Bernadette Mtendjwa Ft Jackson Yusuph - Mwamba Ni Salama (Official Video)
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2024
- Follow Bernadette Mtendjwa on socials
Insta: @bernadette_mtendjwa
Facebook: Bernadette Mtendjwa
Spotify:open.spotify.c...
#BernadetteMtendjwa #JacksonYusuph
Lyrics
(Eeeeeehhhh, mwamba ni salama, salamaaa)
Chaku tumahini sina, ila damu yake Bwana
Sina wema wakutosha, dhambi zangu kuziosha
Kwake Yesu nasimama(simamaaa)
Ndiye Mwamba ni salama
Ndiye Mwamba ni salama(aaaaaaa eyeee)
Kwake Yesu nasimama
Ndiye Mwamba ni salama
Ndiye Mwamba ni salama(aaaaaa)
Chaku tumahini sina, ila damu yake Bwana
Sina wema wakutosha, dhambi zangu kuziosha
Kwake Yesu nasimama
Ndiye Mwamba ni salama
Ndiye Mwamba ni salama(aaaaaaa)
Kwake Yesu nasimama
Ndiye Mwamba ni salama
Ndiye Mwamba ni salama(aaaaaa iyeeee)
Nimeweka tumahini kwakwe
Anayejua leo yangu, na kesho yangu
Mmmmmh
Kwake Yesu nasimama
Ndiye Mwamba ni salama
Ndiye Mwamba ni salama(aaaaaaa uyeeee)
Bwana ni nuru yangu,Na wokovu wangu
Ni mwogope nani, Hapa chini ya jua
Hata nijapopita kati ya bonde la uvuli
Wa mahuti sitahogopa, kwakua Bwana yu pamoja nami
Yeeeeeeeei Eeeeeeii Eeeeeeee
Chaku tumahini sina, ila damu yake Bwana
Sina wema wakutosha, dhambi zangu kuziosha(Nasimamaaa)
Kwake Yesu nasimama( Nasimamaaa)
Ndiye Mwamba ni salama(Yeye Nisalamaaa)
Ndiye Mwamba ni salama(Iyeeeeiee nasimamaaa)
Kwake Yesu nasimama(Nasimamaaa)
Ndiye Mwamba ni salama(Nisalamaaa)
Ndiye Mwamba ni salama(aaaaaa iyeeee)
Kwenye giza nene huni hangazia
Kwenye njaa hunipa chakula
Wakati wa dhiki hunipa faraja, Bwana wangu
Kwake Yesu nasimama( Nasimamaaa)
Ndiye Mwamba ni salama(Mimi Nasimamaa)
Ndiye Mwamba ni salama(Iyeeeeiee kwa Yesu nasimamaaa)
Kwake Yesu nasimama
Ndiye Mwamba ni salama(Nisalamaaa)
Ndiye Mwamba ni salama(Nisalamaaaaa)
Welcome Guys!
👏👏
🤝
Didas 📺 TV we all us together with u
🤗
Barikiwe sana mtumishi B
Amina mtumishi A
Bwana ni Nuru Yangu, ajuwaye Leo Yangu na Kesho Yangu 🙌🙌🙌😍
Mubarikiwe sana na Bwana
Amina amina
Amen amen, tumebarikiwa vyakutosha mama mtumishi. Mungu azidi kukuinua kwa kazi yake unayo ifanya 💪👏🙏🏾🙏🏾
Amina nawepia mama mtumishi
She is the best ever ❤
Hallelujah full kubarikiwa gyamani, MUNGU akuzidishie wetú🎶🥹❤️🔥
Amina
🥰🥰🥰🥰🥰🙌
Etienne fwanga nimeona na nimependa sana,wimbo uwende mbali kwa Jina la Yesu, nimependa
Amina kubwa🙏
Ubarikiwe saaaaana dadaangu
Ahsante sana 🙏
❤❤❤❤❤
Ubarikiwe mama
Am totally blessed DaBena..May Almighty God keep on using you to accomplish his work!!
Amen amen
Amen 🙏
Amina🙌
𝐛𝐚𝐫𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐦𝐚
Amina
Wow❤❤❤
Amen Amen barikiwa
Amen
Que dieu vous bénisse beaucoup pour votre chanson félicitations ma sœur
Amen Amen 🙏
🎉🎉🎉
Amen 🙏 yeye ndiye mwaba nisalama
Amina amina
Amen, mbarikiwe sana❤️🙏🏽!!
Amina
❤❤
Boss, Hussein
Amen 🙏 ❤❤
Hallelujah 👏
Huuuuuuuu
My favorite 😻 🔥🙏
Thanks
Blessed sister
Amen
Mungu akubariki sana mjakazi wa Bwana Kwa kazi nzuri
Amina
Nikweli kimbilioletu ni Yesu
Amina
Amen amen amen 🙏 🙌 👏
Amen
Amen
Amen
Twende kazi
Amina
Amina
you guys have very good voice❤️🥰🥰🙏
Amen and amen
Mubarikiwe wapendwa
Amina amina
Baraka tele katika Bwana
Amina mtumishi
Mwamba nisalama 🤝🤝
Amina mwalimu 🙌🙌👏
Amen 🙏🏻
Amen
Amen ubarikiweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Amina
Ubarikiwe Mtumishi
Amina dada
🙏
Amen Amina 🙏🏻🙏🙏🏻🔥
amina
Aww ☺️
Munarikiwe
Amina🙌👏
Asante sana ulikotoka iyo kujenyigili
Amina
❤️❤️❤️❤️
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
🔥🔥🔥
👏
Amen 🙏
Amen
Amen 🙏🏾
Poa sana Mungu akubariki
Amina
Amen
Amen