NABII HUYU KIBOKO!! ATAJA MANABII WAZINZI NA WATUMISHI WEZI WA PESA ZA WAUMINI ,AWAKEMEA HATARII

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 227

  • @user-ri1by1ij4o
    @user-ri1by1ij4o Před 6 měsíci +1

    Asante mtumishi wa Mungu naona roho ya nabii Isaya imekuja tena,tuponye tumedanganywa vya kutosha

  • @siphaelkanuya3339
    @siphaelkanuya3339 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe Baba mtumishi wa Mungu nimebarikiwa Na ujumbe huu Mimi pastor Sifaeli Niko Arusha Bwana Yesu akutunze chombo Cha Yesu.

  • @user-ri1by1ij4o
    @user-ri1by1ij4o Před 6 měsíci +2

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu ,Mungu akutie nguvu ,

  • @user-do1ut4gb1e
    @user-do1ut4gb1e Před 9 měsíci +1

    Uko sawa, Mtumishi songa mbele.Amen

  • @reginaldmassawe6417
    @reginaldmassawe6417 Před rokem +2

    🙏uko vizuri mtumishi wa Bwana , lipua Yesu Kristo atuponye

  • @ericapaul162
    @ericapaul162 Před 2 lety +1

    Asante nabii wa Mungu...Mungu amekutumia uwe mdomo wa kutuonya na kusema yale yasiyofaa ...Mungu akulinde daima

  • @annaugust1853
    @annaugust1853 Před 3 lety +6

    Ubarikiwe sana mtumishi endelea kukemea uovu

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 Před 3 lety +6

    Mungu akutie nguvu nabii wa Mungu, siku zote nabii wa kweli hupingwa sana.

  • @petergacharah5187
    @petergacharah5187 Před 2 lety +2

    I am a Kenyan living in Botswana and of course I understand Swahili. I wish all the people of the world could understand you. People are now worshipping bottles of water, oils, bracelets etc. Ujinga, upuzi, upumbavu mtupu! You are preaching directly what I preach. You stand for what I stand for. Mchunganji how can we save people from these evil prophets. Evil prophets were trained in the caves of Nigeria by their dead idol. And they have polluted the whole world. Barikiwa sana!!!

  • @user-yv9ie6op1i
    @user-yv9ie6op1i Před 6 měsíci +1

    Ubarikiwe kwa kusma ukweli Mungu akubariki

  • @mwangimomsigahute5717
    @mwangimomsigahute5717 Před 2 lety +2

    Barikiwa sana mtumishi kwa kukemea maovu

  • @pericymnyamoga3859
    @pericymnyamoga3859 Před rokem +1

    Halafu jambo la kusikitisha ni kwamba hakuna roho mbaya kama roho ya uzinzi kama mchungaji akiwa ni mzinzi roho inaambukiza waamuni hata kama hao waumini hawajui anachotenda mchungaji Mungu atusaidie na roho hii mbaya ya Shetani

  • @elishavenance1348
    @elishavenance1348 Před 2 lety +3

    Mungu akulinde baba mchungaji(nabii)

  • @user-op8nk9sb9s
    @user-op8nk9sb9s Před 6 měsíci

    Asante mt

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa7364 Před rokem

    Well Very nice, Good

  • @EvaSalome-xl8wk
    @EvaSalome-xl8wk Před rokem

    mtumishi na mimi kama mtumishi nimefurahi sana kemea 2 timo 4:2 mungu akutie nguvu

  • @Godisgreat20243
    @Godisgreat20243 Před 2 lety +2

    Amen!Sema kweli mtumishi wa Mungu,kweli ndiyo itawaweka huru.Roma 8:14

  • @judithshaban9536
    @judithshaban9536 Před 3 lety +3

    Mungu akutiengu baba watumishi wengi kwa sasa hawakemei dhambi wanafunika maovu

  • @kuhaniagapemwasomola.6468

    Amen ubarikiwe sana

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 2 lety +4

    Nabii wa kweli lazima ukemeee dhambi

  • @estherngondya1389
    @estherngondya1389 Před 2 lety

    Umeeleweka Sana Mtumishi wa Mungu. Yesu akutunze na Neema ya Mungu izidi kuwa juu Yako. Barikiwa Sana. Hii ndiyo Injili!!!

