Rigathi Gachagua alazamisha rais Ruto kutangaza msimamo wake kuhusu vita dhid ya pombe haramu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Rais William Ruto Sasa Anasema Kati Ya Mabadiliko Yaliyofanywa Katika Idara Ya Polisi Yalinuia Kuwaondoa Maafisa Ambao Wamekuwa Wakishirikiana Na Wafanyabiashara Wanaolemaza Vita Dhidi Ya Vileo Ghushi. Ruto Amefichua Hili Alipozungumza Katika Ibada Ya Jumapili Eneo La Ndaragwa Kaunti Ya Nyandarua Baada Ya Naibu Rais Rigathi Gachagua Kumtaka Kutoa Msimamo Wake Kuhusu Swala Hili.

Komentáře • 103

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian Před měsícem +32

    Nani ameruhusu Tena hizi siasa Kwa kanisa........kanisa nyinyi...kanisa nyinyi...mmmmm....chungeni.

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před měsícem +22

    Pombe yote ni haramu, hakuna siku ilikua halali

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před měsícem +2

    Iv makanisa ya Kenya ni majukwaa ya siasa instead of kuabudu😢😢

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or Před měsícem +20

    We had missed the days President and deputy president talked in one voice... The moment they started to talk in different languages, a group called GenZ was born.. As Rigathi said, unity is strength and it must start from bottom up... Your excellency Rigathi Gachagua, continue with your magnificent work of bringing together Mt. Kenya...

    • @kenmutwiri7561
      @kenmutwiri7561 Před měsícem

      And that's how they control you people wake up, these are two goons in disguise as leaders

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Před měsícem +3

      Siasa kanisani,nonsense na tunawajua nwakora tuu,,hakuna kitu hapo

    • @stove7197
      @stove7197 Před měsícem +3

      Nonsense

    • @georgesalano5771
      @georgesalano5771 Před měsícem +5

      Stupid observation,who told you their so called working together matters to the cause of the gen Z and other many kenyans who are tired of all this politicians

    • @Watt-er8or
      @Watt-er8or Před měsícem +1

      @@georgesalano5771 GenZ became stronger when they realized that opposition was not powerful enough to take on the government.. But the ones you see today on twitter are Azimio people, most of them are Lips...

  • @peterkamotho5962
    @peterkamotho5962 Před měsícem +21

    Sasa watoto hawauliwi na pombe wanauliwa na risasi

    • @Watt-er8or
      @Watt-er8or Před měsícem

      Mmoja alienda kukunywa pombe,. Mwingine akaenda kuchoma bunge..

    • @irenenjoel
      @irenenjoel Před měsícem

      Wanauwawa na kuchinjwa vichwa.

    • @alextercisio
      @alextercisio Před měsícem

      Unaeda kuchoma Parliament MTU akiwa na akili ?

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Před měsícem +16

    But ulitaka wa coast wakule goka 😢😢😢😢so sad

  • @Ndakui
    @Ndakui Před měsícem +11

    Pastor wa hii church ako sawa kweli

  • @Vodka_c-zar
    @Vodka_c-zar Před měsícem +6

    Citizen mna tangaza ufala sana nyinyi.... Maumbwa

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem +5

    Wakenya bana mnachanganya ibada na siasa kwann mkiwa ibadani msiabudu Mungu mambo ya siasa mfanye kwenye majukwaa yenu

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 Před měsícem +2

    Ruto is akiller mambo ni matatu we remember

  • @user-sg6zh6mj1h
    @user-sg6zh6mj1h Před měsícem

    I'm David Lukeine, from Narok . His Excellency DP please don't let it come back it's ruining life's of our young people. There'll be future for people - I support you Mia kwa Mia ( 100% )

  • @froma3732
    @froma3732 Před měsícem +1

    Ok Pombe ni sumu Mungukaa iko Sawa

  • @aheudit
    @aheudit Před měsícem +7

    Lakini Polisi, wanaweza kuuwa bila kushtakiwa. Double standard.

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Před měsícem +8

    Watoto wetu wanauliwa na RISASI ZA SERIKALI NA SIO POMBE ANYMORE

    • @alextercisio
      @alextercisio Před měsícem

      Yess wakichoma Parliament hapo risasi lazima

  • @rabeccamutindikivuu
    @rabeccamutindikivuu Před měsícem +6

    Lakini muguka mnaruhusu huko pwani,,

  • @Flamingo9653
    @Flamingo9653 Před měsícem +9

    The reason the 2 goons are going to church in ndaragua is because people there are in the dark and dont know what is happening regards GenZs. Let him try Githurai

  • @Vodka_c-zar
    @Vodka_c-zar Před měsícem +4

    Mbona hamja ongea kuhusu Ruto ku enda kutoa pesa kanisani na ali sema hakuna iyo mambo tena.... Nyinyi mme nunuliwa mafala nyinyi nkt.

