Nakukubali sana mzee wetu Kifaru,umekuwa msemaji kwa muda mrefu,tangu nikiwa mdogo nilikuwa nafurahi sn kukusikia ukiisemea na kuipamba mtibwa sugar,we ni mfano wa kuigwa kwa wasemaji wote wa nchi hii big up
Gamondi kamtoa maxi kamuingiza pacome ili Mtibwa wamkabe Azizi ki na Pacome, wakamwacha Mudathir acheze free role, hiloo balaa ndani ya dakika 10 mtibwa hawaamini macho Yao!!
Pole sana mzee wetu Mungu awabariki mbaki kwenye ligi kwa kilicho tokea jana utusamehe bure tulikua na jambo letu
Msemaji wa mwanzo kabisa ngazi ya vilabu Tanzania big up sana mzee T K. Lugalambwike.
Safi Sana Mzee Wetu Thobias Kifaru Duh,Hadi Nimejisikia Vibaya Jamani,Mungu Akulinde Mzee Wetu,🙏🙏🙏
hekima za wazee saf sana mzee Tobias mungu akujarie
Nakukubali sana mzee wetu Kifaru,umekuwa msemaji kwa muda mrefu,tangu nikiwa mdogo nilikuwa nafurahi sn kukusikia ukiisemea na kuipamba mtibwa sugar,we ni mfano wa kuigwa kwa wasemaji wote wa nchi hii big up
Duuu! Mungu akupe Afya Mzee wetu umesema kizarendo Sana hakika unafaa Sana kuisemea yanga 🙏
Kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana
Tutakumisi Sana Mzee Wetu Thobiasi Kifaru ila Nawaaminia Hakika Nawajuwa Watarudi Tena. Mungu Awalinde. Mrudi Tena.
Tusamehe t mzee wetu tunakupenda mana ww nmsemaji ambae nawakubali San pamoja n masaubwile ila shida ilikua ubigwa ndoman tukakupiga
Pole kifaru hiyo ndo yanga hamna namuna
Huna timu ya kushindana na yanga, pole kifaru.
Poleee babu
😂😂😂 huyo alikua amemis kulia alikosa cha kumfanya alie.
Mkuu umeongea ukweli sana
Mtibwa tumeifunga lakini najikuta naumia sana
Amna bahati mtibwa polen
😂😂😂😂Walivyoshangilia goli lakwanza😂 kaona kama mnacheza na police tanzania
Pole baba
Walilazimishwa kufanya makosa, sio kwamba walitaka vijana wako
Watu wetu si waje wajifunze usemaji apa jamani 😂😂
Gigaa la Mbwikeer
umekuwa mwana siasa sasa kifaru
😂😂🙏
Ligi kuuu Tanzania ni ngumu mno inahitaji uwekezaji mzuri na kuandaliwa vzr vijana la sivyo Mtibwa tutaisikia tu ligi kuuu.
Gamondi kamtoa maxi kamuingiza pacome ili Mtibwa wamkabe Azizi ki na Pacome, wakamwacha Mudathir acheze free role, hiloo balaa ndani ya dakika 10 mtibwa hawaamini macho Yao!!