NIMETOKA CHUO NIKAANZA KUUZA MKAA | ALITOKA MAREKANI KUJA KUISHI NA MIMI CHUMBA KIMOJA USWAZI
Vložit
- čas přidán 7. 08. 2023
- @mshanatheblacksmith ameeleza safari ya maisha yake kutoka kwa familia ya duni, alikua ni mwanafunzi wa chuo lakini ambae anapambania maisha na alikua akifanya biashara ndogo ndogo kujikimu.
Mke wake wa kimarekani alikaa nae kwenye chumba kimoja na kupambana na maisha na sasa wanaishi Marekani
Please, Support his CZcams channel @mshanatheblacksmith
Thank you Mshana for allowing this to be online
www.Oda.international
MashaaAllah TabarrakAllah uyu kaka mm nampongeza sana kuwa mkweli kwenye dini cause wakaka zetu waki Africa wanapokutana na wazungu awatakagi kuwa honest na maisha yao pamoja na dini
Mashaallah tabarakallah chamuhim ni ww kumuonyesha unavyo isamini dini Yako Na matendo ya dini Yako sababu huyo nimgeni kwenye dini Na Pia aisome itakua vyema nimependa stores Yako Kaka yangu mm nafatilia kutoka Bujumbura Burundi
Kitu muhimu mke na mume ikiwa niya zenu nzuri mungu anawabariki
Aksante sana Mwanangu Shemi sijui nalipata jina lako
Unasaidia sana vijana wetu kupata Elimu ili wanapoamua kwenda huko ughaibuni waweze kujipanga
Shukran 🙏
Ni Shena 🥰😁
❤❤❤❤❤❤❤asante sana dada yangu for doing this story on me and my husband
Ahsante sana pia, Mungu awabariki sana 🙏
Shena uko vizuri dada yangu USA na enjoy Video zako
Hello Ombeni.
@@OfficialDatingAssistance how to get hold of you
What state are you residing
hii kali sana INTERVIEW
Miaka 6 niliyoishi ubaibun kila siku naobwa pesa hawajuwi tunayopitia inafikiya mpaka unatukanwa
iyo ni bahati m/mungu kakuandikia
That is true love..uwo ni upendo wa kwer na wadhati
safi sana kijana, Mungu awabariki wewe na mkeo
Everything is on point mrembo Shennah.
Ubaguzi marekani upo sema Ni sehemu na sehemu
Dada yula mama wa ltalia ndan ndowa miaka 16 ya matezo mmmh adi Leo namfikiriaga lile Nigereza anatumikia anaitaj pongez boss
Hehehehe ka story kazuri sana, maisha ya watafutaji.( wana harakati) ila sasa hapo kwenye PARK........ kua parking hehehe Safi sana
Good interview madam
Shena tunaomba malizia swala la ubalozini na visa umemkatisha mkaka
good story
iko vizuri,zari la mentali
Story nzuri haki ♥️♥️♥️♥️
story imenyooka safi sana
Nimekulewa vizuri sana
Nitajifunza Asante dada
Story nzuri sana duu Mungu mkubwa sana
GOOD
Nice
Hongera
shena naona sasa mambo ni moto kwel kwel nainjoi sana.
Iko sawa
😊
Hongera dashana
Long life kaka
Kaka anajua kuaimulia jmn nimependa sana
oraa sista nigani asee,shusha li insta lake hapo tumfollo tukaulize maswali naeza otea mlami mmoja nikafanya life
Sio ndugu wa Zanzibar huo ndio uislamu, muislam huwezi kula ukashiba huku jirani anakufa njaa
Mshana anatumia data saver inabid aitoe picha zake ziwe quality
Tunakusikia tunawaona. 🇹🇿🇹🇿🇸🇪🇸🇪
Ni kweli Kwa mtangazaji ina mwangwi
🎉
Lunga ni kila.mahali sio uko tuu pia wewe mwe yewe uta ejoy luga nikitu cha kawaida mm niko ugabuni pia luga ya hapa niliko.ningumu sa KIARABU LAKI I TUNASAVAVU ALLAHMDLIHA
Story nzri ❤
Siwasikii vizuri
Hata mm nakusikia vizuri nipo Oman nafanya kazi hause maid
inaonekana kuingia marekani kipengele na kuanza maisha kipengele sana ,.