    • @NasimMaya-k3q
      @NasimMaya-k3q Před měsícem

      Kura zikiibiwa ni mlima.michango kanisani nyama na mchele ni Central yan hahafunguka akili ama niaje.wee hii upuz akuna kisumu

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 Před měsícem +1

    Sasa president nikuja kanisani kusema stori za pombe wakati watu wanauliwa wakitetea haki zao tunaishi wapii

  • @jamalkhedira2398
    @jamalkhedira2398 Před měsícem

    Pombe irudi...tutawaletea from mombasa😂..tukufe sote

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 Před měsícem

    Lakini mgoka mwataka uletwe pwani kumbe kwenu hamtaki watto wenu waaribike...acheni ukabila nyinyi

  • @grysonkavaya5131
    @grysonkavaya5131 Před měsícem

    Ruto haskii......
    Tulisema hakuna siasa kanisa

  • @georgekamao6630
    @georgekamao6630 Před měsícem

    Thts very true..how soon did w forget kirinyaga??

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Před měsícem +1

    Hakuna kitu mtaezana nyinyi,midomo mitupu na hakuna kazi

  • @nicholasrama5076
    @nicholasrama5076 Před měsícem

    What’s the use of City Halls 🤮
    Why can’t they just organize themselves to do their Speeches in City Hall,if they want to address the people ?

  • @ppatop
    @ppatop Před měsícem

    Pombe itauzwa tuu kwa sababu Maisha lazima endelee

  • @patrickmurunga4820
    @patrickmurunga4820 Před měsícem

    Ooook hawo ndio waliendesha biashara

  • @astolafisto5660
    @astolafisto5660 Před měsícem

    Ghai wanabadilisha topic sai ili tusahau Nini inaendelea😂😂😂

  • @GeorgeMaluki-jr7xi
    @GeorgeMaluki-jr7xi Před měsícem

    Sawa deputy

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 Před měsícem

    Heri tuko na Rais anaeskiiiza

  • @abelmakori
    @abelmakori Před měsícem

    Hii siasa itaisha lini aki immediately after elections campaigns start again no time to work

  • @reubenabugah2137
    @reubenabugah2137 Před měsícem

    Siasa chafu😢

  • @GeorgeMaluki-jr7xi
    @GeorgeMaluki-jr7xi Před měsícem

    Tab 😮its wrong politics in church

  • @josephmuigai2074
    @josephmuigai2074 Před měsícem

    Ni nyumba ya mungu mmeifanya choo....😂😂 kila mtu akikula siasazake anaeda kukunia kanisa😂😂 simfanye makanisa zooote statehouses,

  • @wayando
    @wayando Před měsícem

    Politics in the churches is back ...

  • @AppComs_Institute
    @AppComs_Institute Před měsícem

    poison business is a booming business

  • @dennismutinda9875
    @dennismutinda9875 Před měsícem

    Hadithi za Abumwasi from the chief in comand of a state. Lets know what is happening in kware?

  • @jothammaweu3005
    @jothammaweu3005 Před měsícem

    And when coast counties ban Muguka same top leaders come out strongly to oppose. Conflict of interest

  • @70micgytred
    @70micgytred Před měsícem

    We are tired ruto liees must go

  • @janaleokesho8374
    @janaleokesho8374 Před měsícem

    Politics politics in church.nkt

  • @carolinechepcorir9239
    @carolinechepcorir9239 Před měsícem

    The way citizen TV twist things😂 They are thrive in chaos.

    • @briankwala7923
      @briankwala7923 Před měsícem +1

      you don’t like how they mention your master zakayo😂

  • @Josethekenyan
    @Josethekenyan Před měsícem

    Gachagua awache ujinga anapigana na pombe mt Kenya pekee

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 Před měsícem

      Ni wapi kwingine umeona pombe sumu kama yenye iko mlimani. Its a plan to destroy males in particular. Blind people cannot see it.

