🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • KARIBU KATIKA CHANAL YETU USISAHAU KUSUBCRIBE, LIKE, SHARE, COMMENT :
    TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU ILI PATE FAIDA KTIKA BIASHARA YAKO
    PIA CHANAL YETU INAOMBA MSAADA WAKO WA VIFAA ILI TUWEZE KUENDELEZA ZAID TV YET HII KUZIDI KUTOA ELIMU KATIKA JAMII AHSANTE
    www.nouralmustafatz.org
    Tel : +255 777 144 988 :
    TUNAPOKEA USHAURI NA MAONI

Komentáře • 104

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 Před 2 měsíci +4

    Nimefika dk ya 31, tayr nshamuelewa huyu Sheikh! Allah sw akuhifadhi sheikh!!!

  • @HamidSalum-kk8qu
    @HamidSalum-kk8qu Před 2 měsíci +4

    Sheikh Farid Allah akulipe Mimi nimeelewa sana hâta nichanganya mtu tena umeeleweka sheikh asante

  • @user-je6qh6it5w
    @user-je6qh6it5w Před 2 měsíci +2

    MASHALLAH,
    Sheikh Farid nakukubali sana,
    Kila mji wana muandamo wao, Ingekua lazima kufuata mwezi mmoja duniani Mtume angejuulisja na Jibril kuandama kwa mwezi sehemu yoyote ile ukiandama.
    Yeye mwenyewe Mtume alikua anaangalia mwezi, na masahaba, na matabiina na matabitabiina. Na waislamu waliopita kwa karne zaidi ya 10.
    Wallahu aalam.

  • @KHALFANSHELA
    @KHALFANSHELA Před 2 měsíci +2

    Mashallah tumesha kuelewa vizuuri maalim allah akulipe kwa kutufahamisha. Kiukweli sas hivi hakuna watu wanaojiona kua wanaijua dini kuliko hao maswahaba kama hawa watu wanao jiita salafi wanawaona wenzao woote dunian hawajui kitu wasomi n wao tu .

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 Před 2 měsíci +3

    Maa shaa ALLAH imefahamika. MUNGU akujazi kheri kutuilimisha

  • @fatimamohammed4745
    @fatimamohammed4745 Před 2 měsíci +5

    Shukran sheikh kwa elimu Allah akulipe kheri za dunia na akhera

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 Před 2 měsíci +1

    shekh Allah akulinde na makafiri na wanaojihusisha na mamb yakikafir napia akupe umri mrefu wenyebaraka inshallah

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni Před 2 měsíci +4

    Sheikh Nimekuelewa saaiz pwenti za watu ni kwamba eti wanawaona watu wamesimama duh mtihani kweli

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Ni mtihani na ni u mwehu mkubwa Yani nashangaa san mm wallahi Yani tubadilishe mtindo wa ibada eti technology imetuwezesha kufanya ivyo? Inawezekan Kwa mwenye akili kamili?

  • @user-ng5dr7mn1d
    @user-ng5dr7mn1d Před 2 měsíci +4

    shukran sheikh Farid kwa mafundisho yalio waz na ufasaha

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před 2 měsíci +4

    Ingekuwa saudia wanatazama mwezi basi tungekwenda pamoja lkn wao wanafuata kalenda yao

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci +3

    MAWAHABI WANACHINNJIWA NA KISU WALICHO KINOWA WENYEWE
    MAJIBU YOTE WANAYATOWA MASHEKHE ZAO SUBHANA LAH

    • @user-cq1vs9be2g
      @user-cq1vs9be2g Před 2 měsíci

      Mashaalah shekh kwa kutuelewexha kuhux xk ya arafa mwenyezimungu akulipe kila la kher

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 2 měsíci

      HUYO SHEIKH FARID SIYO WAHABI, NI SUFI KAMA MASUFI KWANI MISIMAMO YAKE YOTE NI YA AHLU TWARIKA.

