🔴
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2024
- KARIBU KATIKA CHANAL YETU USISAHAU KUSUBCRIBE, LIKE, SHARE, COMMENT :
TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU ILI PATE FAIDA KTIKA BIASHARA YAKO
PIA CHANAL YETU INAOMBA MSAADA WAKO WA VIFAA ILI TUWEZE KUENDELEZA ZAID TV YET HII KUZIDI KUTOA ELIMU KATIKA JAMII AHSANTE
www.nouralmustafatz.org
Tel : +255 777 144 988 :
TUNAPOKEA USHAURI NA MAONI
Nimefika dk ya 31, tayr nshamuelewa huyu Sheikh! Allah sw akuhifadhi sheikh!!!
Sheikh Farid Allah akulipe Mimi nimeelewa sana hâta nichanganya mtu tena umeeleweka sheikh asante
MASHALLAH,
Sheikh Farid nakukubali sana,
Kila mji wana muandamo wao, Ingekua lazima kufuata mwezi mmoja duniani Mtume angejuulisja na Jibril kuandama kwa mwezi sehemu yoyote ile ukiandama.
Yeye mwenyewe Mtume alikua anaangalia mwezi, na masahaba, na matabiina na matabitabiina. Na waislamu waliopita kwa karne zaidi ya 10.
Wallahu aalam.
Mashallah tumesha kuelewa vizuuri maalim allah akulipe kwa kutufahamisha. Kiukweli sas hivi hakuna watu wanaojiona kua wanaijua dini kuliko hao maswahaba kama hawa watu wanao jiita salafi wanawaona wenzao woote dunian hawajui kitu wasomi n wao tu .
Maa shaa ALLAH imefahamika. MUNGU akujazi kheri kutuilimisha
Shukran sheikh kwa elimu Allah akulipe kheri za dunia na akhera
shekh Allah akulinde na makafiri na wanaojihusisha na mamb yakikafir napia akupe umri mrefu wenyebaraka inshallah
Sheikh Nimekuelewa saaiz pwenti za watu ni kwamba eti wanawaona watu wamesimama duh mtihani kweli
Ni mtihani na ni u mwehu mkubwa Yani nashangaa san mm wallahi Yani tubadilishe mtindo wa ibada eti technology imetuwezesha kufanya ivyo? Inawezekan Kwa mwenye akili kamili?
shukran sheikh Farid kwa mafundisho yalio waz na ufasaha
Ingekuwa saudia wanatazama mwezi basi tungekwenda pamoja lkn wao wanafuata kalenda yao
MAWAHABI WANACHINNJIWA NA KISU WALICHO KINOWA WENYEWE
MAJIBU YOTE WANAYATOWA MASHEKHE ZAO SUBHANA LAH
Mashaalah shekh kwa kutuelewexha kuhux xk ya arafa mwenyezimungu akulipe kila la kher
HUYO SHEIKH FARID SIYO WAHABI, NI SUFI KAMA MASUFI KWANI MISIMAMO YAKE YOTE NI YA AHLU TWARIKA.
Shuraan saana kwa kutuelewesha ustaah .mm binafsi ilikuwa najichanganya ktk suala hili.Allah akulipe kheri
Hapa ni makka tu hatuelewi hata msemaje
Jazakallahulkheir sheikh
ما شاء الله جزاكم الله
Ismail Juma hapo ndio wanapijichanganya hao wabishi na wanajuwa kama ni wabishi Allah awape Ilhaam ya kufahamu
Mawahabi wasitubabaishe hawana chadini wala elimu. Mawahabi nikama wakristo na mayahudi.wakrisro na mayahudi wanabadilisha dini na sheria zao ziendane na siasa za America. Na Mawahabi wanataka kubadilisha sheria na ibada za kiislam ziendane na siasa za Saudia
Astaghfirullah
@@saidaomar6084unajifanya kustaghfir wakati ndio ukweli lini mtume aliihusisha. Kisimamo Cha arafa na funga ya funga ya arafa?
