, ni kama umeshindwa kujibu vyema lkn nimekuelewa sana. Ila wapendwa, iko hivi YESU ni Mungu. Anayeamini aamini, asiyeamini bac kazi kwake. Matendo4:12. Wakovu haupo kwa waislamu, wokovu upo kwa YESU KRISTO TU. AMEN. Sasa ole wake amsalitiye YESU, na ole wake asiyemwamini YESU. UFUNUO21:6.
Uspanic bro ikiwa baba ako kashindwa ww utawezaje
@@yasiralkindi5332 sikia nikwambie, baba niliyenaye ni YESU TU. Sio mtu. Upo.
Waisilamu wanamuamini yefu kuliko nyinyi hamumuamini wapi yesu kasema mimi mungu na niabuduni mimi alafu mungu anazaliwa kwenye njia ya mwanamke mungu ananyonya mungu anatahiriwa kabla yake alikuwa mungu nani na hao malaika walotumwa kwa maryam walitumwa na mungu gani hebu semeni astafiru wallaj
MashaAllah ustaz Ramadhan
Shukran sana Abu Raas
Without Jesus you are usless
MashaAllah sheikh ramadhan mungu Aku hifadhi na aku zidishe ilmi
Ameen yaa Rabb
Allahumma amin
This one will be ours soon in Shaa Allah
czcams.com/video/AaW2ZgcVrRA/video.html guza link Al habeeb
Mafundisho mema
Mashaallah
ustadh kuria
Shukran sana, Allah akujaalie kila la kheri
Uyu askofu anajichanganya sana
Anajichanganya vipi? Mbona anaeleza vizuri tu,
@@highvoltages4169 Ni lazima achunge mtego asije akanaswa vile Judas Iscariot alivyo naswa Na akakubali kurudi nyuma badala ya kuabatana Na Yesu hadi dakika za mwisho kama wale wanafunzi wengine waliombatana Na Yesu hadi dakika ya mwisho. Hapo panahitaji Roho Mtakatifu afanye kazi yake bila Roho Mtakatifu mchungaji kwisha jina lako Yesu litafutwa Na Yesu katika kitabu chake uzima. Yesu Na Shetani wanafanya Campaigni .Yesu anataka kuona ni nani wataokao simama imara kama vile wakina Mtume Petro ambao walihatarisha Maisha yao kwa kuhubiri injili ya Yesu Kristo ulimwenguni kote.
@@annkuya1446 🙌🙌🙌💪💪💪
❤❤❤🙏🙏🙏🤲🤲🤲
Uislamu ndo dini ya haki
Unayo uhakika....au unashabikia tuu
@@sarahmsangi7243 sio ushabiki ipo kwa damu kbsa
@@fatumakilimba76 kwahyo ukristo sio dini na wakristo wote motoni na waislamu wote peponi
@@sarahmsangi7243 Asante kwa kulijua hilo
@@sarahmsangi7243 karibu Tena
Huyo hawezi kuacha sababu amezowea kupokea sadaka
Huyo MUNGU baba jina lake nan maana kila baba lazima awe na jina
Tumsifu YESU mtumishi,huyo MUNGU baba jina lake ni Yesu,huyo Mungu mwana jina lake ni Yesu, Roho mtakatifu jina lake ni Yesu...mtu wa rohoni huyatambua yote lakini yeye hatambuliwi na mtu,,(1corinrhians2:14-15) barikiwa Sana mtumishi, Amina.
Mashaallah tabarak allah
Alhamdulillah
czcams.com/video/Y1PQzdsFCpQ/video.html
Shida ya maaskofu huwa wanakuwa hawakujiandaa kwa ajili ya mabishano, na anatakiwa atafutwe mwanaharakati wa ukristo anayesoma vitabu kwa ajili ya kubishana hapo ndipo moto ungewaka. Hapo nikamavile umchukue sheikh wa kawaida msikitini ukampambanishe na mwanaharakati wa kikristo anayesoma vitabu kwa ajili ya mabishano sheikh lazima akae.