  • @khairmasoud6613
    @khairmasoud6613 Před 2 měsíci +5

    Shuraan saana kwa kutuelewesha ustaah .mm binafsi ilikuwa najichanganya ktk suala hili.Allah akulipe kheri

    • @omarjuma3793
      @omarjuma3793 Před 2 měsíci

      Hapa ni makka tu hatuelewi hata msemaje

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před 2 měsíci +1

    Jazakallahulkheir sheikh

  • @tumainizaidu7095
    @tumainizaidu7095 Před 2 měsíci +1

    ما شاء الله جزاكم الله

  • @w4058
    @w4058 Před 2 měsíci

    Ismail Juma hapo ndio wanapijichanganya hao wabishi na wanajuwa kama ni wabishi Allah awape Ilhaam ya kufahamu

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 2 měsíci +2

    Mawahabi wasitubabaishe hawana chadini wala elimu. Mawahabi nikama wakristo na mayahudi.wakrisro na mayahudi wanabadilisha dini na sheria zao ziendane na siasa za America. Na Mawahabi wanataka kubadilisha sheria na ibada za kiislam ziendane na siasa za Saudia

    • @saidaomar6084
      @saidaomar6084 Před 2 měsíci

      Astaghfirullah

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      ​@@saidaomar6084unajifanya kustaghfir wakati ndio ukweli lini mtume aliihusisha. Kisimamo Cha arafa na funga ya funga ya arafa?

  • @user-ou2qr1sb9x
    @user-ou2qr1sb9x Před 2 měsíci +1

    Mashallah

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 Před 2 měsíci +1

    Ila mwaka mpya dunia nzima ni mmoja tu ila kwenye dini yetu tu tumetofautiana msiba mkubwa

    • @tumainizaidu7095
      @tumainizaidu7095 Před 2 měsíci +2

      si hoja kidini.

    • @IsmailJuma-zb5ni
      @IsmailJuma-zb5ni Před 2 měsíci +1

      Halafu aache ujinga kwani tukiwa hapa Tanzania mchana tunasikia marekani washasherehekea mwaka mpya au huoni?

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci +1

      Nyinyi mawahabi mmechanganyikiwa nini. Sisi tukisoma maulidi mnasema tuna fata makafiri mbona nyinyi funga ya arafa mnataka tufate makafiri.

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Hii ni hoja ya kijinga we mjinga, kwani kubadilika Kwa tarehe za kiislam na tareh za miladia? Ww kweli mwehu,....tarehe za miladia zimepangwa na ni constant...lakni tarehe za kiislam zinaendeshwa Allah na anavyotaka yeye ndio zinabadilika tarehe., acha umwehu ndg

  • @Mh_69rz
    @Mh_69rz Před 2 měsíci +1

    Wewe ndio unajaziba sana sheikh

    • @w4058
      @w4058 Před 2 měsíci

      Wewe uzumakifox hata maana ya jazba huijui maana Sheikh Farid kafahamisha bila jazba

    • @w4058
      @w4058 Před 2 měsíci

      Endelea kuwafahamisha wakitaka watafuata hawajataka waachilieni maana wao wanaojifanya kuwa washapewa certificate za Peponi ndio maana wanajiona wako sawa

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd Před 2 měsíci

    mwaka 2019 2020
    hija ilifutwa hakuna aliyesima hizi nazam zawatu waongo aliowatabri bwa.Mtum Mhmad s.a.w

  • @LautaroIshak
    @LautaroIshak Před 2 měsíci

    Mbona fatua za she wetu wa kadiria she Muhammad nassoro hatuiskii ikisomwa au kwa sababu yy ni si muarabu

  • @GhalibLindi
    @GhalibLindi Před 2 měsíci +1

    Davidruhasha, huo mwaka mpya, kushereheka kwake sio muda mmoja, twtafautiana muda

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Hao ni mamwehu Tatizo hawataki kufatilia mambo

  • @abuunaraimansalumal-shaib9260

    Kumbe munamtumia sheikh uthaymin kwenye lenu hata kama hamumkubali, shida hamumsomi vizuri ndo maana hamueleweki

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 2 měsíci

      Kwa letu lipi tunamtumia al marhum sheikh uthaimeen rahimahullah hili ni jambo la dini masail ameyaweka wazi kabisa katika kuelimisha umma juu ya wapotoshaji kama nyinyi

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 2 měsíci

    الصيام يوم عرفة ..الحخ عرفة
    Kelele nyingi faridi ila maneno hayo hapo juu inaonekana hujayafahamu

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 2 měsíci

      Hakusema mtume s.a.w.w
      صوم عرفة bali amesema صوم يوم عرفة kufunga siku ya arafa
      Funga ya Arafa haipatikani pahala inapatikana katika Mwezi wa dhulhijja tarehe
      Acha ushabiki hajui unachosema wewe

