🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2020
  • 🔴#LIVE: ASKOFU GWAJIMA AKIHUBIRI KANISANI KWAKE UBUNGO
    Leo Agosti 23, Askofu Gwajima, amemualika mgombea ubunge jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba, katika ibada ya jumapili na kumpa nafasi ya kutoa salamu kwa waumini waliohudhuria mahubiri hayo...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 94

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana6422 Před 3 lety +5

    Ushinde kwa kishindo kwa Jina la Yesu Kristo

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 3 lety +6

    Hongera mbunge wetu mtarajiwa jimbo la Kawe ushindi kwa kishindo huna mpinzani kabisa mungu yupo nawe

  • @graceshayo2280
    @graceshayo2280 Před 3 lety +1

    Hongera sana mtumishi, umepita Mapito magumu sana, Mungu akuinue viwango vingine, huu wakati wa Mungu na Mungu hana mipaka, utashinda kwa kishindo

  • @emilyrissling9703
    @emilyrissling9703 Před 3 lety +1

    Amen Bishop hongera Kwa hii Hatua,mungu See nawe

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 3 lety +4

    Ha ha ha wapigwee mpaka vichwa vyao vionyeshe battery low. Safi Sana

  • @mirynjeri5850
    @mirynjeri5850 Před 3 lety +3

    Amen Amen Amen

  • @noelkaaya2433
    @noelkaaya2433 Před 3 lety +1

    Umefundisha neno jema sana, Amina sana

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w Před 3 lety +3

    Amen Karibu baba tuna kupenda

  • @mtuwasaayangu6651
    @mtuwasaayangu6651 Před 3 lety +3

    Usiye mpenda kaja😅😅😅
    Vumilieni tu lkn Gwajima ndiye kiboko yaooooòooo😃😃🤗

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 3 lety +7

    Hii ndio Tanzania dini sio kikwazo kwetu sababu Mungu mmoja tu

  • @c.bproduction2576
    @c.bproduction2576 Před 3 lety +1

    Watanzania Wenzangu Mungu Awabariki Sana naomba Msaport chanel Hii mpya ya Neno la Mungu kwa kufanya Hivyo mtakua mmetoa suport kubwa sana Na Mungu Atawabariki sana

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 Před 3 lety +3

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1

  • @serahmutemi
    @serahmutemi Před 3 lety +1

    Amen

  • @merrymerry5199
    @merrymerry5199 Před 3 lety

    Amen and amen and amen

  • @deuscharlesshija9578
    @deuscharlesshija9578 Před 3 lety +3

    Ubarikiwe

  • @getrudakilasi6019
    @getrudakilasi6019 Před 3 lety

    Good

  • @stephenkajerelo3529
    @stephenkajerelo3529 Před 2 lety

    Safi kiongozi

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 Před 3 lety +2

    Yajayo yanafrahisha ,nyumba ya bbaa yangu ni nyumba ya salaaa

  • @prophetmoseskisandu3629
    @prophetmoseskisandu3629 Před 3 lety +3

    Utashindaaa kwa kishindoo...wanyoshe mapito yao

  • @alfredsindani3114
    @alfredsindani3114 Před 3 lety

    Siitaji kuona ila mungu atusaidie saba haya mavuvuzela yanakujaje na hawa akinanani duuuu

  • @josephmzipila5952
    @josephmzipila5952 Před 3 lety

    Haani we Gwajima unapotea kabisa

  • @simonlabia3877
    @simonlabia3877 Před 3 lety +1

    Siasa madhabahuni ajabu jamani

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před 3 lety

    Nyerere tunakukumbuka .CCM yako inanajisiwa.!! Wangezingatia maneno yako tusingekua tunaona huu udhalimu ...!!

  • @bakariamour6024
    @bakariamour6024 Před 3 lety

    Kama hujui kutamka usiseme

  • @alfredsindani3114
    @alfredsindani3114 Před 3 lety

    Ona sasa chama tena duuuu huruma sanaaa anakuja kusali au kupiga campeni duuuuuh eti abas tarimba kusingekuwa na uchaguz ungekuja

  • @dorcasdavid336
    @dorcasdavid336 Před 3 lety

    Mahusiano ya watu n watu ni muhimu sana kuliko dini mmmmh maybe yes maybe no

  • @zidadumwasongwe3560
    @zidadumwasongwe3560 Před 3 lety

    Utashida

  • @noelkaaya2433
    @noelkaaya2433 Před 3 lety

    navuka

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson3388 Před 3 lety +2

    Waumini wamepungua

    • @samwellwiza5339
      @samwellwiza5339 Před 3 lety

      Ni kweli lkn ukiongeza kufanya utafiti Kila kanisa leo limepungukiwa na watu na mapato....ukiniuliza kwanini majibu yangu yatakuwa ni ya labda korona au labda watu wamekata tamaa au labda wamekatishwa tamaa na mambo ya kwao binafsi au ya viongozi wa kidini au ya madhehebu yao...ni mitazamo yangu tu....

