HANS RAFAEL ATAJA SIFA ZA MUTALE | "HUYU NI ZAIDI YA CHAMA" |SIMBA ILITUMIA UMAFIA HUU | "IMEKWISHA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • Sport

Komentáře • 31

  • @emmanuelsayi304
    @emmanuelsayi304 Před 2 dny +4

    Karibu sana joshua mare

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 2 dny +7

    Mutare ni bonge la mchezaji karibu sana Simba kocha mpange Mutare kwenye namba yake YA 10. Jamani simba tufurahi wanasimba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 2 dny +4

    Kocha tunaomba kila mchezaji apewe nafasi yake na namba yake anayochezea. Makocha muwe mnajaribu kuuliza namba aliyokuwa anachezea huko alikotoka ili kupata timu iliyo bora

  • @gastomkendaMkenda
    @gastomkendaMkenda Před 2 dny +3

    Naomba ratiba ya kipindi chenu Cha mchezo hansi

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před 2 dny +8

    Mwambieni huyo mjinga asimtaje Phiri tena kati ya waliofeli. Phiri alikuwa hatari sana mpaka alipoumia akicheza dhidi ya Kagera Sugar. Wachambuzi wengine mnakosa sifa kwa ajili ya kuchambua kwenu kishabiki. Mkiacha ushabiki mtakuwa bora.

    • @user-kn1mr2em5i
      @user-kn1mr2em5i Před 2 dny +4

      Alifeli ndyo maana akatemwa hata Djuma Shaban aliwaka ikafika muda akatemwa hapo tunahesabia kafeli kwasababu ameshndwa kuwa kwenye kiwango chake muda wote mbali na majeraha ilibd aonyeshe zaid

    • @mwana-dodomamedia9111
      @mwana-dodomamedia9111 Před 16 hodinami

      Mbona km POVU flani hv!? 😂😂😂

  • @Maggab-cl5od
    @Maggab-cl5od Před dnem

    Karibu mwamba wa kazi

  • @user-eq6go4hl3c
    @user-eq6go4hl3c Před 2 dny +5

    yes

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 2 dny +3

    Hapo ilikuwa ni tatizo la kocha kuwaweka benchi

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh Před dnem

    Hans 👋👋👋👋 unajua kaka

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 2 dny +1

    WASIPO ZUNGULIWA WATAROGWA SIMBA MJUWE HILO.

  • @user-ee8xb1tl5n
    @user-ee8xb1tl5n Před 2 dny +3

    Hansi Rafael chikwende mwanangu san

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 Před dnem

    Napenda ligi yetu iwe mithili ya EPL yaaan timu bora ziwe nying ili tuone ushindan wa hali ya juu...

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 Před dnem

    Namba 10 anagor ngap musidanganyewatu mtaonahaibu badae

    • @mwana-dodomamedia9111
      @mwana-dodomamedia9111 Před 16 hodinami

      Mm nilijua upo kwenye sherehe za kumkaribisha MZEE CHAMA, kumbe bado unafuatilia nyendo za timu bora namba 6 Afrika!? 😂😂😂😂😂

  • @HJ-wf2vi
    @HJ-wf2vi Před 2 dny +3

    Wachambuzi acheni upuuzi mtupu why kwa Simba SC always mpo negative kwa actions za Simba SC???

  • @LindaMbilinyi
    @LindaMbilinyi Před 2 dny +3

    Karibu sana joshua tunakupenda,,na ww chama nenda kafilwe huko

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 2 dny +2

    kwani cc na utoporo lini?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 2 dny +1

      😂😂😂 we huogopii

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 dny +1

      ​@@mwanangusanaUOGOPEWE WAKATI HUNA LOLOTE 😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před dnem +1

      @@salimmalaka256 🤣🤣🤣 nimekukosa kosa 3 ... Dube 1 , Aziz ki 1 na chama 1 dk za jioniiiii 🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před dnem

      @@mwanangusana TUNGOJE TUONE HIZO 3

  • @user-xg9ix9ex9h
    @user-xg9ix9ex9h Před 2 dny +1

    Huyo ndo ulinganishe na chama we una una utani sana

    • @mwana-dodomamedia9111
      @mwana-dodomamedia9111 Před 16 hodinami

      Huyu ni KIJANA na CHAMA ni maji ya jioni. Upo sawa, hawalingani hata kwa mbali

  • @gastomkendaMkenda
    @gastomkendaMkenda Před 2 dny +2

    Naomba ratiba ya kipindi chenu Cha mchezo hansi

  • @gastomkendaMkenda
    @gastomkendaMkenda Před 2 dny +1

    Naomba ratiba ya kipindi chenu Cha mchezo hansi