  • @paulinemokeiraogega2902
    @paulinemokeiraogega2902 Před 2 lety +3

    Nabii wa Mungu naomba unikumbuke kwa maombi,Roho yangu yanidunda kwa Kasi na kuishiwa na nguvu

  • @user-bt6hr6ze3x
    @user-bt6hr6ze3x Před 6 měsíci

    Semayote baba wanaokukomesha kuwashambuliya watumishi haosiwatumishi wa Mungu waopiya nikamahao watumishi wauongo mchungaje pazasauti usiache pigakelele zaushindi nakupendasana kwakweli unayoiubiri ongezababa mutumishiwa Mungu

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u Před 2 měsíci

    Glory to God ❤

  • @faridashabanifaridashabani5950

    Amina Baba wambie ukweli Baba
    Mungu akutunze zaidi nimebarikiwa sana Baba Amina Sana nakupenda Sana 🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕💪💪

  • @damariswanjiku3092
    @damariswanjiku3092 Před 2 lety

    barikiwa mtumishi kwa maneno hayo uko na uchungu wa kazi ya bwana

  • @tabithakerubo6187
    @tabithakerubo6187 Před 2 lety

    Mtumish Mungu akubariki wakemee kabisa lm watching from Kenya a

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 Před 2 lety

    Aminaaaaaaaa

  • @etonyemyaesau1433
    @etonyemyaesau1433 Před 2 lety

    Ati mugawane mshahara marambili alafu izo Bima nibaki na deni za bima? Ubarikiwe sana mtumishi wataje ili waache izokazi zakutapeli kwa Jina la YESU.

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 Před 2 lety +1

    Ila hii ya uzinzi na viwango vya sadaka mmh Mungu atusaidie kila mwamba ngozi huvutia kwake.

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Před 2 lety

    Keep up brother, don't afraid. Ubarikiwe sana leo hata kesho

  • @robertlyimo636
    @robertlyimo636 Před 2 lety

    Ubarikiwe baba sanasana Hata huku kwetu Songea wapo hao manabii wanzinzi na matapeli knsa limejaaabinti na kilamtu anazin nae had nimekimbia kanisa baba

  • @shantal6030
    @shantal6030 Před 2 lety

    Mtumishi wa mungu hii nimwaka wa prophets , pastors , Bishop , wauongo watatolewa inje!!!! Uweunawataja na kuwakemeya

  • @nurusaidi3642
    @nurusaidi3642 Před 2 lety +2

    Hapo kwenye sadaka ya kujimaliza ndipo nilichoka kabisa Yani unaambiwa toa hela yote mpaka nauli mungu ndie atajua utafikaje nyumbani hesabu 4:6

    • @christinamwakibolwa3000
      @christinamwakibolwa3000 Před rokem

      Sasa ukijimaliza atapata wapi sadaka? hawa watu bwana wengine eti njoo na nywele na kucha lol

  • @georgepaulo8760
    @georgepaulo8760 Před 2 lety

    Baba wewe endelea kusema kweli yamungutu. Thawabu yakoipo ameen

  • @annieadaa1620
    @annieadaa1620 Před 2 lety

    Aminaaaaaaaa,🙏🙏🙏🙏🙏Mungu akutie nguvu hata Elia aliwaua manabii baalia 150 kemea dhambi babaangu usijali chochote na wala usiohope

  • @joelmusyimi2565
    @joelmusyimi2565 Před 2 lety

    Dismas samwel ogopa mungu naona unakufuru mungu unamwambia aje nabii ww una pepo na usipotubu jeanamu utaenda karibuni na uwe na adabu wewe

  • @khatibsayeed9092
    @khatibsayeed9092 Před 2 lety

    Mungu aendelee kukupa nguvu na ujasiri akufunike mpaka injili sahihi irudi tena haleluya

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 Před 2 lety

    Amen Amen baba kiukweli awa manabii wa uongo wanachafua sana uduma .

