Video není dostupné.
Omlouváme se.
Emmanuel Mgogo.. HUJAWAHI KUSHINDWA... (Official Video).SKIZA CODE 6382651.
Vložit
- čas přidán 13. 04. 2020
- Dunia ijapotikisika, Akili na Nguvu za wanadamu zinaposhindwa, TUMAINI PEKEE ni kwa MUNGU JEHOVA ambaye HAJAWAI KUSHINDWA. Karibu uweze kubarikiwa na WIMBO huu wa KINABII, ninaamini utakuvusha na kukupa USHINDI.
New Song..........
Artist: *Emmanuel Mgogo
Song: *HUJAWAHI KUSHINDWA
Albam: *USO WANGU
Kwa Mawasiliano
+255 769 50 55 37
Email: emanuelmgogo150@gmail.com
Ubarkiwe saan Kaka anguu nyimbo zako zinanifariji saan Mungu akutangulie kw yotee
jaman nam naomba like cjawa fikixha ata mbil.. hujawahi kuxhdwa
Kaka Emma Hakika Unakipaji Kikubwa sanaa, Mungu Akubariki Kaka, maana nymbo zako znanfanya niwe na Amani Popote niendako.
Hakika Mungu wetu hajawahi kushindwa Amen Amen
czcams.com/video/FBJ6hdUqL-0/video.html
Hakika hajawah kushindwa hat kam napat shda moyon mwang najua wew utaniponyaa kwasabab naamin hujawahii shindwaa
💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏kweli mungu hajawahi kushindwa mungu
Amina mtumishi hatamaadui wajiinue Mungu hatakuacha hawai kushindwa mlitaka abaki mbeya injili nahubiliwe duniani kote kaka piga kazi
Hajawahi kushindwa na hata shindwa kamwe 🤛🤛🤛🤛🤛🎙️🎙️
Atuzwe Yesu ...Wanaoshindwa ni wanadamu siyo Mungu
Ubarikiwe na wimbo huu hujawayi kushindwa Mungu wetu ubarikiwe sana niko pamoja naweye kijana Mimi ni Rev. Byamungu Mija nikiwe Marekani
Amen Mgogo unaubariki sana moyo wangu. Katikati ya watesi unanipa raha na unaniwekea Goshen oooooohhhhhhhh haleluya
Malaika wapo kila kona
Barikiwa Mtumishi wa Mungu Ameeeen
🙏♥️💪🙏hujawahi kushindwa Bwana,♥️♥️♥️♥️♥️
Nice mtumishi wa Mungu .unanibariki Sana
Nakukubari Sana kaka mungu azidi kukupa neema
Mtumish uvaaji huo cyo usipotelee mwisho mtumish
Ubarikiwe.sana.kwawimbo.huu
Ubarkiwe sana sana mtumishi wa Mungu
Kweli Mungu hajawahi kushindwa hata kwangu pia.
Ubarikiwe Sana mtumishi Wa Bwana
Nikazi ya Mungu mbonamnapendaga sana kumuingilia mungu katika kazizake kaka wewe endelea kumuinuwa mungu mambo ya dunia hutoyaweza nimuda tuu noutapita watakubali uchokitangaza yesu waliponya watu alifufua wafu lakini badowalimthihaki kwaiyo hayoniyakawaida chini ya juwa
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu
Umepotelea mwishoni Mungu akusaidie
Mungu asifiwe sana , studio ni yawapi Nami nigie pale
Na kuku Bali Sana nyimbo zinasisimua moyo
Kaka mungu azidi kuku inua katka kazi yako ya umishi
Kaka mungu azidi kukuinua katika huduma yako unanibariki San songa mbele
Nabarikiwa San na nyimbo zako mtumishi mungu akukuze Zaid kiviwango
Mungu mwema nyimbo zako kaka zabariki sana💪💪💪🙏
Ubarikiwe kaka Emmanuel kwa kazi njema🙏huu wimbo nimeupenda sanaa wimbo unanibariki 🔥🔥🔥🔥
Nabarikiwa sana na nyimbo zako . Mungu akupe neema katika utumishi wako
Kyala akusaje fijo mwee
Kaka mungu hawe pamoja na ww
Amina nabarikiwa
Ni mungu mwema.
