ALLAH SIO MUNGU WA WAKRISTO: MCH NDACHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024
  • Mdahalo wa kidini
  • Hudba

Komentáře • 47

  • @MugishaMusabwa-lc7hq
    @MugishaMusabwa-lc7hq Před 3 dny +1

    Wa Islamu ni watu ambao wanajuwa ukweli alakini wanataka kupoteza hao wasiyo jua ukweli katika bibiliya.
    Pastor ndacha mungu akubariki Kwa kutangazia wa Islamu ukweli

  • @melkizedck
    @melkizedck Před 2 dny +3

    Tangazo! Tangazo! Wakristo tuingie ktk maombi maalum ya kumwombea NDACHA. Ili Mungu amlinde na mabaya

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Před 23 hodinami +1

    Ndacha up makini sana nimecheka

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Před 10 dny +4

    Ndacha umeumaliza uisilamu ni wao tu kuamua Mungu yupi wakeeli wakumtunikia je ni wamasanamu au aliyehai aliyemtuma yesu kristo aliyehai

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Před 2 dny

    Hii dini haina tofauti na wale wanaoenda kwa mwamposa mwaminni YESU KRISTO muokolewe

  • @salimkondo3354
    @salimkondo3354 Před 12 dny +3

    Ndacha ndacha wewe 😂😂😂 BWANA YESU ASIFIWE

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 5 dny

    Mungu ni mjapan anaumba motorcars

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq Před 10 dny +3

    Ndacha Hana mpinzani

  • @pastorhermantv5420
    @pastorhermantv5420 Před 10 dny +2

    Hahahahaha 😂😂😂😂😂😂 duh ndacha kiboko et walio kwenye huo msikiti wao wanaangalia wapi hehehe😂😂😂😂

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 Před 8 dny +1

    SOMENI BIBLIA KWA SAUTI JUU KWA WATOTO WENU. SOMENI Ezekiel Verse 23 kwa sauti ya juu.

  • @Mejaclub
    @Mejaclub Před 6 dny +1

    Alafu bado mutu amekatalia kwa uisilamu 😂😂

  • @user-xy1cj9wo7x
    @user-xy1cj9wo7x Před 6 dny +1

    Kabisa ndacha

  • @eddagreyson-pc7cv
    @eddagreyson-pc7cv Před 3 dny

    Ndacha waondolee hao Mawani ya MBAO

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 Před 7 dny

    Dini ya Hawa watu ni ya kutengeneza na watu sio ya kweli😢
    Wanawaingiza watu motoni pasipo kujua

  • @kkhalifairumba2932
    @kkhalifairumba2932 Před 4 dny +1

    Huyu ndacha amesoma kweli na kama amesoma anaakili vizuri kweli?mungu wa ibrahim baba wa mitume ndio tunaemuabudu hakuna mungu isipokuwa mungu ni mmoja tu alieumba mbingu na ardhi,mm naona anapiga kilele tu hajui chochote akasome quran vizuri

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r Před 4 dny

    Ndacha ni kiboko ya waislam

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 Před 7 dny

    Hivi kuna aya ndani ya Quran au Bibilia inasema Allah sio Mungu wa kweli???
    naomba jibu wakristo maiki hiyo chukueni🎤

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 4 dny +1

      Matendo ya Muhammad ndiyo yanayo muwakilidha allah,angalia maisha ya Musa, Yoshua na Yesu kisha ulinganishe na mud ndipo utajua ni tofauti kabisa

  • @DicksonRwechungur
    @DicksonRwechungur Před 7 dny +1

    Ubarkiw san Ndacha

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f Před 10 dny

    Ndacha MUNGU akubaliki ila uskatae utatu mtakatifu wa MUNGU nitakuwa skuelewi soma 1yohana 5:8

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 Před 10 dny +1

    uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Před 6 dny

    Alhamdulillah ni sis waje wake ndio tunamsifia hivyo na si Mungu anasema hivyo.. Watu hawaelewi dini ya Islam wala kur ani wsnapiga tu makelele ya tafsiri za uongo

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 Před 7 dny

    Au kuna aya inasema Allah sio Mungu wa wakristo ndani ya Quran au Bibilia 🎤

  • @halfanimisayo2116
    @halfanimisayo2116 Před dnem +1

    Allah ametajwa ktk bibilia original ya ki-ebrania ikiwa inamaanisha Mungu wa Ulimwengu. Hizi za siku hizi zimerekebishwa ZAIDI ya mara 500 kwa maslahi ya kundi Fulani la watu

    • @B4meizu13
      @B4meizu13 Před dnem

      Yaani ninyi hamutosheki na promises ya kitabu yenyu Quran ? Leave the Bible alone.

  • @mohamedmillanzi9070
    @mohamedmillanzi9070 Před 5 dny

    Hakana point zaidi ya povu

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Před 6 dny

    Kumbe Mungu wa wakristo anazaa anaenda matenet huu ndiyo ukafri kweli

    • @stephenogachi2205
      @stephenogachi2205 Před 5 dny

      Kwa Quran shetani ana kizazi, je shetani anaenda maternity?

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Před 6 dny

    Huyu anajichanganya tu akidhani yuko Shakahola anapotosha tu ma kutoa maelezo yake binafsi akiita tafsiri

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Před 6 dny

    Mtu anashindwa hata kugoogle tu akaona nini maana ya Allah. Allah ni kiarabu maana yake God ni huyo huyo mmoja. Kuhusu masanamu wapi tunaona masanamu na mapicha misikitini au makanisani? Si tunaona masanamu ya Yesu na Maria makanisani? Yesu alikataza kuabudu masanamu. Ash hadu alaila hailala wa ash hadu anna Muhammad arasulallah. Imani ya waislam katika kor ani kwamba nakiri kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila mwenyezi Mungu na ninakiri kwamba hakina Muhammad ni mtume wake. Ajabu mtu bado anachanganya kati ya Mungu na mtume wake

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k Před 7 dny

    Wewe ndacha ni ngombe kabisa , wewe unastahili viboko

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 Před 7 dny +1

      Hivi viboko ni hoja gani? Vunja hoja kwa hoja nyingine, sio kwa viboko. Kwani wafuasi wa marehemu Muhammad wanatetea dini yao kwa viboko?

  • @Khalidmwangwai4651
    @Khalidmwangwai4651 Před 7 dny

    Jifunze kusoma kusoma wewe kafiri