Mwamba unanipa hasira sana nimetamani sana Kwa muda mrefu hapa nyumbani ni jeshi ila bongo nyoso napambana nifike uko japo sio laisi ila mungu atatenda 🙏🙏🙏🙏🙏
Mshana Hongera sana kwa hatua uliyofikia. Pia asante sana kwa kutoa mrejesho kwa kila hatua uifikiayo na mambo yote ya USA kwa ujumla. Mimi ni shabiki na mfuatiliaji wa account yako kwa mambo mengi. Big up. Keep the fire burning.💥💥👋👋
Great African soldier and winning our admiration! Tell me how you adapted to that tough English coming from those drill sergeants as they gave orders and instructions!😎
Nilienda jkt nikiwa natamn kufikia uanajeshi lakini nimeishi kurufi nyumbani nikiwa na Traumatic Kneel Arthritis na mafunzo nilisitisha. Japo sijakta tamaa nina amini kuna kitu kimeandaliwa mbele japo nilipenda kuwa mwanajeshi sanaaa na bado napenda. Nafurahi kuona umefika hatua nzuri sana.
Pole sana kaka. Inaumiza nikiona ndoto zako zikizikwa nyumbani. Usikate tamaa, amini katika ndoto zako na uzifukuzie ipo siku isiyojulikana utaiishi ndoto yako. Keep moving.
@@Joendutitv tusharogwa sana now wachawi wanabidi wajifunze tu,😂😂 the thing is most of the things we saying are on Google is just people they don’t do research
@@edsonndomba1049 unachuliaje suala la uvamizi, mauaji uporaji wa Ardhi kuwafunga magereza wapalestina yaani kuwavua nguo hadharani kuwaweka uchi Mateso kwa miaka zaidi ya 75 we ungeweza Yale ni Mateso ya dhahiri hayahitaji mtu kuwa na Elimu kuelewa
Jambo brother keep it on and congratulations...I think platoon ni thirty persons and company three hundred persons, Lt colonel to major captain and Lt this are Commission officer's Chief Master Chief sergeant to Coplo are NCO - Non Commission officer's it depends American system and British system. Otherwise brother I wish you well in all your endeavors.
New subscriber from Kenya 🇰🇪🇰🇪 congratulations bro
Safi sana mkuu...basic ya Army ni next level, salute kwako
Umerudi bro @EBMSCHOLARS Oops you are strong now 🙌
Asante kk EBM. Yes BCT ya Army unatakiwa uwe very mental resilience kumaliza salama
Baba EBM unaendeleaje Nmekmiss macontent yako asee
Lazima upingue kaka
Appreciate EBM,Lol
Hongera sana Mshana yaan MUNGU mkubwa kuanzia safar yako mpk hapo ulipo kila kitu ni maandiko MUUMBA kila la kheri 🤲🏽
Hongera sana kaka Mshana we proud of you and we missed you and your good contens.
Thank you for your services🇹🇿
Uku tanzainia usimulie mambo ya jeshi ni ngumu sana umetisha broo kwa jeshi la uko
Us. Army 🔥
What i learned ni kuwa majeshi yote yanaelekeana, inshort yanatofautian kwa vitu vidogo vidogo tuu ila salute blood🫡🫡🫡wengine ngoja tupeperushe🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mwamba unanipa hasira sana nimetamani sana Kwa muda mrefu hapa nyumbani ni jeshi ila bongo nyoso napambana nifike uko japo sio laisi ila mungu atatenda 🙏🙏🙏🙏🙏
Bongo miyeyusho mingi. Mwenyewe na hasira na bongo, napambana nitoke hii nchi
Nyie pambaneni hapa hapa huyo ni zali lake Sasa Kama hamtaki bongo twendeni Kongo au sudani wanalipa vizuri tu wala msikonde
@@saimonwantango9569 ukipambana bongo wewe inatosha kwa nini ufosi na wengine wapambane bongo? Kila mtu na choices zake.