  • @victorchiwai8831
    @victorchiwai8831 Před rokem

    Mtu wa mungu tunakushukuru sana lakini pia hapa Kenya wapo manabii wa uongo,tuelezee hapa kwetu Nii kina nani? Ndio tujiepushe nao

  • @godwinngenge2248
    @godwinngenge2248 Před 2 lety +1

    Kweli nabii w ishara, mana sikuhizi toka tupewe maji hatuombi tunapolala tunamwaga maji, kufungua duka pia hakuna kuomba ni kumwaga mafuta, Yan sema tupone moto wa maombi urud kwa watu waliolemazwa na mafuta

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Před rokem

    Ni mtumishi wa BWANA mpakwa mafuta kweli,ila ni vyema ukatumia hekima ya kuwafuata kusema nao,ila kama ni matapeli NA wazinzi,piga usiache,maana imeandikwa piga kelele wala usiache uihubiri nyuma ya Israel dhambi zao,......Tena Yesu anasema yale mlioyasikia gizani ya hubirini juu ya paa za nyumba zenu,UKO SAWA MTUMISHI PIGA PIGA

  • @faridashabanifaridashabani5950

    Amina Sana Baba onya kabisa 🙏🙏🙏🙏💕

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Před 2 lety +1

    Ok sawa hayo uloambiwa maovu ya watumishi ulipewa ushahidi au uliambiwa tu maneno ukaamini..? Kama una ushahidi naunga mkono hoja ila kama ni maneno tu kumbuka kuna watu wanatabia ya kupakaziana na kuchafuana...

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 Před 3 lety +2

    Hata huku kwetu kuna mchungaji anawatoto watano kila mtoto na mama yake , inasikitisha kwa mtumishi wa Mungu kuwa mzinzi.

  • @zadokasaph5561
    @zadokasaph5561 Před 2 lety

    Kabisa be blessed alot

  • @faridashabanifaridashabani5950

    Baba tunaomba uwataje majina kabisa tuwajuwe. Na tuwepukane nao

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 Před 2 lety

    Safi sana mtumishi wa mungu namimi nachukia dhambi za siku hizi

  • @edwardkimaro2103
    @edwardkimaro2103 Před 2 lety

    Safi Sana mtumishi Hawa Jamaa yaani wamemfilisi make wangu kachoka na mazingaombwe Yao Lila Leo Ni michango hata familia make haijali Tena. Bora akapelekee haya majizi watoto wasile ndani.

  • @bwiganesimoni5159
    @bwiganesimoni5159 Před 2 lety

    Asante Baba ,ubarikiwe ktk jina la yesu wa nazareth

    • @mediavumbi9243
      @mediavumbi9243 Před rokem

      Amin👏👏👏Amin baba Mungu akutiye nguvu kabisa 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @rabinzsinoya1434
    @rabinzsinoya1434 Před 2 lety

    Barikiwa Mtumishi kwa kuitetea kweli ya MUNGU

  • @nenolaufunuotv8625
    @nenolaufunuotv8625 Před 2 lety

    Barikiwa Sana man of God

  • @salamaidza6644
    @salamaidza6644 Před 3 lety

    Ubarikiwe nabii na usiyamadze

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 Před 2 lety

    Mtumishi wa Mungu aliye hai,usiangalie yenye wanasema,waaje songa mbele,tuko pamoja nawe,hata mm nilimkataza mchungaji wangu aaje kuhubiri uongo,sasa hivi hataki kuniongeresha lakini hainiogopeshi,ukweli lazima usemwe,wapotelee mbali

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Před rokem

    Wazinzi watapatwa na ukimwi watumishi wazinzi wakapime afya ,na waumini wao wakapime afya Sasa wazinzi nilaisi kuwakamata shida wachawi tutawakamataje maana hao Ni wengi kanisani wachungaji wazee wa. Kanisa washilika viongozi wa wamama wengine unao kanisani kwako pastar tufanyeje pastar

  • @frenksokon9582
    @frenksokon9582 Před 2 lety +1

    Amina

    • @michaelsavuro4359
      @michaelsavuro4359 Před 2 lety

      Amina BABA ni kweli waache unzinzi na wanawake muache tamaa ya kuwataka watumishi hakuna uponyaji hapo jehanam hongera mtumishi

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 Před 3 lety +2

    Kweli baba ukweli ni chloroquine wameze WAPONE..kuzimu kubaya..tuko tayari kufa kwa kuusimamia ukweli...