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před 3 lety +1

      Ufufuo na uzima wameanzisha matawi Kila mtu siku hizi anaabudia kanisa la ufufuo na uzima lililo Karibu na yeye

  • @abilikatiti1608
    @abilikatiti1608 Před 3 lety +1

    Huyu jamaaa nimjasilia Mali tyuu

  • @jamesnyambega7788
    @jamesnyambega7788 Před 3 lety

    Sitaki hata kujua huyo tarimba aliongea nn lakini hii ni ishara mbaya na ya kukemewa vikali. Kanisa ibaki kuwa mahali pa kumuabudu mungu na hayo mengine mngepeleka panapo husika

  • @fredylucas2484
    @fredylucas2484 Před 3 lety +3

    Hili ni Kanisa ama?

    • @joycegeorge4712
      @joycegeorge4712 Před 3 lety +1

      Kusoma hujui ata picha huoni?

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před 3 lety

      Ama

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Před 3 lety

      @@marygregory7566 nani hajui kusoma wajameni? Ajabu sana sijawahi kumuona mtu asiyejua kusoma lakini anaweza kuandika labda ni muujiza wa Askofu Gwajima.😅😅😅

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Před 3 lety

      @@marygregory7566 kwani umeielewaje hii ama?

  • @stevenmengo8356
    @stevenmengo8356 Před 3 lety +3

    Leo umepiga suti na tai... Kweli mgombea

  • @eliankya3272
    @eliankya3272 Před 3 lety

    C a sa

  • @kiwanukanikwanduka9631

    Gwajima you have accepted demotion... Kigeugeu. Mungu mwemba
    2 Timotheo 3:1 - 9
    "1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
    2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
    3 wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,
    4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
    5 wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
    6 Kwa maana katika hao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za namna nyingi;
    7 wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.
    8 Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani.
    9 Lakini hawataendelea sana; maana upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama vile na upumbavu wa hao ulivyokuwa dhahiri.
    "
    Is this the time for Gwaji to be exposed or not?

  • @bakariamour6024
    @bakariamour6024 Před 3 lety

    Hiyo ndio ibada watu wanapiga zumari wenyewe wanasema wanamuabudu bwana huku wakipiga firimbi sasa hii ibada au mkutano wa hadhara ?

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 3 lety

    Wasioelewa ya rohoni watamsifia huyu mtumishi lakini ameshuka sana

  • @leeaglepropeller4549
    @leeaglepropeller4549 Před 3 lety +1

    Duuh waumini wake wamepukutika ka nn

    • @careendeni6580
      @careendeni6580 Před 3 lety

      Si walijua wakienda atawaambia njoo upate gari, mke, mme, nyumba.
      Hahaha wakristo mnamfanya Mungu sacos au vikoba.

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před 3 lety

      Utakuwa mbea

  • @pauljohn1016
    @pauljohn1016 Před 3 lety

    siasa inamfaa zaidi, huyu jamaa huku alikofka ndiko hasa, ni mwana siasa

  • @lawrencemartin7116
    @lawrencemartin7116 Před 3 lety

    Bungeni awaendi kucheza x

    • @happychonde3451
      @happychonde3451 Před 3 lety

      Kuwa makini na unacho kisema utakuja kutoa hesabu yake

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 Před 3 lety

    Piga pesa mkuu

  • @happynessmarki2780
    @happynessmarki2780 Před 3 lety

    Sijawah ona kanisan kunalizwa hayo mavitu yanayolizwa mpiran jmn MUNGU ATUPE JICHO LA TATU KUONA

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 Před 3 lety

      Kasome vyombo alivyoumia mfalme daudi kumsifu Mungu.