Mashallah
Ila mwaka mpya dunia nzima ni mmoja tu ila kwenye dini yetu tu tumetofautiana msiba mkubwa
si hoja kidini.
Halafu aache ujinga kwani tukiwa hapa Tanzania mchana tunasikia marekani washasherehekea mwaka mpya au huoni?
Nyinyi mawahabi mmechanganyikiwa nini. Sisi tukisoma maulidi mnasema tuna fata makafiri mbona nyinyi funga ya arafa mnataka tufate makafiri.
Hii ni hoja ya kijinga we mjinga, kwani kubadilika Kwa tarehe za kiislam na tareh za miladia? Ww kweli mwehu,....tarehe za miladia zimepangwa na ni constant...lakni tarehe za kiislam zinaendeshwa Allah na anavyotaka yeye ndio zinabadilika tarehe., acha umwehu ndg
Wewe ndio unajaziba sana sheikh
Wewe uzumakifox hata maana ya jazba huijui maana Sheikh Farid kafahamisha bila jazba
Endelea kuwafahamisha wakitaka watafuata hawajataka waachilieni maana wao wanaojifanya kuwa washapewa certificate za Peponi ndio maana wanajiona wako sawa
mwaka 2019 2020
hija ilifutwa hakuna aliyesima hizi nazam zawatu waongo aliowatabri bwa.Mtum Mhmad s.a.w
Hakuna mwaka Hijja imezuiwa, 😅
Mbona fatua za she wetu wa kadiria she Muhammad nassoro hatuiskii ikisomwa au kwa sababu yy ni si muarabu
Davidruhasha, huo mwaka mpya, kushereheka kwake sio muda mmoja, twtafautiana muda
Hao ni mamwehu Tatizo hawataki kufatilia mambo
Kumbe munamtumia sheikh uthaymin kwenye lenu hata kama hamumkubali, shida hamumsomi vizuri ndo maana hamueleweki
Kwa letu lipi tunamtumia al marhum sheikh uthaimeen rahimahullah hili ni jambo la dini masail ameyaweka wazi kabisa katika kuelimisha umma juu ya wapotoshaji kama nyinyi
الصيام يوم عرفة ..الحخ عرفة
Kelele nyingi faridi ila maneno hayo hapo juu inaonekana hujayafahamu
Hakusema mtume s.a.w.w
صوم عرفة bali amesema صوم يوم عرفة kufunga siku ya arafa
Funga ya Arafa haipatikani pahala inapatikana katika Mwezi wa dhulhijja tarehe
Acha ushabiki hajui unachosema wewe
tarehe tisa mfunguotatu ndio siku ya Kufunga n haiko Arafat
Ama kauli yake Mtume s.a.w.w
الحج عرفة
Hiyo ndio maana yake ibada ya hijja nguzo yake kuu ni kusimama eneo au kwenye uwanja wa Arafa
ELIMIKA NDUGU YANGU
@@fareedahmad6857wewe wahabi kichaa sana.dalili zote alizotoa sheikh wewe hujaelewa
@@fareedahmad6857 shekh haow mawahabi mbona uelewa wao mbovu jamani wakt maneno yako wazzi hayo hija ni arafa ndio kwa ajili ya nani. je ni sisi tusio kwenye hijja au walo kwenye hijja. shida kubwa mawahabi huyachukua malekezo ya hijja kuyachanganya na saum ndo shida wako nayo ALLAH ATUONGOZE
Dah yaani mawahabi mtihani sana.yaani iyo dalili uliyoitoa inakuazibu mwenyewe
Maandamano lin mbona hamudai tena nchi
Kwa kutoa mfano mahali cpo
🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸💯❤
Leo hata aje swahaba basi watampinga ujahili umezidi
Kila shehi anatoa hoja yake tushike ipi
Sheikh Farid dini haijui, anachojua ni siasa na kuipinga serikali na ndio maana alisababisha fujo kwa kuwaongoza uamsho kuandamana na kuipinga serikali
Je hao Mashekhe wa Suudia na wao hawajui Dini wanajua siasa...???
