Mtumishi Samweli awekwa wakfu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 14

  • @WassoFundi
    @WassoFundi Před měsícem

    Bwana apewe sifa

  • @user-bw3pz6vf2n
    @user-bw3pz6vf2n Před měsícem

    Fanyeni angalisho na hizo enjili zenu za kumwagiana mafuta.

  • @Nyota-Dorcas
    @Nyota-Dorcas Před 2 měsíci +1

    Amen ❤

  • @isaackkimpanga3883
    @isaackkimpanga3883 Před 2 měsíci

    Ndugu yangu❤️

  • @amisaselemani1
    @amisaselemani1 Před 2 měsíci

    Oh Amen sana sana tena sana

  • @faidambokani989
    @faidambokani989 Před 2 měsíci

    Amen sana

  • @shukurumlechi4139
    @shukurumlechi4139 Před 2 měsíci

    Amina Amina

  • @TinaRose-xt2hs
    @TinaRose-xt2hs Před 2 měsíci

    amen

  • @ibrahimuassumani4451
    @ibrahimuassumani4451 Před 2 měsíci

    Mwanamke ku mwagiliya Mtu mafuta? ni Atari

    • @AnnaSimon-yx9hh
      @AnnaSimon-yx9hh Před měsícem

      Mwanamke mtumishi wa MUNGU amebeba sura ya MUNGU, so hiyo hatari Iko wapi? Mungu AWEZA kumtumia yeyote hata jiwe AWEZA kulitumia , MUNGU ndiye MUUMBAJI huwezi kumpangia amtumie nani? Kwani vyote vimeumbwa na Yeye, ukianza kuhukumu angalia usje kalia kitu Cha mungu ,Mungu MKUU ndiye mhukumu wa kweli

    • @user-bw3pz6vf2n
      @user-bw3pz6vf2n Před měsícem

      Ushirikina

    • @user-bw3pz6vf2n
      @user-bw3pz6vf2n Před měsícem

      Siyo hivyo.
      1 Corinthians 14:33-35
      33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
      34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
      35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.

    • @AnnaSimon-yx9hh
      @AnnaSimon-yx9hh Před měsícem

      @@user-bw3pz6vf2n ubarikiwe

  • @vannesamariana1028
    @vannesamariana1028 Před 2 měsíci

    Amen ❤