NyAgO mAn - Ibasonu (Lyrics Video)
Vložit
- čas přidán 24. 12. 2023
- Get the song on
Spotify link
open.spotify.com/album/7EFT4P...
Apple Music link
/ artist
1673557728
Audiomack link
audiomack.com/nyagoman_gm/alb...
Boomplay link
www.boomplay.com/share/album/...
srModel=COPYLINK&srList=ANDROID
NyAgoMan booking info:
Email: mrightmabettochonweboy@gmail.com
Catch Up With NyAgoMan on :
Instagram: / nyago_man_gm
igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==
Facebook : / profile.php
id=100064558369507&mibextid=LQQJ4d
#NvagoMan #Ibasonu #KiruwiiiBisoshiiiGm
Nyago man anaweza nipeni like basi
Nyago unajuakuimba ilachakufanya. Imbakiswahili utatoboa brooutafikamba ukifahivi Mimi nipo Zanzibar napenda mziki wako
Daah Hongera Sana bro Iyooh Ninyimbo Ambayo Imegusia Mambo Mengi Sana Ya muhimu Cema Unajua Sanaa Upewe Mauwa Yako Na Mungu Akuhinuwe Zaidi
Umetisha kk my true life akunaanejuwakesho 🔥🔥🔥
Kama umpenda nyago man like hapa ❤❤
❤❤😂😂
❤❤❤❤❤❤
Umeimba kweli kabisa
Poa sana n iyo goma nimeipenda kinyama nyago man
Ihiii Nyimbo jamani Mungu too ❤🙏
Ambao tuna rudilia uuu wimbo kama upo miongoni mwao gonga like 🎉
Toka ulivyo hanza kuimba huu ndo wimbo wako wakwanza mimi kupenda
Kwani wewe unaga nguho nyigine 🎉🎉
KAMA UME MKUBALI NYAGO KWAHILI NGOMA PIGA LIKE HAPA 👇
Kk courage mingi najuwa ulilumusha kichwa kwaku taka fans zako wapate vizuri ❤❤❤❤
Iyo fers ya kwanza kaka ndo 😢😢😢
Yaani bro! Acha ni seme ya moyoni!! Mimi nakubali sana muziki wako.. Vizuri
Kwanza, una swagga za usaani.
Pili unajua kuimba..
Tatu ukisema utulie, ngoma zako lazima ziguse mioyo yetu..
!! Bro angalia sasa kuhupeleka muziki wako kimataifa maana, unaweza, anza na kubadili lugha, pia tafuta collabo na wasanii wengine ambao watakusaidie uhinuke zaidi..
Tunahitaji na sisi tusikie msaani kutoka fizi, #nyago_man akiwa nominated kwenye tuzo mbalimbali Afrika na duniani...
Nikiangalia kipaji chako na bidii yako, unaweza kwenda mbali kimziki... Bro jikaze sana ubadili lugha na upunguze matusi,...
Yan bebero Akuna mwengine nime kupa jina lingine ili KING DELA MUSIC CAMP 100%KING 👑KING BEBERO KENGE
Brother wimbo wako umenigusa sana
Ndugu ao ao... Umeuwa xna🖐️🍷
Unajuwa sana nyang0 Man
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 Big up 🔥 Nyagoman
Pambana tu bro ❤
Mmh nyago unajuw bro
Kweli kweli bro mungu akusahidie sanatu 🙏🙏🏻🙏🙏🏻🙏🙏🙏
Nakukubali sana diamond wa camp ❤❤❤
Kama unamkubi NyagoMan Gonga like 🔥🔥
ndo nakukubaligi dogo langu
Nyago man Leo umetisha❤❤🎉
Nakubali vanité from🇧🇮
Umeuwa kk ukweli umeniteka 🎉🎉
My favorite sonG 2023❤
Wimbo umeningusa kweli 😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Umenikumbusha mengi sana
Kwa kweli unafahamu kaka
Kazi kubwa sana kaka
Jama anajua mpaka anakera 🖐️🎯🖐️
nyarugusuAudio kwa male wa penzi wa nyimbo za camp bonyeza ihi account Audio BEBERO MBUZI LA MA MBUZI 🔥🔥🎉
M'y brother unaweza, mshikamane wazani camp muache bifu. Hili mfike mbali.🎉🎉🎉🎉. good job 👍
HIi ngoma akika umeimba kwa hisia zote pamoja na dukuduku zilipokua moyoni mwako, nahivyo ndo Walimwengu tulivyo ususani mashabiki sometimes tunakuwa atueleweki tunataka nini 😞😞 ….. ngoma Kali sana 🎄🌹
Kbs kaka Ahsante sna toka nilipo anza uko na mm mpaka mdahuuu Ahsante sna
@@nyagomangm nakubali bro pamoja sana Never give up ❤️
nawashauri achenimziki
Seen by 9neway
Broo unajua san, ngom kal
Tunahelewa😢😢
Nakukubali sana captn
Umeanza Kuujua Mziki Sasa
Meaningful song 😢😢 never give up nyago man. 🙏🙏🥰🥰
Wakwanza nipe like zangu
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Vizuri san
Director Khasi seen
Iyi koti umesha chuti nayo marangapi bro?
