Hahaaa hizi zilikuwa zangu shuleni, nishawai kukamatwa namuiga Mwalimu mara kama tatu ivi, nilikimbizwa darasani na mwl mmoja adi alikuwa hoooi akaamua kuniacha🤣🤣
Kazi nzuri 🙏 Mimi pia naimba nyimbo za injili naitwa PASCAL ERNEST nimetoa nyimbo yangu ya kwanza inayopatikana You tube kama Pascal ERNEST-Neema Yake naombeni sana support yenu 🙏 na mungu atawabariki nyote 🙏🇹🇿
Waigizaji wote wazuri na hawa watoto wamefanya vizuri sanna naamini watapenda kuwa wachekeshaji! Kazi nzuri sana
😄😄😄😄
Wa kwanza kukomet ila sitapata like hata moja😁😁😁😁😁
Like unakula au
Nimekupa like bana
We boys nn
Zinakusaidia nn?
@@Userog254 anakula
like nyingi kwa Joti, jamaa anafanya kazi nzuri
best comedian in Tanzania.. Joti we ni hatari na nusu💣💥
Joti unajua tena unajua jamani 👏🙏big up to you brother
Tembo hapa yupo kwa mbariiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yupo sahihi joti tembo yupo kwa mbaliiii
😂😂😂mwalimu kaniacha hoi ety biashara yangu ya ubuyu hamniungishi afu nyie ambao hamniungishi But bro joti you kill it 🤣🤣🤣
Mavazi ya madam tu mi hoi🤣🤣🤣kama anaenda kufua🤣🤣st.Kanumba kweli noma
🤣🤣🤣
Ni kayumba bn cy kanumba
Best man alikuwa kwenye AIRTEL ndio maana hajafanya home work 😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃 jamani
😂😂😂
Hhh
Alikuwa kwa harusi yeye kama best Man
Kabisa 😅😂😂
😂😆😆 joti akiwa mwanafunzi unasahau kabisa kama atakua babu au nishai
Au da kiboga
Asante kwa burudani na elimu kwambaaaaaliiiiiii.. ♥️♥️♥️♥️🇴🇲
Tembo yupo kwa Mbaali🤣🤣🤣. Shati limechanika kwenye Kwapa😂😂😂
Ni kweli tumepitia haya mambo
Umetisha Andunje😂😂😂😂😂
Andunje you're so funny you've made my night tonight
Hawa ndugu au vipiii mwalimu wa kiume na mwanafunzi Rafiki Yake joti wwmefanana Sana 🤔
Halafu kweli sijui pacha
Kweli
Ndio nmeingia kutafta cimment za waty wanaowafananisha nam nlikuwa najiuliza
Pia mm naona ivyo ni kama mapacha
Bnae 😂
Wangap tumeskia salaam mpya ya kumsalimia mwalim 😂 dah weng tulishazoea heshma toa shikamooo mwalimu.....alafu andunje dah 😂 kila homework hajafanya hyo sku hua sku mbaya kazin
Minshaiibia.. tarehe 19 tukifungua ndo naanza nayo darasani kwa mwanafunzi wangu.. watafurahi balaa
@@leylaiddy5815khaa
Joti mpo siriaz sana, kias kwamba mtu aeza asijue kam mmeact,, big up
Jot anajua sanaaa 😂😂😂😂 Tembo yupo kwa Mbaalii...
😂😂😂 Dah joti your the best comedian of all time
Tunaemukubali dogo Andunje🙌🙌 tujuwane
nice one I remember my primary days ukibonga kiswahili tu bahati mbaya unavalishwa jifupa kubwa chafu
Joti🤣🤣
Hahaaa hizi zilikuwa zangu shuleni, nishawai kukamatwa namuiga Mwalimu mara kama tatu ivi, nilikimbizwa darasani na mwl mmoja adi alikuwa hoooi akaamua kuniacha🤣🤣
Khaaaa 😃😃
Joti ndo king of comedy
Ndo Nan joto
Comedian
Bingwa wa kuingia trending
Man from tz pamoja sana broo unaweza sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Na shati ukachana kwapani kuleta maana zaid...😀😀 shout out big
Hyo salam ya watoto nimeipenda saana,imejaa maneno ya kizalendo saana
🤣🤣🤣🤣Andunje umeweka madaftat matakoni akibigwa asisikie uchungu
Enzi zangu tulikua tunasema kujaradia
Zilkuwa za kwangu hizo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daaah umenikumbusha mbali kinoma
Nimependa wanafunzi wameigiza vizuri
..ni shule gani huwa unaenda kushoot
Hongera kaka kwa kazi nzuri hakika naenjoi kweli kwli
My best comedian is back Andunje 😜 man
Hiii ya Kumuigiza mwalim ilinikuta form 4 😔😔
Teacher wa history namna ya Uongeaji wake😁😁
Omba usikutwe 😂😂😂
Dah 😁😁😁nimekumbuka mbali sana
Always you kill it😂😂😂
Dah joti your the best comedian of all time
Anduje ni me kbs enzi za Shule 😂😂😂😂😂😂
Love from kenya
Ningekua joti nilipopewa nafasi yakuigiza ningemfata jamaa kumlamba bakora🤣🤣🤣🤣
Naona wanafunzi wanawaza kua naona leo tumevamiwa 😀😀😀
Ni nzuri japo sehemu moja tu kutahitaji marekebisho siku za baadae kwenye unyoaji
Combination ya Kanyinyi na joti imekua nzuri sana kanyinyi anaupiga mwingi sana hongera joti kwa vumbua vipaji mkaka anajua sana kuigiza
Tembo yuko kwa mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ETI TEMBO YUPO KWAMBAAALI
NANDIYO MAANA AUMUON VZL
you the best all the time 🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤
Joti umeona shat imetoboka🤣🤣🤣
Mwalimu anasema biashara yake ya ubuyu hawamuungishi.atawachapa viboko
Kazi nzuri 🙏 Mimi pia naimba nyimbo za injili naitwa PASCAL ERNEST nimetoa nyimbo yangu ya kwanza inayopatikana You tube kama Pascal ERNEST-Neema Yake naombeni sana support yenu 🙏 na mungu atawabariki nyote 🙏🇹🇿
Wangapi walikua hawamalizi homweki kama andunje?
