I am a Kenyan living in Botswana and of course I understand Swahili. I wish all the people of the world could understand you. People are now worshipping bottles of water, oils, bracelets etc. Ujinga, upuzi, upumbavu mtupu! You are preaching directly what I preach. You stand for what I stand for. Mchunganji how can we save people from these evil prophets. Evil prophets were trained in the caves of Nigeria by their dead idol. And they have polluted the whole world. Barikiwa sana!!!
Halafu jambo la kusikitisha ni kwamba hakuna roho mbaya kama roho ya uzinzi kama mchungaji akiwa ni mzinzi roho inaambukiza waamuni hata kama hao waumini hawajui anachotenda mchungaji Mungu atusaidie na roho hii mbaya ya Shetani
Ubarikiwe baba sanasana Hata huku kwetu Songea wapo hao manabii wanzinzi na matapeli knsa limejaaabinti na kilamtu anazin nae had nimekimbia kanisa baba
Kweli nabii w ishara, mana sikuhizi toka tupewe maji hatuombi tunapolala tunamwaga maji, kufungua duka pia hakuna kuomba ni kumwaga mafuta, Yan sema tupone moto wa maombi urud kwa watu waliolemazwa na mafuta
Ni mtumishi wa BWANA mpakwa mafuta kweli,ila ni vyema ukatumia hekima ya kuwafuata kusema nao,ila kama ni matapeli NA wazinzi,piga usiache,maana imeandikwa piga kelele wala usiache uihubiri nyuma ya Israel dhambi zao,......Tena Yesu anasema yale mlioyasikia gizani ya hubirini juu ya paa za nyumba zenu,UKO SAWA MTUMISHI PIGA PIGA
Ok sawa hayo uloambiwa maovu ya watumishi ulipewa ushahidi au uliambiwa tu maneno ukaamini..? Kama una ushahidi naunga mkono hoja ila kama ni maneno tu kumbuka kuna watu wanatabia ya kupakaziana na kuchafuana...
Safi Sana mtumishi Hawa Jamaa yaani wamemfilisi make wangu kachoka na mazingaombwe Yao Lila Leo Ni michango hata familia make haijali Tena. Bora akapelekee haya majizi watoto wasile ndani.
Mtumishi wa Mungu aliye hai,usiangalie yenye wanasema,waaje songa mbele,tuko pamoja nawe,hata mm nilimkataza mchungaji wangu aaje kuhubiri uongo,sasa hivi hataki kuniongeresha lakini hainiogopeshi,ukweli lazima usemwe,wapotelee mbali
Wazinzi watapatwa na ukimwi watumishi wazinzi wakapime afya ,na waumini wao wakapime afya Sasa wazinzi nilaisi kuwakamata shida wachawi tutawakamataje maana hao Ni wengi kanisani wachungaji wazee wa. Kanisa washilika viongozi wa wamama wengine unao kanisani kwako pastar tufanyeje pastar
Nitakubirie ni kuabishe bure unawasema wengine mbona hujitabirii macho yapone acha kudanganya watu wasio na maarifa ww unajihesabia haki nabii wa wapi au nakutabirie mbona unamadeni kila kona pia hauna nguvu za kiume
Mtumishi unajua inakuumiza San Ili na wew uwe mkweli.kuna mtu mmoja ambae yeye ana cheo chochote Cha kidini napia ana dini unaweza kufatilia YOU TUBE anaitwa IMANI MCHIBWA
The trueth will make us free said the Lord,Huu ni ujinga,kwanini?hajui alitendalo,Wewe mtu wa Mungu usiogope,SHETANI ni mpumbavu hana akili, hatutaki uzinzi
Ukweli kabisa mtumishi tumechoka kuona ..eti amazing Hadi madhabahuni..kuna.mama hapa Moshi nasikia anazini na viongozi wake ndipo aende madhabahuni??Na amejaza watu kweli kweli..! hii inaumiza Sana kemea kabisa mtumishi
Mbona hayo macho ni ishara ya kwamba ni mwovu na unafanya mengi machafu?ungekua msafi ungetoa miwani hiyo we umetumwa na shetani kuwadanganya watu kwa jina la yesu rudi kuzimu nakuamuru usilitaje bure jina la MUNGU wetu na hizo madhabahu za kuzimu mwongo wewe una mengi machafu!
Naona kama mtumishi unatumia hasira kupita kiasi,sioni kama anakosea ispokuwa naona unahasira kuliko Yesu,Hebu hubiri,fundisha kwa upole wore tutakuelewa na tutapona ila hasira hiyo nikama ni mambo yako hayupo Mungu aliye haina.
