mawaidha mazuri sana,kuwafundisha watu kuishi na wake zao kw upendo,tusahau kuwa mapenzi ya ya wazungu tu bali ni mafundisho ya dini yetu, Allah sw akujaze kila la kheir shekhe wetu.
Mashallah mawaidha mazuri sana yalojaa mafunzo ya sunna za Mtume S.A.W ALLAH Atujaalie kuzifuata na kuzitenda kila siku kama alivyofanya MTUKUFU WA DARAJA Aamiin
asalam aleikum shekh 0thman kwa mawaidhayako laki ni wakowapi hao wanaume utawafanyi kilakitu mwesho utatupiwa chakula nakutukanya mpaka mamazetu mungu awaogoze wamekuwa na madharau aweza sema naweza mchukuwa malaya nikamweka akanipikia
Wallahy wana ume wasasa hawana shukrani khaswa akiwa na pesa kidogo anajisahau wallahy tuna mitihani allah atupe subra tulewatt wetu tusichoke
Masha Allah 🙏 alhamndulilah umetukumbusha yatupasayo kufanya Kwa waume zetu Allah nami anifanyie wepes nipate mume mwema na anifanyie wepes kumfanyia yaliyo mazur mume wangu insha'Allah Amin.
Niko hapa
Naam nakusikiliza shekh wangu othman maalim
mawaidha mazuri sana,kuwafundisha watu kuishi na wake zao kw upendo,tusahau kuwa mapenzi ya ya wazungu tu bali ni mafundisho ya dini yetu, Allah sw akujaze kila la kheir shekhe wetu.
Genius speak Othman maalim🤲🏻Allah akupe mwisho mwema
Ilmu muhimu,yaa Rab wape waume zetu ilmu...
JazzakAllah kheir sheikh wetu 🤲🤲
Amin
Shukran jazeelan sheikh otham maalim
Mashallah mawaidha mazuri sana yalojaa mafunzo ya sunna za Mtume S.A.W ALLAH Atujaalie kuzifuata na kuzitenda kila siku kama alivyofanya MTUKUFU WA DARAJA Aamiin
Allah amlipe muongeaji sheikh wetu Othman Maalim . na Kaka Said Salim kwa ku post video za Dini. Jazakumullahu Kheir
Shukran sheikh Othman maalim kwaku tutete ya wakina mama. Allah akujaze kheiri in sha Allah
Allahu akbar shekhe Allah akuweke miaka ming yarabbiy uzid kutuelimisha
Jazakallahu kheyran sheikh wetu.Mungu akujalie peponi pamoja na mtume wetu (Sallahu Alleyhi wasalam).
Ma shaa Allah sheikh mungu akutilie baraka katika umri wako
Mashallah namb yke nitpaita vp..Allah akujaze na ilmu yako iwe ya manufaa
Alwah akupe umry mrefu shekh othmn maalim
Allah akuzidishie wepesi inshaalah kwa kila kauli yako.
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu Jazaka Allahu kheri Yaa sheikh....hutba taamu sana MashaAllah tabaraka Allah ....kwa sauti taamu sana.mashaAllah
Mashallah Allah akupe shifaa ili uzidi kutoa daawa
mashaa Allah mungu amuongeze sheikh umri mrefu
Shukran kwa mawaidha sheikh wetu Othman mungu akuzidishie kheri ameen
Fuad Ahmed
shukran laka ya sheikhun allah atutiliye upesi tuwe wenye kuzingatiya na kutia kwenye matendo
Mungu amzidishiye sheikh wetu Maali Osman
asalam aleikum shekh 0thman kwa mawaidhayako laki ni wakowapi hao wanaume utawafanyi kilakitu mwesho utatupiwa chakula nakutukanya mpaka mamazetu mungu awaogoze wamekuwa na madharau aweza sema naweza mchukuwa malaya nikamweka akanipikia
allah atakujazi inshallah shek othman kwa mawaidhazako
safi
ummu fatma fatma
Tatizo wanawake hawaaminiki niwaovyo sana
Mashallah kheyr
Shekh sie wanawake tumezongwa ayo matus tunayopata sio mchezo ktk uloyataja hakuna 1 linalofanyika anakutafutia sababu 2 nakwambia kila neno neno
Nampenda sheikh othman malim
MashaAllah mawaidha Mazuri sanaaa Mungu atakulipaa jazaa yako InshaAllah shekhe wetu na akupee Umri mrefu na moyoo huo huo wa kuchangaza dini ya Allah
Allah aturuzuku jannah amin
Unaweza kumtuma mume maji kwenye gass sio kwenye ndoo anakwambia miye ctumwi na mwanamke hatar sana
Mashallah tabaraka llahi
Mashaallah allah akulipe kila la kher shekh...
