Dada Mshukuru Mungu ata amekupa wazazi ambao walikubali kukushikia watoto na usiseme eti mama yako hajawahi kukusaidia na chochote hyo kukaa na wanao tu ni msaada tosha wapo wengine wanakataliwa na wazazi wao na bado wanahitaji msaada so usiseme hakuna kitu wamewahi kukusaidia😭😭😭Jifunze kuwa na moyo wa shukurani hata kama unapitya magumu kiasi gani lakini usikufuru
Pole sikutaka kusema hivyo nlikua namaanisha hawangenisaidia kifedha coz hawakua nazo in fact wangekua nazo zingekosa kusoma. Ninawapenda sana, na pia wanapenda watoi wangu zaidi
Hii story inaogfya 😮😮.... Najua mwarabu ni vinyonga, I had a madam wenye walinikujia, kuangaliana na huyu madam dhamira zangu zilikataa, nikasema labda mm namchukia, wakati bwana yake alifariki huyo mwanamke alichange food n etc..after one month nilikataa kazi nikamsho nataka kurudi office, to cut the story short nilipata nyumba ingine kwanza nyumba yenye ilikuwa na amani.... Mtu akipata bosses wazuri ashukuru Mungu
mimi na support hawa kadamas wakitoka saudi wapewe kazi kwa armed forces zote trust me watasafisha inchi yetu,kadamas are God sent Angels❤wakirudi kwa inchi zao
I thank God nimekaa gulf for 8 yrs ,same house , same family ...Wananichukua as part of the family ...we share same food , we go out together ....Ni God's favour...pole sana dada ...Surrender your life to Jesus ..
I thanks God nko saudi arabia en cjawai mistritiwa..i thank God ata watakangi niumwe na kichwa i really appreciate my boss feel loved wherever you are.
This is what happened to me in lebanon 6 years ago,..God is a God of miracles..vile nilihepa hiyo nyumba nikajipata police station ni Mungu guys...i will narrate my story one day
Elizabeth is my neighbor uko ushago,we are also friends vile alirudi home aliniambia hiyo story but hapo kwa maiti hakuniambia nimeshangaa aki my neighbor ulipitia hivo but God is in control of everything.eliza tumepitia mengi but God is in control
pole sana siz Mungu akupatie nguvu. Pia tumrudishie Mungu shukrani umerudi salama. niliwahi kuona documentary kuhusu warabu ma boss especially oman , kuweit na bahrain wakichoka mschana wa kazi una pigwa picha kumbe wanakuuza kwengine hata wako na apps kabisa waschana wamekua displayed without their knowledge eventually unapotelea huko either dead or working as slave . God is good umerudi salama na In Sha Allah atakufungulia njia ingine. AMEEN.
Power in the name of Jesus! Psalm 91(Whoever dwells in the shelter of the Most High will rest in the shadow of the Almighty. I will say of the LORD, “He is my refuge and my fortress,)! Elizabeth god has a plan for you. Your testimony and what you have gone through will help many. May God protect our fellow brethren in Saudi . Life is spiritual !
I thank God for Germany, they give us an opportunity to train in whichever course of our choice. Am A Trained nurse and working for years now. God bless Deutschland and help all those suffering in other countries. May God bless Each one suffering in foreign countries in Jesus Almighty Name.🙏🏿. God pave a way for the thse ladies who want to go back home in Jesus Almighty Name 🙏.
Now that she has shared her contacts, you need to reach our to her and if possible you connect her to the agent that helped you get there instead of her going back to the gulf.
May God keep strengthening you...i was almost to be killed in lebanon,they locked me in a car for a whole day without a/c or opening the windows..i was taken back to the airport without a penny after faithfully working for them in a year and some months...funny of it all it was a house of chief general and madam lawyer....warabu tunawaombea sana mmjue Mungu...General Saab and Madam Mireille Chekar niliwasameha na hizo pesa walichukua na simu yangu nilawachia Mungu😢...but am happy i went back in saudi and i got a good madam
Traumatizing story! Kriss your line and timing of the questions is absolutely brilliant. Many of our problems in the diaspora we consider unbearable until we hear of events like this. That fridge eh!.... Mungu ameona, atulinde.
