MAKANISA NA MAASKOFU BY MAZINGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 131

  • @yunisboshe7227
    @yunisboshe7227 Před 3 lety +8

    Sheikh suleiman mazinge masha Allah...very composed islamic preacher infact....i started following his preachings back 2012 when he use to preach about devil whorshipers and football clubs that is owned by devil whorshipers...We pray to Allah as fellow muslims to give u more strength to spread kallimatul Laaa ilaaha ilaa Allah because we all understand its not easy to accomplish Daawah like the way our sheikhs are struggling...

  • @qhatramohamed7006
    @qhatramohamed7006 Před 3 lety +5

    Mashaa-Allah wahadhiri wetu sheikh yahya na ustadh mazinge ALLAH awajalie muzidi kuinez haki.Na azidi kuwapa nguvu na afya,Awajalie janatul firdaus na familia zenu

  • @jijim5536
    @jijim5536 Před 3 lety +2

    Acheni zenu waislam mnapenda Sana kufuatilia wakristo ,din yenu yenyewe inafuga mapepo kwendenu zenu bhana

    • @fundibombazanzbar5717
      @fundibombazanzbar5717 Před 3 lety

      twawafatlia kwakua waongooo
      muongo atumuachii

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 Před rokem

      Sisi waislamu tuna mapepo na Yale mnayoyatoa kanisani ni Ninii? Hamjielewi endeleeni kufunga Mpk mfe😂🤸

    • @omarymikombe2762
      @omarymikombe2762 Před 6 měsíci

      Mbona Jaziba?😂😂😂😂

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Před měsícem

      Wewe dogo soma Biblia UKISOMA utaona namna kitabu chako kinavyofundisha uchawi. UKISOMA katika kitabu cha Hesabu 5:11 utaona namna inavyofunfisha uchawi wa kuvimbisha tumbo.

    • @shabanirajabu1481
      @shabanirajabu1481 Před 3 dny

      umeandika kwa hasira nasio kwa kupenda kujifunza ulitakiwa uwe na ushahidi wa maneno hayo kama shekhe anavyo ongea kwa ushahid na upendo

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 Před 3 lety +8

    Nikweli kabisa Alhamdulillah Jazak Allah khayran

  • @jamilayusufu2119
    @jamilayusufu2119 Před 3 lety +2

    jama waslamu kuwasaidia masheik wetu na kiuchumi gari inataka mafuta wanataka mahali ya kulala na chakula tusimame na mashekh wetu

  • @iddizuber333
    @iddizuber333 Před 3 lety +3

    Masha Allah, tunawapenda Sana mashekh wetu , natamani nami niwe na elimu kama yako ili nisomeshe waislam wenzangu japo wanawake wenzangu

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 Před 3 lety +5

    Mashaallah tuko pamja sheikh mazinge

  • @islamicnewschannel2551
    @islamicnewschannel2551 Před 3 lety +1

    Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.

  • @ismailhussein8414
    @ismailhussein8414 Před rokem

    Mashallah,our masjid congo

  • @edge6016
    @edge6016 Před rokem

    Asalam Aleykum Mazinge na kupenda sana kwajili ya Allah daawah unayoifanya Allah Akupe afya na umri mrefu na Akupe Janah na Akuzidishie elmu Amin

  • @malicboy7973
    @malicboy7973 Před 3 lety +7

    Allah awahifadhi ma sheikh wetu.

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 3 lety +3

    Shukraan Sana masheikh wetu Allah awahifadhi jazaka Allahu kher

  • @hkmfurazuberiismael7952

    Uripo popote Allah amufanyie wepesi akukinge nashali zakidunia na akupe mwisho mwema

  • @muslihmohd9420
    @muslihmohd9420 Před 3 lety +1

    Ah hawa wakristo wanajichanganya tu,tafaruki walizonazo kwa makanisa yao ni kubwa maana mkatholik haingii kwa wasabato ila ukiwauliza yesu alianzisha kanisa gani watakuchekea tu hawan jibu lolote.
    Mashallah sheikh wangu wafundishe ili waongike inshallah.

