Shekh Muhammad Bachu Allaah akubariki na akupe umri mrefu, kwakweli unastahiki matunzo makubwa sana zaidi ya hapo ulipo, kwani watu kama wewe ni muhimu mnooo katika jamii zetu, khasakhasa katika zama hizi za fitna. Allaah akupe umri mrefu wenye kheri kwako na kwetu pia, duniani na akhera tufaidike na kheri hizo
mwalimu wetu allah akupe shifaa, umeamza kuumwa macho namuomba allah akujaalie afya njema
Mashaallaah Tabarakallaah, Allaah akuhifadh na akulinde juu ya kila shari na hasad
Unaumwa maco kwasababu ya kusoma sana ❤
Maashaallah Allah akulinde na kila shari ya mwenye kukucukiya
Shekh Muhammad Bachu Allaah akubariki na akupe umri mrefu, kwakweli unastahiki matunzo makubwa sana zaidi ya hapo ulipo, kwani watu kama wewe ni muhimu mnooo katika jamii zetu, khasakhasa katika zama hizi za fitna.
Allaah akupe umri mrefu wenye kheri kwako na kwetu pia, duniani na akhera tufaidike na kheri hizo
Maashaallah sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi
Maa shaa Allaah, juzi nnaona video ya huyo bwana hapo ee mashaka
Asalamghalaikum shekh abuu mhadithi tunamuomba Allah akupe afya njema tuendelee kupata faida insaallah
Mashallah tabarakarahmani mola akuifazi sheikh wetu
MASHAALLAH huyu shekh ALLAH amlipe khery nyingi mno
Assalam alaykum Sheikh nakupenda kwajili ya ALLAH
masha allah.tupo pamoja sheikh wangu
Jazaakallaah khayr
Mashallah Allah akuhifadhi sheikh wetu...
allah akuhifadhi muhammad bachu
Ukweli unauma Ila lazima uzungumzwe penye twakosea tujirekebishe waislam kabla hatujafa
Baaraka llaahu fiika allaahu yuutwikal aafiya
Mashallah nakupata vizuri shekhe
Baaraka llahu fik
Masha Allah
Mashallah
Mashalw
Shukran jazakallahu kheyr
Asalaam alaikum maalm ivi unaona kheri kupingana na waislam wenzio kila leo kuliko kuwahutibia wenye dini tofauti kjn unaishije ww emu kuwa muelew
Kitu gani kipo tofauti ndugu?
يتكلمه بلجيد حفظه الله
Dhul khuwaiswira..
Hyu lijamaaa limesoma wp
We nae zuka!
@@shamsuddin4582silazima ujue sikiliza elimu kubwa aliyo mpa Allah... mashallah
kwa nini
Kwaiyo kila mtu unataka ujue aliposoma?
Kasoma chuoni tena asome wapi tuliya dawa ikuingie hapa tupo na sheikh wetu mwanzo mwisho usituzonge