Mungu anakupenda sana, one day kaa na your second born, muombe msamaha kwa vile ulivyotaka kumdhuru akiwa mdogo na then umpe baraka maishani mwake/uwape baraka watoto wote
Nooh, siwezi mwambia hayo yaliisha nlipoomba msamaha kutoka kwa Mungu, so hata siwezi taka kumwambia hivyo she is my best friend nawapenda zaidi ad that's y nlikua naenda kuwatafutia life poa saudi
@@LizNjoki-vf6gf Ulikua labda bado wa suffer PPD. Ni ugonjwa wanake wengine hu suffer baada ya kuzaa (within 1 year). PPD stands for Postpartum Depression.
What a story. Thank you Eliza for sharing your story. Very shocking indeed, you truly are a brave woman. God surely has a plan for you and your family. May God deal with those evil Arabs. I am sure they font end up well unless God has mercy on them.
Aty unapewa sahani yako? I'm glad kwenye niko we share everything, including snacks. What I'd say is that this woman is brave because ingekuwa ni mimi niliona mwili kwa freezer that would be the end of me there. Afadhali nijirushe nivunjike miguu but siwezi imagine nikichinjwa. I'm glad God came through for you 🙏
Watching this while in saudi😢😢 Nimeshkndwa adi kula😢 I'm humbled im safe almost 3 years now woi Mungu for the sake of my siblings keep me safe and all kadamas😢😢🙏🙏
Why they said eti nowadays saudia ni kwema, alafu mbona ladies wengi hawatoi Siri ya maisha yao huku saudia wanaporejea Kenya? Anyway pole sana Elizabeth
Only those who have ever been to Gulf knows these scenes behind the camera...mi huwa nasema ata nikikosa kazi kwetu ata ka inalipa kidogo aje heri niishi masikini lakini huko swz kanyanga tena
Mimi nlizaa watoto 3 kwa nyumba, na hakuna shida yoyote. Coz ushago na huna pesa na mume pia anakwambia wanawake huzaa wewe si wa kwanza. Even today my 14 yrs old aliza 2022 kwa na juzi hii may pia at 17 ameza second born kwa nyumba. Ni Nehema, Rehema na Huruma wa Mungu
@@viviankagendo3383 brovo mungu akulinde tusaidie jamii zetu ,huku ikija na akili ya kukemboi walaai utakemboi juu Mimi wote tulikuwa nao walikemboi na walipanga tukiwa training,githurai so sometimes NI watu Tu wenyewe
@@irineadisa7289 my sister ukika huku na ujue ni Kwa nini uliwacha jamii yako ukaja huku ,walaai utatoboa ,cha msingi NI heshima na uwe na principal zako na ufanyf KAZI yako Kwa utulivu Yani tambua matunda ya KAZI yako
Hi family ,Incase you can reach or support Elizabeth +254713300639
Mwangi niko na story nipe number yako
@mwangikriss, ume conclude na sala nzuri na maneno very natural. Amen.
0700484190 wwlcome to our channel @@Teresa-255
Tell her to report there someone in the freezer maybe a kenyan mum somewhr is looking for her daughter 😢
Dada Mshukuru Mungu ata amekupa wazazi ambao walikubali kukushikia watoto na usiseme eti mama yako hajawahi kukusaidia na chochote hyo kukaa na wanao tu ni msaada tosha wapo wengine wanakataliwa na wazazi wao na bado wanahitaji msaada so usiseme hakuna kitu wamewahi kukusaidia😭😭😭Jifunze kuwa na moyo wa shukurani hata kama unapitya magumu kiasi gani lakini usikufuru
Pole sikutaka kusema hivyo nlikua namaanisha hawangenisaidia kifedha coz hawakua nazo in fact wangekua nazo zingekosa kusoma. Ninawapenda sana, na pia wanapenda watoi wangu zaidi
Kuna comment hapa hapa nime comment the same.