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 Před 3 lety +4

    Sheikh allah akubaariki kwakila lakheri Allahumma Amiin

  • @athumansaumu1680
    @athumansaumu1680 Před 3 lety +5

    Maashallah jazaka ALLAH kheri

  • @theoriginaldhol3032
    @theoriginaldhol3032 Před 3 lety +2

    Mansha Allah I love you for the sake of Allah May Allah give you janatul fardows amiin

  • @shaffitsuma1250
    @shaffitsuma1250 Před 3 lety +3

    Allah awazidishie ilmu, afya, na awahifadhi masheik wetu. Kazi nzuri kutuelimisha

  • @mudydady9899
    @mudydady9899 Před 3 lety +3

    Mashallah Mungu akulipe kheri ostdh nafarijik sanaa unavotupa elimu

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 Před 3 lety +4

    Allah akufnyie wepesi kwa juhudi zko sheikh

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 Před 3 lety +4

    Hahahahaaa 🤣🤣😂 Masheikh wangu nimecheka adi chai imenichoma duh..Maa Shaa Allah leteni live pictures kuongea na hao walimu wa vipofu na viwete adi kieleweke

  • @mwanamwinyibmwakinalo4094

    Mashallah, Allah awape umri masheikh wetu nawapenda sana
    😀😀😀😀 hapo mumenichekesha kweli

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 Před 3 lety +4

    MashaAllah
    Shukran Jazakallahu kheir Bruder

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 Před 3 lety +9

    mashaAllah

  • @yvesmontana9043
    @yvesmontana9043 Před 2 lety

    U Islam ni dini ya haki mimi nazaliwa kwenye familia yaki christo ila uislam ni dini ya haki

  • @shaffitsuma1250
    @shaffitsuma1250 Před 3 lety +6

    MashaAllah

  • @yusufgagamuhammad2674
    @yusufgagamuhammad2674 Před 11 měsíci

    Shekh tembelea ndugu yetu ndacha ukampe ilimu😢😢 ana udhi sana akimtukana mtume s a w

  • @nasibndaro6281
    @nasibndaro6281 Před 3 lety +6

    ماشاءاللہ جزاك اللهُ‎

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 3 lety

    Mashaallah shekhe Allah amekujalia elim Allah akuhufadhi na akuongoze wewe na kizazi chako

  • @felixjemogong9124
    @felixjemogong9124 Před 2 lety +1

    Africa Israel nineve Jebrock my home area

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Před 3 lety +5

    Mashallah

  • @martinchansamwinyi2508
    @martinchansamwinyi2508 Před 2 lety +1

    Alhamdulillahi for being a Muslim ♥️

  • @halimamohamed2765
    @halimamohamed2765 Před 3 lety

    Mansha ALLAH nafurah kukuona tena shekhe..

  • @alllyrics4835
    @alllyrics4835 Před 3 lety +1

    JazzakaAllah kheir ma Shekh wetu

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Před 3 lety

    I lik this Ustaz
    Allah amongeze Dunia na Akher

  • @iddyally7228
    @iddyally7228 Před 3 lety

    Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 Před 3 lety +1

    Mashaallah wisilam ustadh mungu awape kheri 🙏

  • @abubakariramadhani1372

    Hongera sana shekh mazinge

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před měsícem

    Kama wanaweza kuwaponya wagonjwa kwa jina la Yesu kwa nini wasiisaidie serikali ambayo inatumia mamilioni ya fedha kuwatibu wagonjwa. Wangonjwa wengine wanapekekwa nje ya nchi kwa gharama kubwa. Kwa nini wasiwaombee wagonjwa wote watoke Hospitali ili pesa hiyo itumike katika kazi nyingine.
    Huu ni ujanja ili kuchuma pesa za watu masikini.

