KAMA MWALIMU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Jamani shule chungu kama siku ukiamka vibaya maana walimu watakuandama kwa bakola utatamani utege shule....

Komentáře • 585

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Před 2 lety +31

    Waigizaji wote wazuri na hawa watoto wamefanya vizuri sanna naamini watapenda kuwa wachekeshaji! Kazi nzuri sana

  • @katyalengajua6716
    @katyalengajua6716 Před 2 lety +109

    Wa kwanza kukomet ila sitapata like hata moja😁😁😁😁😁

  • @dingoomagawa6950
    @dingoomagawa6950 Před 2 lety +71

    like nyingi kwa Joti, jamaa anafanya kazi nzuri

  • @dingoomagawa6950
    @dingoomagawa6950 Před 2 lety +62

    best comedian in Tanzania.. Joti we ni hatari na nusu💣💥

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Před 2 lety +28

    Joti unajua tena unajua jamani 👏🙏big up to you brother

  • @nuhungitao5822
    @nuhungitao5822 Před 2 lety +18

    Tembo hapa yupo kwa mbariiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před rokem +4

    Yupo sahihi joti tembo yupo kwa mbaliiii

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Před 2 lety +18

    😂😂😂mwalimu kaniacha hoi ety biashara yangu ya ubuyu hamniungishi afu nyie ambao hamniungishi But bro joti you kill it 🤣🤣🤣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 2 lety +22

    Mavazi ya madam tu mi hoi🤣🤣🤣kama anaenda kufua🤣🤣st.Kanumba kweli noma

  • @jamescornel6464
    @jamescornel6464 Před 2 lety +35

    Best man alikuwa kwenye AIRTEL ndio maana hajafanya home work 😅😅

  • @abdulyvanny3475
    @abdulyvanny3475 Před 2 lety +11

    😂😆😆 joti akiwa mwanafunzi unasahau kabisa kama atakua babu au nishai

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 Před 2 lety +13

    Asante kwa burudani na elimu kwambaaaaaliiiiiii.. ♥️♥️♥️♥️🇴🇲

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 Před 2 lety +7

    Tembo yupo kwa Mbaali🤣🤣🤣. Shati limechanika kwenye Kwapa😂😂😂

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah3906 Před 2 lety +7

    Ni kweli tumepitia haya mambo
    Umetisha Andunje😂😂😂😂😂

  • @jiduah1602
    @jiduah1602 Před 2 lety +40

    Andunje you're so funny you've made my night tonight

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Před 2 lety +22

    Hawa ndugu au vipiii mwalimu wa kiume na mwanafunzi Rafiki Yake joti wwmefanana Sana 🤔

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Před 2 lety +30

    Wangap tumeskia salaam mpya ya kumsalimia mwalim 😂 dah weng tulishazoea heshma toa shikamooo mwalimu.....alafu andunje dah 😂 kila homework hajafanya hyo sku hua sku mbaya kazin

    • @leylaiddy5815
      @leylaiddy5815 Před 2 lety

      Minshaiibia.. tarehe 19 tukifungua ndo naanza nayo darasani kwa mwanafunzi wangu.. watafurahi balaa

    • @spogaonline4251
      @spogaonline4251 Před 2 lety

      @@leylaiddy5815khaa

  • @uthaymgalax181
    @uthaymgalax181 Před 2 lety +10

    Joti mpo siriaz sana, kias kwamba mtu aeza asijue kam mmeact,, big up

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Před 2 lety +27

    Jot anajua sanaaa 😂😂😂😂 Tembo yupo kwa Mbaalii...

