Game-Changing Speech: William Ruto Announces Key Adjustments After Protests

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • In this transformative speech, President William Ruto announced radical changes to address the demands of the youth and reorganize his government following recent Gen Z Youth country protest.
    Key highlights include the elimination of 47 State corporations, scrapping the budgetary allocations for the First Lady and Deputy President’s wife, and reducing the number of government advisors by 50%. Ruto also suspended non-essential government travel and the purchase of new vehicles for a year, except for security agencies. Additionally, he banned public officers from participating in harambees and appointed a taskforce for a comprehensive forensic audit of public debt.
    Discover how these bold austerity measures aim to improve efficiency, transparency, and ensure the welfare of Kenyan citizens.
    Rais William Ruto speaks akizungumza na waandishi wa habari katika ikulu ya Nairobi. Julai 5, 2024.
    Rais William Ruto speaks akizungumza na waandishi wa habari katika ikulu ya Nairobi. Julai 5, 2024.
    Rais wa Kenya William Ruto, alisema Ijumaa kwamba hivi karibuni atafanya mabadiliko katika serikali yake, kufuatia wiki kadhaa za maandamano yaliyoanza kama ghadhabu za mitandaoni, kupinga ongezeko la kodi,na ambayo yaligeuka na kuwa ghasia, na hata kupelekea shambulizi kwa bunge la kitaifa.
    Ruto amesema serikali yake itapunguza matumizi kwa shilingi bilioni 177 katika mwaka huu wa fedha, huku fedha za ziada zinazohitajika, zikitoka kwa mikopo.
    Haya yanajiri huku taarifa zikiibuka kwamba rais huyo alizungumza kwa njia ya simu na mkuu wa shirika la fedha Duniani, IMF, Kristalina Georgieva siku chache baada ya kukataa kutia Saini mswada wa fedha wa nchi hiyo, wa mwaka wa 2024, uliopendekeza hatua za kuongeza kodi, lakini ambao uliibua maandamano yaliyopeleka vifo, vyanzo viwili vya kidiplomasia vililiambia shirika la Habari la Reuters.
    Mswada huo ulikuwa na umuhimu katika makubaliano ya mageuzi ya kisera, yaliyofikiwa kati ya Kenya na IMF, kama sehemu ya mpango wa kutoa mkopo wa dola bilioni 3.6 kwa taifa hilo.
    Wachambuzi wanasema kutupiliwa mbali kwa mswada huo, huenda kukaathiri programu muhimu za maendeleo, hata ingawa serikali ya Kenya haihitaji fedha kwa dharura, kutoka kwa IMF, kwa sababu ilifanikiwa kulipa mkopo wa dola bilioni mbili, baada ya kuchukua mkopo mwingine wenye riba nafuu na ambao ungelipwa ndani ya kipindi cha miaka saba.
    IMF imeshutumiwa na vijana wengi walioshiriki maandamano, wakiliona shirika hilo kama lililoshinikiza serikali ya Kenya kuongeza kodi.
    **#WilliamRuto #RutoSpeech #GovernmentReforms #GenProtests #biden #donaldtrump #AusterityMeasures #KenyaLeadership #PublicDebtAudit # #EfficiencyInGovernment #TransparencyInGovernance

Komentáře • 3

  • @samnjoroge5426
    @samnjoroge5426 Před 7 dny

    You are the eorst president Kenya has ever have your ego will just bring you down. It takes two weeks to send your condolences to the families what kind of a person are you. You don't deserve that office.

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga Před 6 dny

    😂😂😂we told him from the beginning that things on the ground are not ok did he bother to listen
    no
    now see
    Hii Kiburi mingi itakumaliza nani
    Kama this time around utaponyoka
    All the best kabiliana na hali yako
    Peke yako
    It wasn't me
    🤣🤣🤣🤣🤣
    Peoples ✊✊✊✊💪 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🤣🤣😂😂😂
    Atolewe nduki
    🤣🤣🤣🤣💪