Wote wanaotoa maneno ya kashfa kwa mtumishi ni ishara tosha kuwa nao wametekwa kwenye anga za matapeli na uzinzi shetani yuko kazini na halali anazidi kuwatumia watumishi na watu wengi kutiwa upofu wa kiroho ndio maana wanatetea uovu!!
Asante mtumishi wa Mungu naona roho ya nabii Isaya imekuja tena,tuponye tumedanganywa vya kutosha
Ameen
Ubarikiwe Baba mtumishi wa Mungu nimebarikiwa Na ujumbe huu Mimi pastor Sifaeli Niko Arusha Bwana Yesu akutunze chombo Cha Yesu.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu ,Mungu akutie nguvu ,
AMINA mtumishi
Uko sawa, Mtumishi songa mbele.Amen
🙏uko vizuri mtumishi wa Bwana , lipua Yesu Kristo atuponye
Asante nabii wa Mungu...Mungu amekutumia uwe mdomo wa kutuonya na kusema yale yasiyofaa ...Mungu akulinde daima
Ubarikiwe sana mtumishi endelea kukemea uovu
Mungu akutie nguvu nabii wa Mungu, siku zote nabii wa kweli hupingwa sana.
I am a Kenyan living in Botswana and of course I understand Swahili. I wish all the people of the world could understand you. People are now worshipping bottles of water, oils, bracelets etc. Ujinga, upuzi, upumbavu mtupu! You are preaching directly what I preach. You stand for what I stand for. Mchunganji how can we save people from these evil prophets. Evil prophets were trained in the caves of Nigeria by their dead idol. And they have polluted the whole world. Barikiwa sana!!!
Ubarikiwe kwa kusma ukweli Mungu akubariki
Barikiwa sana mtumishi kwa kukemea maovu
Halafu jambo la kusikitisha ni kwamba hakuna roho mbaya kama roho ya uzinzi kama mchungaji akiwa ni mzinzi roho inaambukiza waamuni hata kama hao waumini hawajui anachotenda mchungaji Mungu atusaidie na roho hii mbaya ya Shetani
Mungu akulinde baba mchungaji(nabii)
Asante mt
Well Very nice, Good
mtumishi na mimi kama mtumishi nimefurahi sana kemea 2 timo 4:2 mungu akutie nguvu
Amen!Sema kweli mtumishi wa Mungu,kweli ndiyo itawaweka huru.Roma 8:14
Mungu akutiengu baba watumishi wengi kwa sasa hawakemei dhambi wanafunika maovu
Amen ubarikiwe sana
Nabii wa kweli lazima ukemeee dhambi
Umeeleweka Sana Mtumishi wa Mungu. Yesu akutunze na Neema ya Mungu izidi kuwa juu Yako. Barikiwa Sana. Hii ndiyo Injili!!!
Nabii wa Mungu naomba unikumbuke kwa maombi,Roho yangu yanidunda kwa Kasi na kuishiwa na nguvu
Semayote baba wanaokukomesha kuwashambuliya watumishi haosiwatumishi wa Mungu waopiya nikamahao watumishi wauongo mchungaje pazasauti usiache pigakelele zaushindi nakupendasana kwakweli unayoiubiri ongezababa mutumishiwa Mungu
Glory to God ❤
Amina Baba wambie ukweli Baba
Mungu akutunze zaidi nimebarikiwa sana Baba Amina Sana nakupenda Sana 🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕💪💪
barikiwa mtumishi kwa maneno hayo uko na uchungu wa kazi ya bwana
Mtumish Mungu akubariki wakemee kabisa lm watching from Kenya a
Aminaaaaaaaa
Ati mugawane mshahara marambili alafu izo Bima nibaki na deni za bima? Ubarikiwe sana mtumishi wataje ili waache izokazi zakutapeli kwa Jina la YESU.
Ila hii ya uzinzi na viwango vya sadaka mmh Mungu atusaidie kila mwamba ngozi huvutia kwake.
Keep up brother, don't afraid. Ubarikiwe sana leo hata kesho
Ubarikiwe baba sanasana Hata huku kwetu Songea wapo hao manabii wanzinzi na matapeli knsa limejaaabinti na kilamtu anazin nae had nimekimbia kanisa baba
Mtumishi wa mungu hii nimwaka wa prophets , pastors , Bishop , wauongo watatolewa inje!!!! Uweunawataja na kuwakemeya
Hapo kwenye sadaka ya kujimaliza ndipo nilichoka kabisa Yani unaambiwa toa hela yote mpaka nauli mungu ndie atajua utafikaje nyumbani hesabu 4:6
Sasa ukijimaliza atapata wapi sadaka? hawa watu bwana wengine eti njoo na nywele na kucha lol
Baba wewe endelea kusema kweli yamungutu. Thawabu yakoipo ameen
Aminaaaaaaaa,🙏🙏🙏🙏🙏Mungu akutie nguvu hata Elia aliwaua manabii baalia 150 kemea dhambi babaangu usijali chochote na wala usiohope
Dismas samwel ogopa mungu naona unakufuru mungu unamwambia aje nabii ww una pepo na usipotubu jeanamu utaenda karibuni na uwe na adabu wewe
Mungu aendelee kukupa nguvu na ujasiri akufunike mpaka injili sahihi irudi tena haleluya
Amen Amen baba kiukweli awa manabii wa uongo wanachafua sana uduma .
