Video není dostupné.
Omlouváme se.

Emmanuel Mgogo.. HUJAWAHI KUSHINDWA... (Official Video).SKIZA CODE 6382651.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2020
  • Dunia ijapotikisika, Akili na Nguvu za wanadamu zinaposhindwa, TUMAINI PEKEE ni kwa MUNGU JEHOVA ambaye HAJAWAI KUSHINDWA. Karibu uweze kubarikiwa na WIMBO huu wa KINABII, ninaamini utakuvusha na kukupa USHINDI.
    New Song..........
    Artist: *Emmanuel Mgogo
    Song: *HUJAWAHI KUSHINDWA
    Albam: *USO WANGU
    Kwa Mawasiliano
    +255 769 50 55 37
    Email: emanuelmgogo150@gmail.com

Komentáře • 223

  • @asnethmaythealmightygodbew3570

    Ubarkiwe saan Kaka anguu nyimbo zako zinanifariji saan Mungu akutangulie kw yotee

  • @prophk2098
    @prophk2098 Před 4 lety +52

    jaman nam naomba like cjawa fikixha ata mbil.. hujawahi kuxhdwa

    • @sethyotham7265
      @sethyotham7265 Před 4 lety +1

      Kaka Emma Hakika Unakipaji Kikubwa sanaa, Mungu Akubariki Kaka, maana nymbo zako znanfanya niwe na Amani Popote niendako.

    • @emmanuelkitundu7939
      @emmanuelkitundu7939 Před 4 lety

      Hakika Mungu wetu hajawahi kushindwa Amen Amen

    • @josephramsonmtukufu3149
      @josephramsonmtukufu3149 Před 4 lety

      czcams.com/video/FBJ6hdUqL-0/video.html

  • @attugadau9426
    @attugadau9426 Před 3 lety

    Hakika hajawah kushindwa hat kam napat shda moyon mwang najua wew utaniponyaa kwasabab naamin hujawahii shindwaa

  • @overover6820
    @overover6820 Před 2 lety

    💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏kweli mungu hajawahi kushindwa mungu

  • @mokejohn65
    @mokejohn65 Před 4 lety

    Amina mtumishi hatamaadui wajiinue Mungu hatakuacha hawai kushindwa mlitaka abaki mbeya injili nahubiliwe duniani kote kaka piga kazi

  • @makrinakalinga6034
    @makrinakalinga6034 Před 3 lety

    Hajawahi kushindwa na hata shindwa kamwe 🤛🤛🤛🤛🤛🎙️🎙️

  • @bahatimwembe4376
    @bahatimwembe4376 Před 3 lety

    Atuzwe Yesu ...Wanaoshindwa ni wanadamu siyo Mungu

  • @nijabyamungu3763
    @nijabyamungu3763 Před 2 lety

    Ubarikiwe na wimbo huu hujawayi kushindwa Mungu wetu ubarikiwe sana niko pamoja naweye kijana Mimi ni Rev. Byamungu Mija nikiwe Marekani

  • @elidachaula4377
    @elidachaula4377 Před 2 lety

    Amen Mgogo unaubariki sana moyo wangu. Katikati ya watesi unanipa raha na unaniwekea Goshen oooooohhhhhhhh haleluya
    Malaika wapo kila kona

  • @eddygad2858
    @eddygad2858 Před 2 lety

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu Ameeeen

  • @emanuelbahati2796
    @emanuelbahati2796 Před 2 lety

    🙏♥️💪🙏hujawahi kushindwa Bwana,♥️♥️♥️♥️♥️

  • @aisimborobby691
    @aisimborobby691 Před 3 lety

    Nice mtumishi wa Mungu .unanibariki Sana

  • @ibrahimmkubwa3812
    @ibrahimmkubwa3812 Před 4 lety

    Nakukubari Sana kaka mungu azidi kukupa neema

  • @lovenesskitindi6824
    @lovenesskitindi6824 Před 4 lety

    Mtumish uvaaji huo cyo usipotelee mwisho mtumish

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 Před 2 lety

    Ubarikiwe.sana.kwawimbo.huu

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Ubarkiwe sana sana mtumishi wa Mungu

  • @heriwokovujacob9650
    @heriwokovujacob9650 Před 4 lety

    Kweli Mungu hajawahi kushindwa hata kwangu pia.