Yote kwa yote hizi dini mbili vitabu vyake vinapingana sana vyenyewe kwa vyenyewe hata ukristo wenywe kama kila kilichoandikwa kwenye Bible kingekuwa kinafatwa na kushikiliwa ukristo nao ungekuwa ni dini ya hovyo tu. Ukweli niwaislam wachache wanaopingana hata na mafundisho mabaya ya koran, wengi hutetea kuwa Allah ndiye aliyeagiza na wengine wachache hukataa kabisa kujadili maandiko hayo yasiofaa na badalayake huibuka na maneno mengine yanayopingana na yale yasiofaa.
Mfano unaweza muuliza muislam mjanja kuwa mbona dini yenu inakataa ushirikiano wowote na makafiri sasa tuishi vipi wakati Dunia ni yetu sote, majibu atakayokujanayo ni ile mistari inayosema utakuta adui mkubwa wa waislam ni mayaudi na rafiki wa waislam ni waliotanguliziwa kitabu/wakristo. Au atakwambia mtume Mohammed alipokimbia maka kwenda madinana na hata Ethiopian alitunzwa na wakristo. Korani husema ndugu wa mwislam ni mwislam wengine ni watu baki, mwislam mjanja atakwambia hapana sote ni ndugu moja wana wa Adam.
Yaani kwakifupi vitabu vyenu ni full kujipinga vyenyewe kwa vyenyewe.
Uzuri wakristo ni wajanja sana yale maandiko ya kishenzi yaliyo kwenye Bible huwezi wasikia wakiyaongea au kuyajadili na ukiwauliza maswali kwanini imeandikwa hivyo majibu huwa ni hilo ni fumbo atalifumbua Mungu mwenyewe.
Yesu wa wazungu
Muhamadi.wawa.arabu
@@amanialphonce7811 sawa ila yesu ni mungu?
Bishop ni kazi aliandikwa haezi acha lakini anajua ukweli uko wapi.
Anazunguka mbuyu tu
Kweli dawah munaifanya nawaombea uzima na afya na Allah awape nguvu tuko pamoja katika imani inshaallah
Karibu sana sister Muthoni
Karibu sana sister Muthoni
Bishop niheri umuogope Mungu kuliko kuogopa watu watashangaa
kweli jkabisa
Mikomamakanisakazaaa.subhanalha
Tumsifu YESU mtumishi,unapotambua ukuu wa Yesu Kristo kuwa ni Mungu,hakika hapo utakuwa unamuogopa na kumheshimu,,,2peter3:17-18...Amina.
Uislam siyo dini ya kweli
Dini ya kweli ni uislamu
MASHA AIIHA
tafuteni kwenye youtube WATER VEITH - MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI ujifunze kweli ambazo hukuwahi kuzijua
Subhanallah
Mpelekee kidume Mazinge uyo
Yesu nabii
UISLAMU SIO IMANI YA MAANA.NI IMANI YA KIGAIDI NI IMANIBYA ROHO MBAYA . IMANI YA KUUA WATU. JUZI TU WAMEUA WATU WAKIWAAMBIA WASOME SURATUL FATIHA
Benjamin unatakiwa kusomamna kuujua uislam
Mtu akijilipua akiua watu huo sio uislam alio uleta mtume muhammad
Mtume aliletwa dunian kwa lengo la watu wamche mungu waache maovu mambo mengine mengi.
Subili.siku.ya.kutolewa.loho.ndio.utajua.kama wisilam.ni dini.au.sio.dini
MATAYO..15.24.).MATAYO.1.21.(.YAKOBO..1.17.
Yelemia.50.6.)isaya.56.10.)yelemia.8.8.)matayo.2.6.).matendo.13.21..yohana.17.3.)
MATAYO.24.23.)yohana.17.8.)
Maashaallah
Hakuna askofu apo
Hapo nyie wote si huyo askofu si huyo shekhe nyie wote hamjui kuhusu mungu
hata wew humjui Mungu ungemjua Mwenyezi Mungu usingeandika jina lake kwa herufi ndogo
Nadhan ww ndo huelewi an nvema useme unachokijua ila jambo jema nikufkisha unachokijua an Dini ni uislamu hakuna jins namambo haya yanahitajia wenye akili nawe ooa jitahd kumtafuta Mwenyez Mungu wakweli
Kwenye Mitende hapo kakwepa Mzeeeeeeeeee
Yesu na Isa ni tofauti. Bisha.