  • @shabanialialmeidaassumani8882

    Alhamduli Allah sheikh mazingi

  • @mwanashazingas6684
    @mwanashazingas6684 Před 3 lety

    Congo diani

  • @ibrahimmchucha3034
    @ibrahimmchucha3034 Před 3 lety

    Allah awalinde Masheikh wetu 🤲

  • @abdiaziznoor142
    @abdiaziznoor142 Před 3 lety

    Sheikh Suleiman mashaallah

  • @naheelamohamed9970
    @naheelamohamed9970 Před 3 lety

    Mashallah bro

  • @mohamedissack8053
    @mohamedissack8053 Před 3 lety +7

    Masha Allah mungu awatunze

  • @RumeleShabani
    @RumeleShabani Před 9 dny

    Alha akulipe shekh

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b Před 5 měsíci

    Waislam NI mbwa Koko yenu yanawashinda mmekazana na ya wenzenu 😂😂😂

  • @abdihakim_iddle5446
    @abdihakim_iddle5446 Před 3 lety

    MashaAllah sheikhe....Maranatha church pia iko sehemu za waitethie past juja na pia nimeiona ukiingia pale thika town

  • @aggreykangethe9337
    @aggreykangethe9337 Před rokem

    Faith without action is dead

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 Před 3 lety +2

    🤣🤣🤣 muwacane kabisa hajaambiwa MUTUME yoyote tarehe ya dunia awo majambazi njo wapatie subutu kazi nzuri la sheikh zetu Allah atupe furaha ya duniani na akheira atukinge na azabu za uko ...

  • @ibinhussein8561
    @ibinhussein8561 Před 2 lety +1

    Jazakallah khair

  • @njyenawe4
    @njyenawe4 Před 3 měsíci

    Barakallah Feekum ❤❤❤

  • @user-mh1es7ur1o
    @user-mh1es7ur1o Před rokem

    Safii sana

  • @idrisamey3030
    @idrisamey3030 Před 3 lety

    Assalamu aleykum. May Allah SWT reward all the ulamaa. What happened to shk Shaban , Salim Deda, ex pastor I have missed them do they have another youtube channel

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 Před 2 lety

    Na uchambuwe na ya waislamu nawa islam wapo katika frimason

  • @ShedrackMathius-mw4wx

    Mashalllah

  • @mohammadsaid6100
    @mohammadsaid6100 Před 2 lety

    Mashaa allah

  • @kisesawapiliTv
    @kisesawapiliTv Před 3 lety

    Mpka hapo ulipo unatumia calenda ya papa,misikiti yote inaxajiliwa na serikali na pia serikali iko chin ya papa masaa unayofata ni ya papa,paspot unayotumia ni mfumo wa kipapa so sijui wakwepa wapi

  • @jamilayusufu2119
    @jamilayusufu2119 Před 3 lety +1

    mimi ninaamini MUNGU tu ndio anaponesha....hawo ni binadamu tu
    tena ni matapeli tu

  • @husha6372
    @husha6372 Před 3 lety +3

    Quran 9:82

  • @peterokula8404
    @peterokula8404 Před rokem

    Which church was begun by God or JESUS or David now?

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Před 3 lety +2

    Shukurani Kwa Elimu

  • @MOHATVKENYA
    @MOHATVKENYA Před 3 lety

    #mohatvkenya Mashaallah napenda daawa yenu

  • @josephabwao4225
    @josephabwao4225 Před 3 lety +1

    We respect and appreciate your work but stop being abusive and diminishing other religions......

  • @user-kt6py2og4y
    @user-kt6py2og4y Před 6 měsíci

    Tembelea mazinge ww msema ukweli

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 3 lety +1

    Kweli kabisa

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 Před 3 lety

    Asante kutuelimishen aukiangalia nikweli

  • @manpeter3193
    @manpeter3193 Před 3 lety

    Allahu akbar

  • @husseinbenson7965
    @husseinbenson7965 Před 3 lety

    UKIRISTO UNAWAUMIZA SANA VICHWA UNAFANYA MSHINDWE KULALA NA MBAYA ZAIDI UNAZIDI KUKUA ZAIDI KILA KONA .