  • @lovenessmtei966
    @lovenessmtei966 Před rokem

    Ubarikiwe Sana mtumishi Wa Bwana

  • @mokejohn65
    @mokejohn65 Před 4 lety

    Nikazi ya Mungu mbonamnapendaga sana kumuingilia mungu katika kazizake kaka wewe endelea kumuinuwa mungu mambo ya dunia hutoyaweza nimuda tuu noutapita watakubali uchokitangaza yesu waliponya watu alifufua wafu lakini badowalimthihaki kwaiyo hayoniyakawaida chini ya juwa

  • @naomiburra6918
    @naomiburra6918 Před 3 lety

    Barikiwa Sana mtumishi wa mungu

  • @daudmalangisa1365
    @daudmalangisa1365 Před 4 lety +5

    Umepotelea mwishoni Mungu akusaidie

  • @joellenkulutv9513
    @joellenkulutv9513 Před 4 lety

    Mungu asifiwe sana , studio ni yawapi Nami nigie pale

  • @lovenessmtei966
    @lovenessmtei966 Před rokem

    Na kuku Bali Sana nyimbo zinasisimua moyo

  • @user-jl8sp9xb3g
    @user-jl8sp9xb3g Před 11 měsíci

    Kaka mungu azidi kuku inua katka kazi yako ya umishi

  • @estermwambene7504
    @estermwambene7504 Před 3 lety

    Kaka mungu azidi kukuinua katika huduma yako unanibariki San songa mbele

  • @angeltarimo
    @angeltarimo Před rokem

    Nabarikiwa San na nyimbo zako mtumishi mungu akukuze Zaid kiviwango

  • @deborahchilambo2211
    @deborahchilambo2211 Před 3 lety +2

    Ubarikiwe kaka Emmanuel kwa kazi njema🙏huu wimbo nimeupenda sanaa wimbo unanibariki 🔥🔥🔥🔥

  • @priscarsalum9326
    @priscarsalum9326 Před rokem +1

    Nabarikiwa sana na nyimbo zako . Mungu akupe neema katika utumishi wako

  • @danielmwaipopo1544
    @danielmwaipopo1544 Před 2 lety

    Kyala akusaje fijo mwee

  • @petter3393
    @petter3393 Před 2 lety

    Kaka mungu hawe pamoja na ww

  • @modestanelson1821
    @modestanelson1821 Před 2 lety

    Amina nabarikiwa

  • @jennifermuthonimwaniki4722

    Ni mungu mwema.

  • @pamphilherman2913
    @pamphilherman2913 Před 3 lety

    Safi

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Před 4 lety

    Mungu akibariki

  • @agnesmbone292
    @agnesmbone292 Před 2 lety

    Hujawahi mungu

  • @dorrisnduki4237
    @dorrisnduki4237 Před 5 měsíci

    I love this song with all my heart

  • @reginamwanja4404
    @reginamwanja4404 Před 3 lety +1

    nyimbo zako zimemfanya mdogo wangu awe mtumishi wa Mungu katika huduma ya Ualimu ,,,ubarikiwe sana mtumish wa Mungu kwa nyingi zako zenye upako

  • @roidysimchimba258
    @roidysimchimba258 Před 3 lety +1

    Kaka ima jmn hao dancer hapana Bora uwe unakuwa pek ako hapana kaka

  • @nijabyamungu3763
    @nijabyamungu3763 Před 2 lety

    Niko tayari kwa Muchango kwa kutowa zngine nyimbo naomba namba zako Mutumishi wa Mungu

    • @mgogosinger
      @mgogosinger  Před 2 lety

      Asante Kwa utayari wa kunitia moyo, namba yangu ni +255769505537( nitafute inbox Wasap).

