🔴
Vložit
- čas přidán 22. 08. 2020
- 🔴#LIVE: ASKOFU GWAJIMA AKIHUBIRI KANISANI KWAKE UBUNGO
Leo Agosti 23, Askofu Gwajima, amemualika mgombea ubunge jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba, katika ibada ya jumapili na kumpa nafasi ya kutoa salamu kwa waumini waliohudhuria mahubiri hayo...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Ushinde kwa kishindo kwa Jina la Yesu Kristo
Wapigweee
Hongera mbunge wetu mtarajiwa jimbo la Kawe ushindi kwa kishindo huna mpinzani kabisa mungu yupo nawe
Hashindi huyu hata kwa bakora
Au co hamida.....lazima apite
Hongera sana mtumishi, umepita Mapito magumu sana, Mungu akuinue viwango vingine, huu wakati wa Mungu na Mungu hana mipaka, utashinda kwa kishindo
Amen Bishop hongera Kwa hii Hatua,mungu See nawe
Ha ha ha wapigwee mpaka vichwa vyao vionyeshe battery low. Safi Sana
Amen Amen Amen
Umefundisha neno jema sana, Amina sana
Au co wakwetu
Asante Mungu kutupa mtumishi sahihi gwajima
Amen Karibu baba tuna kupenda
Usiye mpenda kaja😅😅😅
Vumilieni tu lkn Gwajima ndiye kiboko yaooooòooo😃😃🤗
Hii ndio Tanzania dini sio kikwazo kwetu sababu Mungu mmoja tu
Watanzania Wenzangu Mungu Awabariki Sana naomba Msaport chanel Hii mpya ya Neno la Mungu kwa kufanya Hivyo mtakua mmetoa suport kubwa sana Na Mungu Atawabariki sana
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
Amen
Amen and amen and amen
Ubarikiwe
Good
Safi kiongozi
Yajayo yanafrahisha ,nyumba ya bbaa yangu ni nyumba ya salaaa
Amen amen
Utashindaaa kwa kishindoo...wanyoshe mapito yao
Siitaji kuona ila mungu atusaidie saba haya mavuvuzela yanakujaje na hawa akinanani duuuu
Haani we Gwajima unapotea kabisa
Siasa madhabahuni ajabu jamani
Nyerere tunakukumbuka .CCM yako inanajisiwa.!! Wangezingatia maneno yako tusingekua tunaona huu udhalimu ...!!
Kisa man is man.
Kama hujui kutamka usiseme
Ona sasa chama tena duuuu huruma sanaaa anakuja kusali au kupiga campeni duuuuuh eti abas tarimba kusingekuwa na uchaguz ungekuja
Mahusiano ya watu n watu ni muhimu sana kuliko dini mmmmh maybe yes maybe no
Utashida
navuka
Waumini wamepungua
Ni kweli lkn ukiongeza kufanya utafiti Kila kanisa leo limepungukiwa na watu na mapato....ukiniuliza kwanini majibu yangu yatakuwa ni ya labda korona au labda watu wamekata tamaa au labda wamekatishwa tamaa na mambo ya kwao binafsi au ya viongozi wa kidini au ya madhehebu yao...ni mitazamo yangu tu....
Ufufuo na uzima wameanzisha matawi Kila mtu siku hizi anaabudia kanisa la ufufuo na uzima lililo Karibu na yeye
Huyu jamaaa nimjasilia Mali tyuu
Sitaki hata kujua huyo tarimba aliongea nn lakini hii ni ishara mbaya na ya kukemewa vikali. Kanisa ibaki kuwa mahali pa kumuabudu mungu na hayo mengine mngepeleka panapo husika
Hili ni Kanisa ama?
Kusoma hujui ata picha huoni?
Ama
@@marygregory7566 nani hajui kusoma wajameni? Ajabu sana sijawahi kumuona mtu asiyejua kusoma lakini anaweza kuandika labda ni muujiza wa Askofu Gwajima.😅😅😅
@@marygregory7566 kwani umeielewaje hii ama?
Leo umepiga suti na tai... Kweli mgombea
C a sa
Gwajima you have accepted demotion... Kigeugeu. Mungu mwemba
2 Timotheo 3:1 - 9
"1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
3 wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,
4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
5 wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
6 Kwa maana katika hao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za namna nyingi;
7 wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.
8 Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani.
9 Lakini hawataendelea sana; maana upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama vile na upumbavu wa hao ulivyokuwa dhahiri.
"
Is this the time for Gwaji to be exposed or not?
Imekuaje dear
Huyu ni rungu la Bwana kwa nyakati kama hizi. Upende usipende.
@@laurentraphael5470 rungu la Bwana ni kitu gani?