aikusu bro
Yaani maneno yameenda vizuri hadi mwisho hongera sana halafu sijasikia tusilolote
I don't know what to say, why people say that you are not familiar, I have accepted the worlds ❤❤❤❤❤
Kazi nzuri nimepende sana ♥️♥️♥️♥️♥️
Iyo moja ume weza baba 🔥🔥🔥
Kaza dogo ❤❤❤
kaha ukijuwa kwamba ukiona watu Wana comment ujuwe unakitu lugha yoyote ile inaweza kuku fikisha mbali sema kwamba mna tumia nguvu nyingi kufikisha ujumbe
Vyema sana
By duże rapa from big star og❤❤❤❤❤
Good job
That's true broth
Vue par baba boys 🔥🔥🔥 Kaka yangu unajuwa sana
Bebero kEngE 🐐 La 🐐
One love ❤️ ❤❤❤ big job kaka
Hiyi ngoma nikubwa sana bro
Congratulations bro , you sing the truth
𝐍𝐞𝐯𝐞𝐫 𝐠𝐢𝐯𝐞 𝐮𝐩🙌
Jaman wasan walikuja wengi camp na walikuwaga Zamani wakina p boy wajuwe kwamba mwenye mziki wake Ndo nyago man na atutaki tunzo ahonewe bebero coz nyago ametupigiya wimbo wakukumbusha jinsi mziki unavyo henda king dala music nyago man bebero king 👑 bro nakuhongezeya jina ya (KING DELA MUSIC CAMP 1000%)
Bonge la ngoma keep going 💪 bro God bless you 🙏
Mungu a bless kazi yako kaka ❤❤❤
I like this creativity 😎
Umeuwa bro mbuzi la ma mbuzi bebero
Good song
Real goat 🐐 🙌
J’aime bien la musique ❤❤❤
Bro unajuaga Sanaa Mr babutale wa family terra seen
Félicitations et bonne chance, va de lavant mon frère
Nyango mtu wa watu
Ukiwa unahimba ivii utafika mbinguni Zambi zako wapewe mameneja 🤣🤣
kazi nzuri mwanangu✌💪🥂🇿🇦🇿🇦✌
Nakubali ❤❤
Unyama broh
Congratulations 🎊
Nyago 😢ume sahau “mi ni mbuzi lama mbuzi toto la alebe 😊”
International Bwoy Seen it 🙌❤️
Nyago man🙏
Nyago man
From THEUSE BOY MODEL 🇺🇸
Unajuwa
King wa camp bebero❤
🔥🔥🔥🔥🔥 bebero ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🐐🐐🐐🐐la kibembe ❤❤❤
Bruh kweli hii ngoma imejaaa ukweli mtupu pia I like it, congratulations, man 🎉🎉🎉🎉
Mbuzi Lama Mbuzi 🎉🎉🎉
Kyaaaaa😂😂😂 toikye ye ni mbuzi la mambuzi 😂
Bembe girl 😢😢😢
Kwann usiimbe ivyi kila siku❤
🔥 fireeeee congratulation brother 🙌
Mindokwanza ku like nichiye fire 🔥 bro
Mwanangu!! Tayari ubembe tumesha kujua!! Tunahitaji mziki wako uenda sasa kimataifa so,, anza kuimba kiswahili bro. Naamini utaenda
Amna tuu Kiswahili bana rugha yetu inaffa
@@Pierrethe2 kweli eeeeh!!! Ila atakuwa na ka mpaka,,,
Kaka ngoma mzur jitaidi uimbe kiswahili Kweli achana na Ukabila
Najihisi kulia
Boy from 🇺🇸 nakubali man #mbuzy lama mbuzy😎 good job 🙌👊
The best song
Yani kwahii Atuwezi kupinga🎉🎉Ongera
Kifunga mwaka mbuzi la ma mbuzi❤