  • @joanestofro5302
    @joanestofro5302 Před rokem

    Amna

  • @francembawala1731
    @francembawala1731 Před 3 lety

    Hujawah

  • @abiudesther3806
    @abiudesther3806 Před 2 lety

    Nice song

  • @heavenlyprincess1122
    @heavenlyprincess1122 Před 4 lety +12

    Ni jambo lipi la kukushinda MUNGU wangu,,hujawai na hutawai kushindwa BWANA,Naona raha kua nawe YESU🇰🇪🇰🇪

  • @freddymbangu7126
    @freddymbangu7126 Před 2 lety

    Thanks Brother god bewith yo
    U foRever

  • @fadhilidisanula5105
    @fadhilidisanula5105 Před 4 lety +1

    Dah! Kweli izi ni siku za mwisho kwa hali hii Yesu yuko malangoni

  • @christinakalonga2949
    @christinakalonga2949 Před 4 lety +5

    Nyimbo zako zina upako,ila shida uvaaji wa mavazi na dancing style

  • @dorisnamonje9486
    @dorisnamonje9486 Před 4 lety +1

    Mafuta ya Roho mtakatifu yanatosha sana kwenye huduma yako kaka Emanuel usiongezee madoido mengine yanaharibu kabisa

  • @promisetenson7258
    @promisetenson7258 Před 4 lety +1

    dah! Emmanuel mgogo mm ni mshabiki mkubwa sana wa nyimbo zako,kumbuka wimbo wako wa iko wapi njia ukiwa Sayuni band na usipotelee mwisho,nakuomba rudi katika mizizi yako Mungu alikuinua kupitia njia ile ile.hii njia sio kikundi chako kimekuwa kama singeli hapana back to your routs.

  • @bestshine6273
    @bestshine6273 Před 4 lety +1

    Nakuelewa ,Pia Nikupe Hongera Ya Kua Na Mabadiliko sawasawa Na Soko ,Jumbe Zako zinanijengaga Sana

  • @dicksonkakinda805
    @dicksonkakinda805 Před 4 lety +18

    Usipotelee Mwishoni mwa safari" Mbna ulianza vyema alafu unataka kumalza vibaya N maneno ya Wimbo wako" Sihukumu ila ninaandika ninachokiona" Kumbukumbu la Torati 22:5 Mwanamke usivae Mavazi yampasayo Mwanamme; Wala mwanamme asivae mavazi yampasayo Mwanamke kwa maana kila afanyaye mambo hayo n Machukizo kwa Mungu"Mbna waimbaji wako wa kike wameevaa suruali? 😢😢 km nmekosea naomba msamaha

    • @luganohezron9881
      @luganohezron9881 Před 4 lety +2

      Dickson kweli kaka hujakosea kabisa mi mwenyewe aona mwisho mbaya wa mgogo

    • @aiderlesautres1206
      @aiderlesautres1206 Před 4 lety +2

      Hata mimi nakusapoti

    • @victoreddieofficial2605
      @victoreddieofficial2605 Před 4 lety

      We kwenda uko...acha mushene..ujiangalia kwanza

    • @victoreddieofficial2605
      @victoreddieofficial2605 Před 4 lety

      Dickson kakinda...wewe imba hiyo yako nzuri tuone..najua hujui hata kuimba ndo maana unaongea mbaya hivyo

    • @dicksonkakinda805
      @dicksonkakinda805 Před 4 lety

      @@victoreddieofficial2605 kaka N ivi Ema yeye anajua Kuimba" Mim cjasema hajui wala cjamtusi bali nmeongea ninachokiona" Mim nkiwa msitari wa mbele kupendezwa na nyimbo za mgogo ila tangia Aanza kutumia hawa wadada waliovaa surual sibalikiwi na nyimbo zake" Kwann niwe muongo? Kuna tofauti kati ya wachezaji wa diamond na wachezaji wa Mgogo

  • @salmamussa8988
    @salmamussa8988 Před 4 lety +1

    hujawahi kushindwa Munguu aweee so powerful

  • @gracemwampashi7390
    @gracemwampashi7390 Před 4 lety +6

    Wimbo mzuri hakika hajawahi kushindwa na lolote.

  • @mosesluvanda985
    @mosesluvanda985 Před 3 lety +1

    Binafsi nabarikiwa Sana na wimbo huu mtumishi! Mungu ainue zaidi kazi yako

  • @edwardmwanyasu5664
    @edwardmwanyasu5664 Před 4 lety +5

    UNAJUA HUYU MTUMISHI ANAJUA KWAMBA ANACHOKIFANYA SIO KIZUR KWA MUNGU ILA ANALAZIMISHA KIWE KIZURI LAKINI UKWELI UNABAKI PALEPALE KAMA ANAVYOJUA YEYEE MWIMBAJI .

