Hii siyo Sindima halisi imechakachuluwa jaïna kinyago,midundoyenyewe siyo HAMISI, Sindimba HAMISI lipo Tanga sehemu za Pangani n'a baadhi y'a maeneo y'a Muheza hasa miaka y'a 1980 kurudi nyuma
sindimba ilikuwa maeneo ya pangani,muheza sehe mu za bombani,pongwe,pande, mjesani,kwangena,bantu,kibao cha simba,mhinduro,kichangani ya lugongo,tanga mjini mikanjuni, n.k,sehemu kibao tanga kulikuwa nasindimba za asili.
Nimeipenda mapigo ya ngoma yao pamoja na vilivyoko mguuni na izo step inakuwa mapigo mazuri nimeipenda
mapigo mazuri ila uchezaji sio halisia
Mashallah hakuna mtanzania asiejua kucheza jamani hongereni ila mnapenda kufitinishana hampendani kwanini sie tunapenda kukuangalieni mitandaoni mnavocheza na kuimba nalusoma pia
I love it!
jamani ni mzur hivyo
cndimba haichezwi hivo
Jamani kama niko umakondeni vile adi raha
Zena Zena umeona eh
Mmna nikumbusha mbali henzi za utoto wangu
Moz mueda mmakonde safi sana
Cndimba kwaya
nzuri
Ad rah jmn
Mambo
Hii siyo Sindima halisi imechakachuluwa jaïna kinyago,midundoyenyewe siyo HAMISI, Sindimba HAMISI lipo Tanga sehemu za Pangani n'a baadhi y'a maeneo y'a Muheza hasa miaka y'a 1980 kurudi nyuma
sindimba ilikuwa maeneo ya pangani,muheza sehe mu za bombani,pongwe,pande, mjesani,kwangena,bantu,kibao cha simba,mhinduro,kichangani ya lugongo,tanga mjini mikanjuni, n.k,sehemu kibao tanga kulikuwa nasindimba za asili.
@@maulidimsingwa3263 umeonaeee tanga inafat mira na destur
Stevini Zakalia 😕😕😕😕we unajuann kuusu Dede nakulela
Hiii inaitwa mundu
Ni hiyo hiyo ya wamakonde au ipo sindimba ya watanga?