@@akleiludovick9853hizo nguvu wekeza hapa hapa ,hakuna issue uko
Mwanangu Mshana umetisha nichek watsup
Kitambo saana
Mshana Hongera sana kwa hatua uliyofikia. Pia asante sana kwa kutoa mrejesho kwa kila hatua uifikiayo na mambo yote ya USA kwa ujumla. Mimi ni shabiki na mfuatiliaji wa account yako kwa mambo mengi. Big up. Keep the fire burning.💥💥👋👋
Great African soldier and winning our admiration! Tell me how you adapted to that tough English coming from those drill sergeants as they gave orders and instructions!😎
Hongera🎉
Mshana mshana safiiiii safiiii kaka
Kumbe ujeshi dunia nzima unafanana ndugu
Nimeangalia sana labda nimeikutia katikati ingawa ningependa sana ueleze kwa kina namna na mahitaji yanayotakiwa mpk kufika huko kwa mbongo wa kawaida
Hao unaowatumikia ndo tatizo kwa AFRIKA!!
Wasanue wana kuhusu CRUCIBLE 😅😂😂😂😂 💥💥💥💥💥🏃🏼♂️🏃🏼♂️
Mshana jeshi la Tanzania likikuita nyumbani unaweza kuja kutumikia?
Hawezi
Yap,camanda nasubil umalize coz unipe mualiko 😂❤
Nakubali sana mshana umekuwa Loli moder wangu muda mrefu sana sulute kwako mungu akusaidie 🇺🇲🇺🇲🙏🙏🌹🌹
I appreciate 👊🏼
Mshana mwenzangu
After BTC course ,how long unaruhusiwa kupiga shule? @mshanatheblacksmith
please can you tell us how much exactly you making after taxes that video will be so helpful bruv
Nilienda jkt nikiwa natamn kufikia uanajeshi lakini nimeishi kurufi nyumbani nikiwa na Traumatic Kneel Arthritis na mafunzo nilisitisha. Japo sijakta tamaa nina amini kuna kitu kimeandaliwa mbele japo nilipenda kuwa mwanajeshi sanaaa na bado napenda. Nafurahi kuona umefika hatua nzuri sana.
Pole kk system ya nyumbani ngumu sana japokuwa hainaulazima kuwa hivyo I really believe bado unanafasi yakuwa mwanajeshi hata kama sio wa home country
I can also see that kaka. Nina amini ipo siku nitakuwa hatakama sio wa huku. @@mshanatheblacksmith
Pole sana kaka. Inaumiza nikiona ndoto zako zikizikwa nyumbani. Usikate tamaa, amini katika ndoto zako na uzifukuzie ipo siku isiyojulikana utaiishi ndoto yako. Keep moving.
@@fredrickchenga shukran mkuu bado nina amini katika hilo ipo siku nitazifikia tu hata kwa kuchelewa
Ach 😊😊😊😊😊
Jeshe la materosist Hilo. Waneuwa Iraq Waneuwa Libya. Waneuwa Afghanistan wanauwa ghaza.
Ni ngori ya kimataifa 😅 in John nduti voice...
BMT ni same na BCT ama?
hio kampuni Kibongo tunaita kombania
Mimi mwenyewe mwamba namkubali sana mpaka kua us Army
sawa tupo nyuma tunakuja tukitokea huku Asia
Be uncomfortable in training so as to comfortable in battle field
Jeshi gani hadi mashoga wapo huko😂😂
Company/Kampuni/Kombania ni TZ
Mwana eastafrica kwenye mavazi za kijeshi za kimarekani congratulations 🎊 for completing the training 💪
Salute bro 🇹🇿🇯🇵👍🏽Wakilisha
Nataka kujua ukishapita B.T.C ndio unakuwa mwanajeshi kbsa au bado kuna kozi nyingine ili uwe mwanajeshi wa kimarekani
BMT hapa lol nothing is easy, congrats though
Dream come true bro, huogopi kurogwa na watu wa nyumbani?
