Video není dostupné.
OmlouvĂĄme se.

#zandaaani

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 3. 07. 2024
  • đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáƙe • 45

  • @DM_15
    @DM_15 Pƙed měsĂ­cem +2

    Mayele top score misiri

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Pƙed měsĂ­cem +1

    Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda

  • @othmantv2654
    @othmantv2654 Pƙed měsĂ­cem +3

    Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂

    • @GEORGERUTANGANTEVYI
      @GEORGERUTANGANTEVYI Pƙed měsĂ­cem

      â€đŸ˜ŠđŸ˜ŠđŸ˜Š
      â€â€â€â€â€â€â€đŸ˜‚â€â€â€â€â€â€â€â€â€đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€â€đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚â€đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚â€đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€đŸ˜‚â€â€đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€đŸ˜‚â€â€â€â€đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€â€đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€â€â€â€â€â€

    • @mtotowamanka
      @mtotowamanka Pƙed měsĂ­cem +1

      F

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 Pƙed měsĂ­cem

    Code nyepesi sana Fei totooooo

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re Pƙed měsĂ­cem

    Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Pƙed měsĂ­cem +1

    Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂

  • @jamespeter5882
    @jamespeter5882 Pƙed měsĂ­cem +1

    Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki

  • @user-px6jj4tu7m
    @user-px6jj4tu7m Pƙed měsĂ­cem +2

    Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 Pƙed měsĂ­cem

    Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Pƙed měsĂ­cem

    Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Pƙed měsĂ­cem

    Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno

  • @zickdeus5497
    @zickdeus5497 Pƙed měsĂ­cem

    Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud Pƙed měsĂ­cem +1

    Momo upo kama chawa wayangaa

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 Pƙed měsĂ­cem +1

    Simba hakuwahi kumihitaji

  • @msomiadam250
    @msomiadam250 Pƙed měsĂ­cem

    Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Pƙed měsĂ­cem

    Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Pƙed měsĂ­cem

      Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 Pƙed měsĂ­cem

    Belive me Fei anakuja Simba

  • @AthumanAlly-zw9ni
    @AthumanAlly-zw9ni Pƙed měsĂ­cem

    Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena Pƙed měsĂ­cem +1

    Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie

    • @murshidyabdallah1356
      @murshidyabdallah1356 Pƙed měsĂ­cem

      Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo Pƙed měsĂ­cem

    Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Pƙed měsĂ­cem

    Momo leo umeongeya kikubwa

  • @invocavitykitaly2483
    @invocavitykitaly2483 Pƙed měsĂ­cem

    1

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln Pƙed měsĂ­cem

    2

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Pƙed měsĂ­cem

    Feisal

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 Pƙed měsĂ­cem

    Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 Pƙed měsĂ­cem +2

    Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa.
    Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk.
    Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Pƙed měsĂ­cem

    Mbona sielewi

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Pƙed měsĂ­cem

    Kwani mo na bakhresa nani bilionea?

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii Pƙed měsĂ­cem +1

      Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Pƙed měsĂ­cem

      @@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii Pƙed měsĂ­cem

      @@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla

    • @user-pb3ub3gl4q
      @user-pb3ub3gl4q Pƙed měsĂ­cem

      ​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Pƙed měsĂ­cem

      @@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍

  • @stn4873
    @stn4873 Pƙed měsĂ­cem

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c Pƙed měsĂ­cem

    Fei huyo

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 Pƙed měsĂ­cem

    Feitoto