    • @duhhuskie2698
      @duhhuskie2698 Před měsícem

      @@jabezjedidiah1429 The people making poison alcohol are your fellow Kikuyus. Even during Kibaki's time it was there. God is just punishing you guys for the crimes you have committed against other Kenyans. Infact I will vote for Ruto 2027 awafinye kabisa hii ukabila yenu iishe.

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Před měsícem

    Pombe haramu isiruhusiwe kuuzwa kabisa.. This fight of illicit brew should not end until it ends

  • @user-cs5bs8xd8r
    @user-cs5bs8xd8r Před měsícem

    Mjue more than 60 Genzs wako chini

  • @Uzuri-kenya
    @Uzuri-kenya Před měsícem

    Why do citizen tv twist news?

  • @aheudit
    @aheudit Před měsícem

    The thumbnail photo alafu the two radio presenters 🤔.

  • @josephonyango7888
    @josephonyango7888 Před měsícem

    Unatakia kampuni zako ndyo maana utaka kuuwa za wengine

  • @user-sb6ek7vn8e
    @user-sb6ek7vn8e Před měsícem

    Ruto and Gachagua still attend church services to promote their selfish politics?

  • @SwalehSaleh
    @SwalehSaleh Před měsícem

    Siasa kanisani

  • @user-hr2hw9fc9q
    @user-hr2hw9fc9q Před měsícem

    Do Not deflect issues..
    Govrnt.officials looting infrastructure tax payers money which is supposed to create jobs for these jobless youths...
    Ruto n Riggy have the Audacity to complain in front of kenyans .They should Go after Government looters/Governors/Mcas !!

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 Před měsícem

    Stop all the illicit brews and drugs.

  • @japhetitharu118
    @japhetitharu118 Před měsícem

    Uongo umekuwa mwingi kwako

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Před měsícem

    RIGGY G HE IS BOSS THAN HIM EXTRACTION FROM RIGGY G NA SIO MAOMBI NI LAZIMA.

  • @kwekwenyotakwekwenyota183
    @kwekwenyotakwekwenyota183 Před měsícem

    Reject mgokah mombasa

  • @ibnuyussuf
    @ibnuyussuf Před měsícem

    Je mgoka naye

  • @johnmbugua6499
    @johnmbugua6499 Před měsícem

    😂😂😂😂😂 asalalaaa 😂😂

  • @niominiomi3334
    @niominiomi3334 Před měsícem

    Please resign

  • @aheudit
    @aheudit Před měsícem

    Hawa watu seriously?

  • @KigodaChaMtemiMsarifu
    @KigodaChaMtemiMsarifu Před měsícem +1

    Makinikieni upakiaji wenu wa video na maelekezi.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před měsícem +2

      Mbona una madaha ya kuandika misamiati ilhali bado si sanifu

    • @josephkaruga5495
      @josephkaruga5495 Před měsícem

      ​@@fahadfaraj6474This comment though 😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před měsícem

      @@josephkaruga5495 kaandika Maneno yanayofanana na kiswahili ila hayana usanifu

  • @augyking8010
    @augyking8010 Před měsícem

    Hawa wanapigana na pombe ,,pombe sio enemy, they're the enemy, zakayo and his puppets

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 Před měsícem

    Churches are not places of worship anymore...Sahi ni PLATFORM za siasa

  • @tobiasorimba176
    @tobiasorimba176 Před měsícem

    That's your government.

  • @anthonycnei8574
    @anthonycnei8574 Před měsícem

    So disgusting to see politics in church. Another reason to avoid churches that still welcome politicians.

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 Před měsícem

    Isn't this just laughable?

  • @vinreyal5627
    @vinreyal5627 Před měsícem

    Lies

  • @stephenthinguri3414
    @stephenthinguri3414 Před měsícem

    Pombe imeua wengi kweli lakini nyinyi hizi wiki zimepita mmeua wangapi mr deputy you dont get to have a moral high ground when in truth your actions have no morals...God is watching you liars....

  • @DangotePatrick
    @DangotePatrick Před měsícem

    Why don't you talk about peaple killed in kware pipeline mukuru kwa njenga your talking about alcohol 😂

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 Před měsícem

    So you have gone back to church again even after we warned you not to?

  • @FaithFay-mb1yt
    @FaithFay-mb1yt Před měsícem

    This guy is lieing at church

  • @lilyrunya9584
    @lilyrunya9584 Před měsícem

    Stupid talks. Why you want Muguka in Coast yet you dont let the pombe there. Are those more special than the others?

  • @charlyb3560
    @charlyb3560 Před měsícem

    Na hao watoto wetu ndo unaua..kigeugeu