Video není dostupné.
Omlouváme se.
PAUL CLEMENT_ULINAMAKA ( OFFICIAL LIVE RECORDING VIDEO) SKIZA 6388708 ( swahili version)
Vložit
- čas přidán 24. 05. 2021
- Song Written by: Paul Clement
Nyakyusa translation by: Ambwene Mwasongwe
Music Director: Joel Alfred
This song arranged by: Jonathan Shemsanga
Musicians:
First keyz: Joel Alfred
Second keyz: Elisha Julius
Third keyz: Jonathan Shemsanga.
Guitarist: Hagai Makuzo
Bassist: Samuel Modest
Drummer: Andrew Chitete
Back Ground Vocals.
Soprano:
Nice Marandu
Melanie Anthony
Alto:
Christine Marco
Ruth Mkemwa
Tenor:
Joshua Cleopa
Amos Mbise
Calvin John
This song mixed and mastered by Samuel Mboya (Chosen Records)
Sound engineer: Jeddy Audio
Lights by: David Sengati (Nyakalo lights)
Video Director: Sylvester Daniel (syberpic)
Venue : HIGHLANDS 255
Raiser by: S&M
Backline:
Keyboards: Nelly Music
Drums,Mics etc.: Sound solution
Dressed by Mkude Fashion
This is amaizing!!!
Damu ya Yesu ikufunike, njia yako iwe njoofu; utiwe nguvu hadi mwisho. Hii nguvu uliyoiimba hapa iwe dhahiri kwako daima. Ubarikiwe sana , Nakupenda.
Ngana nongwa na ughwe KYALA ulinamaka 🙌🙌
KYALA uli namaka, ngana nongwa na ugwe.. wimbo mzuriiii
Sjawahi kujua kama ntakujaga kupenda nyimbo ya kikabila ila hii imekuwa ya kwanza,we Paul fundi,that humbleness of yours unazidi kuinuliwa tu, nimebarikiwa mno mno
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo hiii itaishi sanaaaa
Brother Andrew kwenye Ngoma Nakuona kama ngowi vileee ubarikiwee kaka
Mungu wangu una nguvu one of My best song I really love this song inanipa Matumaini makubwa sana naisikiliza from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🙏🙏
Bro Yesu akubariki kwa NEEMA huu wimbo tunabatikiwa
Wooow video tuliyoisubiri now imetoka daaah nabarikiwa nikiwa Mwanza jaman
The bass guitar in this song will make you worship 😍
Hakika Mungu una nguvu sina mashaka. Hongera sana mr paul Mungu ayazidishe mafuta ndani yako ukafanye zaidi kila uchwao
this song is a blessing to me 🙏 and may God bless you MR Paul
Wewe ni sauti kutoka mbinguni. Mungu aendelee kukutumia ili tuzidi kumwona yeye. Glory be to the God.!
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa hii baraka umetuletea
Wakina Mwaisa mnataka iwe lugha yataifa 🔥🔥🔥🔥 Kyala abhatule fijo
Hakika Mungu wetu ana nguvu.. daima.❤😊😊
Wao wao wao Sana brother ubarikiwe Sana
Upako wa huu wimbo tunaomba urudiweee urudiweee urudiweeeeee... Stay Blessed Minister Mwakanyamale.
wow, kazi nzuri sana! waimbaji, wapigaji, stage, lights yaani daah!! Mungu awabariki... studio iliyomix nayo aloo... kila kitu excellent, Mungu awabariki sana!
You really know good sounds.
Wimbo umetulia hasa vyombo vimepigwa kwa ustadi sana
@@joshmangi lq
Happy birthday mtumishi wa Mungu Kyala alinamaka naloli🙏🙏🙏
Huu wimbo nimzuri yani ni 🔥🔥🔥 hongera sana minister Paul nimebarikiwa .brother Sam Mboya mixing imetuli kazi nzuri sana
Bwana una nguvu kweli. Bro Ubarikiwe kwa wimbo huu
Amina kakaangu
Amen
Ni kweli Mungu Unanguvu, nlikuweko cku ya tukio, u are blessed kaka, all songs are best ov the best....God bless you always 🙏....