Mtu wa mungu tunakushukuru sana lakini pia hapa Kenya wapo manabii wa uongo,tuelezee hapa kwetu Nii kina nani? Ndio tujiepushe nao
Kweli nabii w ishara, mana sikuhizi toka tupewe maji hatuombi tunapolala tunamwaga maji, kufungua duka pia hakuna kuomba ni kumwaga mafuta, Yan sema tupone moto wa maombi urud kwa watu waliolemazwa na mafuta
Ni mtumishi wa BWANA mpakwa mafuta kweli,ila ni vyema ukatumia hekima ya kuwafuata kusema nao,ila kama ni matapeli NA wazinzi,piga usiache,maana imeandikwa piga kelele wala usiache uihubiri nyuma ya Israel dhambi zao,......Tena Yesu anasema yale mlioyasikia gizani ya hubirini juu ya paa za nyumba zenu,UKO SAWA MTUMISHI PIGA PIGA
Amina Sana Baba onya kabisa 🙏🙏🙏🙏💕
Ok sawa hayo uloambiwa maovu ya watumishi ulipewa ushahidi au uliambiwa tu maneno ukaamini..? Kama una ushahidi naunga mkono hoja ila kama ni maneno tu kumbuka kuna watu wanatabia ya kupakaziana na kuchafuana...
Hata huku kwetu kuna mchungaji anawatoto watano kila mtoto na mama yake , inasikitisha kwa mtumishi wa Mungu kuwa mzinzi.
Kabisa be blessed alot
Baba tunaomba uwataje majina kabisa tuwajuwe. Na tuwepukane nao
Safi sana mtumishi wa mungu namimi nachukia dhambi za siku hizi
Safi Sana mtumishi Hawa Jamaa yaani wamemfilisi make wangu kachoka na mazingaombwe Yao Lila Leo Ni michango hata familia make haijali Tena. Bora akapelekee haya majizi watoto wasile ndani.
Asante Baba ,ubarikiwe ktk jina la yesu wa nazareth
Amin👏👏👏Amin baba Mungu akutiye nguvu kabisa 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Barikiwa Mtumishi kwa kuitetea kweli ya MUNGU
Barikiwa Sana man of God
Ubarikiwe nabii na usiyamadze
Mtumishi wa Mungu aliye hai,usiangalie yenye wanasema,waaje songa mbele,tuko pamoja nawe,hata mm nilimkataza mchungaji wangu aaje kuhubiri uongo,sasa hivi hataki kuniongeresha lakini hainiogopeshi,ukweli lazima usemwe,wapotelee mbali
Wazinzi watapatwa na ukimwi watumishi wazinzi wakapime afya ,na waumini wao wakapime afya Sasa wazinzi nilaisi kuwakamata shida wachawi tutawakamataje maana hao Ni wengi kanisani wachungaji wazee wa. Kanisa washilika viongozi wa wamama wengine unao kanisani kwako pastar tufanyeje pastar
Amina
Amina BABA ni kweli waache unzinzi na wanawake muache tamaa ya kuwataka watumishi hakuna uponyaji hapo jehanam hongera mtumishi
Kweli baba ukweli ni chloroquine wameze WAPONE..kuzimu kubaya..tuko tayari kufa kwa kuusimamia ukweli...
Asante mtumishi sema kweli tuponeeeee
Mungu akutie nguvu mtumishi
Mungu akubariki kaza but mtumishi
Nitakubirie ni kuabishe bure unawasema wengine mbona hujitabirii macho yapone acha kudanganya watu wasio na maarifa ww unajihesabia haki nabii wa wapi au nakutabirie mbona unamadeni kila kona pia hauna nguvu za kiume
Mtumishi niombee nitoke katika roho ya kufanya dhambi
Mimi pia nina rafiki yangu wakike ana toka na nabii mpka video anazo wakizini
Jitoe katika kweli ya Mungu haijalishi utafanywa Nini mungu yupo yesu yupo atakufanya taa ya wengi nulu ya wengi
Barikiwa baba!!!
