Mimi nikiwa mtu niliyeanza kushabikia Simba mwaka 1968 na nimekuwa mwanachama wa Simba kuanzia mwaka 1995 ,maneno anayosema huyo mtu aliyechaguliwa na wanachama na wanachama sasa hawamtaki baada ya kugundua aidha hana uwezo wa kuiongoza Simba au anafanya kusudi kuizamisha Simba au vyote viwili kwa inasikitisha.
Kaka Mangungu ni kweli mlifanya uzembe ktk kufuatilia mwenendo wa timu. kocha mzuri akikiwepo mkachelewa kumkabidhi timu mpaka jahazi linazama si wewe peke Yako ila hukuwa chachu ya kuamsha mora wa wachezali rekebisha tatizo. Kama sayansi ya mpira imewashinda kiuongozi waachie wengine.
MANGUNGU Kaa hapo hata miaka 20 wasikubabaishe bhana walikuchagua wenyewe kisha wakakufunga miguu mdomo na mikono kwa kuiptisha katiba ya MOO bila kujali kuwa kwa kuikubali ile katiba walikuondolea mamlaka sasa wamekufanya uwe mtumwa wa try again kwenye bod unaingia kama mjumbe hayo yote ni makosa ya wanachama endelea kuwanyoosha hivyo hivyo mpka watubie makosa yao waambie huna meno tena walikutia kitanzini wenyewe
Mangungu hafai atoke na wenzake Try again Imani kajula na huyo mwana mke wapo simba kuiiba tu wa shenzi.hao wapiga dili wanajari matumbo yao anajifanya hajui napungufu kwanza wao ni mapungufu watoke
Shida zake ndizo zinazomfanya awe king'ang'anizi licha ya kukosa sifa na ubunifu wa kuitoa Simba kutoka chini na KUIPELEKA juu zaidi! Kwa miaka yake yote Simba inazidi kudidimia tu!
Mangungu nijeuri, nandiye anayeihujumu timu, kama wajumbe mnauwezo, wakuitisha kikao cha dharula mumtoe mangungu mtoeni anajeuli na anaihujumu timu, itishqni kikao mumtoe atawakosti, kama mnaipenda timu, kwa masrahi ya timu, timu inashuka kiwango, yeye anawaleteeni siasa, kama shida nibodi na hasemi, aondoke, mtafute watu wengine wa mpira. Simba sasahivi nisiasa hakuna watu wa mpira mtanambia.
Wewe mzee ondokeni huna jipya wewe na tiageni mjiudhuru pamoja na Wajumbe wote hatuwa taki kwa masilahi ya kirabu pia timu hii siyo ya familia zenu Simba ni ya Wana Simba wote tokeni
Hivi anaposema anasubiri ripoti ya kamati ya ufundi kujua udhaifu wa klabu hivi yeye akikuwa kipofu hivi ripoti asipopata ina maana yeye hana uelewa wa kufuatilia maendeleo ya klabu
Mwenyekiti kubali kuwajibika na siyo kung'ng'ania visingizio. Tathmini ya sasa ni majumuiisho ya mdogo mdogo zilizokuwa zinafanyika wkt ligi inaendelea.
UONGOZI UNA WAKATI NA MAJIRA YAKE.Kukubali kushindwa na kukabidhi wangine waendelee PIA NI UONGOZI MZURI.Uking'ang'ania WAKATI WANYE TIMU HAWATAKI halafu unasema tumejitahidi WAKATI WANAOUJUA MPIRA WANAKUONA UMEFELI. Wakati wa uchaguzi ULIMLETA MANZOKI KWA AJILI YA NINI? DOA LA kujipatia uongozi kwa kuwalaghai huwa HALIFUTIKI KIRAHISI.Mapendekezo yangu KIONGOZI JITATHIMINI KISHA FANYA MAAMUZI MAGUMU KWA MASLAHI YA TIMU
Wewe na wezako katika bodi hamwoni mumefeli na Toka mwanzo wa Uchagunzi kulikuwa na Magumashi wewe mzee was yanga tua hie timu yetu nawenzio ,washabiki tunauwezo was kuleta mchezaji tunaotaka NINYI MNASAJILI MAGARASHA YENU MNAOJUANA
Msipendelee kuajiri ajiri makocha wazungu ifike wakati haha Akina Mgunda waaminiwe. Mbona wakina Ibengwe waliaminiwa kwao? Namba 2 Matola atoke benchi la ufundi ligi kuu mpeleke ligi ya U20
Kama mpaka dakika hii huna majibu ya yale yanayoonekana na kila mtu basi wewe hufai kuwa kiongoxi wao. Huu ni muda wa usajili na lazima malengo yenu yawe waxi kumbe ninyi bado hamna mlichokifanyiakazi mpaka muda huu. Heeeeeeee.😮
Safi sana mangungu uko saw kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🤔🤔🤔
Mimi nikiwa mtu niliyeanza kushabikia Simba mwaka 1968 na nimekuwa mwanachama wa Simba kuanzia mwaka 1995 ,maneno anayosema huyo mtu aliyechaguliwa na wanachama na wanachama sasa hawamtaki baada ya kugundua aidha hana uwezo wa kuiongoza Simba au anafanya kusudi kuizamisha Simba au vyote viwili kwa inasikitisha.