Kuna ambao tulijifunza kinyakyusa kwa wimbo huu....I love this song aweee😍...naomba hili tukio lirudiwe lirudiwe lirudiwe 🤩🤩
Element umeimba vizuri Sana nakupenda Sana huu wimbo ubarikiwe mno kea kuimbe kinyakyusa Mimi kama mnyakkyusa nimebarikiwa uinuliwe juu zaidi usajigwe mwanangu
Nakumbuka alipo kuja mbeya aliuimba huu wimbo baada ya kumaliza kuimba, audience tukalianzisha upya... utamu wa muziki uwe sehemu yake bhn😂... Huu wimbo mtam askwambie mtu
Hongereni
🙏🔥🔥
😂😂😂mkalianzisha tena,, yenyewe huu wimbo mtam sana
Powerful Mungu qkutunze sana brother
Wimbo umenibariki mnoo ubarikiwe mtumishi wa Mungu ila sauti ya tatu wamemezwa
🙌🙌🙌wakwanzaaaaaaaa
You are really blessed unaimba hadi naskia you have ministered to me deeply. Thanks alot. Yuo will never know what you have just done to my soul
Sisi tunaendelea kuufurahia ukuu wa Mungu kupitia mtumishi wake hongera sana kaka Paul
God you are powerful, gwe KYALA olenamaka, Mungu una nguvu sina mashaka juu ya elimu yangu,afya yangu,familia yangu,kizazi na taifa letu,Kyala akope amaka mingiiiiiiii
I love u 🥰 bro paul mungu akuzidishie
Mungu akubariki sanaa Paul.Namsifu Mungu sanaa kupitia huu wimbo.Yesu azidi kukikuza kilichondani yako
God you are Powerful!Kyala Ulinamaka God bless you
Mungu una nguvu...
Sina mashaka na wewe
This song is very spirit full💯
Wimbo huu ni mzuri jamani, MUNGU azidi kukuinua Mtumishi wake kwa huduma hii..
Wapi wakyiiii, nalol Kyala alinamaka. Be blessed broo
I'm blessed Kabisa 🌹🙏 I'm from DRC 🇨🇩🇨🇩 Naishi Bujumbura/Burundi 🇧🇮
Mungu ana nguvu kweli🙏🏿🙏🏿 Such a powerful song🤗🤗
Happy birthday Paul, Mungu akubariki na akutunze zaidi kwa utukufu wake 🙏
Nabarikiwa sana na nyimbo zako MUNGU wa mbinguni akubariki sana 🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.,, Imba Kama hutaimba tena na tuifikie ile siku Yesu ametuandalia,,, tukaimbe pamoja naye MBINGUNI
Amen 🙌
🙌🙌🙌🙌🧨
Paul, nabarikiwa sanaaa kupitia kazi yako, Mungu wetu akutunze!
Glory to God ....
Congratulations Dear Brother Paulo Mwaki...... from Mbeya aisee Ubarikiwe sana, Mungu azidi kukutunza.
Kyala Ulinamaka 🔥🔥🔥
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asante Sana watumishi wa Mungu kwa wimbo wenye nguvu na majibu ndani yake Amen 🙏 🙏
Clements humility is on another level
Happybirth day bro Sina mashaka na yeye
Kyala ulinamaka 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💓💓💓💓💓💓💓🎶🎶🎶🎶
Unanibariki sana mtumishi. Kwa nyimbo zako zote🙏🙏🙏. MUNGU azidi kukuinua siku Hadi siku. Kwa jina kuu la YESU 🙏
Wooooooooow beautiful song here
Barikiwa sanaaa man of God
ubarikiwe mtumishi wa Mungo
Azidi kukupandisha viwango vingine na kukutumia
CLEMENT MIGHT GOD BLESS YOU SANA IT'S REAL KYALA ULINAMAKA
Vile comments zote za kizungu🤣🤣🤣🤣 ngoja niweke ya kinyakyusa moja
Kyala alinamaka kangi tukaja niinongwa, tukaja nulutende tukusisimikisya amaka nubhukulumba bhwake
He is great and amazing God.