Bwana Yesu asifiwe nabii wa ishara.
Kanisa unalolihudumia lina tawi hapa dar es salam? Kama ndio ni sehemu gani? Asante
Mtumishi unajua inakuumiza San Ili na wew uwe mkweli.kuna mtu mmoja ambae yeye ana cheo chochote Cha kidini napia ana dini unaweza kufatilia YOU TUBE anaitwa IMANI MCHIBWA
Kweli tunafurahi sana kuwakemea wale waongo
Amen kweli barikiwa sana
Ameen baba ameen mimebaliliwa sana baba sema ukweli sema kabisa tupone
Fire fire 🔥 It is true
Ubarikiwe nabii
Barikiwa baba tunapona
Yeah
Ameeen🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi endelea kukemea thambi mtumishi wa Mungu. Anne from Kenya
Asante baba Mungu azidi kukutumia kwa kukemea watumishi feki.
Baba mchunga tusaidie
Bigup Mtumishi
Bado ujakemea wachungaji wachawi na masikofu wachawi bado ujawakemea wabu sanamu zinaa Ni mbaya Ni thambi inayochafua hekalu,
mungu akubariki baba
Naitwa nabii David Sasa mtumishi ilibidi uwafuate na kuwaonya jaribu kupunguza matusi nakupa siku tatu futa kauli yako
Mhhhhhhh
Kuna tusi Gani hapo
Hajatubu sasa umemfanyaje hizo siku 3 zimepita,
Amen 🙏
Wewe unachukia manabii waongo.yesu alisema watakuja wewe unataka kuwafagia.unapingana na maandiko.
Wambie wakome kabisa , sisi ni watoto wa mungu
The trueth will make us free said the Lord,Huu ni ujinga,kwanini?hajui alitendalo,Wewe mtu wa Mungu usiogope,SHETANI ni mpumbavu hana akili, hatutaki uzinzi
Wape salam wambie YESU anarudi.
Ukweli kabisa mtumishi tumechoka kuona ..eti amazing Hadi madhabahuni..kuna.mama hapa Moshi nasikia anazini na viongozi wake ndipo aende madhabahuni??Na amejaza watu kweli kweli..! hii inaumiza Sana kemea kabisa mtumishi
Siku za mwisho mtumishi ..mwenue kutenda dhambi na aendelee ..Lakini Yesu anarudi jamani !
Tupo pamoja BWANA YESU AKUBARIKI mimi Hai Kilimanjaro
Amen
Ndio Kabisa.semaaaaaa wakupona wapone wasiotaka watajijua.Mungu Amechoka.ila Anatupenda Ndio maana Anasema na sisi.
Yesu Ohoo hallelujah hallelujah
Safi sana.
Mbona hayo macho ni ishara ya kwamba ni mwovu na unafanya mengi machafu?ungekua msafi ungetoa miwani hiyo we umetumwa na shetani kuwadanganya watu kwa jina la yesu rudi kuzimu nakuamuru usilitaje bure jina la MUNGU wetu na hizo madhabahu za kuzimu mwongo wewe una mengi machafu!
Baba nimekuelewa sana wewe una YESU kwel kwel unasema kwel
Neno la Mungu lafaa kwa mafundisho na maonyo endelea kukemea mtumishi na wala usiogope mikwara ya shetani
Sasa huyu ndie nabii niliekuwa natamami hatokee
Naona kama mtumishi unatumia hasira kupita kiasi,sioni kama anakosea ispokuwa naona unahasira kuliko Yesu,Hebu hubiri,fundisha kwa upole wore tutakuelewa na tutapona ila hasira hiyo nikama ni mambo yako hayupo Mungu aliye haina.
Chukua nafasi mtumishi muda umeisha km kuna sehemu anatumia hasira tunatamani tukuone utufundishe pia
Wote wanaotoa maneno ya kashfa kwa mtumishi ni ishara tosha kuwa nao wametekwa kwenye anga za matapeli na uzinzi
shetani yuko kazini na halali anazidi kuwatumia watumishi na watu wengi kutiwa upofu wa kiroho ndio maana wanatetea uovu!!
Nikweli wengine wanasema Mungu anesema utowe mshara wako wa mwezi mara mbili
Endelea mtumishi was Mungu hakika kweli Yuko Mungu katika Israeli siyo manabii tu hata wachungujaji wenye maagano ya kuzimu wapo makanisani
Barikiwa mtumishi wa Bwana kanisa la leo limekwama hapo .Watu kutotaka kuongea ukweli au kuambiwa ukweli
Mnaotafuta unabii mtapotea sana. Hata huyu anayewakandia manabii wenzake naye sio nabii. Bali msaka tonge!!