Ndo uyouyo
Usijidanganyeee
Allahu Akbaru
MNAENDA KUHOJI ASKOFU AMBAYE HAJUI UISLAMU HATA KISWAHILI CHENYEWE HAJUI VIZURI
Hakuna mungu waivo wa haki ila niwafuga majini
😄😄Alhamdullah kunavitu havihitaji nguvu
Kama huyu pastor kinachomzuia ni pesa tu .. maana ana makanisa yanamtilia pesa nyingi sana .. it takes courage and Allah's guidance kwa mtu kama huyu kukubali uislamu coz he will lose a lot.
Mitende ipo saudia tu !hee huyu padri mbona anatia aibu
Naam
shukran
Napenda kuuliza huyu askofu bado hajaslim ?
Bado na anaendelea na huduma kwa JINA LA YESU,
Unajua Bwana YESU ni MUNGU mwana na ukitaka kuthibitisha hilo *taja jina la YESU uone mapepo na majini yanavyotoroka mbio*
Mimi binafsi siwezi kuabudu kwny dini ambayo wanaabudu na majini,mapepo
Hawa n bishop kuniita jina but nimesikiza mjadala hata mmi sheikh haezi nichalleng hebu niconnect n huyu sheikh nifanye myhadhara naye
Ni muhimu kuamini kwamba Mungu ni mmoja pekee. Hana baba wala mke wala watoto. Imani hii ndio inakubalika katika Dini iliyofunzwa na Mtume Musa na Isa (Yesu) na Mtume wa mwisho, MUHAMMAD, swalla Allahu alayhi wa sallam. Inaonekana kule kudai kuna siri (ya uteuwa) ambayo inajulikana na wachache ni kuzua kikwazo....au?
ww ramadhan ni muislamu au ww ni kama muislam
Askofu unajichanganya, huyo mtu anatakiwa akitane na mm ili nimwelimishe.
Walimchukua ambae wqlijua hawezi kujibu ipasavyo! Ili washinde lkn imeandikwa asiye mwamini Yesu amehukuniwa
Kumbe askofu alijua kwmba diini y uislamu ndio diini y haki.... Lkn ako n biashara y makanisa ndio maana anakatalia kwa ukristo ila sio diini y haki.... Ni pesa tu inamshikilia huko n sifa ya kuitwa askofu
Kweli kabisa hawa watu wako kazi na ndio inawazuia kusilimu.
Aliekueleza uislam dini ya kweli nani hacha uongo
Sio kila kitu una amini kisa kimeandikwa ,,vitu vingine akili tuu inaweza kujua .
Tumsifu YESU mtumishi,mithali 3:5,,, mpendwa akili ya mtu haisaidii chocho Bali ukijazwa Roho mtakatifu utajua vyote . Amina.
Ni dhambi kufanya maigizo ili kuwaaminisha watu. Huyo jamaa amepangwa.
Ulimpanga?
Siri ya utauaaaa
Yaan kila nikiangalia bado dini ya kikristo haijanishawish kuingia Ni uongo mtupu
Umeona ee!sijaona mchungaji hata mmoja anaongea point 🤣🤣🤣
Tuwaombee Mungu awaongoze
Fatma Allah akuthibitishe hadi kifo chako
Jama anaogopa 😂😂😂 asikose ajira na ufahari maskini kwa sababu ya pesa 😂😂😂 nibora afe ni kafiri kuliko kokosa pesa .Subhana Allah yesu alizaliwa marekani wazungu wametowa wapi dini mtihani
Nahivyo kashavua lile joho lake hh
Hahahaa
YYtuma
mtangazaji angalia camera hiyo
uyu pastor sijamwelewa nia yake nini bado
Tumsifu YESU mtumishi,wajua huyu pastor Yuko rohoni,ndio maana mtu wa mwilini hawezi kumuelewa.. ukitaka kumuelewa,ni rahisi Sana,kumpokea Yesu Kristo Kama mwokozi wa maisha yako,na ukubali kuongozwa na Roho mtakatifu wa Yesu....hivyo tu..wajua Biblia haisomwi Kama gazeti lazma uongozwe na Roho mtakatifu (mithali, mafumbo na misemo..bila kuongozwa na Roho mtakatifu, hutaweza kumuelewa mtumishi awaye yeyote..barikiwa Sana.Amina.
jangombeboys1999