Rigathi Gachagua alazamisha rais Ruto kutangaza msimamo wake kuhusu vita dhid ya pombe haramu
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2024
- Rais William Ruto Sasa Anasema Kati Ya Mabadiliko Yaliyofanywa Katika Idara Ya Polisi Yalinuia Kuwaondoa Maafisa Ambao Wamekuwa Wakishirikiana Na Wafanyabiashara Wanaolemaza Vita Dhidi Ya Vileo Ghushi. Ruto Amefichua Hili Alipozungumza Katika Ibada Ya Jumapili Eneo La Ndaragwa Kaunti Ya Nyandarua Baada Ya Naibu Rais Rigathi Gachagua Kumtaka Kutoa Msimamo Wake Kuhusu Swala Hili.
Nani ameruhusu Tena hizi siasa Kwa kanisa........kanisa nyinyi...kanisa nyinyi...mmmmm....chungeni.
Pombe yote ni haramu, hakuna siku ilikua halali
Iv makanisa ya Kenya ni majukwaa ya siasa instead of kuabudu😢😢
We had missed the days President and deputy president talked in one voice... The moment they started to talk in different languages, a group called GenZ was born.. As Rigathi said, unity is strength and it must start from bottom up... Your excellency Rigathi Gachagua, continue with your magnificent work of bringing together Mt. Kenya...
And that's how they control you people wake up, these are two goons in disguise as leaders
Siasa kanisani,nonsense na tunawajua nwakora tuu,,hakuna kitu hapo
Nonsense
Stupid observation,who told you their so called working together matters to the cause of the gen Z and other many kenyans who are tired of all this politicians
@@georgesalano5771 GenZ became stronger when they realized that opposition was not powerful enough to take on the government.. But the ones you see today on twitter are Azimio people, most of them are Lips...
Sasa watoto hawauliwi na pombe wanauliwa na risasi
Mmoja alienda kukunywa pombe,. Mwingine akaenda kuchoma bunge..
Wanauwawa na kuchinjwa vichwa.
Unaeda kuchoma Parliament MTU akiwa na akili ?
But ulitaka wa coast wakule goka 😢😢😢😢so sad
Kumbe ikihusi watoto wao wanakasirika
@@jumas.sendekwa2788 sana tu bro
Pastor wa hii church ako sawa kweli
Labda anodai occupation by gen zs
Citizen mna tangaza ufala sana nyinyi.... Maumbwa
Wakenya bana mnachanganya ibada na siasa kwann mkiwa ibadani msiabudu Mungu mambo ya siasa mfanye kwenye majukwaa yenu
Ruto is akiller mambo ni matatu we remember
I'm David Lukeine, from Narok . His Excellency DP please don't let it come back it's ruining life's of our young people. There'll be future for people - I support you Mia kwa Mia ( 100% )
Ok Pombe ni sumu Mungukaa iko Sawa
Lakini Polisi, wanaweza kuuwa bila kushtakiwa. Double standard.
Watoto wetu wanauliwa na RISASI ZA SERIKALI NA SIO POMBE ANYMORE
Yess wakichoma Parliament hapo risasi lazima
Lakini muguka mnaruhusu huko pwani,,
The reason the 2 goons are going to church in ndaragua is because people there are in the dark and dont know what is happening regards GenZs. Let him try Githurai
Mbona hamja ongea kuhusu Ruto ku enda kutoa pesa kanisani na ali sema hakuna iyo mambo tena.... Nyinyi mme nunuliwa mafala nyinyi nkt.
Kura zikiibiwa ni mlima.michango kanisani nyama na mchele ni Central yan hahafunguka akili ama niaje.wee hii upuz akuna kisumu
Sasa president nikuja kanisani kusema stori za pombe wakati watu wanauliwa wakitetea haki zao tunaishi wapii
Pombe irudi...tutawaletea from mombasa😂..tukufe sote
Lakini mgoka mwataka uletwe pwani kumbe kwenu hamtaki watto wenu waaribike...acheni ukabila nyinyi
Ruto haskii......
Tulisema hakuna siasa kanisa
Thts very true..how soon did w forget kirinyaga??