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678 Před 2 lety +20

    😂😂😂 Dah joti your the best comedian of all time

  • @wallasfoundation2389
    @wallasfoundation2389 Před 2 lety +3

    Tunaemukubali dogo Andunje🙌🙌 tujuwane

  • @imransalim6352
    @imransalim6352 Před 2 lety +5

    nice one I remember my primary days ukibonga kiswahili tu bahati mbaya unavalishwa jifupa kubwa chafu

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Před 2 lety +5

    Hahaaa hizi zilikuwa zangu shuleni, nishawai kukamatwa namuiga Mwalimu mara kama tatu ivi, nilikimbizwa darasani na mwl mmoja adi alikuwa hoooi akaamua kuniacha🤣🤣

  • @sextips1-v2d
    @sextips1-v2d Před 2 lety +56

    Joti ndo king of comedy

  • @actionmoviestv9643
    @actionmoviestv9643 Před 2 lety +2

    Comedian
    Bingwa wa kuingia trending

  • @luthakyando8881
    @luthakyando8881 Před 2 lety +12

    Man from tz pamoja sana broo unaweza sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ngayongajr4459
    @ngayongajr4459 Před 2 lety +3

    Na shati ukachana kwapani kuleta maana zaid...😀😀 shout out big

  • @issackjoseph6436
    @issackjoseph6436 Před 2 lety +1

    Hyo salam ya watoto nimeipenda saana,imejaa maneno ya kizalendo saana

  • @Rahmah-dr9xd
    @Rahmah-dr9xd Před 2 lety +13

    🤣🤣🤣🤣Andunje umeweka madaftat matakoni akibigwa asisikie uchungu

  • @majigeelieza5180
    @majigeelieza5180 Před 2 lety +1

    Daaah umenikumbusha mbali kinoma

  • @benardmwakilasa3969
    @benardmwakilasa3969 Před 2 lety +11

    Nimependa wanafunzi wameigiza vizuri
    ..ni shule gani huwa unaenda kushoot

  • @jumannesospeter7029
    @jumannesospeter7029 Před 2 lety +4

    Hongera kaka kwa kazi nzuri hakika naenjoi kweli kwli

  • @jiduah1602
    @jiduah1602 Před 2 lety +9

    My best comedian is back Andunje 😜 man

  • @yohanashabani6942
    @yohanashabani6942 Před 2 lety +16

    Hiii ya Kumuigiza mwalim ilinikuta form 4 😔😔
    Teacher wa history namna ya Uongeaji wake😁😁
    Omba usikutwe 😂😂😂

  • @emmashalom2194
    @emmashalom2194 Před 2 lety +3

    Dah 😁😁😁nimekumbuka mbali sana

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Před 2 lety +14

    Always you kill it😂😂😂

  • @CHITUS
    @CHITUS Před 2 lety +4

    Dah joti your the best comedian of all time

  • @mossesmatechi9022
    @mossesmatechi9022 Před 2 lety +5

    Anduje ni me kbs enzi za Shule 😂😂😂😂😂😂

  • @cartershawn6281
    @cartershawn6281 Před 2 lety +16

    Love from kenya

  • @alhabibjafari6835
    @alhabibjafari6835 Před 2 lety +3

    Ningekua joti nilipopewa nafasi yakuigiza ningemfata jamaa kumlamba bakora🤣🤣🤣🤣

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 Před 2 lety +6

    Naona wanafunzi wanawaza kua naona leo tumevamiwa 😀😀😀

  • @veronicabruno6071
    @veronicabruno6071 Před 2 lety

    Ni nzuri japo sehemu moja tu kutahitaji marekebisho siku za baadae kwenye unyoaji

  • @ummyirembe6145
    @ummyirembe6145 Před 2 lety +1

    Combination ya Kanyinyi na joti imekua nzuri sana kanyinyi anaupiga mwingi sana hongera joti kwa vumbua vipaji mkaka anajua sana kuigiza

  • @angelkavishe5240
    @angelkavishe5240 Před 2 lety +6

    Tembo yuko kwa mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 2 lety +1

    ETI TEMBO YUPO KWAMBAAALI
    NANDIYO MAANA AUMUON VZL

  • @damarisonsabwa1293
    @damarisonsabwa1293 Před 2 lety +10

    you the best all the time 🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤

  • @ramadhanhassan9416
    @ramadhanhassan9416 Před 2 lety +8

    Joti umeona shat imetoboka🤣🤣🤣

  • @venancjoseph1498
    @venancjoseph1498 Před 2 lety +4

    Mwalimu anasema biashara yake ya ubuyu hawamuungishi.atawachapa viboko

  • @pascalernest2226
    @pascalernest2226 Před 2 lety +10

    Kazi nzuri 🙏 Mimi pia naimba nyimbo za injili naitwa PASCAL ERNEST nimetoa nyimbo yangu ya kwanza inayopatikana You tube kama Pascal ERNEST-Neema Yake naombeni sana support yenu 🙏 na mungu atawabariki nyote 🙏🇹🇿

  • @evalunajohannes469
    @evalunajohannes469 Před 2 lety +1

    Wangapi walikua hawamalizi homweki kama andunje?

  • @nathaniazori3697
    @nathaniazori3697 Před 2 lety +6

    Atakuja kutuua huyu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @michaelmatemu3490
    @michaelmatemu3490 Před 2 lety +4

    Huyo ni tembo sema yupo kwa mbaaaaaaaaaaaaalii😆😆😆

  • @dingoomagawa6950
    @dingoomagawa6950 Před 2 lety +4

    bro Joti wee n noma sana💥💥💥💣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 2 lety +43

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila joti Mungu anakuona kwa mbaaaaaaaliiiiiiiii

    • @rukiaally8003
      @rukiaally8003 Před 2 lety +3

      Na biashara ya ubuyu hamniungishi🤣😂🤣

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 Před 2 lety

      @@rukiaally8003 walimu wanategemea biashara zao zitoke kwa wanafunzi

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 Před 2 lety +6

    Masomo yakikupata ukubwani balaa 🤣🤣🤣

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 Před 2 lety

      Yaan mm naotaga nipo darasani wallah natesekaga maana hata sielewi 🤣🤣🤣

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před 2 lety +1

    TEMBO hapa yupo kwa mbaliiiii, afu shati limechanika kwapani... 😂😂😂😁🤓 Aisee jamaa kanikumbusha mbali sana

  • @loganpoul
    @loganpoul Před 2 lety +16

    R.I.P maunda Zorro

  • @mpambejr5149
    @mpambejr5149 Před 2 lety +9

    Ur very talented bro.

  • @mtare8942
    @mtare8942 Před 2 lety

    Daaaah yani haya mazingira ni yale yale
    Kipindi hiko niko Kizalamuyaye Shule ya Msingi.

  • @rickmusictz2947
    @rickmusictz2947 Před 2 lety +2

    Huyu jamaaa apewe tu ufalme wa comedy😅😅😅😅😅😅😅

  • @mzizirashid709
    @mzizirashid709 Před 2 lety +1

    Yaliwahi Kunikuta Hayo Ya Kumsema Mwalimu Kumbe Kafika Yupo Mlangoni Ananisikiliza 😂🤣🤣 Sitasahau

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 Před 2 lety

    Noma sana 🇰🇪🤝

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Před 2 lety +2

    Ahahahahah joti nimependa tembea ya mwalimu

  • @evanchimbi7121
    @evanchimbi7121 Před 2 lety +1

    Me nimeona shati limechanika kwapani🤣🤣🤣🥰

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 2 lety +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😂Joti,Joti joti nimekuita mara tatu kaka😂😂😂😂

