hakuna kitu ambacho napenda katika maixha yangu kama kuigiza endapo mungu akijaalia nikapata nafax nitaxhkul na nitafanya kilicho bola mungu awajaalie nyie wote ad hapo mlipo fkia na nitazid kuwaombea 😭😭😭
Nilikua nishaanza kumkataa mkojani kwa movie zake ila kwa hii tahariki amepandisha soksi juu Iko sawa bingwa Wacha watu wataharukike mi nasema aiiiiiiiiiiiiiiiiyyyyy
Kazi iko powa sana kwann haipo kwenye tv? Mbona kule kuna. Kazi mbovu kabisa ukiangalia azam wanachambana tu hakuna la maana dstv ndio mashoga kibaoooo
Dah nimekipenda hiko kiarabu Cha hakim😂😂😂😂
Kama na ww umekikubali gonga like👍
Nimekikubali kwa asilimia 💯%
Utadhani muarabu kutoka oman wallahi
So perfect ❤❤❤
hakuna kitu ambacho napenda katika maixha yangu kama kuigiza endapo mungu akijaalia nikapata nafax nitaxhkul na nitafanya kilicho bola mungu awajaalie nyie wote ad hapo mlipo fkia na nitazid kuwaombea 😭😭😭
Naomba nifanye kazi naww
Kwel namahanisha kwel ujue
Upo mkoa ganii
Nikupamban so kukata tamaa na mm napenda SNA Sena sapot sinaaaa
Nakubali kaz sema mnachelewa kuendeleza
Hemed napenda movie zako love from Kenya ❤❤❤
Naona hii ndio imekuja kama mbadala wa pazia jamani ni epsod yakwanza ila naona ipo vizuri sana hongera sana❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉hio nyimbo jaman nzur naipenda❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉taaharuukii taaharuukii taaharuukiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wow femy wa mu jua kali uyo mu dada namupenda sana❤
Yaan ndio kwanza na mambo yamechemka 😂😂😂next please nimependa❤❤❤❤❤❤
Nilikua nishaanza kumkataa mkojani kwa movie zake ila kwa hii tahariki amepandisha soksi juu Iko sawa bingwa Wacha watu wataharukike mi nasema aiiiiiiiiiiiiiiiiyyyyy
Maybe you were sick na ndo umepata nafuu wapa hapa duniani Mkojani kakataliwa???
@@nelsonandanyiImagine😂😂😂
From Oman naburudika😍😍
Tupo p1 team strong ❤
😅😅
HELLOW
Huko kinaongeleka kiswahili kama kwetu?
@@bakariluhala7332 kiarab na english
Wagizaji wengi wanakosea kitu kidogo sanaa yaan siku wakiki lekebisha na amini watafika mbali sanaa kimataifa sio ndani tuu❤
Nyimbo na movie 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waaa...hiii..iko vzur xna❤❤❤
Mwanzo tu inaonesha balaa kinalofata really appreciate.......kaz nzur
Asante sana
Kazi iko powa sana kwann haipo kwenye tv? Mbona kule kuna. Kazi mbovu kabisa ukiangalia azam wanachambana tu hakuna la maana dstv ndio mashoga kibaoooo
Wapi epsd 2 weuweee, wakali wao wote, tumekumiss sanaa bro hemed, said...alafu umemuweka mkojani ndani tamu sanaa
Mnakuja vizuri ❤
Woow amazing 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 imenikubusha mbali sana
Aseee 😢😢😢😢 pia nakumbuka vingi sana watu wenye hela kuwa na majigambo juu ta masikiniii
kazi nzuri mnayo fanya Mungu awatie nguvu
bonge moja la kazi hongera kwa team nzima sio wale zilipendwa bongo movie
Nice maa Sha Allah ❤
Khanifa nmekuona mamangu... Big up Mkojani from Misri strong love toka Kenya
Nzuri sanaaa
Wow nimeipenda ❤❤🥰movie tamu kwell, next please
Maa Shaa Allah...nzuri sana. Allah Awafanyie wepesi
Classic swahili image wachemsha guys mbona zii tupe vitu Taharuki nice movie 🎉
Kazi zuri sana ❤❤
Umu ndan mumecheza
Kitajir sanaaaa
Kaz nzury hemed chande na mkojan❤
Nimependa hii movie sehemu ya pili 🙏🙏
Okay
Iyo nyimb inaitwaj
😅😅😅😅😅Mkojani bwana😂😂
I like this movie watching from kenya much love hemedy❤❤❤🎉🎉🎉🎉 part 2 please
Itakujia hivi karibuni
Mashallah nzuri
Mansh Allah nzuri sn femi wa jua kali kaonekana kwenye hiyi lazma niwepo💃💃
So amazing❤❤MashaAllah
Nzuri sana
Ma sha Allah
😂😂😂kweli mapenzi uchiz, sa ndio nin kujilizaliza kila mara mkaka mzima😅😅
Sema hi nimeikubali sema mnachelewesha sana
Mmeanza vzr halafu mje tu acha njiani😮😮😮ndo fly za kibongo
Kuwa mtulivu
Nice bro
😂😂😂😂mkojan chiz kwel kwel nimeipenda hii🎈🎈🎈❤️❤️
Jaman ya pili 🙏🙏🙏🙏
Next please 🙏🙏🙏❤❤
HUYO JAMAA ULIYEMKANDAMIZIA UKUTANI HAPO NAOMBA MNG'OE MENO YA MBELE YOTE KWA NIABA YANGU,
HAYO MENGINE MFANYIE KWA MADHUMUNI YAKO.