I hope she take heed. Naatubu kwa kusema au kufikiri hivyo.
@@LizNjoki-vf6gfPia Mimi nilikua nimeshangaa but nimekuelewa. May God see you through.
Lakini hakusema kwa ubaya is like alikuwa anamaanisha aliamua kujitegemea kwa kutafuta pesa than kuitisha wazazi pesa
Ukweli aki
Alafu utaona ngombe ingine hapa ikisema madame wanakuanga na mangaa na tabia mbaya.shindwe kabisa.good girl you safe your self
Huko..imi nanua heri tu nilime na iendelee na mupuka mandazi lakini maisha yangu yasitolewe na mwaarabu
Hii story inaogfya 😮😮....
Najua mwarabu ni vinyonga, I had a madam wenye walinikujia, kuangaliana na huyu madam dhamira zangu zilikataa, nikasema labda mm namchukia, wakati bwana yake alifariki huyo mwanamke alichange food n etc..after one month nilikataa kazi nikamsho nataka kurudi office, to cut the story short nilipata nyumba ingine kwanza nyumba yenye ilikuwa na amani....
Mtu akipata bosses wazuri ashukuru Mungu
Naomba justice to be done and your brother aachiliwe from jail naomba Mungu aingilie kati.yeye ni mtetezi wa wanyonge,
mimi na support hawa kadamas wakitoka saudi wapewe kazi kwa armed forces zote trust me watasafisha inchi yetu,kadamas are God sent Angels❤wakirudi kwa inchi zao
😂😂😂
Walai😂😂😂😂😂😂😂 tupewe hiyo chance😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Akiangai 😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
😅😅akiangai mwanooo
God answered your prayers dea , huyo mungu alikuokoa usiwahi muacha alikupea ujanja ingine Kali Sana.... May God open another door for you
To God be the glory for bringing you back alive, and save the rest who’re there! And their ppl to be there for you!
Akii ma dada zetu tukumbukane kwa maombi juu hii Gulf bila Mungu atuwezi toboa, always keep God first in every thing u do❤❤🙏🙏🙏
Kwanza bona muende huko in the first place.....si mkae kenya tu
I thank God nimekaa gulf for 8 yrs ,same house , same family ...Wananichukua as part of the family ...we share same food , we go out together ....Ni God's favour...pole sana dada ...Surrender your life to Jesus ..
Huyu Anadanganya ni beshte yangu Wa Church Naivasha,
@veronicahnjoki7638 how do you know?
😂😂😂😂ATI anadanganya@@veronicahnjoki7638
@@veronicahnjoki7638Really 🥺?
@@veronicahnjoki7638were you the one who faced those challenges... ikiwa hujui warabu ni vigeu geu shut up...
Hii Saudi stori iko na mambo only God can protect team strong
hata kenya...dunia kote,,,ukitembea ndio utaona mengi
Sio Saudi pekee ata inchi zingine za gulf so maombi tu ndio suluhisho
People go through alot in gulf countries am here in saudi for 5 yrs no regrets May God protect us
Lol hapa Saudi Niko na 7 yrs my dia ,mungu atusaidie sana
@@munalook4477mimi 10yrs of God's grace with no regret
At least hukujigamba.
Shukran.
May God protect you
May God protect you
I thanks God nko saudi arabia en cjawai mistritiwa..i thank God ata watakangi niumwe na kichwa i really appreciate my boss feel loved wherever you are.
