Raila Odinga atoa masharti ambayo lazima yatimizwe kabla ya mazungumzo ya kitaifa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Kingozi wa Azimio Raila Odinga ametoa masharti ambayo anasema ni sharti yatimizwe kabla ya mazungumzo ya kitaifa kuandaliwa kati ya serikali ya Kenya kwanza, Upinzani, makundi ya vijana na wakenya wengine. Kupitia taarifa kwa vyombo vya habari, Raila amesema serikali lazima iwajibikie matakwa ya vijana kabla ya Rais Willim Ruto kufanya mazungumzo. Nimrod Taabu ana mengi zaidi

Komentáře • 117