Safi
Mungu akibariki
Hujawahi mungu
I love this song with all my heart
nyimbo zako zimemfanya mdogo wangu awe mtumishi wa Mungu katika huduma ya Ualimu ,,,ubarikiwe sana mtumish wa Mungu kwa nyingi zako zenye upako
Kaka ima jmn hao dancer hapana Bora uwe unakuwa pek ako hapana kaka
Niko tayari kwa Muchango kwa kutowa zngine nyimbo naomba namba zako Mutumishi wa Mungu
Asante Kwa utayari wa kunitia moyo, namba yangu ni +255769505537( nitafute inbox Wasap).
Amna
Hujawah
Nice song
Ni jambo lipi la kukushinda MUNGU wangu,,hujawai na hutawai kushindwa BWANA,Naona raha kua nawe YESU🇰🇪🇰🇪
Hakika Mungu hatatuacha
Amina,Mungu ni mwaminifu
czcams.com/video/FBJ6hdUqL-0/video.html
Thanks Brother god bewith yo
U foRever
Dah! Kweli izi ni siku za mwisho kwa hali hii Yesu yuko malangoni
Nyimbo zako zina upako,ila shida uvaaji wa mavazi na dancing style
Unataka Avae magunia , Acha mambo ya kale
Mafuta ya Roho mtakatifu yanatosha sana kwenye huduma yako kaka Emanuel usiongezee madoido mengine yanaharibu kabisa
dah! Emmanuel mgogo mm ni mshabiki mkubwa sana wa nyimbo zako,kumbuka wimbo wako wa iko wapi njia ukiwa Sayuni band na usipotelee mwisho,nakuomba rudi katika mizizi yako Mungu alikuinua kupitia njia ile ile.hii njia sio kikundi chako kimekuwa kama singeli hapana back to your routs.
Nakuelewa ,Pia Nikupe Hongera Ya Kua Na Mabadiliko sawasawa Na Soko ,Jumbe Zako zinanijengaga Sana
Usipotelee Mwishoni mwa safari" Mbna ulianza vyema alafu unataka kumalza vibaya N maneno ya Wimbo wako" Sihukumu ila ninaandika ninachokiona" Kumbukumbu la Torati 22:5 Mwanamke usivae Mavazi yampasayo Mwanamme; Wala mwanamme asivae mavazi yampasayo Mwanamke kwa maana kila afanyaye mambo hayo n Machukizo kwa Mungu"Mbna waimbaji wako wa kike wameevaa suruali? 😢😢 km nmekosea naomba msamaha
Dickson kweli kaka hujakosea kabisa mi mwenyewe aona mwisho mbaya wa mgogo
Hata mimi nakusapoti
We kwenda uko...acha mushene..ujiangalia kwanza
Dickson kakinda...wewe imba hiyo yako nzuri tuone..najua hujui hata kuimba ndo maana unaongea mbaya hivyo
@@victoreddieofficial2605 kaka N ivi Ema yeye anajua Kuimba" Mim cjasema hajui wala cjamtusi bali nmeongea ninachokiona" Mim nkiwa msitari wa mbele kupendezwa na nyimbo za mgogo ila tangia Aanza kutumia hawa wadada waliovaa surual sibalikiwi na nyimbo zake" Kwann niwe muongo? Kuna tofauti kati ya wachezaji wa diamond na wachezaji wa Mgogo
hujawahi kushindwa Munguu aweee so powerful
Wimbo mzuri hakika hajawahi kushindwa na lolote.
Binafsi nabarikiwa Sana na wimbo huu mtumishi! Mungu ainue zaidi kazi yako
UNAJUA HUYU MTUMISHI ANAJUA KWAMBA ANACHOKIFANYA SIO KIZUR KWA MUNGU ILA ANALAZIMISHA KIWE KIZURI LAKINI UKWELI UNABAKI PALEPALE KAMA ANAVYOJUA YEYEE MWIMBAJI .