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 2 měsíci

      tarehe tisa mfunguotatu ndio siku ya Kufunga n haiko Arafat
      Ama kauli yake Mtume s.a.w.w
      الحج عرفة
      Hiyo ndio maana yake ibada ya hijja nguzo yake kuu ni kusimama eneo au kwenye uwanja wa Arafa
      ELIMIKA NDUGU YANGU

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci +1

      ​@@fareedahmad6857wewe wahabi kichaa sana.dalili zote alizotoa sheikh wewe hujaelewa

    • @kamatown5407
      @kamatown5407 Před 2 měsíci +1

      @@fareedahmad6857 shekh haow mawahabi mbona uelewa wao mbovu jamani wakt maneno yako wazzi hayo hija ni arafa ndio kwa ajili ya nani. je ni sisi tusio kwenye hijja au walo kwenye hijja. shida kubwa mawahabi huyachukua malekezo ya hijja kuyachanganya na saum ndo shida wako nayo ALLAH ATUONGOZE

    • @rashidikibuna8575
      @rashidikibuna8575 Před 2 měsíci

      Dah yaani mawahabi mtihani sana.yaani iyo dalili uliyoitoa inakuazibu mwenyewe

  • @LautaroIshak
    @LautaroIshak Před 2 měsíci

    Maandamano lin mbona hamudai tena nchi

  • @Mh_69rz
    @Mh_69rz Před 2 měsíci

    Kwa kutoa mfano mahali cpo

  • @ghch400
    @ghch400 Před 2 měsíci

    🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸💯❤

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před 2 měsíci

    Leo hata aje swahaba basi watampinga ujahili umezidi

  • @HalidizubeliKwedi
    @HalidizubeliKwedi Před 2 měsíci

    Kila shehi anatoa hoja yake tushike ipi

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 2 měsíci

    Sheikh Farid dini haijui, anachojua ni siasa na kuipinga serikali na ndio maana alisababisha fujo kwa kuwaongoza uamsho kuandamana na kuipinga serikali

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 2 měsíci +1

      Je hao Mashekhe wa Suudia na wao hawajui Dini wanajua siasa...???
      Acha maneno ya ujinga lete hoja huna nyamaza kimya

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci +1

      Majahili wakiwahabi wameishiwa hoja sasa wamebaki na mipasho tu

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 2 měsíci

      @@fareedahmad6857 kwa mujibu wa nyinyi masufi hao ni masheikh wa kiwahabi na kwa mujibu itikadi zenu ni wapitoshaji lakini mbona kuna masheikh wenu wakubwa wa twarika kama Muhammad Nassoro alisema arafa ni moja ni pale ambapo mahujaji wanasimama kule Makka

    • @mdoekibai3991
      @mdoekibai3991 Před 2 měsíci

      unaongea usichokijua ndg

  • @Mh_69rz
    @Mh_69rz Před 2 měsíci

    Kusema kweli mashekhe kama hawa ni fitna katika dini

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 Před 2 měsíci +1

      😢😢😢😢 usiseme hivi akhy

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Fitna wakubwa katika umma ni mawahabi kwasababu wanataka kubadilisha dini na ibada ziendane na siasa za Saudia

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 2 měsíci

      Fitna Gani hiyo inayo sema sindano zinawachoma kweli kweli ukweli unauma na mtume amesema sema ukweli japo kuwa ni uchungu kwa hivyo acha taasub zako

  • @allykhatib660
    @allykhatib660 Před 2 měsíci

    Mm nauliza hivi swaum ya siku ya arafa kwa Makkah siku hii kwa watu wenye kuhijji inakua ni mwezi 9
    Sasa je kwa nchi ambazo mwezi unachelewa kuonekana ikawa mwezi 9 wa Makkah kwa kwetu ikawa ni mwezi 8 je je tufunge kwa kufata kismamo au tufate mwezi 9 wa kwetu wakati kwa wenye kuhijji wao watakuwa wanachinja yani ni mwezi 10 vp kielimu?

