Safisha Kizazi‼️Upate Ujauzito kwa Haraka‼️ Karafuu+Tangawizi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 03. 2023
  • #news #karafuu #najlaskitchen #viral #cloves
  • Jak na to + styl

Komentáře • 73

  • @user-zh2rk2mj1r
    @user-zh2rk2mj1r Před 3 měsíci +6

    Nashukuru sana ubarikiwe sana tena sana kiukweli nnakushukuru sana maana huko nyuma nimeangalia bila mafanikio nilikuwa namtumia sindano ya uzazi baada ya kuacha nikawa napambana kutafuta mimba haishiki baada ya kutumia hii mwezi ulopita na sasa nina mimba asante sana❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @FatmaAli-ki4ui
    @FatmaAli-ki4ui Před rokem +32

    Assalaam Alaykum vipi hali yako?Dada ubarikiwe sana niliiiona hii video mwez ulopita nikatumia baada ya period nilihangaika uko nyuma miez minne natafuta ujauzito siupati yani baada ya kutumia hii chai imeleta miujiza kwa uwzo wa Allah.leo nimepima nina mimba ubarikiwe ww Dada.

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 Před rokem

      Asante kwa Ushuhuda wako kupitia wewe nimeamini namimi nitaitumia🙏🙏

    • @mamalandynangy52
      @mamalandynangy52 Před 11 měsíci +2

      Hongera sana! Nami natamani sana! Nahangaika na iyo Mwenyezi Mungu anifanyie wepes

    • @user-qs5rc5jv5i
      @user-qs5rc5jv5i Před 4 měsíci

      Kweli anti

  • @FelistaSanane
    @FelistaSanane Před 3 měsíci

    Asante kwa somo dear

  • @RHODAJIMMY
    @RHODAJIMMY Před 2 měsíci

    Jee unaweza kunywa ikiwa period zako ni chache hazitoki kwa ukawaida wake?

  • @TeleziaSimbeye-fm3zw
    @TeleziaSimbeye-fm3zw Před 2 měsíci

    Mi sipati period inaweza kunisaidia nikapata?

  • @IreenMahenge
    @IreenMahenge Před 23 dny

    Nilitoa kijit mwez wa 2 wa 3 nikafwatish h kitu wa 4 nikapat mimba nashukuru ubarikiwe Tena hat sikunyw siku nyingi n kimt nimeish n vimt myak 5 k nilikuwa n sum y kutosha il Iman yangu kw hil imetenda japo kw sas namsubil mwanangu🙏

  • @user-zh2rk2mj1r
    @user-zh2rk2mj1r Před 3 měsíci

    Jamani dada ubarikiwe mimi nimemtumia simu hii ya mme wangu nimeangalia hii video mwezi ulopita nimemtumia cku 5 tu sasa nimepokea ujauzito ubarikiwe sana '❤❤

  • @ashayummy2299
    @ashayummy2299 Před rokem +2

    Mashallah mashallah kipenzi hii muhimu sana kutumia shukran sana dear ❤

  • @AlineSafari-nz3dr
    @AlineSafari-nz3dr Před rokem +1

    Asante kabisa inasaidiya n'a infections ??

  • @rahmaahmadi877
    @rahmaahmadi877 Před 8 měsíci

    Asant dada lakini sijajua kipimo ninujazo WA hicho kikomne kikubwa au hicho kikomne ulichojaza unagawa mara 3? Nipe jibu

  • @Annha-lt7hh
    @Annha-lt7hh Před 27 dny

    samahani mamy unaweza kunywa ya baridi?

  • @user-zl6hg4ko8s
    @user-zl6hg4ko8s Před 10 měsíci

    Asalam alykum dada ukitumia ih dawa unabeba ujaizito hata kama upo sik salama

  • @user-fp8ml9rb5v
    @user-fp8ml9rb5v Před 3 měsíci

    Jamani na mimi mungu anione

  • @bintimasharubu
    @bintimasharubu Před 11 měsíci

    Kama hauna asali waeza tumia tu tangawzi na karafuu

  • @user-kp6gn7yq9h
    @user-kp6gn7yq9h Před 7 měsíci

    Dada mm nasumbuliwa na kiuno Sana nahitaji msaada wako

  • @ukhtyhafswamosha
    @ukhtyhafswamosha Před 9 měsíci

    assalaam alaykum warahmtullah wabarakatuh,
    samahni nina ndugu yangu alitumia uzaz wa mpango na akajatoa kabala ya miaka mitatu hivi sas anashindwa kupata mimba kwa miaka sasa je afanye nn ili aweze pata mimba tena?Allah akulipe kheri

  • @Levanpanga
    @Levanpanga Před 24 dny

    Samahani dadaa unakunywa grass moja asubuh, au hiyo grass moja unagawanya mara tatu

  • @AlickMwakitalima-oy4no

    assalaam alaykum dada hali yako inasaidia pia mtu akiwa na uvimbe kweny kizazi

  • @user-bn6ul4vq9d
    @user-bn6ul4vq9d Před rokem +1

    Samahan jmn nawez kuuliz

  • @user-nh9gk1cp4u
    @user-nh9gk1cp4u Před rokem

    Ikiwa nimeanza kutumia siku ya kwanza ya Period italeta mafanikio?

