MPIRA NI HARAMU - SHEIKH OTHMAN KHAMIS
Vložit
- čas přidán 27. 10. 2022
- Usisite Kuuliza Maswali Katika Kipengele Cha Comments Baada Ya Kusubscribe.
Fatilia Ufafanuzi Wa Masuala Ya Dini Ya Kiislam Ukitolewa Masheikh MbaliMbali Nchini.
Tembelea Kurasa Zetu Za Mitandao Ya Kijamii Kupata Khutba, Mihadhara, Nasaha Na Darsa Za Wanavyuoni MbaliMbali Nchini.
Instagram: oasistv_?...
WhatsApp: chat.whatsapp.com/Glooq6QQUKX...
OasisTV8?t=2cA4u1...
Jiunge Kwenye Kundi La Pamoja Ili Makala Zetu Zikufikie Kwa Haraka Zaidi.
OASISTV
Elimu Ni Uongovu
Umenifurahisha Sheikh na ww ndo Sheikh wa kwanza Tanzania kukusikia umesema ukweli kuhusu uharamu wa mpiraa Allah akuhifadh na mimi najua kabisaaa mpira haram ila waalim wetu na masheikh wetu hawasemi sababu wao wanapenda mpiraa
Allah akulipe mazur sheikh uthmaan
Allah akustiri. Kweli kabisa!!
Alhamdulillah
Asante sheikh kwa kutuzindua kiukweli tumepotea waislam wa leo
mashaallah
Swadakta sheikh
Mpira niharamu bila chenga
Swadakta
Sema shehe hamiss watu wanyooke
Sisi tunapenda masheih km nyie mnaojitambua na sio kuwachekea chekea wahalibif tu
Ujumbe wako mzuri sheikh lkn mambo haya hayakuja kwa bahati mbaya hata kidogo bali hii ni vita ya kifikra dhidi ya imaan maana leo watu walivyoathilika wakilala mipira wakiamka mipira imefikia kipindi mpaka misikitini wanazungumza mpira imekuwa kuliko hata dini lkn pia hayo maredio, redioni masaa manne kipindi kinazungumzia mpira tu hivyo ni mambo yaliyokwenda kuigusa mioyo ya watu na kazi iko kweli kweli
Duu no comment
Shekhe unaongea ukweli kwa sababu watu wanagombana Sana na kutukanana kwa ajili ya mpira
Umeongea ukweli japo wewe ni muongo
Hn issue
Issue anayo danga lako mbwa wewe
Sheikh uko sahihi misikiti mingi Leo inamigogolo ukifatilia historia wakifadhiri mbona misikiti iliyojengwa nawaumini haina tatizo tujiulize hawa wafadhili fadha alali au haramu machumo yao.
Shukran sana
Mtasema ata kula ni haramu
@@johnsulle4679km hukubali bc