Rais Ruto atenga zaidi ya Sh1.7 bilionii li kuimarisha sekta ya uvuviuvi katika kaunti 5 za pwani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Na Rais Ruto leo ametimiza ahadi yake aliyoiweka jana ya kwamba amerejea Pwani ili kutimiza ahadi yake kwa wavuvi wa eneo hilo akisema ametenga shilingi bilioni 1.7 kwa sekta ya uvuvi ili kuimarisha sekta ya uvuvi na kuhakikisha vijana wanapata fursa za kujikimu kimaisha. Ruto aidha alisema kuwa serikali yake sasa imelenga kuwajumuisha wakenya, wote akiwaomba wananchi kuwa na imani na mawaziri wake ili kufanikisha malengo nchini.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Komentáře • 2

  • @KenyaMoja1963
    @KenyaMoja1963 Před měsícem +1

    Yaani yeye ni kutenga tu , sio kutenda. 😂😂 Watangoja Sana hizo pesa. Mbona kanisani huwa hatengi Ana tenda 😂😂.