Huu ni mikono WA Bwana aki.....To God be the glory 🫂
This is what happened to me in lebanon 6 years ago,..God is a God of miracles..vile nilihepa hiyo nyumba nikajipata police station ni Mungu guys...i will narrate my story one day
May God remember every kadama and hide our lives in Jesus Name Amen
May God open a door for Eliza and her family 🙏 🙏🙏
Kwenda ughaibuni na kurudi ukiwa salama shukuru mungu
😢😢Aki
I second u ....mm ile siku ntatoka dubai ...nijione kenya stawai travell tena afadhali hme
Elizabeth is my neighbor uko ushago,we are also friends vile alirudi home aliniambia hiyo story but hapo kwa maiti hakuniambia nimeshangaa aki my neighbor ulipitia hivo but God is in control of everything.eliza tumepitia mengi but God is in control
God is gd,,never leave him,vile alikuokoa,,,hatawahi kukuacha kwa chochote kile..wa!mungu wetu ni wa ajabu
Asante Mungu,Mungu akufungilie njia ingine pole sana dada
She is so fluent in her story pole sana.
pole sana siz Mungu akupatie nguvu. Pia tumrudishie Mungu shukrani umerudi salama. niliwahi kuona documentary kuhusu warabu ma boss especially oman , kuweit na bahrain wakichoka mschana wa kazi una pigwa picha kumbe wanakuuza kwengine hata wako na apps kabisa waschana wamekua displayed without their knowledge eventually unapotelea huko either dead or working as slave . God is good umerudi salama na In Sha Allah atakufungulia njia ingine. AMEEN.
Njia bora na safe kabisa.
Power in the name of Jesus! Psalm 91(Whoever dwells in the shelter of the Most High will rest in the shadow of the Almighty. I will say of the LORD, “He is my refuge and my fortress,)! Elizabeth god has a plan for you. Your testimony and what you have gone through will help many. May God protect our fellow brethren in Saudi . Life is spiritual !
Amen! God is faithful
“The name of the Lord is a strong tower: the righteous runneth into it and is safe.” prov 18:10
True and Amen💯
True
she is eloquent and a good story teller..thank you Lord for saving her life
Nachoweza kukushauri,Mualike Yesu kristo kwenye familia yenu nakuhakikishia atabadilisha maisha ya familia yenu.
This stories are very scaring but also they are much teaching us alot.
After listening to this lady,,,aki for sure,,she's Gods masterpiece,,grace is all over her,,May it go well with u Liz
I thank God for Germany, they give us an opportunity to train in whichever course of our choice. Am A Trained nurse and working for years now. God bless Deutschland and help all those suffering in other countries. May God bless Each one suffering in foreign countries in Jesus Almighty Name.🙏🏿. God pave a way for the thse ladies who want to go back home in Jesus Almighty Name 🙏.
Now that she has shared her contacts, you need to reach our to her and if possible you connect her to the agent that helped you get there instead of her going back to the gulf.
Can get job there please
Connection pls Niko Arabia hustling
@@peninarkamau6993
Wewe mpe connection. Mnathani watu huenda ng'ambo kufanya kazi ya kuwa connect *Ma Kupe mentality km zako?
AMEN
Njoki you are a beautiful and very courageous lady, God be with you always 🙏🙏🙏
May God keep strengthening you...i was almost to be killed in lebanon,they locked me in a car for a whole day without a/c or opening the windows..i was taken back to the airport without a penny after faithfully working for them in a year and some months...funny of it all it was a house of chief general and madam lawyer....warabu tunawaombea sana mmjue Mungu...General Saab and Madam Mireille Chekar niliwasameha na hizo pesa walichukua na simu yangu nilawachia Mungu😢...but am happy i went back in saudi and i got a good madam
MUNGU ni mkuu team strong tuombe Mungu kabisa tumalize hii mwendo salama 🙏🙏🙏
Pole sanaa dada waarabu sio wakuamini ata kidogo
A m here in Saudia God is our protector.Aliving testimony of God s Power
Mimi ni kemboi but l have a good family to God be the glory for all madam May God bless with you!
Na ujue hao watu wataitisha Tena mfanyikazi mwingine
I admire you, your very brave woman. I would like to support you Elizabeth your one in a million.
Thank u gal
May God protect team strong always me nko 10yrs n same boss n same house but foreigner
Amen
Connections dear
Foreigners are good not arabs
@@rachealwanjiru2326
Connections ziko kwa ma agent. Acheni nyenyenyenyee za connection maneno.