Kweli kabisa
Mungu akanambia Mwanangu imma usipotelee mwishoni. Wimbo naupenda sana.
Tafadhali kaka uwe unasoma comment zetu. Turudi nyuma pia naupenda wimbo wako iko wapi ile njia (bwana anasema simameni).
Wafalme wengi wa kale walianza vema lakini mwisho wao ulikuwa mbaya
Amefanya nn kwan jamn
Amen
Kaka uko vzr Ila nakushauri uvaaji wa watu wako mmmm!!!! Mungu akufunulie kwa hilo
Kweli kuna wakati hawa madensa wanaharibu kabisa uzuri wa wimbo mhhh
Kweli hao wachezaji utadhani wale wa diamond zingatia uvaaji wao pamoja na wa mrs
Amen... Nampenda huyu baba... Mungu wangu wa mbinguni akuweke milele
Aki watu wamuache mtumishi amwimbie mungu jamani, kuja kenya twakuitaji...Rose Muhando tushamchukua, infact I need to do a collabo with you papa..jifunzeni kuwaombea watumishi wa mungu than judging that's not good at all...mtumishi niko nyuma yako msikilize mungu waache wanadamu
Number one viewer God bless you Hujawahi kushindwa Mungu
Hallelujah Bwana hajawahi kushindwa nalolete amen 🙏
nice
Acha kabisa penda sana Mungu wangu maana hujawahi shindwa
Uyu kwasasa anatumiwa na shetani ule wimbo wake wa usipotelew mwisho maana yake ndio hii kashapotelea mwisho hana jipya kasha mezwa mzima mzima mchana kweupe anachoimba na matendo haviendani
Sina uhakika Kama unamjua Mungu vizuri ukipewa kuona jua ipo kazi ya kufanya usikimbie jukumu la Mungu wako Petro alimkana Yesu mara3
Barikiwa sana nyimbo zako hunibariki sana
Good
Hakika hajawahi kushindwa Yesu wetu... barikiwa sana LEGEND... Kila kitu kinawezekana kwake😍😍
Mungu awabariki sana watumishi wa mungu. Ila naonaka kama sauti yako Emanuel mgogo upako wake zaidi sana ni kwenye nyimbo za slowly 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana kaka ila Badili staili ya kucheza unapotea
staili hizo haziendani na wewe labda kama umekuwa kama akina Goodluck sawa endelea
Amina Mungu haijawai kushindwa
Ameeen! Beblessing pastor mungu azidikukupa mafunuo
2021 im still watching ❤️❤️
HIV unajiona hat unachokifany .muombe Mungu usiwe was kuwahubiria wengne we ukaishia njian
Laiti wakristo wa Tanzania wangekuwa nje na Tanzania wengi wange ama dini sababu maono yao yapo kwenye vazi la mtu maana hawajui sifa ya fanani ni kulenga mambo gani....sio kuwa mwimbaji wa nyimbo za injiri lazima avae mavazi makubwa ndio anaonekana mtumishi halisi.....angekuwa mchungaji mngemshangaa kuvaa nguo za kubana....lakn nguvu ya mungu haipo kwenye mavazi....mtumish anaweza akawa na nguvu ya mungu kwa vile anavyo uweka moyo wake kwenye utayari wa kumkaribisha rohoo mtakatifu unaambiwa ufanye mwili wako kuwa na roho mtakatifu mungu hautumie mda wote sio vazi lako....Bali tusivae mavazi ya kutuvunjia heshima ukiangalia mtumishi mgogo ajavaa nguo ya kumnvunjia eshima n vaz la kawaida.....lakini pia uyu ni mtumishi ambaye anatumia kalama yake kuubili habari za mungu kwa namna nyingine anafikisha habari kwa hadhira kuwa kumbe yawezekana kumtumikia mungu ukiwa kwenye mwonekano frani....... Na hisitoshe mungu uzidi kumketisha juu mgogo kwa nyimbo zake zote mungu anamwinua sababu si kwa mawazo yenu kuwa mavazi na uchezaji wake ni tofauti na mwanzo....mungu wake yu ndan ya moyo wake kufunga na kuomba si mavazi
NA LEO SEMENI TENA, MAANA HAMKOSEKANI WALE WAZEE WA KUJIKUTA WAKO ROHONI. KULA CHUMA ICHO WEWEEEEEEEEEEEEEE OYOOOOOOOOOOO
Nyimbo zako zna ujumbe na nazipenda kweli lakn kwa uchezaj huo huna tofàut na wasanii wa bongo fleva
Hivi hawa wachezaji waduniani mukiwatumia ndowatu wanaangaliasana au nimaderila wanawadanganya wewe mutumishi nimukubwa tunakuangalia kamakioo mbonautufanya tuchukie hudumayako badirika kaka nakupenda
Hakika Mungu hajawai kushindwa na jambo lolote. Haleluya
unaupako wa uzoefu lakin unapotea kisiasa
Ubarikiwe. Wimbo mzuri. Hakika Mungu wetu Hashindwi kamwe.