  • @ennamongi9812
    @ennamongi9812 Před 2 lety

    Asante mtumishi sema kweli tuponeeeee

  • @emmanuelmbukwa287
    @emmanuelmbukwa287 Před 3 lety +1

    Mungu akutie nguvu mtumishi

  • @shitamagili9084
    @shitamagili9084 Před 2 lety

    Mungu akubariki kaza but mtumishi

  • @yohanaitembe4434
    @yohanaitembe4434 Před rokem

    Nitakubirie ni kuabishe bure unawasema wengine mbona hujitabirii macho yapone acha kudanganya watu wasio na maarifa ww unajihesabia haki nabii wa wapi au nakutabirie mbona unamadeni kila kona pia hauna nguvu za kiume

  • @josephkarisa
    @josephkarisa Před 5 měsíci

    Mtumishi niombee nitoke katika roho ya kufanya dhambi

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 Před 2 lety

    Mimi pia nina rafiki yangu wakike ana toka na nabii mpka video anazo wakizini

  • @gaudencemsongole5060
    @gaudencemsongole5060 Před 2 lety

    Jitoe katika kweli ya Mungu haijalishi utafanywa Nini mungu yupo yesu yupo atakufanya taa ya wengi nulu ya wengi

  • @magrethmalangalila8041

    Barikiwa baba!!!

  • @ericapaul162
    @ericapaul162 Před 2 lety

    Bwana Yesu asifiwe nabii wa ishara.
    Kanisa unalolihudumia lina tawi hapa dar es salam? Kama ndio ni sehemu gani? Asante

  • @makongofrancis5872
    @makongofrancis5872 Před rokem

    Mtumishi unajua inakuumiza San Ili na wew uwe mkweli.kuna mtu mmoja ambae yeye ana cheo chochote Cha kidini napia ana dini unaweza kufatilia YOU TUBE anaitwa IMANI MCHIBWA

  • @tumainimnzava320
    @tumainimnzava320 Před 3 lety +1

    Kweli tunafurahi sana kuwakemea wale waongo

  • @ombaenifissoo7922
    @ombaenifissoo7922 Před 2 lety

    Amen kweli barikiwa sana

  • @georgepaulo8760
    @georgepaulo8760 Před 2 lety

    Ameen baba ameen mimebaliliwa sana baba sema ukweli sema kabisa tupone

  • @eagtkibangu124
    @eagtkibangu124 Před 2 lety

    Fire fire 🔥 It is true

  • @injiliyakristo7999
    @injiliyakristo7999 Před 3 lety

    Ubarikiwe nabii

  • @irenemlingi4603
    @irenemlingi4603 Před 2 lety

    Barikiwa baba tunapona

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Před 2 lety

    Yeah

  • @georgepaulo8760
    @georgepaulo8760 Před 2 lety

    Ameeen🙏🙏🙏🙏

  • @lynnkyra4101
    @lynnkyra4101 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe mtumishi endelea kukemea thambi mtumishi wa Mungu. Anne from Kenya

  • @avelinageorge9449
    @avelinageorge9449 Před 2 lety

    Bigup Mtumishi

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Před rokem

    Bado ujakemea wachungaji wachawi na masikofu wachawi bado ujawakemea wabu sanamu zinaa Ni mbaya Ni thambi inayochafua hekalu,

  • @gladyswanjala7403
    @gladyswanjala7403 Před 2 lety

    mungu akubariki baba

  • @davidnchiman9339
    @davidnchiman9339 Před 2 lety +1

    Naitwa nabii David Sasa mtumishi ilibidi uwafuate na kuwaonya jaribu kupunguza matusi nakupa siku tatu futa kauli yako

  • @loycejoshua531
    @loycejoshua531 Před 2 lety

    Amen 🙏

  • @marthayona2317
    @marthayona2317 Před rokem

    Wewe unachukia manabii waongo.yesu alisema watakuja wewe unataka kuwafagia.unapingana na maandiko.

  • @yvettemamdogo2289
    @yvettemamdogo2289 Před 9 měsíci

    Wambie wakome kabisa , sisi ni watoto wa mungu

  • @boanergeministrytanzania8522

    The trueth will make us free said the Lord,Huu ni ujinga,kwanini?hajui alitendalo,Wewe mtu wa Mungu usiogope,SHETANI ni mpumbavu hana akili, hatutaki uzinzi

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 Před 3 lety +1

    Wape salam wambie YESU anarudi.

