Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024
  • Part 2 ya sehemu ya Tatu ya Mada ya Ukewenza na Ukht Khadija Idd

Komentáře • 275

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji7661 Před 5 měsíci +1

    Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza

  • @aisha-rj6uc
    @aisha-rj6uc Před rokem +2

    Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.

  • @user-hz7gm6ye4y
    @user-hz7gm6ye4y Před 9 měsíci +2

    Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Před rokem +4

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 3 měsíci +1

    Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah

  • @fatumabungara6307
    @fatumabungara6307 Před rokem +3

    Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.

    • @khadijamohamedkibabi3625
      @khadijamohamedkibabi3625 Před 3 měsíci

      Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha

  • @user-pf9yz1rt6s
    @user-pf9yz1rt6s Před rokem +6

    Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza

  • @fettysaidy8621
    @fettysaidy8621 Před 7 měsíci

    MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před rokem +1

    SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 Před rokem +1

    Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa

  • @hidayarubibi4224
    @hidayarubibi4224 Před rokem +3

    Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!

  • @Rkim-em3td
    @Rkim-em3td Před rokem +5

    Mashaa Allah dadaake
    Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera

  • @user-dn1co6oj3q
    @user-dn1co6oj3q Před měsícem

    Khutba nzuri maneno matamu mashallah ila haijawai niingia hata kidogo Mungu aniepushie huu mtihani au anipe iman ya ju maana daah anyway laa yukhalifu Allah nafsan illa ùs'àha

  • @halimaissa4
    @halimaissa4 Před rokem +1

    Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Před rokem +1

    Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Před rokem +1

    Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx Před rokem +11

    Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.

  • @aishabarua6857
    @aishabarua6857 Před měsícem

    ❤❤❤, mashallah tabarakah allah, tutajifunza, na sisì 😊

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +7

    Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️

    • @amirnkokoo3083
      @amirnkokoo3083 Před rokem

      🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha

  • @farhiaisabella3166
    @farhiaisabella3166 Před rokem +4

    Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Před rokem

      Akutunze nawe pia

    • @buhitexmohamed4785
      @buhitexmohamed4785 Před rokem

      @@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Před rokem +2

    Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam

  • @user-zk5kw8pb7r
    @user-zk5kw8pb7r Před 5 měsíci

    Asante sana Dada mawaiza Yako yamenijenga kiakili hendelea kutupa mawaiza tuimalike

  • @user-js2kq9xo6q
    @user-js2kq9xo6q Před 11 měsíci

    Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya

  • @aminauwimana9976
    @aminauwimana9976 Před rokem +8

    Subhana'allah loe nimesikiya points kilasiku tunataka mawaidha kamahayo masha'allah

  • @abushawalihamisi2649
    @abushawalihamisi2649 Před rokem

    Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Před rokem +1

    Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.

    • @khadijahidd3678
      @khadijahidd3678 Před rokem

      Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty

    • @kitengenyembo4223
      @kitengenyembo4223 Před rokem +1

      Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki

    • @majutoyussuf6191
      @majutoyussuf6191 Před rokem +1

      @@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati

    • @zulfashabani4890
      @zulfashabani4890 Před rokem +1

      Allah akubariki ww na familia yako

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 Před rokem +1

      @@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako

  • @damandokondoko1787
    @damandokondoko1787 Před rokem

    Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri

    • @RonicahWilson
      @RonicahWilson Před 2 měsíci

      Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 Před rokem +2

    Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah

  • @kholaabdulrahman1750
    @kholaabdulrahman1750 Před rokem +1

    MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.

    • @johasaidy1471
      @johasaidy1471 Před rokem

      Mashallah Mashallah barakallah ❤❤

    • @khadijahidd3678
      @khadijahidd3678 Před rokem

      Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema

  • @zuenamsonga5274
    @zuenamsonga5274 Před rokem

    Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 Před rokem +2

    Mashaallah! Shukran kwa darsa

    • @twahamachozi8018
      @twahamachozi8018 Před rokem

      Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 Před rokem

    Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 Před rokem +10

    Mi dada nikuambie kitu.
    Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe.
    Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu.
    Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa.
    TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 Před 4 měsíci +1

      Tatizo lenu sio waadirifu

    • @fifo262
      @fifo262 Před měsícem +1

      Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Před rokem

    Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi

  • @VivianYombayomba
    @VivianYombayomba Před 2 měsíci

    Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa

  • @user-cq5nw6vi7t
    @user-cq5nw6vi7t Před 5 měsíci +1

    Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo

  • @zainabolenga2829
    @zainabolenga2829 Před rokem

    A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah

  • @user-yr5lh3mp8v
    @user-yr5lh3mp8v Před rokem

    Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 Před rokem +1

    NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.

