Niangalieni mimi mkaokolewe kabisa🤝 bado naitazama hii ngoma 2024 huu wimbo ulikuwa wimbo wangu penda kila nikipumzisha ng'ombe enzi hizo lazima niende kijiweni kuuangalia na kuusikiliza na enzi hizo TV zilikuwa zile za kubanana😂
I have come to add my support after listening to the "Simba" Rose has lasted in this Gospel Ministry and she has never disappointed, she gives hit after hit💯, she real needs to be supported..East Africa and the Entire Africa knows that she's the Real Queen of Gospel. I support her from🇰🇪
Solo guitar 🎸 on fire. Weather you like it or not this woman is annointed from above to serve the world through music. I miss the old rose muhando 😢😭😭😭😭😭😭
(Isaiah 63:1) Who is this that cometh from Edom, with dyed garments from Bozrah? this that is glorious in his apparel, travelling in the greatness of his strength?......praise the Lord!
Nyimbo wa upako wa Roho Mtakatifu! ume jaa na ujumbe mzito. Niyakitambo kidogo lakini bado inavuma vilizyo. Sitosheki nakuacheza nakurudia mara kwa mara. Unatubariki zaidi, nashukuru Mungu Wetu Yehova iliekupa hii kipawa azidi kuinua wewe na akushindanie maadui zako na majaribio zote.
God’s Day of Vengeance and Redemption is coming, "Niangalie ni mimi mkaokolewe" "Who is this coming from Edom, from Bozrah, with his garments stained crimson? Who is this, robed in splendor, striding forward in the greatness of his strength?" "It is I, proclaiming victory, mighty to save." Isaiah 63.1 *Why do the righteous suffer good Lord? And why do the wicked prosper? May God protect Rose Muhando and give her good health to continue with the good work that she's been doing. Her songs are inspiring and beyond reproach. We pray for you and be blessed
Simply we can say that Rose is the best gospel singer of all time in East Africa,Uimbaji wa nyimbo za injili ni huduma wote wanaimba vizuri ila Rose naimba vizuri zaidi,ujumbe,mziki,quality ya wimbo,video za kiinjili🙏🙏🙌🙌🙌
Dada Rose kilichobaki kwako ni kupambania maisha ya utakatifu ufike mbinguni injili umeichapa kwa njia ya uimbaji na tunaskia kutiwa nguvu na nyimbo zako be blessed
Thank God for he provided a special talent to Dada Rose, and she is effectively using it. Let us tell God to release her from the prevailing trail on her.AMEN.
Amen brother. We should never cease from praying for her and all the lost sheep of Christ. The Messiah is soon coming back for His sheep and so its our responsibility to intercede for Rose so that she can be restored. Shalom
Mum Rose,,,,,,Am your greatest fun,,,,I truly love ALL your songs,,,,you are the anointed one of the Lord,,,you are a blessing to many,,,go on mum,, preach the gospel through singing,,,,, Amen
May the good Lord continue to strengthen this lovely lady, with her beautiful and melodious voice despite the many trials that she has gone through. "Wew ni mungu kweli". Bless Rose and her team and family to continue to serve you. A very great song indeed. May His name be praised all the time.
May the Almighty God add you more grace in order to continue serving Him for the rest days of your life,whoever put his/her hope to God will never perish.Thank you for this wonderful message.Mathew simanga from kenya.
Hehe Rose ninataka ni kuwe na wewe pamoja katika Nina LA yesu Mungu akipenda am from Uganda. Mimi si kujui. Mimi pia ni muyimbaji ya kiswahili. Barikiwe.
Rose is the only gospel artist singing in spirit ,,yaani nyimbo za roho na ukweli ..anapoimba unajipata umezama kwenye wimbo with all the spirit and soul,,she is the true definition of a call with talents and gifts of the holy spirits...this lady is just in another level ,sings with ease ...and the song flows
Kama 2024 uko apa na unapumua gonga like ❤ God is great just listen to vocals and sound yawaaa🎉
Wenye tunasikiliza huu wimbo 2023, likes apa
Wakenya wapi like zenu hapo 😋😋
Wakenya tupo sana...barikiwa mtumishi. .niangalieni mimi..