Acha maneno ya ujinga lete hoja huna nyamaza kimya
Majahili wakiwahabi wameishiwa hoja sasa wamebaki na mipasho tu
@@fareedahmad6857 kwa mujibu wa nyinyi masufi hao ni masheikh wa kiwahabi na kwa mujibu itikadi zenu ni wapitoshaji lakini mbona kuna masheikh wenu wakubwa wa twarika kama Muhammad Nassoro alisema arafa ni moja ni pale ambapo mahujaji wanasimama kule Makka
unaongea usichokijua ndg
Kusema kweli mashekhe kama hawa ni fitna katika dini
😢😢😢😢 usiseme hivi akhy
Fitna wakubwa katika umma ni mawahabi kwasababu wanataka kubadilisha dini na ibada ziendane na siasa za Saudia
Fitna Gani hiyo inayo sema sindano zinawachoma kweli kweli ukweli unauma na mtume amesema sema ukweli japo kuwa ni uchungu kwa hivyo acha taasub zako
Mm nauliza hivi swaum ya siku ya arafa kwa Makkah siku hii kwa watu wenye kuhijji inakua ni mwezi 9
Sasa je kwa nchi ambazo mwezi unachelewa kuonekana ikawa mwezi 9 wa Makkah kwa kwetu ikawa ni mwezi 8 je je tufunge kwa kufata kismamo au tufate mwezi 9 wa kwetu wakati kwa wenye kuhijji wao watakuwa wanachinja yani ni mwezi 10 vp kielimu?
Du sheikh wangu clip yote ya zaid ya saa moja kumbe hujaelewa kitu
rudia clip shekh ametoa dalil na hoja ya majibu kwenye suali hilo
Yaani iyi yoote technologies tupo nayo bado hamjajuwa tu utofauti wa masaa yetu na saudia na nchi nyinginezo,ni msiba mkubwa, yoote hayo kupingana tu na saudia,
Waislamu hatuangalii saa ila kwa dharura ya mawingu ili tujue muda wa swala nk, tunaangalia jua na mwezi.
Wewe jahili wakiwahabi twambie mtume alikuwa anafungaje saumu ya arafa. Lini mtume aliuwauliza watu wa makka mwezi ulionekana lini
Shk wangu hapo umechemsha twambie hadithi yamtume SAW fungeni siku ya tisa wakati hadithi sahihi mtume SAW kasema fungeni siku ya Arafa sasa hii hadithi mwaiacha mwasema funga siku yatisa imetajwa funga siku ya Arafa musibabaishe hakuna Arafa ya nchi Arafa inapatikana maeneo maalum viwanja vya Arafa navo ni saudia tu hapana kubabaisha apo
Viwanja sio siku akhy
Wewe jahili wakiwahabi. Kwani hiyo arafa huko Saudia inakuwa tarehe ngapi. Alafu mtume alikuwa anafungaje kabla ya faradhishwa hijjah? Alafu mawahabi wamekuwa kama kondoo waliopotea maana hawana viongozi.masheikh wao pia wanawapinga
Hadithi ipo natena kaisaihisha albani
kwa iyo hata akikosea afuatwe tu, hiyo ndo shida yenu ilipo hata sheikh wenu akikosea fuata tu kasema sheikh.
We faridi hata dedesi anakushinda kwa kusema ukweli
Ehe jahili wakiwahabi tueleze uwongo wake
Acha uwongo tukikuraddi usinenuna ewe faridi
Wewe lete raddi
Wajibu kwanza Mashekhe zenu kama mwanamme
Mjibu binbaaz fawzaan na ibnu uthaymiyn
Nyinyi majahili wakiwahabi m ajua kuradi au matusi
Ndio masheikh wetu hao, ipi nchi inatofautiana tarehe na siku na saudia?
Country..united state
State....ALASKA(SK)
to umepishana masaa 12
Kaka dunia duara wakati wewe upo mchana wenzako wamelala pimbi wewe,watu ikiwa wamesimama arafa wengine wamelala na wewe Unataka usawa utalipata vipi hilo?