Atakuja kutuua huyu🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo ni tembo sema yupo kwa mbaaaaaaaaaaaaalii😆😆😆
bro Joti wee n noma sana💥💥💥💣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila joti Mungu anakuona kwa mbaaaaaaaliiiiiiiii
Na biashara ya ubuyu hamniungishi🤣😂🤣
@@rukiaally8003 walimu wanategemea biashara zao zitoke kwa wanafunzi
Masomo yakikupata ukubwani balaa 🤣🤣🤣
Yaan mm naotaga nipo darasani wallah natesekaga maana hata sielewi 🤣🤣🤣
TEMBO hapa yupo kwa mbaliiiii, afu shati limechanika kwapani... 😂😂😂😁🤓 Aisee jamaa kanikumbusha mbali sana
R.I.P maunda Zorro
Ur very talented bro.
Daaaah yani haya mazingira ni yale yale
Kipindi hiko niko Kizalamuyaye Shule ya Msingi.
Huyu jamaaa apewe tu ufalme wa comedy😅😅😅😅😅😅😅
Yaliwahi Kunikuta Hayo Ya Kumsema Mwalimu Kumbe Kafika Yupo Mlangoni Ananisikiliza 😂🤣🤣 Sitasahau
Noma sana 🇰🇪🤝
Ahahahahah joti nimependa tembea ya mwalimu
Me nimeona shati limechanika kwapani🤣🤣🤣🥰
Kweliii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😂Joti,Joti joti nimekuita mara tatu kaka😂😂😂😂
Noma sana brother 🤣🤝🙏
kaka mbona shati limechanika
😅😅😅😅😅i love this jamaniii
Huhuuu atatolewa tako
Yalishaga nikuta haya 😂😂😂😂😂 Ni roho ngumu 🙌🙌🙌🤣🤣🤣
Joti nomaa sanaa
Madogo wameinjoi sana 😂
Tembo yupo kwa mbalii 🤣🤣🤣
Umetisha sana broh huu ni ualisia nilioupitia shule broh
Umenikumbusha mbali Sana Kaka 😂😂😂
Si unaona kwa mbaliii
Umenikumbusha mbaliiii,,,,yan mzee dah wew n mimi kabsa
Aanh 😂😂😂 nakukubali joti 💥💯
Ijumaa njema 🤣🤣🤣🤣
Ahahaha daah joti kiboko sana🤣😂🤣
😂😂😂😂 bro jot umetisha sana!!
Joti wey nihatar kabis mbavu sangu hhhh
Mnafundisha nn jaman watt
Joti hapa ulipokimbilia juu ya dawati ulikua utoke na lile Koba la mawe than uyashike mkononi ukiwa mlangoni ingetulia sana
Jamaaa anaweza sana
Jotiiiiiiiiiiiiiiii
Sopa Yuko wp
Haahhaahaa joti we ni fundi na nusu, yaan utanifanya nionekane chizi,maana sio kwa kucheka huku
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Joti bhana kwa mbaaali
😄😄😄🤣 Joti leo unagundu
Bora mlewa upoo
Hhh Eti na usinikatie mauno mhh htr
Hahahahaa safi sana
tembo yuko kwa mbaliiiii 😂 😂 😂 😂
Joti shkamoo huyoo Mimi uyooo😂😂😂
ILa huyu jamaa...the best
Hahahaa hahaha 😁😁😁 Jot The best
Duh huyo mwl anapga kelel
Nomaaaa wa kwanza kuona
Tunaomba sauti itoke uzuri ya joti mana IPO mbali San kuiisikia😅😅😅😅😅😅
Your the best Mr Nishai kutombangire Kitwango