Hatukutaki Simba Huna uwezo WA uongozi umeivuruga Timu ya Simba
Kumaaaaaaaaaaaaaaaaa nina zako wew tokaaaa Apooo iyo simba ya mamako
Wew ngungut tokaaaaaa
Kalime ukooo toka umeingia wew simba makombe yote yote yamesepaaa tatzo lako wew
Tunaomba nama za simu za mangungu
Tunakupenda mangungu wetu chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bee Gees wewe
Kama kocha akifanya vibaya mnawai kumtoa Sasa nyie timu kinafanya vibaya mnanyanyania nini simtoke muache wengine
Wewe mzee hatuku taki
Yaani mangungu ndo kirusi aswaaaa
Wewe mangungu sepa hao simba huna jipya
We Mangungu mzee mwenzangu ng'atuka usisubiri aibu
Kaka Mangungu ni kweli mlifanya uzembe ktk kufuatilia mwenendo wa timu. kocha mzuri akikiwepo mkachelewa kumkabidhi timu mpaka jahazi linazama si wewe peke Yako ila hukuwa chachu ya kuamsha mora wa wachezali rekebisha tatizo. Kama sayansi ya mpira imewashinda kiuongozi waachie wengine.
Kwan mbona jama mbishi sana shd nn c utokeeeee mzeeee
Wewe ndio sababu simba sport club kuferi mpaka sasa sajiri wachezaji mwambie boss wa atoe pessa ya usajiri mkuu
MANGUNGU Kaa hapo hata miaka 20 wasikubabaishe bhana walikuchagua wenyewe kisha wakakufunga miguu mdomo na mikono kwa kuiptisha katiba ya MOO bila kujali kuwa kwa kuikubali ile katiba walikuondolea mamlaka sasa wamekufanya uwe mtumwa wa try again kwenye bod unaingia kama mjumbe hayo yote ni makosa ya wanachama endelea kuwanyoosha hivyo hivyo mpka watubie makosa yao waambie huna meno tena walikutia kitanzini wenyewe
Kwnn unang'ang'ania madaraka baba jiheshim bac
Wewe ni kiongozi ovyo jiuzuru.
Yeye kama mwenye kit mpaka ss timu iko nafasi ya tatu anaona iko sawa au
jihuzulu tu mshafeli tu
Sawa hauna bahati wewe tuachie Tim yetu tokaaaaaaaaa
Utajiuzu tu msenge Kuma lamamaako
King,ang a kwenda atukutaki
Lakini timu haifanyi vizuri toka umeingia na uzuri muda utafika na utaondoka tu
Mzeee hafai ameficha siri nyingi za kuhujum simba
Huyo mangungu ajielewi ila anapoelekea atakalo atalipata ogopa kitu cha wengi katika dunia kila mmoja na mawazo yake haya tuombe uzima tu.
Huyu Mzee ni makalio
Huyu mangungu jeuri sana na kiongozi gani hata kujibu vizuri ajui hanategemes Nini kweli
Wewe msenge mbona mbishi mbishi utapigwa kijiee chaaa kichwaa
Huyu masikini ndomana anaingwangwania smba aondoke
Mangungu hafai atoke na wenzake Try again Imani kajula na huyo mwana mke wapo simba kuiiba tu wa shenzi.hao wapiga dili wanajari matumbo yao anajifanya hajui napungufu kwanza wao ni mapungufu watoke
Inaonekama Mangungu ni lidude likuubwa 😊
Hata anavyoongea anaonekana kukosa point ya kuzungumza hata uelewa wa mpira Hanamwenyekiti mvunja kuni
Uondokee we mangungu na wenzio
Ngungu usitokeeee mzeee komaaa TU tatizo hapo ni katiba
Mwandishi ilitakiwa aache kuongea na mtu wa aina hiyo .angeachana nae tu. Amempa umaarufu ambao hastahili.