Mnakaa kama MA Kupe wa kunyonya watu damu.
Mnauthi.
Pole sana Liz 'your a strong lady may God comfort you.Thanks for sharing.
Traumatizing story! Kriss your line and timing of the questions is absolutely brilliant. Many of our problems in the diaspora we consider unbearable until we hear of events like this. That fridge eh!.... Mungu ameona, atulinde.
Njoro my home town...salimia watu wa njoro
OMG protect us in this gulf lizz ur strong woman
Aki God have mercy on us all kadama no weapon formed against us will prosper.
Mungu anakupenda sana, one day kaa na your second born, muombe msamaha kwa vile ulivyotaka kumdhuru akiwa mdogo na then umpe baraka maishani mwake/uwape baraka watoto wote
Nooh, siwezi mwambia hayo yaliisha nlipoomba msamaha kutoka kwa Mungu, so hata siwezi taka kumwambia hivyo she is my best friend nawapenda zaidi ad that's y nlikua naenda kuwatafutia life poa saudi
@@LizNjoki-vf6gf
Ulikua labda bado wa suffer PPD. Ni ugonjwa wanake wengine hu suffer baada ya kuzaa (within 1 year).
PPD stands for Postpartum Depression.
I hope one day nikirudi Kenya ill give my positive story about my bosses .i thank God 6 yrs same house so far so good 🙏🙏🙏
Pole dada,shukuru Mungu alikuokoa
Always inspired by the stories ❤
I thank God I'm living like I'm home. What they eat is what I eat. Sleeping like home. God I thank you for my bosses
Ngai Elizabeth woiye pole mummy be strong
You are a strong woman.Remember there is always tomorrow na Mungu yupo
What a story. Thank you Eliza for sharing your story. Very shocking indeed, you truly are a brave woman. God surely has a plan for you and your family. May God deal with those evil Arabs. I am sure they font end up well unless God has mercy on them.
Don't try to go back there , even tho you have problems here just love what you get ata kama kidogo
Aty unapewa sahani yako? I'm glad kwenye niko we share everything, including snacks. What I'd say is that this woman is brave because ingekuwa ni mimi niliona mwili kwa freezer that would be the end of me there. Afadhali nijirushe nivunjike miguu but siwezi imagine nikichinjwa. I'm glad God came through for you 🙏
Wuehhhh..huyu dada alipata shida kweli..pole dada tena sana Mungu akulinde
You are hero give God all the Glory
Watching this while in saudi😢😢
Nimeshkndwa adi kula😢
I'm humbled im safe almost 3 years now woi Mungu for the sake of my siblings keep me safe and all kadamas😢😢🙏🙏
Our Lord hears us when we cry unto him… even in a the time of wilderness you are Jehovah Yahweh!!!!
Why they said eti nowadays saudia ni kwema, alafu mbona ladies wengi hawatoi Siri ya maisha yao huku saudia wanaporejea Kenya? Anyway pole sana Elizabeth
Prayers prayers prayers that's our only weapon in gulf countries. You can't survive without prayers
Only those who have ever been to Gulf knows these scenes behind the camera...mi huwa nasema ata nikikosa kazi kwetu ata ka inalipa kidogo aje heri niishi masikini lakini huko swz kanyanga tena
😢😢😢you're a star Mungu anakupenda
May God guide you sister na Mungu aendelee kukuongoza.
God please protect us all in gulf and change our situations permanently in Jesus name 🙏
Your God is alive my dear mungu anakujali aki
Elizabeth ,eh,God really loves you, barikiwe sana na usimusahau hata sikumoja . He actually saved your life with a reason behind .
Watching frm Uganda, Kampala 🇺🇬💕💕💕, Krissy nakupenda hahaha, anyway I love u put in God Almighty in all thank u
May God protect all that are working in the middle East ...l will share my testimony one day
Pole dada mungu ni mwema mutuombee tuko uko
Let's all agree tha she's intelligent 👌 🎉congratulations mamaa,may God open doors for🙏
Pole sana daa mungu anakupenda sana
Mimi nlizaa watoto 3 kwa nyumba, na hakuna shida yoyote.