    • @happychonde3451
      @happychonde3451 Před 3 lety

      Hujui , Mungu wetu tunamsifu kwa namna zote , wewe ndo hujui tyu

  • @costamunuo5095
    @costamunuo5095 Před 3 lety

    Kuna umuhimu mkubwa sana wa kutenganisha dini na siasa.
    Siasa madhbahuni ni kinyume cha maadili..
    Pingamizi la halali linahusika ili kurudisha siasa za Tanzania kwenye mstari.

    • @mkemiamagege8477
      @mkemiamagege8477 Před 3 lety

      Muulize Lissu kwa nini anapiga Siasa kabla ya muda tena wakati wa kwenda KUTAFUTA wadhamini.

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před 3 lety

      Wote mnaosema hivyo baba yenu ni yule mwenye meno marefu...live my dad alone

  • @yohanakishosha6542
    @yohanakishosha6542 Před 3 lety

    Waumin ambao baado wanamsikiliza gwajima wapimwe akili

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 Před 3 lety +1

    Siasa na dini, maji na moto

    • @peterbenerd7367
      @peterbenerd7367 Před 3 lety +1

      Siasa ya kisomi hio mzeee uko vizuri

    • @majadotto9513
      @majadotto9513 Před 3 lety +3

      Msigwa alikuwa sio mtumishi kumbe

    • @ezach3375
      @ezach3375 Před 3 lety +2

      Siasa siyo dhambi, dhambi zipo kwenye dhamira ya/za MTU__Learn to be a positive minded person.

    • @kiwanukanikwanduka9631
      @kiwanukanikwanduka9631 Před 3 lety

      @@majadotto9513 Wapi! nionyeshe kanisa la Msigwa. Msigwa ni mchungaji wa jina tu. Lakini Gwaji anaitwa Askofu na kwake ubunge ni Demotion, msitufanye watanzania kuwa wajinga kiasi hicho kwamba tumesahau maneno ya Gwaji.
      Na shida ya Gwaji motive ya yeye kugombea haioko wazi alipotakia kutoa huduma ya kiroho anaenda kupambana kimwili. Ningekuwa mshirika wa Gwaji ningehama kanisa hata kama ningekuwa CCM maana anachokifanya ni kinyume na maadiili ya uchungaji...
      Kanisani kuna mchanganyiko wa watu na kila mtu ana hitikadi yake. Kutumia Madhabahu kama jukwaa la siasa ni makosa.

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 Před 3 lety +3

      @@kiwanukanikwanduka9631 Sawa lkn je wewe pia si upo utafanya kazi ya Mungu kwa sehm yako hii shuhuli inatuhusu wote ukiona mwingine kakengeuka kwa unavyofikiri ingia kazini

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 Před 3 lety +2

    ETI LEO AJIFANYE ANA MAPENZI NA WATU WA DINI NYINGINE KHAAA! HAUMZUGI MTU HAPA TUKO MAKINI HATUJASAHAU KAULI ZAKO ZA KIPUUZI ULIZOTOA SIKU ZA NYUMA MNAFIKI MKUBWA WEWE

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 Před 3 lety

      Unapepo wewe, kwani wewe upo peke yako. Abbas in the house, Gwajima in the house...

    • @zaburionlinetv6245
      @zaburionlinetv6245 Před 3 lety

      @@laurentraphael5470 MAPEPO NI YALE YANAYOAMINI KWAMBA MUNGU ANA MWANA SOMA MARKO 3:11 UKAWAJUE MAPEPO WENZAKO HUKO

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Před 3 lety +3

    Mtu aliyedanganya wafuasi wake kwamba anafufua watu, lkn mama yake alipokufa akashindwa kimfufua huyo anaitwa tapeli. Wananchi watakuwa wajinga wa kutupa kama watamchagua tapeli kuwawakilisha Bungeni!!

    • @mwlelishamathayo6528
      @mwlelishamathayo6528 Před 3 lety

      Kapime kichwa chako kijana kwan lazaro aliyefufuka hakufa tena? By the way kufufuliwa haina maana hutakufa tena ila ina maan ya Mungu kujitwalia utukufu sio kila aliyeombewa atafufuka mpk Mungu atakapoamua na kama mtu amezeeka unadhani afufuke ili afanye nn kama ni hivyo bhc tusiwe tunakufa kbs

    • @highzacknnko4002
      @highzacknnko4002 Před 3 lety

      @@mwlelishamathayo6528 mwambie asee mwalimu anakurupuka

  • @masanjasweya703
    @masanjasweya703 Před 3 lety

    Amen