Nimeisikiza hii nyimbo saa 8 usiku nikiwa nimetoka kufanya ujinga flan hivi🙈 nikasikia kwa nguvu sana wimbo huu wa NANI ANGESIMAMA by bro MTISHIBI ukigonga ndani yangu kisha ukaja wimbo wa NEEMA YAKO by SIMFUKWE oooooohh🔥🔥🔥🔥 kuna nguvu katika uimbaji guys..Nimeamini kuwa leo ndio mwisho wa upuuzi wangu in JEUS NAME. AMEN
Kupitia huduma yenu hii njema nimeuhisi uwepo wa Mungu ambao sijauhisi muda mrefu.Mungu awabariki sana baraka zote za mwilini na rohoni na azidi kuwatumia kugusa watu kama mlivonigusa mm leo.AMEEEEEN!!!!!
Nimeisikiza hii nyimbo saa 8 usiku nikiwa nimetoka kufanya ujinga flan hivi🙈 nikasikia kwa nguvu sana wimbo huu wa NANI ANGESIMAMA by bro MTISHIBI ukigonga ndani yangu kisha ukaja wimbo wa NEEMA YAKO by SIMFUKWE oooooohh🔥🔥🔥🔥 kuna nguvu katika uimbaji guys..Nimeamini kuwa leo ndio mwisho wa upuuzi wangu in JEUS NAME. AMEN
ILA UYU JOEL WA SASA YEUWIIIIIIIII🙌🙌🙌🙌🙌
Kupitia huduma yenu hii njema nimeuhisi uwepo wa Mungu ambao sijauhisi muda mrefu.Mungu awabariki sana baraka zote za mwilini na rohoni na azidi kuwatumia kugusa watu kama mlivonigusa mm leo.AMEEEEEN!!!!!
Nimewaandikieni vijana Kwa kuwa mnazo nguvu 🙌🏿
Hapana kwakweli Joel kaaaaaah
We WEEEEEEEE🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Apo Amekosekana Paul Clement na Kavishe
So powerful 👏, ooooohhhhhhh God 😢😢
Mtu moja tu anaweza elewa! (Voice of God) ❣️❣️🙌🙌🙌
Jina la bwana limeinuliwa hapa. Mbarikiwe watumishi
Joel key zako ni noma
How I wish I was present to experience the glory🎉 From Kenya,. May God increase you servants
hakika ibada hii Ilijawa nguvu sanaa
Kutoka Nakuru nipo hapa🇰🇪
Joel lwaga......❤❤
Grace is sufficient
Nilikuwepo aisee 🙌 MUNGU anainua vijana Tz💥
Lord touch me one more time.I need this kind of worship in my body, heart and soul
Joel lwaga 🙌🙌🙌🙌
Amen be blessed
Elia Mtishbi🔥🔥