BIZMAN - Ametoroshwa Ni Story Ya Kweli Na Ya Kusikitisha | Ilimkuta Kaka Yake - Part 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Leo tulikuwa na mwana InAfrica Band, Mzee Mzima Bizman. Bizman ana story ya kusisimua sana jinsi alivyoingia kwenye muziki. Ametusimulia mambo mengi na kutimbia vibao vyake pendwa. Usikose
    #bizzman #bongoproject #bongofleva #tanzania #inafrica
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org/
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-project-10256641...
    TikTok: / bongoproject
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Komentáře • 19

  • @marafikistation
    @marafikistation Před měsícem +3

    Brother unafanya kitu kikubwa sana sijajua kwanini watu hawa subscribe cz unafanya makubwa alafu watu 3k jamani embu msubscribe onene hata aibu 🎉

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před měsícem +1

      Tunashukuru sana kaka. Sisi wenyewe inatukata sana maini…ila tunaendelea kukomaa

  • @mwalyoyoalexander2758
    @mwalyoyoalexander2758 Před 3 měsíci +7

    Bizman ni mmoja wa producers ninaowakubali sana. Nimtakie mafanikio katika kazi zake

  • @mdl6463
    @mdl6463 Před 3 měsíci +3

    We ulikuwa unaimba ngoja nikupe mda nikusikilize uko vizur sanaaaaa hebu rudi mbona koffi olomide anatoa ludi sauti bado ❤❤❤❤

  • @dottokulwa7017
    @dottokulwa7017 Před 3 měsíci +2

    Napendaaa sanaa huyuu jamaaaa

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 Před 3 měsíci +3

    Hongera sana Bizman, nakukubali sana hasa katika vinanda

  • @mtaalamshekidele4822
    @mtaalamshekidele4822 Před 3 měsíci +2

    Tunakubali legend wetu🎉

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 Před 3 měsíci +2

    Huyu Jamaa ni nomaa kwa kupiga kinenda cha kufatisha chorus

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před 3 měsíci

      Hatari! Utaona kwenye sehemu ya pili kama sio ya tatu akitaja nyimbo ambazo alihusika kwenye vinanda

  • @nassorsuleiman9155
    @nassorsuleiman9155 Před 3 měsíci +2

    Bizz kuna ile chupa uliopiga na k basil na stara ile uliua sana zaid ya sana

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před 3 měsíci +1

    Hii interview mwandishi haukuitendea haki sijalidhika na mambo uliyomuhoji Kuna mengi ya kujifunza kwa bizman

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před 3 měsíci +1

      Episode zipo 3. Jaribu kuangalia zote. Tumeshapost episode 2

  • @osca_kitomari_journalist
    @osca_kitomari_journalist Před 2 měsíci +2

    Where is MISHI✍️

  • @ombenijady8409
    @ombenijady8409 Před 3 měsíci +2

    Mademu wa kibongo sifa ziende kwao. Hajazungumzia

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 Před 3 měsíci +3

    Biz mzee wa Vinanda Majani mwenyewe alimkubali Kizazi cha sasa kinafaa kipigiwe kinanda na huyu jembe halafu mtangazaji umepoa sana Biz mchangamfu but umepoa

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Před 3 měsíci +3

    Watoto wa 2000 hawamjui huyu😂😂

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 Před 3 měsíci +2

    Huzeeki baba😂unakula nini mzee