Ng'ang'ania baba uliza viongozi walio jiuziru safari hii jezi watavaa wanao mangungu sitoi pesa yangu.
Ww kuma tu magungu
Muulizeni mangungu maswali yenye hoja sio ya kimhemko,anajibu kwa kujiamini kwa sabab hata katiba yenu hamuijui
Dah, kuna raia wana roho ngumu 😂
Huyu Mzee tunamuonea,Pesa zinapotoka kwa Mo zinakwenda kwa Try Again hivyo yeye anakosa nguvu.
mangungu Una majibu ya hovyo
Mangungu hatukutak hamna kaz zingine za kufanya we na mwenzio tuachien simba yetu
Tangu mangungu aingie madarakani pamoja na Try again hawajawahi kushinda Ligi....timu imefanya vibaya wapi, atoke bwana
Shida zake ndizo zinazomfanya awe king'ang'anizi licha ya kukosa sifa na ubunifu wa kuitoa Simba kutoka chini na KUIPELEKA juu zaidi! Kwa miaka yake yote Simba inazidi kudidimia tu!
Sauti ua Umma ( wanachama wa Simba na mgomo wa mashabeki muondoeni Mangungu ana mkosi Hana bahati na uongozi asubiri Tena
We kama nani unashawishi ujinga
Embu taja kosa la mangungu
@@user-xm5xg1tt6d😂😂😂
Sijawahi kuona mwkt mpumbapu kama huyu mjinga ndani ya mwaka mmoja anajifunza nakuelewa huyu miaka 3 aondoke
Huyu Mzee hata majibu mazuri Hana,ondoka Mzee tangu umeingia wewe Simba makombe yamesepa.huna jipya
Murtaza Mangungu😀 mzigo wa seng'enge huu haubebeki lkn siku zinakuja ataelewa tu
Msengetu we mangungu umetunyima flaha yetu wana simba mbwa mkubwa ww
Mangungu nijeuri, nandiye anayeihujumu timu, kama wajumbe mnauwezo, wakuitisha kikao cha dharula mumtoe mangungu mtoeni anajeuli na anaihujumu timu, itishqni kikao mumtoe atawakosti, kama mnaipenda timu, kwa masrahi ya timu, timu inashuka kiwango, yeye anawaleteeni siasa, kama shida nibodi na hasemi, aondoke, mtafute watu wengine wa mpira. Simba sasahivi nisiasa hakuna watu wa mpira mtanambia.
Achia timu baba
Hao wanaojiita ni viongozi wameng'ang'ania tunawaombea mikosi ya magonjwa ili watoke wakauguzwe na washindwe na walegee kwa jina mwokozi
Mangungu ondoka na timu yako simba huwezi uongozi uking'ng'ania utaumia na utaaibika
Kwani lazima uwepo:: Mnaharibu timu wewe na wenzio
Wewe mzee ondokeni huna jipya wewe na tiageni mjiudhuru pamoja na Wajumbe wote hatuwa taki kwa masilahi ya kirabu pia timu hii siyo ya familia zenu Simba ni ya Wana Simba wote tokeni
Kwanza mangungu tokea kaanza uongozi timu imewahi kufanya vizur wapi?
Waandishi ombeni CV ya huyo jamaa tumfanyie tathmini.
Ngungus kamata hapohapo, timu wamemkabidhi wenyewe Mwamedi tena kwenye mkutano sasa wanatoa milio, pummmbaf kabisa
acha ujinga mkuu timu hiyo kaka siyo yako achana nayo kabisa waachie wenye timu gani wansmsimbazi funga hilo bakuli lako unatuchokoza wenye maumivu
mangungu umeoza
Mzee hatukutaki Simba mbona unang'ang'ania? Umeshatufelisha bado unataka kuendelea kutufelisha?
Na huyo try again
Haamna kiongozi humu anatuzinguwatuu aondoke
Ww mangu ondokatu huwezikazi
siuondoke
Hilo zee ndio chawi letu halitakiwi
Mzee komaa nao...sambusa kutamu..
Mihela bwerere mpura o
Mangungu kumi tena
Hivi anaposema anasubiri ripoti ya kamati ya ufundi kujua udhaifu wa klabu hivi yeye akikuwa kipofu hivi ripoti asipopata ina maana yeye hana uelewa wa kufuatilia maendeleo ya klabu
Yani siku zote hizo Simba inafanya vibaya hamjafanya tathimini tu, uondoke hutufai
Mwenyekiti kubali kuwajibika na siyo kung'ng'ania visingizio. Tathmini ya sasa ni majumuiisho ya mdogo mdogo zilizokuwa zinafanyika wkt ligi inaendelea.