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Du sheikh wangu clip yote ya zaid ya saa moja kumbe hujaelewa kitu

    • @kamatown5407
      @kamatown5407 Před 2 měsíci

      rudia clip shekh ametoa dalil na hoja ya majibu kwenye suali hilo

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 Před 2 měsíci

    Yaani iyi yoote technologies tupo nayo bado hamjajuwa tu utofauti wa masaa yetu na saudia na nchi nyinginezo,ni msiba mkubwa, yoote hayo kupingana tu na saudia,

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 Před 2 měsíci

      Waislamu hatuangalii saa ila kwa dharura ya mawingu ili tujue muda wa swala nk, tunaangalia jua na mwezi.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Wewe jahili wakiwahabi twambie mtume alikuwa anafungaje saumu ya arafa. Lini mtume aliuwauliza watu wa makka mwezi ulionekana lini

  • @ShaibmbaroukHemed-mi5rf
    @ShaibmbaroukHemed-mi5rf Před 2 měsíci

    Shk wangu hapo umechemsha twambie hadithi yamtume SAW fungeni siku ya tisa wakati hadithi sahihi mtume SAW kasema fungeni siku ya Arafa sasa hii hadithi mwaiacha mwasema funga siku yatisa imetajwa funga siku ya Arafa musibabaishe hakuna Arafa ya nchi Arafa inapatikana maeneo maalum viwanja vya Arafa navo ni saudia tu hapana kubabaisha apo

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 Před 2 měsíci +1

      Viwanja sio siku akhy

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Wewe jahili wakiwahabi. Kwani hiyo arafa huko Saudia inakuwa tarehe ngapi. Alafu mtume alikuwa anafungaje kabla ya faradhishwa hijjah? Alafu mawahabi wamekuwa kama kondoo waliopotea maana hawana viongozi.masheikh wao pia wanawapinga

    • @rashidikibuna8575
      @rashidikibuna8575 Před 2 měsíci

      Hadithi ipo natena kaisaihisha albani

    • @saido.bakari2877
      @saido.bakari2877 Před 2 měsíci

      ​kwa iyo hata akikosea afuatwe tu, hiyo ndo shida yenu ilipo hata sheikh wenu akikosea fuata tu kasema sheikh.

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 2 měsíci

    We faridi hata dedesi anakushinda kwa kusema ukweli

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci +1

      Ehe jahili wakiwahabi tueleze uwongo wake

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 2 měsíci

    Acha uwongo tukikuraddi usinenuna ewe faridi

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 2 měsíci +1

      Wewe lete raddi
      Wajibu kwanza Mashekhe zenu kama mwanamme
      Mjibu binbaaz fawzaan na ibnu uthaymiyn

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Nyinyi majahili wakiwahabi m ajua kuradi au matusi

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 Před 2 měsíci

    Ndio masheikh wetu hao, ipi nchi inatofautiana tarehe na siku na saudia?

    • @AbdallaAssaa-we3vi
      @AbdallaAssaa-we3vi Před 2 měsíci +1

      Country..united state
      State....ALASKA(SK)
      to umepishana masaa 12

    • @IsmailJuma-zb5ni
      @IsmailJuma-zb5ni Před 2 měsíci

      Kaka dunia duara wakati wewe upo mchana wenzako wamelala pimbi wewe,watu ikiwa wamesimama arafa wengine wamelala na wewe Unataka usawa utalipata vipi hilo?

    • @saidalhabsi6485
      @saidalhabsi6485 Před 2 měsíci

      Nchi nyingi sana zimetofautiana na Saudia hasa mwezi huu Pakistani, Malaysia, Bangaladesh oman, Canada usa na nchi nyingi sana

    • @IsmailJuma-zb5ni
      @IsmailJuma-zb5ni Před 2 měsíci +2

      Siku itokezee uone mwezi Uko mtwara ulipo Halafu muwatangazie wao Saudia uone kama watawafata, Halafu nakupa hio chukua Saudi na Oman zimepakana ila oman hawawafati saudia.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Mawahabi hawajui hata ishu ni nini. Mawahabi twambieni vipi mtume alikuwa anafunga saumu ya arafa akiwa madina

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 2 měsíci

    Kitabu gani uk gani au ndo mwatuuna tuu

  • @JabirHaji-vj2nf
    @JabirHaji-vj2nf Před 2 měsíci

    Mh daaah mutaenda kuwajibu nini munao wapotosha siku ya kiama..huu ni msiba mkubwa mashekh kupotoshwa umma

