Nashukuru sana ubarikiwe sana tena sana kiukweli nnakushukuru sana maana huko nyuma nimeangalia bila mafanikio nilikuwa namtumia sindano ya uzazi baada ya kuacha nikawa napambana kutafuta mimba haishiki baada ya kutumia hii mwezi ulopita na sasa nina mimba asante sana❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Assalaam Alaykum vipi hali yako?Dada ubarikiwe sana niliiiona hii video mwez ulopita nikatumia baada ya period nilihangaika uko nyuma miez minne natafuta ujauzito siupati yani baada ya kutumia hii chai imeleta miujiza kwa uwzo wa Allah.leo nimepima nina mimba ubarikiwe ww Dada.
Nilitoa kijit mwez wa 2 wa 3 nikafwatish h kitu wa 4 nikapat mimba nashukuru ubarikiwe Tena hat sikunyw siku nyingi n kimt nimeish n vimt myak 5 k nilikuwa n sum y kutosha il Iman yangu kw hil imetenda japo kw sas namsubil mwanangu🙏
Jamani dada ubarikiwe mimi nimemtumia simu hii ya mme wangu nimeangalia hii video mwezi ulopita nimemtumia cku 5 tu sasa nimepokea ujauzito ubarikiwe sana '❤❤
assalaam alaykum warahmtullah wabarakatuh, samahni nina ndugu yangu alitumia uzaz wa mpango na akajatoa kabala ya miaka mitatu hivi sas anashindwa kupata mimba kwa miaka sasa je afanye nn ili aweze pata mimba tena?Allah akulipe kheri
Nashukuru sana ubarikiwe sana tena sana kiukweli nnakushukuru sana maana huko nyuma nimeangalia bila mafanikio nilikuwa namtumia sindano ya uzazi baada ya kuacha nikawa napambana kutafuta mimba haishiki baada ya kutumia hii mwezi ulopita na sasa nina mimba asante sana❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Assalaam Alaykum vipi hali yako?Dada ubarikiwe sana niliiiona hii video mwez ulopita nikatumia baada ya period nilihangaika uko nyuma miez minne natafuta ujauzito siupati yani baada ya kutumia hii chai imeleta miujiza kwa uwzo wa Allah.leo nimepima nina mimba ubarikiwe ww Dada.
Asante kwa Ushuhuda wako kupitia wewe nimeamini namimi nitaitumia🙏🙏
Hongera sana! Nami natamani sana! Nahangaika na iyo Mwenyezi Mungu anifanyie wepes
Kweli anti
Asante kwa somo dear
Jee unaweza kunywa ikiwa period zako ni chache hazitoki kwa ukawaida wake?
Mi sipati period inaweza kunisaidia nikapata?
Nilitoa kijit mwez wa 2 wa 3 nikafwatish h kitu wa 4 nikapat mimba nashukuru ubarikiwe Tena hat sikunyw siku nyingi n kimt nimeish n vimt myak 5 k nilikuwa n sum y kutosha il Iman yangu kw hil imetenda japo kw sas namsubil mwanangu🙏
Jamani dada ubarikiwe mimi nimemtumia simu hii ya mme wangu nimeangalia hii video mwezi ulopita nimemtumia cku 5 tu sasa nimepokea ujauzito ubarikiwe sana '❤❤
Mashallah mashallah kipenzi hii muhimu sana kutumia shukran sana dear ❤
Asante kabisa inasaidiya n'a infections ??
Asant dada lakini sijajua kipimo ninujazo WA hicho kikomne kikubwa au hicho kikomne ulichojaza unagawa mara 3? Nipe jibu
samahani mamy unaweza kunywa ya baridi?
Asalam alykum dada ukitumia ih dawa unabeba ujaizito hata kama upo sik salama
Jamani na mimi mungu anione
Kama hauna asali waeza tumia tu tangawzi na karafuu
Dada mm nasumbuliwa na kiuno Sana nahitaji msaada wako
assalaam alaykum warahmtullah wabarakatuh,
samahni nina ndugu yangu alitumia uzaz wa mpango na akajatoa kabala ya miaka mitatu hivi sas anashindwa kupata mimba kwa miaka sasa je afanye nn ili aweze pata mimba tena?Allah akulipe kheri
Samahani dadaa unakunywa grass moja asubuh, au hiyo grass moja unagawanya mara tatu
assalaam alaykum dada hali yako inasaidia pia mtu akiwa na uvimbe kweny kizazi
Samahan jmn nawez kuuliz
Ikiwa nimeanza kutumia siku ya kwanza ya Period italeta mafanikio?
Kama hauna asali
Shukran jazzakallahu kheir
Afwan
Kama hauna hasali
Sorry dada natumia nikiwa kwnye p au nikiwa nimemaliz
Sorry dada mim nipo p naruhsiwa kutumia prz dad naomb nijibu
Hi naitwa dayan ninashida period yangu inavurugika na nikiingia ni siku moja nifanyeje?
Tumia hii
Ni mhanga WA Kubeba Mimbaaa Mungu nisaidie
Hii unakunywa wakati gani dada.. ukiwa kwa period au ukishamaliza!?
Dada me nasumbuliwa na muwasho sana na pia tumbo la chin huwa linauma upande wa kulia mda mwingine wa kushoto nitafanya nn Sasa dada yang
Nenda hospital huyu sio daktari
Tunashukuru Sana dada.....sorry naomba niulize sasa ukiwa katkt ya doz ikatokea umeshika ujauzito bila kujua na ukaendelea kutumia haitoleta shida??
Ukiona umepata mimba acha
Dada je karafu ya unga inafaa
@@najlaskitchen1572mbona hujajibu mtu akiwa period akitumia inakuaje
Inakua vzr tuu unaweza kutumia ukiwa period
Dear naomba utupe somo ya kutatua tatizo la hormones imbalance
Mi nitakua natumia km chai tu
Kama unatumia kinga kuzuia mimba Ina maana utapata mimba?
Dada nakosa hedhi yng kwa muda mrefu ni fanye Nini 😭
Omba Mungu
Haya yanasaidia km shida ni ya kawaida
Samahani nomba kuuliza je hii dawa unaweza kutumia ukiwa kwenye hedhi ua ukimaliza ndo unatumia
Tunaomba utujibu maswali
Dada Nina tatzo la hormone imbalance vp inaweza kunisaidia
Ndio mbona amesema kweny hii video
Iyi unaitumiya ukimaliza piriod AO ukiwa kwenye piriod
Unaweza kutumia sukali kama huna asari
Asali ni nzuri zaid maa
Unatumia ukiwa period au
Ukitumia ukiwa period Kuna weza kuleta shida dada
Dada na dawa ya meno kufa ganzi
Ntakuletea inshallah
Na ukavu wakati wa tendo nitumie nini
Pita video zangu nimeeka ya bamia
Nauliza naweza tumia kw mda gani nd niwache kma mfano mume uko nje so nataka tumia n mda gani nitumie
Kipnz kam sina asali itkuwaje
Mamangu...unaweza kunywa hivo hivo
Iyo asali mbichi au
Unatumia ikiwa period ama
Ukimaliza period for 14days
Sorry dada nikikosa asali haita nisaidia
Itakusaidia.kama huna asali utakunywa hivo hivo
Asante dear
Unaanza tumia siku ya kwanza kumaliza period mpk lin dear
Ukimaliza period kwa siku 14
Sawa dear