  • @zainabuseiphu-pq4kp
    @zainabuseiphu-pq4kp Před rokem

    Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee

  • @aishasaid7067
    @aishasaid7067 Před rokem +1

    umenichekeeeesha sana ,worth sharing

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem +3

    Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před měsícem

    Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi

  • @jumabakari4277
    @jumabakari4277 Před rokem

    Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah

  • @amonaamona3816
    @amonaamona3816 Před rokem

    Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 Před rokem

    Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU

  • @nadhifahassan168
    @nadhifahassan168 Před rokem +2

    Allah akulipe kheri Maashallah

  • @rehemamustapha364
    @rehemamustapha364 Před rokem

    MashaAllah asante kwa darasa nzuri

  • @sabihasaid9164
    @sabihasaid9164 Před rokem +6

    Mashaaallah

  • @MuhammadHamisi
    @MuhammadHamisi Před 3 měsíci +1

    sawaaàaaaaaaaa wanashida hawa wanawake wambie

  • @MuhammadHamisi
    @MuhammadHamisi Před 3 měsíci

    dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana

  • @JuniJuni-ki9vk
    @JuniJuni-ki9vk Před 2 měsíci

    Mashallah mashallah

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Před rokem +2

    Shukran jaziilan

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 Před rokem

    ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před měsícem

    Kuoa ni sunna hata mke mmoja sunna na sunna bora ni kua na mke mmoja wanaume hawawezi majukumu yao

  • @zainabdambu7091
    @zainabdambu7091 Před rokem +1

    Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty

  • @fatushayaan8316
    @fatushayaan8316 Před rokem +3

    salalahu calayhi wasalam ♥️

  • @TumaYussuf
    @TumaYussuf Před 3 měsíci

    Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha

  • @yusufumindu-mc6uh
    @yusufumindu-mc6uh Před rokem

    Jazakallah khyra!!!!

  • @a.856
    @a.856 Před rokem +1

    Jazakallah khayran

  • @tatusalimmwazizi1160
    @tatusalimmwazizi1160 Před 9 měsíci

    Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah

  • @sabiha8869
    @sabiha8869 Před rokem

    Manshalla maneno mazuri sana

  • @majutoyussuf6191
    @majutoyussuf6191 Před rokem +3

    Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki

  • @mejumaamwachirero7324

    Shukran San Anty

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Před rokem +1

    Mashaallah shukran kwa darsa nzuri

  • @fatushayaan8316
    @fatushayaan8316 Před rokem +2

    masha allah

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 Před rokem

    Maa shaa Allah jazakallah kheir

  • @remaz-tf6zh
    @remaz-tf6zh Před rokem

    Shukrani ukhty

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 Před rokem

    Uko vizuri ukhtii

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Před rokem

    Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza

  • @umurengeramwanaidi6915

    Mansha allah allah awazidishiye

  • @user-uf5ye4lj9b
    @user-uf5ye4lj9b Před 4 měsíci

    We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki

  • @user-xh2ie9rv6l
    @user-xh2ie9rv6l Před 9 měsíci

    Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před rokem

    MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty

  • @aminaabebe205
    @aminaabebe205 Před rokem +2

    Shukren..

  • @haliyamwijaa6493
    @haliyamwijaa6493 Před rokem

    Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada

  • @sygtamks1643
    @sygtamks1643 Před rokem

    Masha Allah

  • @majutoyussuf6191
    @majutoyussuf6191 Před rokem

    Ma shaa Allah Allah akujaze kher

  • @hemedabdallah7534
    @hemedabdallah7534 Před 4 měsíci

    Mashaanlah

  • @user-gd6kt9hu3t
    @user-gd6kt9hu3t Před 2 měsíci

    Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 Před rokem

    Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 Před rokem +1

    Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume

  • @ahmedmwakabulufu315
    @ahmedmwakabulufu315 Před rokem +1

    Umeongea pointi pote ila umearibu kunako swala la vikoba na mikopo na kufanya kazi huko kutamshugulisha zaidi akaisahau familia yake na ibada zake na kumfanya awe jeuri katika ndoa . ( ikikupendeza ifanyie taraja kauli hiyo vikoba na kukopa maana vikoba ni miongoni mwa riba na kumshauri mke wa mtu awe bize na kazi siyo ) baraka llah fiykum

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Před rokem +1

      Vikoba na kukopa ni miongoni mwa riba??ni busara kukaa kimya kama huna maarifa juu ya jambo.Si kila kikoba au mkopo una riba .Ukht ameiweka vyema.Amesema vikoba na mikopo ya halali

    • @ahmedmwakabulufu315
      @ahmedmwakabulufu315 Před rokem

      @@kalamuMedia sawa aina shida akisha kopa eende wapi na hizo pesa? Hayo si mafundisho ya mtume Muhammad swalallah allay wasallam wala haipo katika aya wa hadithi kwamba mwanamke akafanye biashara . Ila imekuja kwamba makazi bora na salama kwa mwanamke nikukaa nyumbani kwake. Ila kama una unauelewa zaidi yangu alihamdulillah si vibaya nika stafidi kwako kwa aya na hadithi sahihi..lakini hizo nifikra za ki ekwani musilimun