Coz ushago na huna pesa na mume pia anakwambia wanawake huzaa wewe si wa kwanza.
Even today my 14 yrs old aliza 2022 kwa na juzi hii may pia at 17 ameza second born kwa nyumba.
Ni Nehema, Rehema na Huruma wa Mungu
Watoto wa 14yrs na 17yrs kuzaa ndio unasema ni rehema na neema😂
Elizabeth may God see you through,,gulf kila mtu yuko n story yake ,,I thank God 3yrs and I'm safe
Kulingana na vile huyu dame amepeana story yake inaonesha she is very wise,God fearing & humble
Wah
Guys nipitieni niwapitiye back❤
Hata kuenda another country just involve God na atakusaidia
If God help Why so many suffer and die? Stop this Nonsense with your white god!!!
26 months in Saudi Arabia,ni kwa neema
#teamstrong
😂😂huyu anadanganya ni beshte yangu tumekua nayeye Church Naivasha 😂😂😂ohh my
What if uangukie the same house?;cz the boss vile Ana leta wasichana kila saa you should be careful
Kwa gas hakuna mwarabu atawacha kama iko open 😊... secondly learn to keep on your line.... penye umeambiwa uziende keep distance ❤🫂
True
You're strong.Be blessed.
siezi support mtu kwenda uarabuni nikiskia haya.
Saudi Arabia ni kama encyclopedia kila kitu kiko uko,bt mimi 5years no regrets no complains niko in one house
Ata kenya kila kitu kitu sio saudi pekee sijui kwa nn watu wanaona nikama saudi ata kenya devil worshippers wapo ni mungu tu
Same here 🙏
@@viviankagendo3383 brovo mungu akulinde tusaidie jamii zetu ,huku ikija na akili ya kukemboi walaai utakemboi juu Mimi wote tulikuwa nao walikemboi na walipanga tukiwa training,githurai so sometimes NI watu Tu wenyewe
Kuko aje Saudi please,watu husema ni kubaya
@@irineadisa7289 my sister ukika huku na ujue ni Kwa nini uliwacha jamii yako ukaja huku ,walaai utatoboa ,cha msingi NI heshima na uwe na principal zako na ufanyf KAZI yako Kwa utulivu Yani tambua matunda ya KAZI yako
Waaaaah Elizabeth Njoki am totally sorry what happened can you come to Lebanon please mmi ni fei tulikua na wwe kwa sunachi
Eeeh iyo stori ni intriguing.....God alikuokolea from the shadow of the valley of death. Usiwaimuacha.
Indeed God is faithful to those who warship him in truth.
Pole sana may God come through for you
This is story is heartbreaking.... We thank God for your life. AMEN
Watching frm Uganda, Kampala 🇺🇬💕💕
Mungu tupiganie turudi kwetu salama
Pole Sana dada mungu yuko
Welcome back my dear from saudi
Asante kwa mungu kwa sababu huyu mama hakumuua huyo mtoto
Very cauragius and wise, really God Has done alot
Courageous dia
Pole sana
God is merciful na anajali wanyonge
Ukiabiwa don't open or touch something please listen mmi Kuna room niliabiwa sifai kueda and imagine sijawai enda
Mungu atuonekania kwa izi nyumba za warabu haki zile room unambiwanga usiingie ujue kuna kitu mungu atuonekanie 😢😢😢😢
Si angeweka ID na pesa kwaa mfuko ama kwapa.
Iyo paka inakaa binadamu anaeza explain zaidi
Mungu yupo.Na kupitia huyu Dada wasioamini nawaamini sasa.Mungu azidi kukulinda dear gal
😢Heeeeee... 🤔😮🙀 Wamama na wasichana hupitia hell on earth!!! Wacheni tu! 😯😲😕
Thank God for everything and aspacialy saving your life ask God to help you and give you job in Kenya
Hpo ss uliona miujiza y Mungu.