NIMETOKA CHUO NIKAANZA KUUZA MKAA | ALITOKA MAREKANI KUJA KUISHI NA MIMI CHUMBA KIMOJA USWAZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 08. 2023
  • ‪@mshanatheblacksmith‬ ameeleza safari ya maisha yake kutoka kwa familia ya duni, alikua ni mwanafunzi wa chuo lakini ambae anapambania maisha na alikua akifanya biashara ndogo ndogo kujikimu.
    Mke wake wa kimarekani alikaa nae kwenye chumba kimoja na kupambana na maisha na sasa wanaishi Marekani
    Please, Support his CZcams channel ‪@mshanatheblacksmith‬
    Thank you Mshana for allowing this to be online
    www.Oda.international

Komentáře • 109

  • @zabibumwilelo853
    @zabibumwilelo853 Před 6 měsíci +5

    MashaaAllah TabarrakAllah uyu kaka mm nampongeza sana kuwa mkweli kwenye dini cause wakaka zetu waki Africa wanapokutana na wazungu awatakagi kuwa honest na maisha yao pamoja na dini

  • @HakizimanaSalima-sg7cv
    @HakizimanaSalima-sg7cv Před 8 měsíci +5

    Mashaallah tabarakallah chamuhim ni ww kumuonyesha unavyo isamini dini Yako Na matendo ya dini Yako sababu huyo nimgeni kwenye dini Na Pia aisome itakua vyema nimependa stores Yako Kaka yangu mm nafatilia kutoka Bujumbura Burundi

  • @safiam5338
    @safiam5338 Před 8 měsíci +5

    Kitu muhimu mke na mume ikiwa niya zenu nzuri mungu anawabariki

  • @user-oc7ur4ob1e
    @user-oc7ur4ob1e Před 4 měsíci +3

    Aksante sana Mwanangu Shemi sijui nalipata jina lako
    Unasaidia sana vijana wetu kupata Elimu ili wanapoamua kwenda huko ughaibuni waweze kujipanga

  • @ambermshana9863
    @ambermshana9863 Před 11 měsíci +20

    ❤❤❤❤❤❤❤asante sana dada yangu for doing this story on me and my husband

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 4 měsíci +4

    hii kali sana INTERVIEW

  • @user-qs4fb5fo5f
    @user-qs4fb5fo5f Před 8 měsíci +2

    Miaka 6 niliyoishi ubaibun kila siku naobwa pesa hawajuwi tunayopitia inafikiya mpaka unatukanwa

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 Před 9 měsíci +3

    iyo ni bahati m/mungu kakuandikia

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem

    That is true love..uwo ni upendo wa kwer na wadhati

  • @angelinakakulu1615
    @angelinakakulu1615 Před 3 měsíci +1

    safi sana kijana, Mungu awabariki wewe na mkeo

  • @BerthaKihanga-qd5hy
    @BerthaKihanga-qd5hy Před 11 měsíci +3

    Everything is on point mrembo Shennah.

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 9 měsíci +1

    Ubaguzi marekani upo sema Ni sehemu na sehemu

  • @user-zd1cd5yj5o
    @user-zd1cd5yj5o Před 3 měsíci +1

    Dada yula mama wa ltalia ndan ndowa miaka 16 ya matezo mmmh adi Leo namfikiriaga lile Nigereza anatumikia anaitaj pongez boss

  • @alexharriskajjubi1914
    @alexharriskajjubi1914 Před 10 měsíci +1

    Hehehehe ka story kazuri sana, maisha ya watafutaji.( wana harakati) ila sasa hapo kwenye PARK........ kua parking hehehe Safi sana

  • @ahmadateguro4886
    @ahmadateguro4886 Před 11 měsíci +3

    Good interview madam

  • @abdul-hafidhothman9310

    Shena tunaomba malizia swala la ubalozini na visa umemkatisha mkaka

  • @user-xj6rk8nv1k
    @user-xj6rk8nv1k Před 10 měsíci +1

    good story

  • @masomekitwala3758
    @masomekitwala3758 Před 11 měsíci +1

    iko vizuri,zari la mentali

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 Před 11 měsíci +1

    Story nzuri haki ♥️♥️♥️♥️

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 10 měsíci +1

    story imenyooka safi sana

  • @madalanasri2226
    @madalanasri2226 Před 8 měsíci

    Nimekulewa vizuri sana

  • @user-go8nq7gi5k
    @user-go8nq7gi5k Před 3 měsíci

    Nitajifunza Asante dada

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 10 měsíci +4

    Story nzuri sana duu Mungu mkubwa sana

  • @frolianraphael4861
    @frolianraphael4861 Před 9 měsíci

    GOOD

  • @user-iu4qf3ro8z
    @user-iu4qf3ro8z Před 7 měsíci +1

    Nice

  • @ChrispinBahizireATUOKOWE
    @ChrispinBahizireATUOKOWE Před 2 měsíci +1

    Hongera

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 Před 11 měsíci +1

    shena naona sasa mambo ni moto kwel kwel nainjoi sana.

