Am watching from county 006.Rashid hili swala laitaji hekma ya hali ya juu sana na pia hofu ya kiungu iwepo kati yao maana Kuna pia possibility hata mafa kufanyika ..Lakini muhimu wayaseme hayo mbele ya pastor au sheikh wakiwa pamoja siku hiyo.
Ata hacpotambulika kwa binadamu mungu anamtambua na wote tutakufa cku moja...watoto wote ni sawa ...wenye walisaliwa ndani ya ndoa na wenye walisaliwa nje ya ndoa ni sawa....
Cheating is a choice as Benjamin has rightly said. You choose to cheat and take full responsibility for it.
Benjamin anakuaanga realistic.....
Benjamin wasomee kabisa
na kama mtoto alikua ata kabla ya ndoa. na ulimficha hiyo siri kabla umuoe
Hii ni serious because the marriage can be annulled
The best thing is to let your partner to know befoe
Am watching from county 006.Rashid hili swala laitaji hekma ya hali ya juu sana na pia hofu ya kiungu iwepo kati yao maana Kuna pia possibility hata mafa kufanyika ..Lakini muhimu wayaseme hayo mbele ya pastor au sheikh wakiwa pamoja siku hiyo.
I feel like judging this one. Rashid it's like you've messed up Lulu 😂😂😂
We thank God for this channel....Amen.
Kwenda nje ni uamuzi wako wala sio kosa katika ndoa
Haya.mambo.huna.sema.ni.kweli.kabisa.
Ata hacpotambulika kwa binadamu mungu anamtambua na wote tutakufa cku moja...watoto wote ni sawa ...wenye walisaliwa ndani ya ndoa na wenye walisaliwa nje ya ndoa ni sawa....
Good, kumbe unajua.
Ata mke ikatokea ajue bado Kuna wanaume wengine ni ngumu kwao kukubali na kukana mtoto si wake
Hi kipindi itolewe Kwa citizen
Wanaume ni wa sharati sana
Kwa nini mpango wa kando , ongeza bibi kama unaweza lisha.
Wote huaga ni chanxo