@@kiwanukanikwanduka9631 yeremia 51:20
Hiyo ndio ibada watu wanapiga zumari wenyewe wanasema wanamuabudu bwana huku wakipiga firimbi sasa hii ibada au mkutano wa hadhara ?
Hakika kaka
Mkubali Yesu uokoke sheikh
Mungu wetu Jehovah tunamsifu kwa tarumbeta ,Zeze, filimbi n.k
Wasioelewa ya rohoni watamsifia huyu mtumishi lakini ameshuka sana
Ha ha ha wewe ndio kipofu, huyu ni chombo cha Bwana kwa saa na nyakati kama hizi.
Huyu ni chombo , wewe ndo umeshuka
Hamna kitu hapo
Duuh waumini wake wamepukutika ka nn
Si walijua wakienda atawaambia njoo upate gari, mke, mme, nyumba.
Hahaha wakristo mnamfanya Mungu sacos au vikoba.
Utakuwa mbea
siasa inamfaa zaidi, huyu jamaa huku alikofka ndiko hasa, ni mwana siasa
..... with God
Bungeni awaendi kucheza x
Kuwa makini na unacho kisema utakuja kutoa hesabu yake
Piga pesa mkuu
Sijawah ona kanisan kunalizwa hayo mavitu yanayolizwa mpiran jmn MUNGU ATUPE JICHO LA TATU KUONA
Kasome vyombo alivyoumia mfalme daudi kumsifu Mungu.
Hujui , Mungu wetu tunamsifu kwa namna zote , wewe ndo hujui tyu
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kutenganisha dini na siasa.
Siasa madhbahuni ni kinyume cha maadili..
Pingamizi la halali linahusika ili kurudisha siasa za Tanzania kwenye mstari.
Muulize Lissu kwa nini anapiga Siasa kabla ya muda tena wakati wa kwenda KUTAFUTA wadhamini.
Wote mnaosema hivyo baba yenu ni yule mwenye meno marefu...live my dad alone
Waumin ambao baado wanamsikiliza gwajima wapimwe akili
Tunaanza na wewe kwanza
Na wewe unafanya Nini hapo
Wewe ndo upimwe kwanza
Siasa na dini, maji na moto
Siasa ya kisomi hio mzeee uko vizuri
Msigwa alikuwa sio mtumishi kumbe
Siasa siyo dhambi, dhambi zipo kwenye dhamira ya/za MTU__Learn to be a positive minded person.
@@majadotto9513 Wapi! nionyeshe kanisa la Msigwa. Msigwa ni mchungaji wa jina tu. Lakini Gwaji anaitwa Askofu na kwake ubunge ni Demotion, msitufanye watanzania kuwa wajinga kiasi hicho kwamba tumesahau maneno ya Gwaji.
Na shida ya Gwaji motive ya yeye kugombea haioko wazi alipotakia kutoa huduma ya kiroho anaenda kupambana kimwili. Ningekuwa mshirika wa Gwaji ningehama kanisa hata kama ningekuwa CCM maana anachokifanya ni kinyume na maadiili ya uchungaji...
Kanisani kuna mchanganyiko wa watu na kila mtu ana hitikadi yake. Kutumia Madhabahu kama jukwaa la siasa ni makosa.
@@kiwanukanikwanduka9631 Sawa lkn je wewe pia si upo utafanya kazi ya Mungu kwa sehm yako hii shuhuli inatuhusu wote ukiona mwingine kakengeuka kwa unavyofikiri ingia kazini
ETI LEO AJIFANYE ANA MAPENZI NA WATU WA DINI NYINGINE KHAAA! HAUMZUGI MTU HAPA TUKO MAKINI HATUJASAHAU KAULI ZAKO ZA KIPUUZI ULIZOTOA SIKU ZA NYUMA MNAFIKI MKUBWA WEWE
Unapepo wewe, kwani wewe upo peke yako. Abbas in the house, Gwajima in the house...
@@laurentraphael5470 MAPEPO NI YALE YANAYOAMINI KWAMBA MUNGU ANA MWANA SOMA MARKO 3:11 UKAWAJUE MAPEPO WENZAKO HUKO
Mtu aliyedanganya wafuasi wake kwamba anafufua watu, lkn mama yake alipokufa akashindwa kimfufua huyo anaitwa tapeli. Wananchi watakuwa wajinga wa kutupa kama watamchagua tapeli kuwawakilisha Bungeni!!
Kapime kichwa chako kijana kwan lazaro aliyefufuka hakufa tena? By the way kufufuliwa haina maana hutakufa tena ila ina maan ya Mungu kujitwalia utukufu sio kila aliyeombewa atafufuka mpk Mungu atakapoamua na kama mtu amezeeka unadhani afufuke ili afanye nn kama ni hivyo bhc tusiwe tunakufa kbs
@@mwlelishamathayo6528 mwambie asee mwalimu anakurupuka
Amen