  • @richardselaka1621
    @richardselaka1621 Před 4 lety +3

    Mungu akanambia Mwanangu imma usipotelee mwishoni. Wimbo naupenda sana.
    Tafadhali kaka uwe unasoma comment zetu. Turudi nyuma pia naupenda wimbo wako iko wapi ile njia (bwana anasema simameni).

  • @mwinyitela8320
    @mwinyitela8320 Před 3 lety

    Amen

  • @isackndatwa6191
    @isackndatwa6191 Před 4 lety +9

    Kaka uko vzr Ila nakushauri uvaaji wa watu wako mmmm!!!! Mungu akufunulie kwa hilo

    • @nuruelmada9570
      @nuruelmada9570 Před 4 lety +1

      Kweli kuna wakati hawa madensa wanaharibu kabisa uzuri wa wimbo mhhh

    • @janechipeta6231
      @janechipeta6231 Před 3 lety

      Kweli hao wachezaji utadhani wale wa diamond zingatia uvaaji wao pamoja na wa mrs

  • @elizabethsbussi3001
    @elizabethsbussi3001 Před 4 lety +1

    Amen... Nampenda huyu baba... Mungu wangu wa mbinguni akuweke milele

  • @lindashadrack7470
    @lindashadrack7470 Před 4 lety +1

    Aki watu wamuache mtumishi amwimbie mungu jamani, kuja kenya twakuitaji...Rose Muhando tushamchukua, infact I need to do a collabo with you papa..jifunzeni kuwaombea watumishi wa mungu than judging that's not good at all...mtumishi niko nyuma yako msikilize mungu waache wanadamu

  • @japhethgeriad4519
    @japhethgeriad4519 Před 4 lety +5

    Number one viewer God bless you Hujawahi kushindwa Mungu

  • @jamesjosephm6358
    @jamesjosephm6358 Před 4 lety +4

    Hallelujah Bwana hajawahi kushindwa nalolete amen 🙏

  • @tamalimwansasu7444
    @tamalimwansasu7444 Před 2 lety

    nice

  • @constanciamosha5144
    @constanciamosha5144 Před 4 lety

    Acha kabisa penda sana Mungu wangu maana hujawahi shindwa

  • @erastomwanyika9305
    @erastomwanyika9305 Před 4 lety +1

    Uyu kwasasa anatumiwa na shetani ule wimbo wake wa usipotelew mwisho maana yake ndio hii kashapotelea mwisho hana jipya kasha mezwa mzima mzima mchana kweupe anachoimba na matendo haviendani

    • @constanciamosha5144
      @constanciamosha5144 Před 4 lety

      Sina uhakika Kama unamjua Mungu vizuri ukipewa kuona jua ipo kazi ya kufanya usikimbie jukumu la Mungu wako Petro alimkana Yesu mara3

  • @claranyaulingo5557
    @claranyaulingo5557 Před 4 lety

    Barikiwa sana nyimbo zako hunibariki sana

  • @rosesangola6442
    @rosesangola6442 Před 4 lety

    Good

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 Před 4 lety +1

    Hakika hajawahi kushindwa Yesu wetu... barikiwa sana LEGEND... Kila kitu kinawezekana kwake😍😍

  • @louisejean5846
    @louisejean5846 Před 3 lety

    Mungu awabariki sana watumishi wa mungu. Ila naonaka kama sauti yako Emanuel mgogo upako wake zaidi sana ni kwenye nyimbo za slowly 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @scolaandrea6073
    @scolaandrea6073 Před 4 lety +3

    Wimbo mzuri sana kaka ila Badili staili ya kucheza unapotea
    staili hizo haziendani na wewe labda kama umekuwa kama akina Goodluck sawa endelea

