Mwanamke mtumishi wa MUNGU amebeba sura ya MUNGU, so hiyo hatari Iko wapi? Mungu AWEZA kumtumia yeyote hata jiwe AWEZA kulitumia , MUNGU ndiye MUUMBAJI huwezi kumpangia amtumie nani? Kwani vyote vimeumbwa na Yeye, ukianza kuhukumu angalia usje kalia kitu Cha mungu ,Mungu MKUU ndiye mhukumu wa kweli
Siyo hivyo. 1 Corinthians 14:33-35 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu. 34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo. 35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.
Bwana apewe sifa
Fanyeni angalisho na hizo enjili zenu za kumwagiana mafuta.
Amen ❤
Ndugu yangu❤️
Oh Amen sana sana tena sana
Amen sana
Amina Amina
amen
Mwanamke ku mwagiliya Mtu mafuta? ni Atari
Mwanamke mtumishi wa MUNGU amebeba sura ya MUNGU, so hiyo hatari Iko wapi? Mungu AWEZA kumtumia yeyote hata jiwe AWEZA kulitumia , MUNGU ndiye MUUMBAJI huwezi kumpangia amtumie nani? Kwani vyote vimeumbwa na Yeye, ukianza kuhukumu angalia usje kalia kitu Cha mungu ,Mungu MKUU ndiye mhukumu wa kweli
Ushirikina
Siyo hivyo.
1 Corinthians 14:33-35
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.
@@user-bw3pz6vf2n ubarikiwe
Amen ❤