Daaah kunawatu ninao wakubali tupelo namba mbili ❤❤
Vp hii kazi mbona haijaendelea long time sehemu ya pili mbona bado. From PA USA 🇺🇸
Nzuri kwel 🔥🔥🔥jaman episode 2 tupe
Safi sana ❤❤❤ na worch from 254
Uwiiiii 🔥🔥🔥 muendelezo 🙏
oya weeeee hii ni noma sara hatariii mtoto mkaaliii
Jamani leteni mwendelezo basi wa movie ya jesca tafadhali 🙏🙏
Mm move akiwa mkojani tu naianglia namkubali Sana mkojani ii move naifuatilia kwakuwa mkojan yupo
Moto ulele mzee napenda kinacho endelea
Mkojani eti tusiwe mashoga🤣😂😂😂😂😂
😅😅😅😅 nakubali hemedy umetisha sanaaaaa!!!!!!!!
Very interesting namkubar xana huyu edu John daah nikiangalia movie hii nakumbuka pazia daah wanajua xanaa ❤❤💯
Semu ya pili tafazali❤❤
Next please ❤❤
Mwamba anatowa mpaka roho inapenda nazani wote mnaona kazi za huyu mwamba naomba like zunuuu
Kazi nzuri asilimia mia 100% .
Safi kabisaa. Mchezo unasisimua kabisaa
Mwenderezo uko wap
bomba kabisa, ongeza ben white awe
Mkojani episode nyingine vip hiyo yakwanza imeweza kinoma❤❤❤
Kanywa alkasusu mchana imemzidia😀😀😀
Kipindi kizuri kweli hongera 🎉
Wow mkojani na chande mumenikosha kwel😂😂💯💯
Part two please
mpo vizuri sana director kasimama sana waigizaji mko poa sana
Mashaallah imeenda
Duuh kazi nzur hunaga mbaya
Hemedy chande I like your movies broo soo good
More than love this movie 🎥
safi sana vijana munashawishi
Part 2 pls I love this
Wao femiiii
Move ya moto na uuserious wakutosha😊😊😊
Yammiy yupo sawa kwenye song ameimba vizuri kwwnye hii movie🎉🎉🎉
Jina ka nyimb pls
Imeipenda sana
Mashallah napenda sana kuigiza lakini sipati hiyo nafasi😢
For sure km kuna muendelezo iwekeni namba mbili yake maana ñi ya moto saana plz
Mashallah 🇹🇿❤️❤️❤️❤️❤️👄
❤❤❤❤iko moto
Nzuri sana next please
Amazing ❤❤❤
Daah kaz nzur kbs
Mashallah ❤❤❤❤❤
I wish one day nfanye uigizaji na nyie lkn ubay nko mbali nawapenda bure
Mwendelezo please much love from oman❤❤❤
Wee vip mwanaume unalia hivyo 😂😂😂
nmeipenda jamani toeni episod nyengne
Napenda sana move za hemed chande sitak kupitwa hata kidogo ❤❤❤
Kazi nzur xana👍🏼👍🏼👏👏👏💯
Hiii kitu ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥 please muendelezo jmn 🙏🙏
Very nice from Zanzibar penzi sio pesa
Kiarabu dah 😂😂my Hakim
Mashaallah tabark allah movie Iko sawa
Mwendelezo vp
Next plz
Nimeipenda jmn nzur