  • @user-rd6lf7gd1j
    @user-rd6lf7gd1j Před 5 měsíci

    Kama hauna asali

  • @jamilaahmed2544
    @jamilaahmed2544 Před rokem +3

    Shukran jazzakallahu kheir

  • @ChikuSaid-jg2cn
    @ChikuSaid-jg2cn Před měsícem +1

    Sorry dada natumia nikiwa kwnye p au nikiwa nimemaliz

    • @ChikuSaid-jg2cn
      @ChikuSaid-jg2cn Před měsícem

      Sorry dada mim nipo p naruhsiwa kutumia prz dad naomb nijibu

  • @dynessmmisi8050
    @dynessmmisi8050 Před rokem +2

    Hi naitwa dayan ninashida period yangu inavurugika na nikiingia ni siku moja nifanyeje?

  • @danieljoseph299
    @danieljoseph299 Před 8 měsíci

    Ni mhanga WA Kubeba Mimbaaa Mungu nisaidie

  • @happyhezron5294
    @happyhezron5294 Před rokem +7

    Hii unakunywa wakati gani dada.. ukiwa kwa period au ukishamaliza!?

  • @catherinethobias1688
    @catherinethobias1688 Před rokem +6

    Dada me nasumbuliwa na muwasho sana na pia tumbo la chin huwa linauma upande wa kulia mda mwingine wa kushoto nitafanya nn Sasa dada yang

  • @pendogilbert2280
    @pendogilbert2280 Před rokem

    Tunashukuru Sana dada.....sorry naomba niulize sasa ukiwa katkt ya doz ikatokea umeshika ujauzito bila kujua na ukaendelea kutumia haitoleta shida??

  • @tumainmwambala7526
    @tumainmwambala7526 Před rokem +1

    Dear naomba utupe somo ya kutatua tatizo la hormones imbalance

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 9 měsíci

    Mi nitakua natumia km chai tu

  • @marymichael9286
    @marymichael9286 Před 9 měsíci

    Kama unatumia kinga kuzuia mimba Ina maana utapata mimba?

  • @JayJay-is6qq
    @JayJay-is6qq Před rokem

    Dada nakosa hedhi yng kwa muda mrefu ni fanye Nini 😭

  • @shalomzee1563
    @shalomzee1563 Před 9 měsíci

    Samahani nomba kuuliza je hii dawa unaweza kutumia ukiwa kwenye hedhi ua ukimaliza ndo unatumia

  • @TeleziaSimbeye-fm3zw
    @TeleziaSimbeye-fm3zw Před 2 měsíci

    Tunaomba utujibu maswali

  • @sarachaula236
    @sarachaula236 Před rokem +3

    Dada Nina tatzo la hormone imbalance vp inaweza kunisaidia

  • @alinelubula6744
    @alinelubula6744 Před rokem

    Iyi unaitumiya ukimaliza piriod AO ukiwa kwenye piriod

  • @user-hc6iw4xc6d
    @user-hc6iw4xc6d Před 10 měsíci

    Unaweza kutumia sukali kama huna asari

  • @user-fe1bk6zf8g
    @user-fe1bk6zf8g Před 4 měsíci

    Unatumia ukiwa period au

  • @KiyayaMasunga-rm6lg
    @KiyayaMasunga-rm6lg Před rokem +8

    Ukitumia ukiwa period Kuna weza kuleta shida dada

  • @vumiliasimon9055
    @vumiliasimon9055 Před rokem

    Dada na dawa ya meno kufa ganzi

  • @vumiliasimon9055
    @vumiliasimon9055 Před rokem +2

    Na ukavu wakati wa tendo nitumie nini

  • @user-lk7gl7hh7b
    @user-lk7gl7hh7b Před rokem

    Nauliza naweza tumia kw mda gani nd niwache kma mfano mume uko nje so nataka tumia n mda gani nitumie

  • @zulfakaseem5088
    @zulfakaseem5088 Před rokem +2

    Kipnz kam sina asali itkuwaje

  • @weisikomwita1716
    @weisikomwita1716 Před rokem +5

    Unatumia ikiwa period ama

  • @StellaMakupa-qf6cb
    @StellaMakupa-qf6cb Před rokem

    Sorry dada nikikosa asali haita nisaidia