🙋🙋🙋
🙋🙋🙋🙏🙏
Tuko,#niangalieni Mimi mkaokolewe
Tupo 2019
Njooni kwangu mlemewao na mizigo mizito .God bless you mum❤🙏🏼🙏🏼🙌🙌
Am blown by yourall your gospel old songs sikuzile ulitumika kwa njia ya ajabu my favourite songs shingo inaonanga moto❤🖐️😇💯👏✋👍👃
Nabarikiwa na nyimbo zako mama angu rose muhando🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Nakukubali sana mama mungu akutangulie kwa mambo yako yote 😦
Npo hapa2023 mungu akinibariki ndoa naomba zipigwe hi tu nyimbo god bless you mamaangu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mum Rose Am A Muslim But Am Apprashate U Gospel Sons So Much God Go Bless U
Then come to Jesus.Jesus loves you so much.
Wooow brotheee be blessed 🔥🔥🔥💃💃💃tunawakaribisha kwa group lake la wassup🙏
The top of the top....muhando all the way ❤❤
Amina wapi like za 2019 Rose b blessed forever more Nice song indeed stay blessed...
God bless all to this night
Tumwangalie mungu hata na usiku huu tukaokoliwe
Nice
@@johnekomwa8707
🥰🥰🥰🥰😘 still fresh
Niangalieni mimi mkaokolewe kabisa🤝 bado naitazama hii ngoma 2024 huu wimbo ulikuwa wimbo wangu penda kila nikipumzisha ng'ombe enzi hizo lazima niende kijiweni kuuangalia na kuusikiliza na enzi hizo TV zilikuwa zile za kubanana😂
''Mimi wa kwanza Alfa na Omega niangalieni Mimi mkaokolewe''..God bless you Rose..2020 still listening
Rosy nakupenda sana
Wimbo huu una ufunuo kweli, Rose wewe ni baraka kwa wengi.Keep it up
Rose is a vibe...she is a gift from heaven..big up mum❤
I have come to add my support after listening to the "Simba" Rose has lasted in this Gospel Ministry and she has never disappointed, she gives hit after hit💯, she real needs to be supported..East Africa and the Entire Africa knows that she's the Real Queen of Gospel. I support her from🇰🇪
the lioness of music
@@user-iz4qf5sx9qp l
Ata waseme nini, niwengi walibarikiwa na nyimbo zako including me 🙏
Quarantine have sent me here wow who's with me 2020 kipindi hiki kigumu😭😭😭
Solo guitar 🎸 on fire. Weather you like it or not this woman is annointed from above to serve the world through music. I miss the old rose muhando 😢😭😭😭😭😭😭
2021 still here, wapi likes zake jamani
Ah❤️❤️❤️,, huu wimbo unanibarikingi sana ak,, dada rose Mungu na akubariki sana katka Kaz yake na uzidi kueneza injili yake🙏🙏
rose baraka zikufwate,nyimbo zako zinaujumbe usioruhusu wimbo kuzeeka,maana niangalieni mimi mkaokolewe.Amen dumu ndani ya yesu
AMEN!
@@maryachieng3854 _+8889))(8(
(Isaiah 63:1) Who is this that cometh from Edom, with dyed garments from Bozrah? this that is glorious in his apparel, travelling in the greatness of his strength?......praise the Lord!
moses hekima it good one
@@felipewainih815 _
Amen
Hakika niwakwanza namwisho
barikiwa sana rose mungu tu anaweza kutuokoa
2021 nimerd tena kutizama wimbo huu.....hakika unanitia nguvu asante sana rose mhando.
