ELIMU YA ABJAD :MAAJABU YA HERUFI YA ALIFU KATIKA KUVUTA UTAJIRI NA MAFANIKIO MAKUBWA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Tumia herufi hii ya ALIFU katika kuvuta utajiri na mafanikio makubwa,kupata cheo,utukufu na heshima,kuata siri za watu wanya na ndege na kuijua siri ya mtu.

Komentáře • 23

  • @hadharaally6523
    @hadharaally6523 Před rokem +2

    Ma shaa Allah mashaallah Allah akubarik shehe wetu akupe umri mrefu wenye heri ndani yake uzidi kutupa elimu zilizojificha

  • @athumanisaid2700
    @athumanisaid2700 Před rokem +2

    MaSha'Allah Subhan'Allah Allah akuzishie ilmu zaidi ya hizi unazo tufunza

  • @uthmanhassan397
    @uthmanhassan397 Před rokem +1

    Mashallah sheikh hebu tujuze labda tatizo liko wpi kwa mtu ambaye amejifunz Hii elimmu na masharti yake lkni akignya jambo halifanikiwi

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Před rokem +1

    wejka namba shekh allah akulipe ishaalah

  • @yusufjuma3288
    @yusufjuma3288 Před rokem +1

    Tufundishe somo la kupata ijaz ya barhatiya

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852 Před rokem

    Shukran

  • @aliingoa458
    @aliingoa458 Před rokem +1

    Asalamwaleikum sheikh mi nataka pia uniandikie iyo anzima ya twuran...nigee namba ya WhatsApp

  • @alisalum682
    @alisalum682 Před rokem

    Mashaallah

  • @MariamMalangula
    @MariamMalangula Před 15 dny

    Tuelimishe shehe

  • @ShadrackSelemani
    @ShadrackSelemani Před 5 měsíci

    Naomba kufundishwa elimu ya abjad kuhusu herufi yakuvuta madini kwennye machimbo.

  • @zainabomar5144
    @zainabomar5144 Před rokem +1

    Shekh naomba yako ya wasap

  • @user-bv8ly5ln2o
    @user-bv8ly5ln2o Před rokem

    Asalam alaykum sheikh hiki kitabu kinapatikana wapi

  • @SalehBwila-sj7rn
    @SalehBwila-sj7rn Před rokem

    Asalaam aleyikum mufty je? Uwamke Mala ngap? (Siku ngap) alhamisi ngap? Tuwamke? Please naomba niambie mufty

  • @feliudmasimba625
    @feliudmasimba625 Před rokem

    Sheikh mawasiliano

  • @user-hp5dr2gr7l
    @user-hp5dr2gr7l Před 6 měsíci

    Asalam alykm shekhe ukisoma bila bila ubani inafata ninapoishi mm kupata ubani ni ngum kutokana na.mazingira ninayo kaa

  • @useniselemani7959
    @useniselemani7959 Před rokem

    Sasa sheikh kama mutu uko kwenye akuna ubani makka utafanya je?

  • @user-nw9hn2xq6h
    @user-nw9hn2xq6h Před rokem

    Shekhe

  • @moromanispaamsingi751

    Assalam warahmatullahi wabarakatuh, naomba namba ya whatasap shekhe

  • @user-nw9hn2xq6h
    @user-nw9hn2xq6h Před rokem

    Nina swali unaamka usiku wa saangapi ??

  • @user-vp4ee8id2r
    @user-vp4ee8id2r Před rokem

    Kinapatikana wap