Hakuna kitu mtaezana nyinyi,midomo mitupu na hakuna kazi
What’s the use of City Halls 🤮
Why can’t they just organize themselves to do their Speeches in City Hall,if they want to address the people ?
Pombe itauzwa tuu kwa sababu Maisha lazima endelee
Don't you see mlima ndio targeted na pombe sumu.
Ooook hawo ndio waliendesha biashara
Ghai wanabadilisha topic sai ili tusahau Nini inaendelea😂😂😂
Sawa deputy
Heri tuko na Rais anaeskiiiza
Hii siasa itaisha lini aki immediately after elections campaigns start again no time to work
Siasa chafu😢
Tab 😮its wrong politics in church
Ni nyumba ya mungu mmeifanya choo....😂😂 kila mtu akikula siasazake anaeda kukunia kanisa😂😂 simfanye makanisa zooote statehouses,
Politics in the churches is back ...
poison business is a booming business
Hadithi za Abumwasi from the chief in comand of a state. Lets know what is happening in kware?
And when coast counties ban Muguka same top leaders come out strongly to oppose. Conflict of interest
We are tired ruto liees must go
Politics politics in church.nkt
The way citizen TV twist things😂 They are thrive in chaos.
you don’t like how they mention your master zakayo😂
Gachagua awache ujinga anapigana na pombe mt Kenya pekee
Ni wapi kwingine umeona pombe sumu kama yenye iko mlimani. Its a plan to destroy males in particular. Blind people cannot see it.
@@jabezjedidiah1429 The people making poison alcohol are your fellow Kikuyus. Even during Kibaki's time it was there. God is just punishing you guys for the crimes you have committed against other Kenyans. Infact I will vote for Ruto 2027 awafinye kabisa hii ukabila yenu iishe.
Pombe haramu isiruhusiwe kuuzwa kabisa.. This fight of illicit brew should not end until it ends
What about Mugoka
Mjue more than 60 Genzs wako chini
Why do citizen tv twist news?
The thumbnail photo alafu the two radio presenters 🤔.
Unatakia kampuni zako ndyo maana utaka kuuwa za wengine
Ruto and Gachagua still attend church services to promote their selfish politics?
Siasa kanisani
Do Not deflect issues..
Govrnt.officials looting infrastructure tax payers money which is supposed to create jobs for these jobless youths...
Ruto n Riggy have the Audacity to complain in front of kenyans .They should Go after Government looters/Governors/Mcas !!
Stop all the illicit brews and drugs.
Uongo umekuwa mwingi kwako
RIGGY G HE IS BOSS THAN HIM EXTRACTION FROM RIGGY G NA SIO MAOMBI NI LAZIMA.
Reject mgokah mombasa
Je mgoka naye
😂😂😂😂😂 asalalaaa 😂😂
Please resign
Hawa watu seriously?
Makinikieni upakiaji wenu wa video na maelekezi.
Mbona una madaha ya kuandika misamiati ilhali bado si sanifu
@@fahadfaraj6474This comment though 😂😂
@@josephkaruga5495 kaandika Maneno yanayofanana na kiswahili ila hayana usanifu
Hawa wanapigana na pombe ,,pombe sio enemy, they're the enemy, zakayo and his puppets
Churches are not places of worship anymore...Sahi ni PLATFORM za siasa
kwani unaskia uchungu wapi
@@hazeljelimo5995 kwenye mboo,unataka kunyonya upoeshe?
That's your government.
So disgusting to see politics in church. Another reason to avoid churches that still welcome politicians.
Isn't this just laughable?
Lies
Pombe imeua wengi kweli lakini nyinyi hizi wiki zimepita mmeua wangapi mr deputy you dont get to have a moral high ground when in truth your actions have no morals...God is watching you liars....
Why don't you talk about peaple killed in kware pipeline mukuru kwa njenga your talking about alcohol 😂
So you have gone back to church again even after we warned you not to?
This guy is lieing at church
Stupid talks. Why you want Muguka in Coast yet you dont let the pombe there. Are those more special than the others?
Na hao watoto wetu ndo unaua..kigeugeu