Yaani Rose Mungu azidu kukutunza maana nyimbo zako zinanipandishaga utukufu hadi utukufu
❤❤❤❤ ord is gold napenda nyimbo zako zote mama May Good God continue blessing you
Hakika nasahau shida zangu zote 💕💕💕
Amen Amen Asante kwa nyimbo nzuli.ongea Rosé ubalikiwe sana
PATRICK BANDA ZAMBIA ***#VERY GOOD SONG I LOVE THIS SONG IT CAN'T GO A DAY WITHOUT PLAYING IT. SURE GOD BLESS ROSE
The best touching song ever...the dance is epic,the lyrics are on point...the voice is magnificent...the lining of words,wow
Utukufu wangu simupi mwingine 🙋🙋🙋mamlaka na enzi vyote ni vyangu🙋🙋🙋
Safi sana dada muyumwema
Nyimbo wa upako wa Roho Mtakatifu! ume jaa na ujumbe mzito. Niyakitambo kidogo lakini bado inavuma vilizyo. Sitosheki nakuacheza nakurudia mara kwa mara. Unatubariki zaidi, nashukuru Mungu Wetu Yehova iliekupa hii kipawa azidi kuinua wewe na akushindanie maadui zako na majaribio zote.
My lovely song naupenda sana huu wimbo nilikuwa nakusikiza nikiwa darasa la 6 sasa hivi ni mtu mzima❤❤❤
Dada roza umuangaliye Mungu tu tukonaimani utapona god bless you 2019.
This is 2020 ashapona #AMEN.
nyimbo zako rose kwangu ni zaidi ya mahubiri!!
elias kibi nice song
Nice one
Amen,ubarikiwe Dada.
Kweli
Nzr
God’s Day of Vengeance and Redemption is coming, "Niangalie ni mimi mkaokolewe"
"Who is this coming from Edom, from Bozrah, with his garments stained crimson?
Who is this, robed in splendor, striding forward in the greatness of his strength?"
"It is I, proclaiming victory, mighty to save." Isaiah 63.1
*Why do the righteous suffer good Lord?
And why do the wicked prosper?
May God protect Rose Muhando and give her good health to continue with the good work that she's been doing. Her songs are inspiring and beyond reproach. We pray for you and be blessed
Thanks bro for that scripture
Dada Rose utabaki juuuuuuuuuu utabaki mawinguniiii kwa utukufu wa Bwana
God has given you the power to sing and it's true that you have used it
Jeremiah: 33 vs 3; niiteni nami nitawaitika niwaoneshe mabo makuu na yenye kuvu abanyo hamunyajui... Hallelujah God bless you mama rose
Amen 🙏
Ndiyo mwenye uwezo na mamlaka amemwona Rose na Utukufu wa mungu umedhihirishwa Ahsante mwokozi
Simply we can say that Rose is the best gospel singer of all time in East Africa,Uimbaji wa nyimbo za injili ni huduma wote wanaimba vizuri ila Rose naimba vizuri zaidi,ujumbe,mziki,quality ya wimbo,video za kiinjili🙏🙏🙌🙌🙌
Rose is my best gospel Singer in the whole world may God protect her ... Am from Uganda
Injili ni moto,Mungu mwenye nguvu,barikiwa sana Dada Rose.
Dada Rose kilichobaki kwako ni kupambania maisha ya utakatifu ufike mbinguni injili umeichapa kwa njia ya uimbaji na tunaskia kutiwa nguvu na nyimbo zako be blessed
My sister Rose, truly this is great music. God bless you very much. I love this kind of music. Very anointed voice. Baraka.
Nimebarikiwa na huu ujumbe. Asante dada rose mungu azidi kukubariki .This is great.
Dada uko vizur mungu akubariki
Thank God for he provided a special talent to Dada Rose, and she is effectively using it. Let us tell God to release her from the prevailing trail on her.AMEN.
Amen brother. We should never cease from praying for her and all the lost sheep of Christ. The Messiah is soon coming back for His sheep and so its our responsibility to intercede for Rose so that she can be restored. Shalom
I love this old rose muhando songs
a masterpiece from a legend! My favorite
The song that brings joy to my heart.
Ata Pharaoh anajua hilo amen
Nyce songs be blessed my namesake
Rozi unajua kusifu na kutukuza asante sana mungu kwa kumpa mtumishi wako rozi kipaji hiki anatuinua na wale wenye imani haba💃🙋🙌🙏🕺
Help me to love this woman with all her songs forever
Dadangu rose nyimbo zako zanibariki sana
The tune uplifts me spiritually.......God bless you abundantly, Rose Muhando 🌹
I love your music a lot......may God increase that grace for u.