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 Před 3 lety

      labda ukristo unakuwa kwenye familia yenu😜‼‼

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 Před 2 lety

    Ustadh suleiman mazinge mbona simuoni siku hizi yupo wapi

  • @karoreroramadhan3353
    @karoreroramadhan3353 Před 3 lety

    Manshallah from Burundi tunakusikia

  • @saidikituwile3924
    @saidikituwile3924 Před 3 lety +1

    Waongo Sana ao wachungaji

  • @jamilayusufu2119
    @jamilayusufu2119 Před 3 lety

    Asc bror mimi ni likuwa ninawagaliyanga Wewe na Ismail na
    mada ya freemason. Amepoteleya wapi Ismail ?????

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 Před 3 lety +1

    Uko good

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před 3 lety

    Haha nimecheka

  • @mwaitaali6816
    @mwaitaali6816 Před 3 lety +2

    Assalam alaikum

  • @mamuskamery45
    @mamuskamery45 Před 3 lety

    Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatu

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 3 lety

    Sheikh swali langu ni kuhusu uislam mbona pia una madhebu kadha islailia sunni Shea na kadhalika ni vp?

    • @fundibombazanzbar5717
      @fundibombazanzbar5717 Před 3 lety

      Ila wanamuabudu mungu mmoja na mtume wamungu awatofautian kwa kwakufata mtumemwengne wala mungu mwengine ila awa wakristo ndo ibadazao azina mashiko

  • @user-ky2ec2nr1l
    @user-ky2ec2nr1l Před rokem

  • @user-em7gw6bh5x
    @user-em7gw6bh5x Před 8 měsíci

    Makanisa ya freemasan

  • @artisthusnatalal3099
    @artisthusnatalal3099 Před 3 lety +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @HARUN_MOHA
    @HARUN_MOHA Před 3 lety

    Mulienda wapi

  • @jangombeboys4536
    @jangombeboys4536 Před 3 lety +2

    MAZINGE

  • @saidjames190
    @saidjames190 Před 2 lety

    🙏

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 3 lety

    Tutumien tujifunze

  • @RebeccaKalonda
    @RebeccaKalonda Před 5 měsíci

    Shukran

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Před 2 lety

    Hujui unachokiongea. Kanisa ni moja tu.Roman Catholic.Ni kanisa ambalo lilianzishwa Yesu mwenyewe kupitia Mtume Petro. Soma Biblia.Mt.16.18. Roman Catholic ulianzishwa mwaka 30 baada ya Yesu kuondoka.Nje ya Kanisa katoliki ni Madhehebu.ni matawi yaliejimega kutoka kanisa. Ndani ya miaka 1000 baada ya Yesu hakukiwa na dhehebu lolote.kulikiwa na Kanisa moja tu,yaani Ukatoliki.Kwa maelezo ya Yesu Ukatoliki hauwezi kushindwa na chochote.Mt 16:18.ukatoliki umefanya mengi sana katika Dunia ikiwemo Tanzania.
    * Ni ukosefu wa kuelewa,sio Kila penye jengo na Msalaba kuwa ni kanisa.Hayo ni madhehebu na Kanisa ni moja.ni madhehebu ya Wakristo.
    Katika yote ukrisu hauwezi kushindwa Kwa maana una umri mrefu na mengi yanayoendelea kufuatwa au kutumika yameasisiwa na Ukrisotu

