Video není dostupné.
Omlouváme se.

Sehemu ya Mwisho Simulizi ya Maisha ya Oscar Oscar/Kufutwa Kazi Hadi Kuibukia EFM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 01. 2020

Komentáře • 75

  • @makulerobert2916
    @makulerobert2916 Před 4 lety +2

    daaah.. nmevutiwa mnooo kaka na historia ya mzee wa kaliua! best hustle ever. ILA MSAMEHE BURE YULE JAMAA WA AZAM MEDIA ALIYEKUFUKUZISHA KAZI. "JAMAA YETU"

  • @japharykikoti3391
    @japharykikoti3391 Před 4 lety +1

    Masha Allah M,mungu atamlipa Maulid Baraka wa Kitenge kwa Roho Nzuri na kusaidia Watu.

  • @costantineseverine50
    @costantineseverine50 Před 4 lety +2

    Story nzuri sana interview zifuatazo mlete jeff lea ama jemedari said.

  • @wananchitv8690
    @wananchitv8690 Před 2 lety

    Safi sana, leo ndio nimejua Oscar ni mwananchi. Hongera sana!

  • @saulbichwa4782
    @saulbichwa4782 Před 2 lety +1

    Safi sana. Vijana hawa wapambanaji sana. Mungu awanyooshee njia kwa kweli. Kipaji kikubwa sana cha kuelezea mkasa.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 2 lety

    Duh..! Asante mzee wa Kaliuwa..ila Maulid ki ukweli ana roho sana ya kusaidia amefanya hivyo kwa watu wengi

  • @christophermbunda2172
    @christophermbunda2172 Před 4 lety +1

    Aisee Maulid Kitenge yuko vzr sana

  • @athumanimbonde2439
    @athumanimbonde2439 Před 4 lety

    Daaah__umetishaa sanaaa bro alafuu unajuaa sana sanaa snaaa

  • @samanyaswai6272
    @samanyaswai6272 Před 4 lety

    Daaaaaaah
    Oscar Oscar uko vzr na umeshukru ulipo Toka na Aliye tumika kuwa ngaz ya wewe kupanda umemkumbuka umempa Ujasiri hata kesho Aweze kuwasaport wengine

  • @kitulakitula5429
    @kitulakitula5429 Před 4 lety +3

    Jamaa comedy sana

  • @mrishoabdulhakim6384
    @mrishoabdulhakim6384 Před 4 lety +4

    Wema hauozi, bora umemshuru Maulidi bado akiwa hai. Allah akulipe sana wewe na Maulid Kitenge.

    • @nicklyanga7044
      @nicklyanga7044 Před 2 lety

      Kumbe kuna watu wa dizain ya maulidi Dunia ....ajabu kabisa

  • @folonatuszongo475
    @folonatuszongo475 Před 4 lety +1

    "Maulid Baraka wa kitenge " aka "CHUMVI",Ukiwa Senior tumeona na tunatambua mchango wako wa kuinua Majunior ,Hongera Maulid Kitenge na Oscar Oscar kwa kutambua mchango wa Maulid Kitenge kwenye mafanikio yako.

  • @stevenbihondo3241
    @stevenbihondo3241 Před 4 lety +1

    Bonge moja la finishing. Superrr

    • @BOIPLUSTV
      @BOIPLUSTV  Před 4 lety

      Aminia Big Boss Bihondo 💪🏻💪🏻

  • @nicolausside6783
    @nicolausside6783 Před 2 lety +1

    Halaf ziko nying kichwani

  • @SautiYanguJr
    @SautiYanguJr Před 4 měsíci

    Huyu Jamaa anastahili kuwa alivyo

  • @mberwamtelo3341
    @mberwamtelo3341 Před 3 lety

    Nimeipenda Kaka TAFUTA nyingune

  • @leonardsimon2148
    @leonardsimon2148 Před 4 lety

    Very sensitive story haki ya Mungu

  • @allymakangana6450
    @allymakangana6450 Před rokem

    huyu anaehoji c nd msimamizi wa ligi

  • @alihamis602
    @alihamis602 Před 2 lety

    Kitenge 💯

  • @Mhasibu
    @Mhasibu Před 2 lety +1

    Mbona kama amelewa

  • @afandesele8506
    @afandesele8506 Před 4 lety

    Wewe mchambuz namba moja Tz nakukubar sana sana

    • @superdywz9982
      @superdywz9982 Před 4 lety

      Ww jamaa uko serious unamjua ahmed ambangile ww

  • @allybinnseif1816
    @allybinnseif1816 Před 4 lety +1

    Safiiii Nimependa sanaaa
    Kumbe Oscar ikifungwa Yanga unaumia Yaaani unakuwa umelegeaaaa😁😁😁😂😂😂

    • @danilobabajr6584
      @danilobabajr6584 Před 4 lety

      Huyo boya tu Oscar na pale Efm kulikuwa huyu pamoja na Mahuridi kitenge wanazi Sana wa Yanga Sana tena Sana