Mimi ni mungu, hakuna mwingine, niangalieni mimi mukaokolewe, this is strong mesenge from Rose mhando to all people who are in the world.
Kweli dadaroz nakuamini sana kwanyimbo zako sana
Who is listening in 2019??
Mum Rose,,,,,,Am your greatest fun,,,,I truly love ALL your songs,,,,you are the anointed one of the Lord,,,you are a blessing to many,,,go on mum,, preach the gospel through singing,,,,, Amen
clevix sakwa -s
clevix sakwa '
!
Jan 9, 2020 anybody?
April, 2023 & still loving it.💕💕💕
2023 na napenda wimbo huu ajabu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akuzidishie neema katika kipawa chako nyimbo zako zinainua kiroho tumwangalie yesu tuokolewe
Kwa kweli mama rose nyimbo zako huwa zinanibariki xnaaa
Old is gold..
dada rose wewe ni watofauti sana unaweza sana
Mungu Akujalie Maisha Umri Mrefu Zaid
mungu hakubariki mtumish wa.mungu.kwa.nyimbo zako za.ni.bariki. sana
. Roz.mwando......
Mungu wa mbinguni akubari na akutunze milele yote
I thank God for your life my sweetheart, may God bless you stay bless dear n God bless you all
Napenda nyimbo zako rose kwa sababu huwa unaimba ukiwa rohoni kbxaaa
May the good Lord continue to strengthen this lovely lady, with her beautiful and melodious voice despite the many trials that she has gone through. "Wew ni mungu kweli". Bless Rose and her team and family to continue to serve you. A very great song indeed. May His name be praised all the time.
Napenda nyimbo za mama Rose Muhando xnaa huwa zinanibariki aky
May the Almighty God add you more grace in order to continue serving Him for the rest days of your life,whoever put his/her hope to God will never perish.Thank you for this wonderful message.Mathew simanga from kenya.
Your songs bless me Rose. I like the energy with which you praise your Lord
I am blessed by her songs, may the Lord protect her and continue to use her
Nashukulu MUNGU kuwa rose mohado umepona napenda sana nyimbo zake
Welcome to Kenya we love you
Inuka uangaze, nuru imekuzukia! Prop Kibali-Mwanza Tz.
Hehe Rose ninataka ni kuwe na wewe pamoja katika Nina LA yesu Mungu akipenda am from Uganda. Mimi si kujui. Mimi pia ni muyimbaji ya kiswahili. Barikiwe.
Acha mkono wa mungu ukuponye dada rose.so sad katika kipindi hiki kigumu unachopitia. But ukweli ndio utakuweka huru.
Rose matatizo Yako yalikuwa ni kipimo cha imani Yako....enough is enough.....2019 ni mwaka wako wakubarikiwa In Jesus Christ AMEN 🙏🏻.
Ad
Mimi ni mungu alfa na omega niangalini mimi mkaokolewe barikiwa sana rose
Rose Muhando rudi utupe hizi raha jamani,,,, Kama huu wimbo ni kiboko,,,,
2024 here. Feeling blessed.
She is an inspiration to me ever ,
Celebrating my Christmas with your songs my dear Rose napenda hii wazimu yako aki
Mama rose inuka you bless me
2020 still this song fresh n she sang the word which is for ever liveth n settle in heaven
I tell you 2023
Nitazameni Mimi watoto wangu
Mungu akutunze milele rose
Niangalieni hata mimi Bwana
Rose is the only gospel artist singing in spirit ,,yaani nyimbo za roho na ukweli ..anapoimba unajipata umezama kwenye wimbo with all the spirit and soul,,she is the true definition of a call with talents and gifts of the holy spirits...this lady is just in another level ,sings with ease ...and the song flows
Dances with ease too
We look up to God for salvation-kweli mama ubalikiwe.
mungu akubariki sana Dada rozi nyombo hizo zinafundisha sana mungu aendelee kukutia nguvu
Mimi Ni Mungu jamani nimejifunza mengi kweli
mm nisemaye kwa haki , niangalieni mm muokolewe mm ni mwanzo tena mwisho