  • @saidjames190
    @saidjames190 Před 2 lety

    M

  • @nelsonzebedayo8281
    @nelsonzebedayo8281 Před 3 lety

    Pole Sana mazinge kwa kuwadanganya watu.lakini nataka nikwambie kwamba Kwa Mohammed huwezi kupata uzima wa milele bali kwa yesu kristo2 ndo unaweza kupata uzima wa milele. Lakini kuna kitu nataka nikusaidie kwasababu hujui maana ya kanisa. Kanisa sio jengo, kanisa nikikundi cha watu waliomwamini Kristo yesu wanao kaa kukumbushana au kufndishana maneno ya mungu. lakini pia ww mazinge kwasababu hujui mambo ya unabii huwezi kuzungumzia mambo yanayo jitokeza sasahvi katika makanisa .Hizi nisiku za mwisho,kwa watu hawa wanao jiinua nakufanya uganga wao mbele ya watu wengine wanaanzisha huduma ambazo ziko kinyume na alivo agiza yesu kristo, Hakika hao nimawakala wa shetani wakuja kulivuruga kanisa. Lakini mambo hyo hayana budi kutukia kwasababu yaritabiriwa na yesu kristo Mathayo7:15 na Mathayo24:3....5.lakini pia mazinge nataka nikusaidie dini wala zehebu haliwezi kukufikisha mbinguni wala mtume wako Mohammed ila mmoja tu yesu kristo mwenye kuja kuhukum ulimwengu Yahana14:4....6.Imani ya yesu Kristo ndo inaweza kukufanya uende mbinguni. Namba yang ni0767182765 tujadriane.

    • @idrisaabdillahibpxkijykbs4162
      @idrisaabdillahibpxkijykbs4162 Před 3 lety

      kwaiyo mie nkimuamini tu Yesu kristo hata nikitenda dhambi nitaenda minguni?

    • @ahmednoor9546
      @ahmednoor9546 Před 3 lety

      Wachahzo porojo ww nkpofu na hujui pakueleke.eti ndaniya yesu kunauzima wamilele umeingia ndaniya yesu ukaoana hiyauzima?

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 Před 3 lety +2

      Ukristo ni shiddah eti kafiri nae anatafuta uzima wa milele ndani ya ukristo!!!...
      يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ ۖ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ
      [ AL - ANFAAL - 24 ]
      Enyi mlio amini! Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la kukupeni uzima wa milele.
      umeona wewe mgalatia uo ndio uzima wa milele kumuitikia mwenyezi Mungu na Mtume wake!!!
      na kumuitikia kwenyewe ni huku
      قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ تَعَالَوْا إِلَىٰ كَلِمَةٍ سَوَاءٍ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ أَلَّا نَعْبُدَ إِلَّا اللَّهَ وَلَا نُشْرِكَ بِهِ شَيْئًا وَلَا يَتَّخِذَ بَعْضُنَا بَعْضًا أَرْبَابًا مِّن دُونِ اللَّهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَقُولُوا اشْهَدُوا بِأَنَّا مُسْلِمُونَ
      [ AL I'MRAN - 64 ]
      Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa mola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.
      sasa wewe ukiwa una muabudu kiumbe badala ya Mwenyez Mungu wewe unakuwa kafir wala hutoupata uzima wa milele ,,,kwasababu
      Yeremia 17:5
      BWANA asema hivi,
      Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu,
      Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake
      Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
      kwa iyo wewe na wagalatia wenzako mmelaaniwa kwa kumtegemea....
      1 Timotheo 2:5
      ..., Mwanadamu Kristo Yesu;
      sasa kaa peke yako changamsha bichwa lako kwa kujiuuliza kuwa
      "ivi mtu mwenye laana atapata uzima wa milele!!!???"

    • @mariamabdallah115
      @mariamabdallah115 Před 3 lety +1

      Wajidanganya sana wewe niheri uje kwa uisilamu usalimike ndugu kabla hujaishia motoni

    • @mariamabdallah115
      @mariamabdallah115 Před 3 lety +1

      Hajielewi huyu porojo tupu anaongea

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Před 3 lety +4

    MashaAllah

  • @Binahmed1234
    @Binahmed1234 Před 3 lety +6

    Mashallah

  • @patrickgudaga3461
    @patrickgudaga3461 Před rokem

    😂😂

  • @ishaqdaawahkenya1213
    @ishaqdaawahkenya1213 Před 3 lety +5

    Mashallah

  • @boontujimmaa9462
    @boontujimmaa9462 Před 3 lety

    Mashallah