MPIRA NI HARAMU - SHEIKH OTHMAN KHAMIS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 10. 2022
  • Usisite Kuuliza Maswali Katika Kipengele Cha Comments Baada Ya Kusubscribe.
    Fatilia Ufafanuzi Wa Masuala Ya Dini Ya Kiislam Ukitolewa Masheikh MbaliMbali Nchini.
    Tembelea Kurasa Zetu Za Mitandao Ya Kijamii Kupata Khutba, Mihadhara, Nasaha Na Darsa Za Wanavyuoni MbaliMbali Nchini.
    Instagram: oasistv_?...
    WhatsApp: chat.whatsapp.com/Glooq6QQUKX...
    OasisTV8?t=2cA4u1...
    Jiunge Kwenye Kundi La Pamoja Ili Makala Zetu Zikufikie Kwa Haraka Zaidi.
    OASISTV
    Elimu Ni Uongovu

Komentáře • 21

  • @husseinhassain8188
    @husseinhassain8188 Před rokem +5

    Umenifurahisha Sheikh na ww ndo Sheikh wa kwanza Tanzania kukusikia umesema ukweli kuhusu uharamu wa mpiraa Allah akuhifadh na mimi najua kabisaaa mpira haram ila waalim wetu na masheikh wetu hawasemi sababu wao wanapenda mpiraa

  • @hamzaomari3148
    @hamzaomari3148 Před rokem +3

    Allah akulipe mazur sheikh uthmaan

  • @medwho959
    @medwho959 Před rokem +5

    Allah akustiri. Kweli kabisa!!

  • @faridawanawakehoyeeeeeeeee4785

    Alhamdulillah

  • @amourali
    @amourali Před rokem +2

    Asante sheikh kwa kutuzindua kiukweli tumepotea waislam wa leo

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 Před 11 měsíci

    mashaallah

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Před rokem

    Swadakta sheikh

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 Před rokem +1

    Mpira niharamu bila chenga

  • @user-gs3yt5tt2p
    @user-gs3yt5tt2p Před rokem

    Swadakta

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Před rokem

    Sema shehe hamiss watu wanyooke

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Před rokem +2

    Sisi tunapenda masheih km nyie mnaojitambua na sio kuwachekea chekea wahalibif tu

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Před rokem +1

    Ujumbe wako mzuri sheikh lkn mambo haya hayakuja kwa bahati mbaya hata kidogo bali hii ni vita ya kifikra dhidi ya imaan maana leo watu walivyoathilika wakilala mipira wakiamka mipira imefikia kipindi mpaka misikitini wanazungumza mpira imekuwa kuliko hata dini lkn pia hayo maredio, redioni masaa manne kipindi kinazungumzia mpira tu hivyo ni mambo yaliyokwenda kuigusa mioyo ya watu na kazi iko kweli kweli

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 Před rokem

    Duu no comment

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 Před rokem +1

    Shekhe unaongea ukweli kwa sababu watu wanagombana Sana na kutukanana kwa ajili ya mpira

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Před rokem +1

    Umeongea ukweli japo wewe ni muongo

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 Před rokem

    Hn issue

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před rokem +1

    Sheikh uko sahihi misikiti mingi Leo inamigogolo ukifatilia historia wakifadhiri mbona misikiti iliyojengwa nawaumini haina tatizo tujiulize hawa wafadhili fadha alali au haramu machumo yao.