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 Před 4 lety +1

    Amina Mungu haijawai kushindwa

  • @joshuayakobo5554
    @joshuayakobo5554 Před 2 lety

    Ameeen! Beblessing pastor mungu azidikukupa mafunuo

  • @attugadau9426
    @attugadau9426 Před 3 lety

    2021 im still watching ❤️❤️

  • @hazinaswillah8895
    @hazinaswillah8895 Před 4 lety +1

    HIV unajiona hat unachokifany .muombe Mungu usiwe was kuwahubiria wengne we ukaishia njian

  • @nemesdavid7346
    @nemesdavid7346 Před 4 lety

    Laiti wakristo wa Tanzania wangekuwa nje na Tanzania wengi wange ama dini sababu maono yao yapo kwenye vazi la mtu maana hawajui sifa ya fanani ni kulenga mambo gani....sio kuwa mwimbaji wa nyimbo za injiri lazima avae mavazi makubwa ndio anaonekana mtumishi halisi.....angekuwa mchungaji mngemshangaa kuvaa nguo za kubana....lakn nguvu ya mungu haipo kwenye mavazi....mtumish anaweza akawa na nguvu ya mungu kwa vile anavyo uweka moyo wake kwenye utayari wa kumkaribisha rohoo mtakatifu unaambiwa ufanye mwili wako kuwa na roho mtakatifu mungu hautumie mda wote sio vazi lako....Bali tusivae mavazi ya kutuvunjia heshima ukiangalia mtumishi mgogo ajavaa nguo ya kumnvunjia eshima n vaz la kawaida.....lakini pia uyu ni mtumishi ambaye anatumia kalama yake kuubili habari za mungu kwa namna nyingine anafikisha habari kwa hadhira kuwa kumbe yawezekana kumtumikia mungu ukiwa kwenye mwonekano frani....... Na hisitoshe mungu uzidi kumketisha juu mgogo kwa nyimbo zake zote mungu anamwinua sababu si kwa mawazo yenu kuwa mavazi na uchezaji wake ni tofauti na mwanzo....mungu wake yu ndan ya moyo wake kufunga na kuomba si mavazi

  • @josimo7083
    @josimo7083 Před 4 lety

    NA LEO SEMENI TENA, MAANA HAMKOSEKANI WALE WAZEE WA KUJIKUTA WAKO ROHONI. KULA CHUMA ICHO WEWEEEEEEEEEEEEEE OYOOOOOOOOOOO

  • @lightnesssekajingo5944
    @lightnesssekajingo5944 Před 4 lety +6

    Nyimbo zako zna ujumbe na nazipenda kweli lakn kwa uchezaj huo huna tofàut na wasanii wa bongo fleva

  • @eliyajelemia6244
    @eliyajelemia6244 Před 4 lety

    Hivi hawa wachezaji waduniani mukiwatumia ndowatu wanaangaliasana au nimaderila wanawadanganya wewe mutumishi nimukubwa tunakuangalia kamakioo mbonautufanya tuchukie hudumayako badirika kaka nakupenda

  • @lusajogwassa9672
    @lusajogwassa9672 Před 4 lety +1

    Hakika Mungu hajawai kushindwa na jambo lolote. Haleluya

  • @reubenmponda9602
    @reubenmponda9602 Před 4 lety +2

    unaupako wa uzoefu lakin unapotea kisiasa

  • @princesomani2153
    @princesomani2153 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe. Wimbo mzuri. Hakika Mungu wetu Hashindwi kamwe.

  • @irenembowekungwilao9028
    @irenembowekungwilao9028 Před 4 lety +1

    JEHOVA AKUINUE MNOOO. UMENIBARIKI SANA NA WIMBOOO ONGEZWA MARA DUFU.

  • @nuruelmada9570
    @nuruelmada9570 Před 4 lety +1

    Oho! Sijui kwann MTU anaanza vzr ,akiinuka tu yanainuka na mengine dah!