  • @barakapeter2789
    @barakapeter2789 Před 2 lety +4

    Noma sana brother 🤣🤝🙏

  • @njunisamweli2410
    @njunisamweli2410 Před 2 lety +1

    kaka mbona shati limechanika

  • @sharonmmary7291
    @sharonmmary7291 Před 2 lety +4

    😅😅😅😅😅i love this jamaniii

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Před 2 lety

    Huhuuu atatolewa tako

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Před 2 lety +1

    Yalishaga nikuta haya 😂😂😂😂😂 Ni roho ngumu 🙌🙌🙌🤣🤣🤣

  • @issaamirishenkarwa3391

    Joti nomaa sanaa

  • @issakitundu617
    @issakitundu617 Před 2 lety +6

    Madogo wameinjoi sana 😂

  • @dembaacisse993
    @dembaacisse993 Před 2 lety +5

    Tembo yupo kwa mbalii 🤣🤣🤣

  • @kinggtz7422
    @kinggtz7422 Před 2 lety +1

    Umetisha sana broh huu ni ualisia nilioupitia shule broh

  • @flowerboytz
    @flowerboytz Před 2 lety +3

    Umenikumbusha mbali Sana Kaka 😂😂😂

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 2 lety

    Si unaona kwa mbaliii

  • @officialfredoo3549
    @officialfredoo3549 Před 2 lety

    Umenikumbusha mbaliiii,,,,yan mzee dah wew n mimi kabsa

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Před 2 lety +4

    Aanh 😂😂😂 nakukubali joti 💥💯

  • @sylviakoech2204
    @sylviakoech2204 Před 2 lety +5

    Ijumaa njema 🤣🤣🤣🤣

  • @FelixJia1
    @FelixJia1 Před 2 lety +4

    Ahahaha daah joti kiboko sana🤣😂🤣

  • @issackwilliam7533
    @issackwilliam7533 Před 2 lety +4

    😂😂😂😂 bro jot umetisha sana!!

  • @coolboy1262
    @coolboy1262 Před 2 lety +1

    Joti wey nihatar kabis mbavu sangu hhhh

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 Před 2 lety

    Mnafundisha nn jaman watt

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 Před 2 lety +1

    Joti hapa ulipokimbilia juu ya dawati ulikua utoke na lile Koba la mawe than uyashike mkononi ukiwa mlangoni ingetulia sana

  • @mondigugo4392
    @mondigugo4392 Před 2 lety

    Jamaaa anaweza sana

  • @barikitvshow
    @barikitvshow Před 2 lety +1

    Jotiiiiiiiiiiiiiiii

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 Před 2 lety

    Sopa Yuko wp

  • @anithaswalleh5837
    @anithaswalleh5837 Před 2 lety

    Haahhaahaa joti we ni fundi na nusu, yaan utanifanya nionekane chizi,maana sio kwa kucheka huku

  • @nasiraidid5861
    @nasiraidid5861 Před 2 lety +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Joti bhana kwa mbaaali

  • @dingoomagawa6950
    @dingoomagawa6950 Před 2 lety +7

    😄😄😄🤣 Joti leo unagundu

  • @boniphaceog1020
    @boniphaceog1020 Před 2 lety

    Bora mlewa upoo

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly1948 Před rokem +1

    Hhh Eti na usinikatie mauno mhh htr

  • @KingJacka_MwanaNzambe_
    @KingJacka_MwanaNzambe_ Před 2 lety +3

    Hahahahaa safi sana

  • @franksanofu3365
    @franksanofu3365 Před 2 lety +1

    tembo yuko kwa mbaliiiii 😂 😂 😂 😂

  • @tarkichano2317
    @tarkichano2317 Před 2 lety +1

    Joti shkamoo huyoo Mimi uyooo😂😂😂

  • @kingidrisaathumani48
    @kingidrisaathumani48 Před 2 lety

    ILa huyu jamaa...the best

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Před 2 lety +5

    Hahahaa hahaha 😁😁😁 Jot The best

  • @idramavoice8472
    @idramavoice8472 Před 2 lety +2

    Nomaaaa wa kwanza kuona

  • @MuhammedFoum
    @MuhammedFoum Před 26 dny

    Tunaomba sauti itoke uzuri ya joti mana IPO mbali San kuiisikia😅😅😅😅😅😅

  • @erastoegidius6353
    @erastoegidius6353 Před 2 lety

    Your the best Mr Nishai kutombangire Kitwango