Track = Mageuzi Na Injili By Pastor Faustin Munishi
Vložit
- čas přidán 4. 08. 2011
- Kwa nini Mungu Hakuruhusu Upinzani Mbinguni? Shetani Alipoasi Alitupwa hapa
Duniani. Mbinguni Ni Mungu Baba Anatawala na ufalme wake ni wa milele bila
Mwisho. Je kuna siku kutafanyika uchaguzi mbinguni? Shetani angependa hivyo lakini Ameshindwa. Njia ni moja Yesu kwenda uzimani au Shetani kwenda
mautini. Chagua leo. Mwamini Yesu upewe kadi ya chama cha Mbinguni. - Hudba
Love this,kama 2020 unaikubali kazi hii gonga like.
Ubarikiwe na mungu baba mnishi kazi yako nzuri
2021 and still a hit song. Mungu akubariki bwana munishi. Gonga like kama unaikubali
Ukisikiliza tu unahisi kubalikiwa,,,,hizi ndo nyimbo za injili bhana siyo za cku hizi wacheza viduku
Huko mbinguni ni Mungu tu anatawala hakuna upinzani.....amen
Ukweli umegonga ndipo, ubarikiwe ndugu
Dah umenikumbusha mbali sana, enzi zile injili ya Kristo ilikua haihusu pesa.
Mara ya kwanza 1997..........
Mara ya pili 2002..
Mara ya tatu 2023
Like ziko wapi.. pitia account yangu pia
Yesu ni njia I believe in God
Gud I like this be bles man of GOD
nyimbo za mafundisho, za aina ya kipekee, kote duniani na zina upako mwingi moyoni mwangu,mungu akubariki mtumishi mahali uko sana.
🏃♂️🏃♂️🏃♂️🙏🙏🙏
Wanadamu wapendi ukweli na hiyo tu ndio njia ya mbinguni ndugu mchungaji amefanya Kazi yake ole kwako usiyoamini (be blessed more and more pastor)
Mungu atukuzwe
a timeless tune indeed by the legendary Munishi
Kwa nini Mungu Hakuruhusu Upinzani Mbinguni? Shetani Alipoasi Alitupwa hapa
Duniani. Mbinguni Ni Mungu Baba Anatawala na ufalme wake ni wa milele bila
Mwisho. Je kuna siku kutafanyika uchaguzi mbinguni? Shetani angependa hivyo lakini Ameshindwa. Njia ni moja Yesu kwenda uzimani au Shetani kwenda
mautini. Chagua leo. Mwamini Yesu upewe kadi ya chama cha Mbinguni.
ubalikiwe baba nyimbozako zinanifaliji kilasiku maka at a man i kubadilishadini naikitokea nimebadili basininyimbozakoubalikiwe
Yesu ni mwazo na mwisho,hakuna mwingine.
Hakika nyimbo zina ujumbe sana. Nimeanza kuzisikiliza tangu jana. MUNGU anakutumia kwa viwango vikubwa sana mtumishi.
Halleluya, sifa na utukufu ni kwa BWANA WETU YESU KRISTO.
MUNGU azidi kukuongoza na kukupigania sana katika safari yako ya WOKOVU.
#MARANATHA
Anaimba ujumbe tunaopata sai kwenye youtube channel'Repent and prepare the Way'
YESU ni njia ya kutufikisha mbinguni
Ukweli mtupu kwenye huu wimbo. It touches every sphere of our life and impacts also. Mungu akubariki mchungaji.
Kutokana na wimbo huu ninazidi kupata upya katika ufahamu..MUNGU akubariki sana
I like this man with his song,God bless you
Ansate monishi by mgumu mweus shayo
I like this guy bcoz of his wisdom and knowledge in gospel songs
Hizi ndizo zilikua nyimbo za kweli..
I mean true gospel siku watu wanafanya yao na kusema wanaimba gospel....lakn n kweli hizi n dalili za mwisho...so ndugu zangu chaguo n letu sisi
Kweli
Angalia CZcams channel'Repent and prepare the Way'utapata ukweli
Ubarikiwe sana na mungu akupe tamanio la moyo wako Kwa jina la yesu PST
My Song❤🎉
Amen nimbo zako zinatua ujumb wa kutosha na naamini zitawafanya wengi wabadilike,.
Yesu ni njia
BARAKA KUU HIZI.UMECHANGIA KATIKA KUPATA NGUVU KATIKA IMANI. UBARIKIWE.
Wow ! Bible history to salvation.... So creative Well done Munishi
God bless you pastor Munishi...yes we know you're God's person
Hongera baba Munishi umenilea miaka mingi siku moja tutakutana hapa kenya baba yangu Mungu akubariki
Ilove this song
2020 is coming to an end and the song is still as fresh as the first day i heard it
I remember this song with my dad seated in sofa set after work from Railways Headquarters.... I remember him explaining to me that Munishi is playing the instrument and singing at the same time. While I on my side I thought they were many. RIP Dad.
P😊
Mungu bado ni mwanademokrasia hata sasa. Mungu kuna sehemu mbili ambapo kila mmoja anachagua apendacho, kwenda uzima wa milele au jehanamu ya milele ingawa uwezo wa kuzuia moja kwa moja anao
Munishi you were given a special gift of its kind,your songs are sweet and are ever in fashion... Be blessed.