    • @thobiasnsekera7328
      @thobiasnsekera7328 Před 4 lety

      Emmanuel Mgogo ashakuwa mwimbaji mhuni, hana lolote tofauti na kumuwakilisha shetani

  • @modestussanga5413
    @modestussanga5413 Před 4 lety

    Moja wa watumish nlikua nikiwafuatilia na kuwapenda sana ni wewe lakin kwa Sasa daaaah sitak Amin nikionacho kwako
    Natamani sayuni band yako na wale wadada mliinjilisha Ila Sasa unaburudisha

  • @daudmalangisa1365
    @daudmalangisa1365 Před 4 lety +7

    Hamnakitu hapo aende bongo flve tu. gospel ameshindwa anepotelea mwisho. hapo ni. 000000000000

    • @giftmwanga6828
      @giftmwanga6828 Před 4 lety

      Wew days hujui mziki wew umejawa na wivu

    • @hurumaprince7652
      @hurumaprince7652 Před 3 lety

      Mmekaa tuuu kukosoa waimbaj ukitaka imba nawew wivu tuu umekujaaa

  • @wisemanhove1873
    @wisemanhove1873 Před 3 lety +2

    God send you to bless others, I'm not good at Swahili l know some words but this man is send by God himself to bless our Continent. Zimbabwe confirm 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼 perfect masterpiece

    • @tumainisemu4149
      @tumainisemu4149 Před 3 lety

      Ubarikiwe Sana mtumishi kwa nyimbo zako unaponya wengi haaaa kweli Mungu hajawai kushindwaa

  • @evastesheni8024
    @evastesheni8024 Před 4 lety

    wimbo mzuri nimebarikiwa sana

  • @viviannorbeth7830
    @viviannorbeth7830 Před 4 lety +1

    Nahata Kama kwako nimekwama basi nimekwama pazur wuuuuuuuuh! Kunakarahaa flani ivi napt naposikiliza hii nyimbo.Asant kwaYesu anaekuwezesha kutupa vitu vitam

  • @mordekairehani5821
    @mordekairehani5821 Před 4 lety

    Nyimbo zako zinanibariki sana

  • @bahatimwembe4376
    @bahatimwembe4376 Před 3 lety

    Ila hao wengine Mavazi sasa
    Sijapendezwa .

  • @jennifertimotheo4476
    @jennifertimotheo4476 Před 4 lety

    Tusiangalie staili angalia ujumbe kwani daudi alichezaje asipomchezea Mungu akacheze wapi mtajadalili yeye anasonga mbele

  • @annawilliam9761
    @annawilliam9761 Před 4 lety

    Hii nyimbo nimeipenda sana nimeshindwa kujuzia machozi ya moyo wangu kutoka

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 Před 4 lety +1

    Hakika Mungu hajawah kushindwa be blessed E mgogo

  • @luciasospeter6897
    @luciasospeter6897 Před 4 lety

    Nyimbo zako zinanibariki sana kaka.Ila angalia wanaodance wasizidishe wacheze kwa kiasi

  • @kersirukangika2440
    @kersirukangika2440 Před 4 lety

    Amen Ame Hajawayi kabisa kushindwa Mungu wetu

    • @emanuelijackson9853
      @emanuelijackson9853 Před 4 lety

      Nyimbo nzur xan na mavaz nmazur uimbaj hujawah kuniach wanao mwabudu mungu kwa mavaz wanayo kupangia hao niwamewah kuxhindw ila mungu hajawah kuxhindw

  • @josephatlaban1514
    @josephatlaban1514 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU, KAZ NJEMA MNO MUNGU AZIDI KUKUPA MAFUNUO YA UTUNZI WAKO WA NYIMBO

  • @speciozaraymond7030
    @speciozaraymond7030 Před 4 lety +1

    Good song big up Emmanuel

  • @selijolugenge1708
    @selijolugenge1708 Před 4 lety +5

    Usienende Kama mataifa waendavyo kwann hutaki kubadilisha mfumo wavideo zako Ujumbe mzuri lkn video haina maadili

  • @jovialbenofficial
    @jovialbenofficial Před 4 lety +1

    Mungu hajawai kushindwa😍😍😍😍

  • @gervasmbilinyi5703
    @gervasmbilinyi5703 Před 4 lety

    Ahsante kwa ujumbe mzuri nyimbo zako zinabariki sana humu... usikatishwe tamaa na comments za baadhi ya watu humu...kitu chochote huwezi kukiandaa kwa usahihi asilimia 100 na nyimbo lazima ulenge watu wote wamjue Mungu sio waliookoka peke yake

  • @eliudhongoli6213
    @eliudhongoli6213 Před 4 lety +1

    Mmmh mungu atusaidie sana