  • @gavanashy3197
    @gavanashy3197 Před 4 lety

    Kichwa cha kazi Mzee Wa kaliuwa tabora

  • @masuemanuel978
    @masuemanuel978 Před 3 lety +2

    Oscar Kama kanywa bia hivi

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Před 4 lety +1

    Huu niungwana uliotukuka kushukuru kwaukubwa mtu alionyesha kukusaport

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Před 4 lety

    Wanasimulia maisha yao

  • @uwembatvonline
    @uwembatvonline Před 4 lety +3

    Kwa maelezo hayo tu ya kufukuzwa kazi it means Azam na simba ni kitu 1

  • @rehemachishomi3040
    @rehemachishomi3040 Před 4 lety

    Du mungu amupe maisha marefu kitenge

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Před 2 lety +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @mustaphamuslim6564
    @mustaphamuslim6564 Před 4 lety +1

    Leo ndo nimejua Oscar Oscar anashabikia tim gan hapa bongo.

  • @rajabumrope8732
    @rajabumrope8732 Před 4 lety +3

    historia ya maisha hata miaka 40 hujafikisha dah

  • @aristidrichardmrema536
    @aristidrichardmrema536 Před 4 lety +4

    Anayetajwa apo ni jemedari said kazumari alivyokuwa azam fc

  • @fadhilisalumufadhilisalumu3219

    Duh pole kaka ndy maisha kaka

  • @maryflorenceinvestment7532

    Njoo kum mbili, mm saa kumi 11

  • @salummachapati8259
    @salummachapati8259 Před 4 lety

    Bonge la shoo. GOOD!.

  • @ramadhanmkoka444
    @ramadhanmkoka444 Před 4 lety

    Interview moja nzuri sana Karim,Mkoka.

    • @BOIPLUSTV
      @BOIPLUSTV  Před 4 lety

      Ahsante sana kaka mkubwa Mkoka 💪🏻💪🏻

    • @mkungamedia6090
      @mkungamedia6090 Před 4 lety

      @@BOIPLUSTV mzee umepiga bonge ya interview
      Nakuona mbali
      Lakini usiingie kwenye media nyingine kazana na hii yetu ikue

    • @BOIPLUSTV
      @BOIPLUSTV  Před 4 lety

      Ahsante@@mkungamedia6090 ...tunakomaa hapa hapa

  • @christophermbunda2172
    @christophermbunda2172 Před 4 lety

    Hii story ndo imenifanya kujua kwanini mwanzoni pale Efm alipokuja jamaa mlikua hampatani 😂😂😂😂

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza Před 2 lety

    Kwa interview zote za Mzee wa kaliua hii no nouma

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya5801 Před 4 lety

    Mwananchi ndio kwenu

  • @hassanmzee8026
    @hassanmzee8026 Před 4 lety +5

    Huyu ndugu yetu asiye tajwa apo ni Jemedari saidi huyu jamaaa anajifanya kila kitu anajua yeye mpk nmeacha kusikiliza sports hq ya Efm sababu yake mchambuz wa kawaida sana na anaonesha anaroho mbaya sana mmakonde huyu.

  • @emmanuelmakongoro8228
    @emmanuelmakongoro8228 Před 2 lety

    Kipa mshambuliaji🤣🤣🤣🤣

  • @aristideskablaya9546
    @aristideskablaya9546 Před 4 lety +1

    😀😀😀hiki kichwa bhan

    • @peteryohana9534
      @peteryohana9534 Před 4 lety

      Inapendeza sana kushukulu mtu na kuusema ukweli wa moyo wako hongera sana ndugu yangu

  • @simonjames5216
    @simonjames5216 Před 4 lety

    Mzazi naona umechangamka

  • @emmanuelmotto745
    @emmanuelmotto745 Před 4 lety +6

    bora wewe umekumbuka hata maulid kitenge aliye kuonyesha njia ila kuna mmakonde flan alionyeshwa njia sasa hivi anajenga fitina.

    • @allykigatta7564
      @allykigatta7564 Před 4 lety +1

      Kabisa kabisa...simpendi kweli yule mmakonde...

  • @saidylikangasimba5091
    @saidylikangasimba5091 Před 4 lety +1

    Dah nataman kumjua huyo mshakaji wetu

  • @martinmwakila6992
    @martinmwakila6992 Před 4 lety +1

    Tatizo mkiaminiwanyie ndio mnatumia nafasi ya kutudanyanya

    • @mwasitinzoto5312
      @mwasitinzoto5312 Před 4 lety

      Mzee wa kaliua unafaa kuwa mbunge wa kwetu huko wesisoga sana mnyemwezi

    • @jumamakamba2212
      @jumamakamba2212 Před 4 lety

      Oscar sisi kama wadau Wa media tumepigana sana kucoment upewe mkata efm ninazo hadi voice za msg zetu tukikupigania

  • @jardindullahsheikh9214

    Kazumar Mnoko tu

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 Před 4 lety +1

    Naikubali ile caption yake ya #alisikika mlevi mmoja... Uirudishe bc😂😂

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga9425 Před 4 lety

    Chumvi @maulidi kitenge ni mtu wakipekee sanaa

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson4721 Před 2 lety

    duuu

  • @zuberykuwewela4217
    @zuberykuwewela4217 Před 4 lety

    Wasafi media