  • @user-wm5lg8xg1c
    @user-wm5lg8xg1c Před 2 měsíci

    Iko sawa

  • @hafsamkam
    @hafsamkam Před 5 měsíci

    😊

  • @muhammedjuma8966
    @muhammedjuma8966 Před 3 měsíci

    Hongera dashana

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Před 10 měsíci

    Long life kaka

  • @user-xj6rk8nv1k
    @user-xj6rk8nv1k Před 10 měsíci

    Kaka anajua kuaimulia jmn nimependa sana

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 Před 11 měsíci +1

    oraa sista nigani asee,shusha li insta lake hapo tumfollo tukaulize maswali naeza otea mlami mmoja nikafanya life

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 Před 4 měsíci

    Sio ndugu wa Zanzibar huo ndio uislamu, muislam huwezi kula ukashiba huku jirani anakufa njaa

  • @KIMALEX255
    @KIMALEX255 Před 11 měsíci +2

    Mshana anatumia data saver inabid aitoe picha zake ziwe quality

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 Před 11 měsíci +1

    Tunakusikia tunawaona. 🇹🇿🇹🇿🇸🇪🇸🇪

  • @user-jb8rg5xo5g
    @user-jb8rg5xo5g Před 10 měsíci

    Ni kweli Kwa mtangazaji ina mwangwi

  • @user-rg1ob9fz9x
    @user-rg1ob9fz9x Před 3 měsíci

    🎉

  • @maryali2122
    @maryali2122 Před 7 měsíci

    Lunga ni kila.mahali sio uko tuu pia wewe mwe yewe uta ejoy luga nikitu cha kawaida mm niko ugabuni pia luga ya hapa niliko.ningumu sa KIARABU LAKI I TUNASAVAVU ALLAHMDLIHA

  • @monicagaino7191
    @monicagaino7191 Před 6 měsíci

    Story nzri ❤

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 4 měsíci

    Siwasikii vizuri

  • @fridanyoni2867
    @fridanyoni2867 Před 6 měsíci

    Hata mm nakusikia vizuri nipo Oman nafanya kazi hause maid

  • @michaelprofessional7574
    @michaelprofessional7574 Před 10 měsíci +2

    inaonekana kuingia marekani kipengele na kuanza maisha kipengele sana ,.

  • @JoyceakaJowi
    @JoyceakaJowi Před 11 měsíci +2

    Akawa kioooo cha jamiiii kwenye daladala😂😂😂😂

  • @user-yh2gy1lp7w
    @user-yh2gy1lp7w Před 8 měsíci

    Wakosa wa South Africa

  • @user-um3qo8lu3o
    @user-um3qo8lu3o Před 10 měsíci +2

    Masha allah Allah akubariki

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 Před 9 měsíci +1

    Daaaah mjuba kaokota Dodo kwenye mchikichi😂

  • @user-rg1ob9fz9x
    @user-rg1ob9fz9x Před 3 měsíci

    Mwangwe sana

  • @joharimillanga1587
    @joharimillanga1587 Před 3 měsíci +1

    Walimu wa vyuo wanaofanya hizo tabia ni wauwaji kabisa

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 11 měsíci

    Yaani hizo tabia za ukiume wa ngozi nyeudi na kuonewa ndio maana siwaelewi mimi jamanii.

  • @happinessclement6066
    @happinessclement6066 Před 11 měsíci +3

    Hongera kaka

  • @anzerranisadiki2443
    @anzerranisadiki2443 Před 3 měsíci +1

    Kaka ana furahi Sana

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂🎉🎉🎉 great 👍

  • @othmanabubakar6630
    @othmanabubakar6630 Před 11 měsíci +2

    Hongera broo

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz Před 4 měsíci

    Ndio na kwa mwasha ipo chini

  • @skujuwahamad1702
    @skujuwahamad1702 Před 11 měsíci

    Sauti kweli inarudi

  • @user-ql4os3co6l
    @user-ql4os3co6l Před 8 měsíci

    hapo sauti sasa nisawa

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 11 měsíci +4

    I wish to have my own mzungu😭

  • @MussaRamadhani-lv6eg
    @MussaRamadhani-lv6eg Před 2 měsíci

    Nitake radhi awadhi mii mpare

  • @LoishiyeMollel-ck9bx
    @LoishiyeMollel-ck9bx Před 10 měsíci

    Y

  • @Mazoea
    @Mazoea Před 9 měsíci

    He Kaka upo state gani

  • @hamidasaif4065
    @hamidasaif4065 Před 9 měsíci +1

    Wotewatu wazani watuwo wakiwa inje wanApesa asawandugu waki afirika watuwanapAmbana

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 11 měsíci +12

    Kijana jiongeze hiyo nafasi usiipoteze.,umepata nafasi yakujiendeleza kimasomo.,kwenye maswala yako ya engineer. Chance hiyo kijana.