shkhe Othman maalim hapo umenikosha saana
Allah akujalie uzidi kutupa mawaidha mazuri tunakushukuru sana InshaAllah.
Issa Sabuni vhkg
Mashaa Allah
Jazzaka llah
Shukran mawaidha mazuri
Allah akupe afya njema
jazakallahu kheir mawaidha mazuri sana
mashaaAllah mungu akupe mwisho mwema
Mashaallah nakupenda kwa ajili ya Allah
JADHAKA LLAH KHEIRA.WABARAKA.LLAH.FIIKHI
A.R.F. Iddy ma shaa Allah Allah awalipe malipo mema
Mashaalah
Mashallah mawaidha yana mafundisho makubwa sana
Mashlah
Mungu akupe afiya AMENEE
Mashallah nimeyapenda mawaidha sheikh
Mashaa Allah 💕
Shukran Sheikh kwa mafunzo
ma sha allah, tuowe au tuolewe, lkn ndoa pasipo utulivu ni bora ujane wa muda kwani " litas'kunuw ilayya"
JazakaLlahu khayr
Jazakallah kheir
Maa shaa Allah
Subhanallah
Maashallh , maashallh
yaa ochumani. maashaallah. tumekumiss
Mashallah shk osman maalin
shukran maalim
Shukran wajazaka llahu heri
Allah
jazakallahu kheir
Allahu bariq
Masha Allah
jazaka Allahu Kheri
Alhamdulillah nimekifunza mengi leo?
Mashallah Mawaidha Mazuri, ILA Camera Man hao wanao lala na kusinzia ue ukiwa edit...
Jazaka lwah kheir
said Salum.asalamu alikuwa vip haliyako naomba no yake shekhe othuman maalim
Jazaka Allah mazuri sana
Humphrey Shienda MUNGU akuweke zaidi
Aa all aa shek uthman
Mashaa Allah
Inshaallah kwa maudhui mazur
JazzakAllah kheir
Mashallah
Maashaallah maashaallah maashaallah
Goody
mashaallah
shukran
Mashaallah shekhewetu
Astaghafillakh bora tungeolewa enzi za bwana mtu maana saiv tunakoma
Ingekua raha sana wallah
Jamani inanifanya nimtafute mtu wa kuowa yani natafuta alietulia
Kweli kabisa
sher
Mashlllah
musinilaumu mwanzo mgum
CLEVER YOUNG by king T mashallah
Long life to him ya rabi
king T
Yaan siku hizi waume hao hakuna na kama wapo bas ni bahat na sibu
Km shekh kuna bint anahitaj mathna mchumba anapatikana 0777489264)
az
Mashallah
Shukran sana. Faidika na mengine apa kwenye link
czcams.com/video/mUY_qtHgJyM/video.html
Allah amlipe muongeaji sheikh wetu Othman Maalim . na Kaka Said Salim kwa ku post video za Dini. Jazakumullahu Kheir
Bigirimana Rehema allah awalipe na nyie pia na mzidi ku zi sambaza ili kila mtu afaidike
Amiiin ya Rabby
Amiin Amiin Amiin Amiin Amiin Amiin Amiin yaa Allah kwa sote
Allah akufanyie wepesi inshaalah kwa kila hatua yako.
MashaAllah hi darsa imenifurahishaaa kikweli ,,, yote ulosema ni swahih, chenye twaomba Subra sana nawaume zetu,
Abduahmansudes
Mashallah
Mashallah