JEHOVA AKUINUE MNOOO. UMENIBARIKI SANA NA WIMBOOO ONGEZWA MARA DUFU.
Amina. Asante Dada Irene
Oho! Sijui kwann MTU anaanza vzr ,akiinuka tu yanainuka na mengine dah!
Emmanuel Mgogo ashakuwa mwimbaji mhuni, hana lolote tofauti na kumuwakilisha shetani
Moja wa watumish nlikua nikiwafuatilia na kuwapenda sana ni wewe lakin kwa Sasa daaaah sitak Amin nikionacho kwako
Natamani sayuni band yako na wale wadada mliinjilisha Ila Sasa unaburudisha
Hamnakitu hapo aende bongo flve tu. gospel ameshindwa anepotelea mwisho. hapo ni. 000000000000
Wew days hujui mziki wew umejawa na wivu
Mmekaa tuuu kukosoa waimbaj ukitaka imba nawew wivu tuu umekujaaa
God send you to bless others, I'm not good at Swahili l know some words but this man is send by God himself to bless our Continent. Zimbabwe confirm 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼 perfect masterpiece
Ubarikiwe Sana mtumishi kwa nyimbo zako unaponya wengi haaaa kweli Mungu hajawai kushindwaa
wimbo mzuri nimebarikiwa sana
Nahata Kama kwako nimekwama basi nimekwama pazur wuuuuuuuuh! Kunakarahaa flani ivi napt naposikiliza hii nyimbo.Asant kwaYesu anaekuwezesha kutupa vitu vitam
Nyimbo zako zinanibariki sana
Ila hao wengine Mavazi sasa
Sijapendezwa .
Tusiangalie staili angalia ujumbe kwani daudi alichezaje asipomchezea Mungu akacheze wapi mtajadalili yeye anasonga mbele
Hii nyimbo nimeipenda sana nimeshindwa kujuzia machozi ya moyo wangu kutoka
Hakika Mungu hajawah kushindwa be blessed E mgogo
Nyimbo zako zinanibariki sana kaka.Ila angalia wanaodance wasizidishe wacheze kwa kiasi
Amen Ame Hajawayi kabisa kushindwa Mungu wetu
Nyimbo nzur xan na mavaz nmazur uimbaj hujawah kuniach wanao mwabudu mungu kwa mavaz wanayo kupangia hao niwamewah kuxhindw ila mungu hajawah kuxhindw
Ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU, KAZ NJEMA MNO MUNGU AZIDI KUKUPA MAFUNUO YA UTUNZI WAKO WA NYIMBO
Good song big up Emmanuel
Usienende Kama mataifa waendavyo kwann hutaki kubadilisha mfumo wavideo zako Ujumbe mzuri lkn video haina maadili
Mungu hajawai kushindwa😍😍😍😍
Ahsante kwa ujumbe mzuri nyimbo zako zinabariki sana humu... usikatishwe tamaa na comments za baadhi ya watu humu...kitu chochote huwezi kukiandaa kwa usahihi asilimia 100 na nyimbo lazima ulenge watu wote wamjue Mungu sio waliookoka peke yake
Mmmh mungu atusaidie sana