Mungu akubariki ndugu F Munishi Nani angali na fwata munishi mu 2019
Munishi! naitwa innocent ndikorwanda famiye yangu tunapenda nyimbo zako gutoka zamanisana asant kuraje 👍👍 tunakupenda sana kbx
Shetani ndiye mwanzilishi wa mageuzi .......kama unaamini Hilo say yes
I love every word. God bless you Munishi
Augost 2020, Mwokozi YESU ndiye chama cha Mungu baba chama kimoja kutufikisha mpaka mbinguni. AMINA MTUMISHI WA JEHOVA
Nyimbo nadhifu hakika. Mungu apokee utukufu, Amina.
Napenda sana nyimbo zako Mungu akubariki na afungue baraka zaidi.amkna
I love this song God bless add you more days
When I was young I though he was saying.."samaki moja"
Barikiwa Sana Mtumishi Munishi Mungu akubariki.
mungu akumbariki Saaana mutumishi wimbo wako Wanamwabundu Nani unatosha Korans injiri
Amina kueneza injili kwa muziki
Usijali kupingwa kaka japo kwenye mia atakua mmoja hongela kaka
Nakupenda baba kwa nyimbo zako
Amen tunakupenda sanaa Mungu akuweke uone vizazi ya nne
hizi ndo nyimbo bwana
Nyimbo nzuri
❤ kweli Chama ni kimoja toka mbinguni
2023 bodo a good song from mtumishi wa mingi👏👏👏
ubarikiwe mtumishi come back again plz
Balikiwa sana mtumishi
Very powerful
Amen Mungu azidi kukubariki uzidi kuleta neno
Agood pastor ijili njema kwa wore waizikiao g
God bless you
Napenda huu wimbo wa mageuzi
I have been listening to this song since i was young and today this is the third time to listen to this song ,it has never grown old this song sings fresh in my heart and mind it has a very powerful message laiti walimwengu wangelijua kama man of God ulitumwa kurekebisha hiki kizazi kiovu but one day it will be God bless you man of God
Umenena kweli kabisaaaa, kizazi hiki tuko wengi wamekosa mwelekeo Mungu atukumbuke na rehema zake Amen.
Baraka Tele! Ila hausikike tena.Mungu akupake maradufu. nakupenda sana sana.
Legend we love your song long time pastor we need you back in music 🎉
Hakuna kumupinga mwibaji was mungu munish best
I likes this man so how steel listening to Munishi in 2019 or 2018
Tuelewane 🎉🎉wote tunapigia kura munishi like🎉🎉🎉🎉😂
asante barikiwa San baba
amina munishi
All time Gospel informative
Barikiwa sana mtumishi hizindoo nyimbo
2024 Amen
Kazi nzur
Mchungaji Munishi hapa umevaa vazi ambalo leo CHADEMA wamelifanya sale.Ubunifu wako utaendelea kukubarika, ila kuna nyimbo zako nyingine hazisikiliziki sababu zinamaneno makali. unatunyima uhuru wa kusikiliza nyimbo zako kumbuka sio wote wanaujasiri ulionao.
Umeambiwa Chama kimoja sasa chadema ni kinyume na Mapenzi ya Mungu
Pastor keep the fire burning this are the last day don't compromise the scriptures pour it out in your singing from your heart Man love your song very educative,amen
God's bless you 😥😥
God bless you pastor for your messages.
Mungu akubariki mtumishi love so much your songs, 24/10/2020.
Barikiwa San mtumishi wa Mungu
ubarikiwe sana mpendwa
best gospel ever
A like this songs for Munishi..2022 still rock God bless Munishi
Be blessed pastor, i love your music
nyimbo zako hubariki moyo wangu,God blez you.
Be blessed man of God
Amen
be blessed alongside your family, rip
Mtumishi your singing is very different you always hit the nail on the head ,you dont bit by the bush that is the making of a man of God.,your instruments and voices are very balanced and with annointing.
Good
Mpendwa..... Huyu Ndio Munishi niliyemfahamu
munishi I like your music.
Ubarikiwe mtumishi ! Nyimbo Nzuri sana, mimi Niko mucongomani napatikana kinshass
Ww munishi kumbukuka Mungu alikokutoa kwanini shetani amekuweza ww kwakujiingiza kwenye siasa iliuukose uzima wa Milele embu shituka ulikuwa unaimba nawepo wa Mungu unashuka
Fluent kiswahili singer
Nice song
Mkn mkn
mungu aendelee kukubariki katika kazi yake ufanikiwe mbinguni na duniani
Amen Amen🙌🙌🙌🙏💃🏾
May you live long pastor Munishi
munishi you great
that it so nice
Nabaliwa sana, zinanijenga
wonderful track, amazing massenge
❤❤❤❤🙏
Jaman hii nyimbo imetulia
Love this song..kwani maneno yake yana uzito ambao ukitafakari maana utajua ukweli ulipo..barikwasana# Munishi
tacia tacia muukyandm
ubalikie sana mtumishi kwa huduma yako hii ya uimbaji
Love this song