  • @NunuSuleiman
    @NunuSuleiman Před 11 měsíci

    Ndio inajirudia

  • @ghanimajongo7817
    @ghanimajongo7817 Před 3 měsíci

    Inajirudia

  • @luluhilaly5694
    @luluhilaly5694 Před 3 měsíci

    Ndio IPO hivyo

  • @FIBEKONGA-hd2dg
    @FIBEKONGA-hd2dg Před 3 měsíci

    Sasa tunakusikia

  • @sherry7339
    @sherry7339 Před 3 měsíci

    Hata mimi nakuona

  • @sherry7339
    @sherry7339 Před 3 měsíci

    Ndio sauti inajirudia

  • @fadumayusuf3018
    @fadumayusuf3018 Před 10 měsíci

    Alijifunza kiswahili?

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před 9 měsíci

    Hebu nikuulize kufuatana na mazungumzo yako swali kwangu sababu gani wengi wenu mnataka Uraia pacha ?

  • @user-lj5mq4sp7w
    @user-lj5mq4sp7w Před 9 měsíci

    Unawatoto wangapi na huyo mzungu

  • @user-wm5lg8xg1c
    @user-wm5lg8xg1c Před 2 měsíci

    Akiongea na muangalia wife wake atadhani ana muongelea yeye...akae akiangalia mbele tu

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 11 měsíci +4

    Hapo kwa kuumwa mzungu akiwa Africa asipopata tiba haraka ni hatari sana sana. Wazungu hawawezani na magonjwa yetu Africa, haswa Malaria, UTI na magonjwa ya tumbo. Wanakufa chap.

  • @user-jg1gb9oe8j
    @user-jg1gb9oe8j Před 3 měsíci

    Hakai venye anasema

  • @IANA2030
    @IANA2030 Před 10 měsíci +1

    Uwewe kuna uchawi huku uzunguni bana 😂😂😂do your reaserch witches and wizards are common in westernised country

  • @engpaul5791
    @engpaul5791 Před 5 měsíci +1

    Blacksmith jitahidi kufupisha maongezi ambayo not useful

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 4 měsíci

    Unafanya kazi gani huko Marekani

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 4 měsíci

      Subscribe kwa channel yake utaona safari yake ya kujiunga na jeshi la Marekani @mshanatheblacksmith

  • @zahramohammed2337
    @zahramohammed2337 Před 11 měsíci

    Kama si msambaa sijui😅😅😅😅😅

  • @SawiaNjovu-xx1mf
    @SawiaNjovu-xx1mf Před 2 měsíci

    Sauti imajirudia

  • @joycenshala1310
    @joycenshala1310 Před 9 měsíci

    Sauti inajirudia

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂 nice story

  • @honorenduwamungu9831
    @honorenduwamungu9831 Před 10 měsíci +1

    Kijana nimempenda nawezaje kupata namba yake ya simu? Mimi nipo Canada. Naitwa Komba

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂 WANAUME wa KiTz / kiafrica WENGI NI WANAUME MAPEMBE 😂😂 , KWA ULAYA YANAVUNJIKA MAPEMBE LAZIMA MKAE CHINI NA MUONGEE MSOLVE CONFLICT ZENU ILI FAMILIA IENDE NJE YA HAPO ,KAZI NGUMU

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 Před 9 měsíci

    A/alakum habibt mie nipo mascat napendasana kukusikiliza

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs Před 11 měsíci +1

    Which state are you in?

    • @Mazoea
      @Mazoea Před 9 měsíci

      Dada lyls upo state gani .Asante Mimi nipo maryland

    • @BeatriceJohn-di5oh
      @BeatriceJohn-di5oh Před 3 měsíci

      Haloow ninaomba tuwasiliane ninashida na wewe​@@Mazoea

  • @user-ev8dg6yw4q
    @user-ev8dg6yw4q Před 4 měsíci +1

    Zali la mentali

  • @salhamvungi1744
    @salhamvungi1744 Před 11 měsíci +2

    Mshanaa😢 Kwanini? Wapareee kwenye lugha lakini😂😅

    • @aysherkitoi5507
      @aysherkitoi5507 Před 11 měsíci +1

      C katumia kabila lake kuna ubaya gani

    • @salhamvungi1744
      @salhamvungi1744 Před 11 měsíci +1

      @@aysherkitoi5507 jus joking dear and b’coz na me ni Mpare

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 Před 11 měsíci

    Du..asee