😂😂😂
Huu wimbo umenibariki
Kaka unajua sana zidi kubarikiwa
Hatareeeee
Background vocalists 👌👌 perfection
Powerful song. 🇰🇪🇹🇿🇺🇬
Kweli mwimbo umenibariki
Be blessed so much my brother,, I real enjoy the song,, Wimbo Una nguvu sana ya kumfanya mtu afikiri uweza na ukuu WA Mungu. Ni naamini Kuna mapenzi ya Mungu katika huu Wimbo.
Seba ulinanguzu....
Barikiwa mtumishi MUNGU akuweke uoneshe kizazi hiki vile kuabudu kulivyo kuzuri...seba akujiwe
I can't stop playing this song.its a blessing in my life???
Kutokuwa na mashaka ni silaha ya muombaji. Uaminifu wa Mungu sio wa kutiliwa mashaka hata kidogo.
Njage kughu Malafyale inongwa na ugwe tata ulinamaka fijoo gwe Ntwa...
Mala zotemtumishi uwa naona kuwa sawa chumvi ndani ya mboga.. Mungu azidi kukuinua
I can't stop playing this song....feeling so blessed watching this with my son💕 💙🇺🇲🇺🇲🇺🇲
🔥🔥
Happy birthday to you
A very powerful ministration 🙏
Mungu awabairki mabinti sayuni, sauti nzuri za kumsifu Mungu #kyalaulinamaka💪
Aiseee toka nmeanza kuckiliza nyimbo zako hii imenigusa sanaa yesu amekuongezea kitu cha pekee ndani yako,,, kwa hii ngoma umevua mipaka mwanzo kuiona nikajua ya mambele south au Niger kumbe ni mtt wa tx mungu akubariki zaid akufunulie vitu vzur kama hivi
The bassist ...ako sawa anacheza na melody ya wimbo..the same way bass ilichezwa kwa ule wimbo wa wewe ni mwema ..paul clement
Mungu azidi kukutumia Kaka kazi nzuri sana
This is a Tanzanian Star...let the world bow before the God of Paul Clement
Tanzania National gospel anthem 🇹🇿 .
Kyara Jo gwamaka, kyara Jo gwakisa, kyara Jo gwa lugano, kyara Jo MPOKI,
Am Blessed kyala ULINAMAKA🙏🙏
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Una nguvu Mungu awesome
We Kaka mm unanibariki tu
😌😌😎 Hakika ana nguvu
B Blcd bro
Wimbo mzuri Sana unanibariki Sana
So so nice song aleluyah
Nilipousikiza huu wimbo huu Mungu alinipa uwezo wa kucheza piano kweli Mungu una nguvu
Me vtu kama hv ndo nilikuwa nataka barikiwa mtumish wa Mungu akuweke vwango vya juu zaid
🇱🇸 lesotho approves!!
Kyaulinamaka..my God your too powerful
Kyala is Nyasaye nyalo seche te. .....Mungu una nguvu majira yote
Ulinamaka dah naenjoy sana Paul unajua MUNGU akuinue zaiiiiiidiiiii mpaka mawinguni.
Mungu azidi kukuinua.. wewe ni baraka saana katika taifa letuu
This is too amazing totally proud of you my brother Minister Paul Clement.. kazi safi kabisa
Hii..ni..moto..🔥🔥...ivi..kwa..stahili..hii..ntamwacha..YESU..😂.kweli...daaa...ULINAMAKA..kwenye..hewa..ya..gospel
Hii..ni..moto..🔥🔥...ivi..kwa..stahili..hii..ntamwacha..YESU..😂.kweli...daaa...ULINAMAKA..kwenye..hewa..ya..gospel
@@ibradarpraize3613 t
@@ibradarpraize3613 unamwacha huende kwa nani?
@@ibradarpraize3613 aáaaaááá
Si kwa kubarikiwa huku Mimi jaman 🤗😇
Haleluya!
Hakika Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo ana nguvu zisizostahili kutiliwa shaka hata kidogo.
Salamu za pongezi kwako ndugu Paulo pamoja na timu yote kwa kutuletea kazi iliyotukuka kiasi hiki. Asante sana.
Heaven must be very beautiful🙌🏼
Waooh nymbo nzur imenibariki na kunitia nguvu sna
Mungu amejua kutujibu maombi yetu . Stay blessed Minister PaulClement
Ulinamaka
Blees bro good song for this priod