MSIMBAZI WATAPIKA NYONGO ENG.HERSI KUACHIA NGAZI YANGA | UBAYA UBWELA"MUDA WAO WAKULIA UMEFIKA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Komentáře • 25

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 Před měsícem +1

    Huyo mzee anaehojiwa na hao walionda mahakani wte wanaonekana wana njaa Yanga daima mbele nyuma mwiko Hersi nichaguo la Mungu

  • @mkengej.mkenge2821
    @mkengej.mkenge2821 Před měsícem +2

    Huo utapeli wao ndio maendeleo ya Yanga Africa na ndio sababu za goli 7 za msimu huu mnaongea kwa furaha na uchungu Kwa uongozi wa Hersi, tabu ipo palepale

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws Před měsícem +2

    Awe taperi jambazi sisi katufanyia mazuri

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 Před měsícem +1

    Hersi nichaguo la Mungu

  • @manenomkumba4054
    @manenomkumba4054 Před měsícem +1

    Wazee wenyewe wanaonekana wasenge

  • @ulimbokamakibinga6750
    @ulimbokamakibinga6750 Před měsícem +1

    Elimu ndogo ama nitumie uwelewa ndogo. Hakunajambo litakalo fanikiwa kwa hila. Udhamini wa gsm kwenye vilabu vingi siikupanga matokeo. Waleambao hawajadhaminiwa na gsm. Walifungwa magoli mengi kuliko waliodhaminiwa.

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před měsícem +2

    Wana Yanga tutaandamana kama Kenya 🇰🇪 wazee wale wametumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️ 🫸 ? Sasa viongozi wetu awan'goki n'goo.

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 Před měsícem

      Kakojoe ulale ubaya ubwelaa issue ya Kilomoni mlivalia njuga pambaneni na hali zetu tiini sheria bila shuruti kudadaki

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Před měsícem

    Eng kapewa thank u na wazee 😀😀😀😁😁😁😁😂😂😂😂 wapeni wazee timu yao wazee ndio taifa la kesho

  • @ObeyEmmanuel-lb9lc
    @ObeyEmmanuel-lb9lc Před měsícem

    Mzeee huy msengeee

  • @user-nb9yv1wm9c
    @user-nb9yv1wm9c Před měsícem

    Eee yanga walipewa jelojelo wajanja waling"amua wamewanyosha nyuma mwiko.

  • @maxmia100
    @maxmia100 Před měsícem

    Simba wanajua injinia akijihuzuru ndo watahena sima

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Před měsícem

    Nawahaidi nyinyi mnao sema nyinyi mna wachezaji vijana sisi tuna wazee mkipigwa goli ndogo ni 5 au 4 mtanuna nyinyi sisi atuta singizia chichote na amuwezi kutufunga kamwee ila nyinyi ndiyo mtavurugana tuu

  • @HajiAmbali-jq9dr
    @HajiAmbali-jq9dr Před měsícem

    Wewe nae bwege tu

  • @LomTarakwa
    @LomTarakwa Před měsícem

    Hao wazee ni vigagula vya Simba tutavipasua mawe

  • @SamwelErinest
    @SamwelErinest Před měsícem

    Huyo mzee anawashwa na mat......... apeleke ujinga huko

  • @MchungajiTechnology
    @MchungajiTechnology Před měsícem

    Nyuma mwiko umewaingizia

  • @charlesmwita4245
    @charlesmwita4245 Před měsícem

    Kama ubingwa nu ujanja vp michuano ya Africa wamefanikiwaje

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před měsícem

    Hawa ndo wazee kolo - ubwelaaaa .....

  • @RAJABUALLYCHANDEALLYCHANDE-n4i

    Kwani mwaka alio chaguliwa na kukubaliwa awakujuwa kuwa huu uchaguzi hauko ki Shelia? Mpaka anaitukia yanga Miaka mii4 Alafu muje munguwe Leo hii? Awo Wazee walio ongea Ivyo wapimwe akili zao wametumwa hawo sio bure

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 Před měsícem

    WEWE Mzee, TAPELI NI WEWE NA BABA YAKO. MBWA WEWE.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Ndiyo utaona tff walivyo wababaishaji

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Před měsícem

    Nyie njaaa tu kumamazenu

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws Před měsícem

    Weee komeni jamani