@@Joendutitv tusharogwa sana now wachawi wanabidi wajifunze tu,😂😂 the thing is most of the things we saying are on Google is just people they don’t do research
Maneno machafu ama huo utani ni kawaida nazan katika majeshi yote.
Kaka ushahidi kambini
Sisi tunaita kombania
Wenzetu wapo mbali sana wamefikia kiwango cha kuajiri watu wa mataifa mengine kwenye vitengo nyeti kama jeshi ,unadhani afrika itafikia huku kweli🤔🤔🤔
Mmm hii ni mada pana sana.
@@habibumdetele6530 unataka kusema na sisi waafrika TUNAWEZA kufanya hivyo kweli
Ivi hamnaga six weeks Bila kulala
We mzee umekubali kua deployed?🙆🏽♂️ maana naona upo na AHC. But Good luck toka kwa Airman usaf hapa
Kozi ni muda gani ?
After how long ndio unaanza kulipwa
Unalipwa ukiwa BMT. Mafunzoni
Kujiunga na jeshi la marekani mwisho miaka mingapi
BROO NASIKIA WANATAKA KUWAPELEKA YUKLEIN LUDI HOME USIJE DEDI KUTETE NCHI ZA WATU HAKUNA ATAKAE KUKUMBUKA HUKO 🤚🤚🤚🤚
Nimeipenda comment yako!
Paka natoa machozi ndugu yangu daaah 😭😭😭😭
Kwann?
kama tu huku India
Unakam deployment Iraq linii?😊
So hakuna mitihani ya kusoma na kuandika huko bro?
BCT no hamna ni afya yako tu na ustahamilivu
@@mshanatheblacksmithkwa wanaovaa miwani vipi wanakubaliwa kujoin army?
Sawa lakini USA kuwauwa wenzetu wa GAZA how do you feel
Gaza ni wenzako😂
@@NoelChambo Yes
@@NoelChamboNoel 😂
PIA UNACHUKULIAJE SWALA LA UVAMIZI WA HAMAS NAKUUA WAISLAEL 1000
@@edsonndomba1049 unachuliaje suala la uvamizi, mauaji uporaji wa Ardhi kuwafunga magereza wapalestina yaani kuwavua nguo hadharani kuwaweka uchi Mateso kwa miaka zaidi ya 75 we ungeweza Yale ni Mateso ya dhahiri hayahitaji mtu kuwa na Elimu kuelewa
Hapo kwenye kulipwa mlikuwa mnalipwa per week and how much dollar...???
Kwa mwezi mara mbili tarehe 1 na tarehe 15
Hpo us army upo katika kitengo gani cha kazi?
12N [Horizontal Construction Engineering]
Jambo brother keep it on and congratulations...I think platoon ni thirty persons and company three hundred persons, Lt colonel to major captain and Lt this are Commission officer's Chief Master Chief sergeant to Coplo are NCO - Non Commission officer's it depends American system and British system. Otherwise brother I wish you well in all your endeavors.
Ukiw trainee unalipwa kiasi gan na kwa mda gan
Unalipwa pesa yote kamili kulingana na rank yako hamna kuzungushwa huku😂 account itasoma mara mbili kwa mwezi tarehe 1 and 15
Tulia wewe Kuna sisi warusi uwa atuna matangazo Sasa wewe yakanyage uone kilicho mtoa kanga manyoya na atufagilii mashoga viva Russia
Kumamako ukienda vita kufia huko
Kwa hapa bongo kijana unajitoa kutumikia nchi yako lkin wanavyokubania mpaka unashindwa kuwaelewa
Kwa wa islam ☪️ vp kuhusu chakula ni halal ao ndo inabid ule kilicho andaliwa
Every soldier is always marksmanship ❤❤❤ @ebmscholars @mshanatheblacksmith