    • @aishamohamed9981
      @aishamohamed9981 Před rokem

      Brother ahmed... Asalamu Alaikum warahmatullah wabarakaatuh.... Kufanya kazi ni kujipanga... Wake za Mtume walijishughulisha na kazi za nje pia...
      Kazi yenyewe ni ibada.. Bora iwe halali.. Bibi khadija alikua mtwiifu.. Wala hajamdharau RASUUL S.A.W.
      Dharau ni tabia ya mtu binafsi.. Sikipato..
      Si vikoba vyote vyenye riba..vyengine twahara

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Před rokem

      Yes binadam atatubu apo

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Před rokem

      @@aishamohamed9981 bibi Aisha alifanya biasha ila hakua biz na nyumba yk km uko kwenda soma unafanya iinda na inadi kwa kua mume ametkeleza agizo la Allah?

  • @ridhiwan8030
    @ridhiwan8030 Před rokem +1

    Mashallah

  • @ridhiwan8030
    @ridhiwan8030 Před rokem

    Mashallah allah bariki

  • @ZainabuHassani-u2u
    @ZainabuHassani-u2u Před měsícem

    Mada ni nzul ila hata wake wakubw wanamitihan yao

  • @zainabubwa9569
    @zainabubwa9569 Před rokem

    Mshlah jazzakaAllah khairah

  • @user-lq8zi6on2e
    @user-lq8zi6on2e Před 9 měsíci +2

    Yaan dada mm nimeolewa hata wiki haijaisha mke mwenzangu kafanya ushilikina mume haj Tena kwangu n hatak hata kupokea cm zangu nipo tu yaan hata sielew dada ukeweza mgumu ukikutana n ushilikina maana aliwai kunambia kwenye saba kuwa roho yake mzito kuja kwangu n anajiona anamuogopa Sana mkewe subhana llah bc mpaka Sasa ndo haj namutumiz hakuna cm hapokei innalilahi wainnailaihi rajiuun

  • @fathimamohamed684
    @fathimamohamed684 Před rokem

    mwashallah❤

  • @mimamambo9537
    @mimamambo9537 Před rokem

    Mashaallah

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 Před rokem +2

    waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤

  • @user-ri9su4ty3o
    @user-ri9su4ty3o Před 7 měsíci

    Allah wQbar

  • @humairamajengo6616
    @humairamajengo6616 Před rokem +1

    Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto

  • @HafsaMohd-go3tc
    @HafsaMohd-go3tc Před 3 měsíci

    Mume wangu kaoa mke wa 2 siumii kwakuwa kaoa mke wa 2 ila kinachoniumiza ni huyo mke wake wakt alipokuwa mchepuko alinitukana hajanibakisha tusi lolote kanidharau kanijejeli kunifanyia Kila balaa icho ndokinachoniumiza basi Yani uyo mwanamke nisema ukweli kutoka moyoni simpendi na wala simpendi alf mume wangu kaoa bila ata kunambia chochote nimesikia nnje kwa watu km kaoa

    • @nuruhemed4771
      @nuruhemed4771 Před 2 měsíci

      Pole ila hata Mimi kwangu ni opposite make Mkubwa kanitusj nilivo kua mchepuko nimeolewa alhamdillah nimetulia hatulizani Wala Hali na mwenza ila ninamchukia,yaani I hate her sana mungu anisamehe

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Maneno mazuri kabisa.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před rokem +2

    Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.

    • @aisharajimbo6784
      @aisharajimbo6784 Před rokem

      Kama kipi

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 Před rokem

      @@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Před rokem

      @@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Před rokem

      @@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Před rokem

      @@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu

  • @mbanga6759
    @mbanga6759 Před rokem +1

    Mume wangu ndo hasubutu kuongelea kitu ukimuambia tuongee ha utajuta kuzaliwa

    • @khadijaomar3480
      @khadijaomar3480 Před 7 měsíci

      Yaaani kuongelea kuhusu uke wenza ama katika jambo lolote ndugu yangu

  • @user-me7bk4dy5g
    @user-me7bk4dy5g Před 3 měsíci

    Mimi Niko Rwanda nabasaliim unasema ukweli

  • @uwimanahamu4583
    @uwimanahamu4583 Před rokem

    mashaAllah

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Před rokem

    Dada na mm uoni wngu kwa mujibu ya Hadith alosimulia abii dharr jundiy binjunaadat nayo n utamu w Imani mapenz Ni darja 2 t wakisha jaa ao ktk moyo hamna nafas tena linalofata ukimpenda Mt itakua kwa ajil yao na ukichkia kwa ajil yao