Daw nikumchomea Nyumba muache anganganie timu , huyu mzee Hana kaz nyingine zakufanya anategemea timu saw yake moja
Tuna taka ubingwa
Huyu mkundu anaongea nn, kweli aliesema mshamba hawezi kuelewa
UONGOZI UNA WAKATI NA MAJIRA YAKE.Kukubali kushindwa na kukabidhi wangine waendelee PIA NI UONGOZI MZURI.Uking'ang'ania WAKATI WANYE TIMU HAWATAKI halafu unasema tumejitahidi WAKATI WANAOUJUA MPIRA WANAKUONA UMEFELI. Wakati wa uchaguzi ULIMLETA MANZOKI KWA AJILI YA NINI? DOA LA kujipatia uongozi kwa kuwalaghai huwa HALIFUTIKI KIRAHISI.Mapendekezo yangu KIONGOZI JITATHIMINI KISHA FANYA MAAMUZI MAGUMU KWA MASLAHI YA TIMU
Ili kuma lamamaake liachie tim kwan vp anataka kufa au vp
Kwani unagangania kwako
Wewe na wezako katika bodi hamwoni mumefeli na Toka mwanzo wa Uchagunzi kulikuwa na Magumashi wewe mzee was yanga tua hie timu yetu nawenzio ,washabiki tunauwezo was kuleta mchezaji tunaotaka NINYI MNASAJILI MAGARASHA YENU MNAOJUANA
Wewe ni dalali wa viwanja hujui lolote kuhusu mpira jiuzulu. Miaka yote utaboresha nini.
😅😅😅😅😅 kiti bwanaa
Naomb like za mjomba ngungu apa 😂
Utafirwa we penda kuomba omba like
@@jacobmwalituke8981 vp mkund unakuwasha ngoj nachukua kY niji ni kushone
Komaa mzee magungu,usiache hiyo nafasi ili yanga wapate fulaha,wewe ni yanga dam dam,wakomoe simba ili wanyoke, walikuwa wanaisumbua sana yanga
Tim ilifanya vizzur kipind gan ushawai kuchukua kombe laligi
Anatakiwa kuondoka kwa viboko
Anastahili kumi tena
Ondoka hatukutaki unangangania nini mshachumia matumbo yenu mtuachie timu yetu
Msipendelee kuajiri ajiri makocha wazungu ifike wakati haha Akina Mgunda waaminiwe.
Mbona wakina Ibengwe waliaminiwa kwao?
Namba 2 Matola atoke benchi la ufundi ligi kuu mpeleke ligi ya U20
Kama mpaka dakika hii huna majibu ya yale yanayoonekana na kila mtu basi wewe hufai kuwa kiongoxi wao. Huu ni muda wa usajili na lazima malengo yenu yawe waxi kumbe ninyi bado hamna mlichokifanyiakazi mpaka muda huu. Heeeeeeee.😮
Jaman aondoke2 ha2mtakiiii
hayo mawazo ya tumetolewa na klabu bingwa huo ndio upumbavu wako wewe mzee angalia aina ya wachezaji ulio nao akina jobe
Simba hawaendi shirikisho watacheza na yanga madhindano aina moja caf hawaangalii mshindi wa pili wanaangalia nani mwenye point nyingi klabu bingwa
Klabu Bingwa wanachukua timu Bingwa na mahind wa pili kwenye ligi zao ila African football league ndo wanaangalia point elewa vzr hapo mdau wa mpr
MANGUNGU HATA SAUTI YAKO HATUTAKI KUISIKIA HALAFU PICHA YAKO MTANDAONI INAZIMA DATA KARIBU SHAMBA TUACHIE SIMBA YETU
Kama unaipenda Simba ujitathimini wewe, si kwamba wewe una uelewa kuliko watu wanaoipenda timu yao.
Mbona amekazania bodi, kwani yeye anapelekwa pelekwa na bodi. Hyu nyauuuuuu, kwel hapa hamn kitu
unakipara bila busara
Huyu jamaa hamnazo yeye ni tatizo lakini hajijui eti mpaka afanye tathmini.
Mangungu ana kiburi gani kwa mano yake yakukataa kuondoka ?
Ana gangana nn
We Mzee nini sababu inayofanya ung'ang'anie imekosa pa kufia tuachie simba yetu au we ni jini
Wewe kobe hatukutaki ondoka