Nchi nyingi sana zimetofautiana na Saudia hasa mwezi huu Pakistani, Malaysia, Bangaladesh oman, Canada usa na nchi nyingi sana
Siku itokezee uone mwezi Uko mtwara ulipo Halafu muwatangazie wao Saudia uone kama watawafata, Halafu nakupa hio chukua Saudi na Oman zimepakana ila oman hawawafati saudia.
Mawahabi hawajui hata ishu ni nini. Mawahabi twambieni vipi mtume alikuwa anafunga saumu ya arafa akiwa madina
Kitabu gani uk gani au ndo mwatuuna tuu
Mh daaah mutaenda kuwajibu nini munao wapotosha siku ya kiama..huu ni msiba mkubwa mashekh kupotoshwa umma
Sheikh usipoteze watu
ilipozuiliwa hijja kwa sababu ya korona ivi nyie arafa mliifanya vip wakat hakukuwa na mahujjaj ambao tulitkiwa kuambatana nao kwa mujibu wa hoja zenu
Hivi mwezi ukikamatwa saudia nanyie mnaswali kupatwa kwamwezi huku tanzania
Mwache akasome tena huyu shepherd wenu, naona kila kitu anakurupuka tuu.
Shekhe mbona hupitii Hadithi, maneno matupuuu:
صيام يوم عرفة. Hii hadithi ni sahihi au ni Dhaifu. الحج عرفة. Unakusudia Siku ya Arafa haifungamani na ibada ya Hijja. Kwanini Mnatuingiza ktk njia nzito.
Huyu sheikh Farid hajui dini ila anachojua yeye ni siasa tu na ndio maana alisababisha fujo kwa kuwaongoza uamsho kuandamana na kuipinga serikali. Huyo ni khawarij
Swali rahisi ,mawahabi twambieni mtume alikuwa anafunga vipi saumu ya arafa akiwa madina?
@@abiabi9353
NYNY tengenezeni Viwanja vyenu kisha Msimame na AMBAO hawatakuja muwaambie wafunge. NYNY si mwasema muna ARAFA 3
@@abiabi9353
Twarika muna mashaka. Dini mnafanya kama mmeifanya nini. NYNY fuateni Quran na Sunna ili MTU asipotee. صيام يوم عرفة. Waambieni mashekhe wenu wote wanaojuwa lugha watafsiri hiyo sehemu ya Hadithi, msikirupuke Tu. Yaani Sisi na Kigoma tumetofautiana wastani dakika 40 tafauti Kuliko na Saudia, siku moja longitude almost moja. Kama kila Nchi ina muindamo wake kwanini Nchi nyingi pia zipo hawauoni mwezi hata mwezi 5 hawauoni seuze mwindamo. Itakuwa NI ujinga kwasababu hawauoni ndio wasifunge. Hoja mdegwedo
@@abiabi9353
Fuatilia Russia, Uingereza na Nchi nyingi za kaskazini na kusini ya mbali. Tusiwe mabwege tusome ELIMU Zote ndio tutapata mwangaza
Farid mshahara unamtia uchizi .Farid aitwa kusudi Kwa mufti kuficha ukweli
Yeye kaelimisha ummah wewe kama hayajakufaa fanya unavyopenda lkn usipende kudhalilisha wenzio na wewe unalipwa na hao unaowaunga mkono au??
Hoja zikielezwa waziwazi kama hivi inabaki tu yule ambaye hapendi ukweli na anafwata matamanio ya moyo wake.Mtu kama huyu huwezi kumbadilisha.Hizi ndizo zama za mu'umin kushika diini yake.
Hoja yako ipi mbona upo njee ya hoja
Jitathimini usikurupuke fikilia kwakina
Hoja mezani ni Funga mpaka siku ya Arafa
Toa hoja yako Sasa utapapatike tunataka elimu kutoka kwako tufaidike
Mawahabi acheni ngonjera.twambieni mtume alikuwa anafunga vipi saumu ya arafa akiwa madina. Pia tupeni hadith inayo onyesha mtume alikuwa anafatilia mwezi makka.