  • @Mh_69rz
    @Mh_69rz Před 2 měsíci

    Sheikh usipoteze watu

    • @kamatown5407
      @kamatown5407 Před 2 měsíci +1

      ilipozuiliwa hijja kwa sababu ya korona ivi nyie arafa mliifanya vip wakat hakukuwa na mahujjaj ambao tulitkiwa kuambatana nao kwa mujibu wa hoja zenu

    • @rashidikibuna8575
      @rashidikibuna8575 Před 2 měsíci

      Hivi mwezi ukikamatwa saudia nanyie mnaswali kupatwa kwamwezi huku tanzania

  • @Mh_69rz
    @Mh_69rz Před 2 měsíci

    Mwache akasome tena huyu shepherd wenu, naona kila kitu anakurupuka tuu.

  • @kitosio
    @kitosio Před 2 měsíci

    Shekhe mbona hupitii Hadithi, maneno matupuuu:
    صيام يوم عرفة. Hii hadithi ni sahihi au ni Dhaifu. الحج عرفة. Unakusudia Siku ya Arafa haifungamani na ibada ya Hijja. Kwanini Mnatuingiza ktk njia nzito.

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 2 měsíci

      Huyu sheikh Farid hajui dini ila anachojua yeye ni siasa tu na ndio maana alisababisha fujo kwa kuwaongoza uamsho kuandamana na kuipinga serikali. Huyo ni khawarij

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Swali rahisi ,mawahabi twambieni mtume alikuwa anafunga vipi saumu ya arafa akiwa madina?

    • @kitosio
      @kitosio Před 2 měsíci

      @@abiabi9353
      NYNY tengenezeni Viwanja vyenu kisha Msimame na AMBAO hawatakuja muwaambie wafunge. NYNY si mwasema muna ARAFA 3

    • @kitosio
      @kitosio Před 2 měsíci

      @@abiabi9353
      Twarika muna mashaka. Dini mnafanya kama mmeifanya nini. NYNY fuateni Quran na Sunna ili MTU asipotee. صيام يوم عرفة. Waambieni mashekhe wenu wote wanaojuwa lugha watafsiri hiyo sehemu ya Hadithi, msikirupuke Tu. Yaani Sisi na Kigoma tumetofautiana wastani dakika 40 tafauti Kuliko na Saudia, siku moja longitude almost moja. Kama kila Nchi ina muindamo wake kwanini Nchi nyingi pia zipo hawauoni mwezi hata mwezi 5 hawauoni seuze mwindamo. Itakuwa NI ujinga kwasababu hawauoni ndio wasifunge. Hoja mdegwedo

    • @kitosio
      @kitosio Před 2 měsíci

      @@abiabi9353
      Fuatilia Russia, Uingereza na Nchi nyingi za kaskazini na kusini ya mbali. Tusiwe mabwege tusome ELIMU Zote ndio tutapata mwangaza

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 2 měsíci

    Farid mshahara unamtia uchizi .Farid aitwa kusudi Kwa mufti kuficha ukweli

    • @fatimamohammed4745
      @fatimamohammed4745 Před 2 měsíci +3

      Yeye kaelimisha ummah wewe kama hayajakufaa fanya unavyopenda lkn usipende kudhalilisha wenzio na wewe unalipwa na hao unaowaunga mkono au??

    • @DaudiDigo
      @DaudiDigo Před 2 měsíci

      Hoja zikielezwa waziwazi kama hivi inabaki tu yule ambaye hapendi ukweli na anafwata matamanio ya moyo wake.Mtu kama huyu huwezi kumbadilisha.Hizi ndizo zama za mu'umin kushika diini yake.

    • @user-vl8ks7ps6l
      @user-vl8ks7ps6l Před 2 měsíci +1

      Hoja yako ipi mbona upo njee ya hoja
      Jitathimini usikurupuke fikilia kwakina
      Hoja mezani ni Funga mpaka siku ya Arafa
      Toa hoja yako Sasa utapapatike tunataka elimu kutoka kwako tufaidike

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci

      Mawahabi acheni ngonjera.twambieni mtume alikuwa anafunga vipi saumu ya arafa akiwa madina. Pia tupeni hadith inayo onyesha mtume alikuwa anafatilia mwezi makka.