Wallahi kisa hiki nakipenda sana, ni moja katika mitihani mizito mtume alipata kupitia lakini alishinda kwa uwezo wa ALLAH. ALLAH hawezi kushindwa na viumbe vyake wala haiwezi kutokea wakaushinda uislam, mwenyewe ameahidi kuulinda hata kama waislam wote tutakufa basi uislam utabakia kwa uwezo wa ALLAH
MaashaaAllah mwenyezimungu akulipe Sheikh ww unatuzidi mpaka sisi wazima wa kila kiungo ww nikipofu lakini una tupa ddaawaa ya uhakika Jazaakumullahu khairan 🙏
Kisa cha uongo😂😂😂 Hakijawahi tokea hata siku moja. Aya inayosema kimekaribiya kiama na mwezi umepasuka ni habari za siku ya kiama soma mpaka aya za chini.
Twaomba masheikh muwanyamazishe wanawake wakati darsa ikiwa inaendelea Kama huyo mwanamke anayesema swadakta Mara Naam nimakosa sheikh anazunfumza na huyo wanamke pia ana zungumza muwe mukiwanyamazisha tafadhali
Swadakta ya sheik Allah akulipe Kila la kheir in Sha Allah Kwa kazi unayo fanya
Swallu Allah Nabbii Allahumah swali wasalimu Alleiyi
Wallahi kisa hiki nakipenda sana, ni moja katika mitihani mizito mtume alipata kupitia lakini alishinda kwa uwezo wa ALLAH. ALLAH hawezi kushindwa na viumbe vyake wala haiwezi kutokea wakaushinda uislam, mwenyewe ameahidi kuulinda hata kama waislam wote tutakufa basi uislam utabakia kwa uwezo wa ALLAH
MaashaaAllah mwenyezimungu akulipe Sheikh ww unatuzidi mpaka sisi wazima wa kila kiungo ww nikipofu lakini una tupa ddaawaa ya uhakika Jazaakumullahu khairan 🙏
Yaa Rabby tujaalie mwisho mwema.amiina
Masha-ALLAAH Jazaaka lahu haira sheikh
Shukran ya Sheikh Allah akufinyiw wemama kwakila kitu.
Yaallah tujalie nass tuwe wajawema .nautupe mwisho mwema.yaallah.
Mungu akuzidishieee
Mashaaalah tabaarakaallah
MashaAllah
Allah Akbar
شكرا
Mashallah
Mashaaalah sheikh jazakumullahu khayr! Ndugu zangu tutumie vizuri neema alizotupa Allah hasa afya na muda🙏
Mashaaa Allah
Mashaallah tabarakaallah
Allah Akbaru ❤️🔥🔥🌹
Kisa cha uongo😂😂😂
Hakijawahi tokea hata siku moja.
Aya inayosema kimekaribiya kiama na mwezi umepasuka ni habari za siku ya kiama soma mpaka aya za chini.
Twaomba masheikh muwanyamazishe wanawake wakati darsa ikiwa inaendelea Kama huyo mwanamke anayesema swadakta Mara Naam nimakosa sheikh anazunfumza na huyo wanamke pia ana zungumza muwe mukiwanyamazisha tafadhali
Mshalla
@@hamissniyor5636 JazzakumuAllahu khery