Akawa kioooo cha jamiiii kwenye daladala😂😂😂😂
Wakosa wa South Africa
Masha allah Allah akubariki
Daaaah mjuba kaokota Dodo kwenye mchikichi😂
Mwangwe sana
Walimu wa vyuo wanaofanya hizo tabia ni wauwaji kabisa
Yaani hizo tabia za ukiume wa ngozi nyeudi na kuonewa ndio maana siwaelewi mimi jamanii.
Hongera kaka
Kaka ana furahi Sana
😂😂😂😂🎉🎉🎉 great 👍
Hongera broo
Ndio na kwa mwasha ipo chini
Sauti kweli inarudi
hapo sauti sasa nisawa
I wish to have my own mzungu😭
Utapata wako
@@OfficialDatingAssistance 👏👏👏
@@OfficialDatingAssistance.unatumia page gn kwaajili ya mtu kutaka mawasiliano na WW??
Nitake radhi awadhi mii mpare
Y
He Kaka upo state gani
Wotewatu wazani watuwo wakiwa inje wanApesa asawandugu waki afirika watuwanapAmbana
Kabisa
Kijana jiongeze hiyo nafasi usiipoteze.,umepata nafasi yakujiendeleza kimasomo.,kwenye maswala yako ya engineer. Chance hiyo kijana.
Good point
Ndio inajirudia
Inajirudia
Ndio IPO hivyo
Sasa tunakusikia
Hata mimi nakuona
Ndio sauti inajirudia
Alijifunza kiswahili?
Hebu nikuulize kufuatana na mazungumzo yako swali kwangu sababu gani wengi wenu mnataka Uraia pacha ?
Unawatoto wangapi na huyo mzungu
Akiongea na muangalia wife wake atadhani ana muongelea yeye...akae akiangalia mbele tu
Hapo kwa kuumwa mzungu akiwa Africa asipopata tiba haraka ni hatari sana sana. Wazungu hawawezani na magonjwa yetu Africa, haswa Malaria, UTI na magonjwa ya tumbo. Wanakufa chap.
Hakai venye anasema
Uwewe kuna uchawi huku uzunguni bana 😂😂😂do your reaserch witches and wizards are common in westernised country
Blacksmith jitahidi kufupisha maongezi ambayo not useful
Unafanya kazi gani huko Marekani
Subscribe kwa channel yake utaona safari yake ya kujiunga na jeshi la Marekani @mshanatheblacksmith
Kama si msambaa sijui😅😅😅😅😅
Sauti imajirudia
Sauti inajirudia
😂😂😂😂😂😂😂 nice story
Kijana nimempenda nawezaje kupata namba yake ya simu? Mimi nipo Canada. Naitwa Komba
Mmmmmmh
😂😂😂😂 WANAUME wa KiTz / kiafrica WENGI NI WANAUME MAPEMBE 😂😂 , KWA ULAYA YANAVUNJIKA MAPEMBE LAZIMA MKAE CHINI NA MUONGEE MSOLVE CONFLICT ZENU ILI FAMILIA IENDE NJE YA HAPO ,KAZI NGUMU
A/alakum habibt mie nipo mascat napendasana kukusikiliza
Shukran sana 🙏
Which state are you in?
Dada lyls upo state gani .Asante Mimi nipo maryland
Haloow ninaomba tuwasiliane ninashida na wewe@@Mazoea
Zali la mentali
Mshanaa😢 Kwanini? Wapareee kwenye lugha lakini😂😅
C katumia kabila lake kuna ubaya gani
@@aysherkitoi5507 jus joking dear and b’coz na me ni Mpare
Du..asee