    • @thewellministry9008
      @thewellministry9008 Před 3 lety

      Ukweli kabisa mtumishi tumechoka kuona ..eti amazing Hadi madhabahuni..kuna.mama hapa Moshi nasikia anazini na viongozi wake ndipo aende madhabahuni??Na amejaza watu kweli kweli..! hii inaumiza Sana kemea kabisa mtumishi

    • @thewellministry9008
      @thewellministry9008 Před 3 lety

      Siku za mwisho mtumishi ..mwenue kutenda dhambi na aendelee ..Lakini Yesu anarudi jamani !

  • @bishoparronmgaya1749
    @bishoparronmgaya1749 Před 2 lety

    Tupo pamoja BWANA YESU AKUBARIKI mimi Hai Kilimanjaro

  • @ezramasawe8021
    @ezramasawe8021 Před 2 lety

    Amen

  • @angelalaizer3895
    @angelalaizer3895 Před 2 lety

    Ndio Kabisa.semaaaaaa wakupona wapone wasiotaka watajijua.Mungu Amechoka.ila Anatupenda Ndio maana Anasema na sisi.

  • @stambulikahemela6963
    @stambulikahemela6963 Před 2 lety

    Yesu Ohoo hallelujah hallelujah

  • @tagcdcchurch6031
    @tagcdcchurch6031 Před 3 lety

    Safi sana.

  • @adonaiastoni1703
    @adonaiastoni1703 Před 2 lety

    Mbona hayo macho ni ishara ya kwamba ni mwovu na unafanya mengi machafu?ungekua msafi ungetoa miwani hiyo we umetumwa na shetani kuwadanganya watu kwa jina la yesu rudi kuzimu nakuamuru usilitaje bure jina la MUNGU wetu na hizo madhabahu za kuzimu mwongo wewe una mengi machafu!

  • @georgepaulo8760
    @georgepaulo8760 Před 2 lety

    Baba nimekuelewa sana wewe una YESU kwel kwel unasema kwel

  • @efraimumateru1713
    @efraimumateru1713 Před 2 lety

    Neno la Mungu lafaa kwa mafundisho na maonyo endelea kukemea mtumishi na wala usiogope mikwara ya shetani

  • @devidamasian5477
    @devidamasian5477 Před 2 lety +1

    Sasa huyu ndie nabii niliekuwa natamami hatokee

  • @magrethmwakifuna9792
    @magrethmwakifuna9792 Před 2 lety

    Naona kama mtumishi unatumia hasira kupita kiasi,sioni kama anakosea ispokuwa naona unahasira kuliko Yesu,Hebu hubiri,fundisha kwa upole wore tutakuelewa na tutapona ila hasira hiyo nikama ni mambo yako hayupo Mungu aliye haina.

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 Před 2 lety

      Chukua nafasi mtumishi muda umeisha km kuna sehemu anatumia hasira tunatamani tukuone utufundishe pia

  • @sebastiancmalisa4016
    @sebastiancmalisa4016 Před 2 lety +1

    Wote wanaotoa maneno ya kashfa kwa mtumishi ni ishara tosha kuwa nao wametekwa kwenye anga za matapeli na uzinzi
    shetani yuko kazini na halali anazidi kuwatumia watumishi na watu wengi kutiwa upofu wa kiroho ndio maana wanatetea uovu!!

  • @etonyemyaesau1433
    @etonyemyaesau1433 Před 2 lety

    Nikweli wengine wanasema Mungu anesema utowe mshara wako wa mwezi mara mbili

  • @edwinisemzab770
    @edwinisemzab770 Před 2 lety

    Endelea mtumishi was Mungu hakika kweli Yuko Mungu katika Israeli siyo manabii tu hata wachungujaji wenye maagano ya kuzimu wapo makanisani

  • @stanleycharles6604
    @stanleycharles6604 Před 2 lety

    Barikiwa mtumishi wa Bwana kanisa la leo limekwama hapo .Watu kutotaka kuongea ukweli au kuambiwa ukweli

  • @epafrasgray5725
    @epafrasgray5725 Před 2 lety

    Mnaotafuta unabii mtapotea sana. Hata huyu anayewakandia manabii wenzake naye sio nabii. Bali msaka tonge!!