Rayvanny Ft Diamond Platnumz - NITONGOZE (Audio & Lyrics Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • Nitongoze Now Available on All Digital Platforms.
    Listen Here - smartklix.com/...
    All Things Rayvanny - linktr.ee/rayv...
    Follow Rayvanny On:
    Twitter : / rayvanny
    Instagram : / rayvanny
    Facebook: / raymondvanny
    For Bookings:
    Email: rayvannymanagement@gmail.com
    #Nextlevelmusic #Rayvanny #amapiano #trending #music

Komentáře • 3K

  • @judgeman5085
    @judgeman5085 Před rokem +62

    Wapangaji wenzangu pamoja na mama mwenye nyumba habari umeipata. Vanny Boy
    Hii ni hit 🔥🔥🔥ya kufungia mwaka wangapi tunakubaliana na hili wadau✔️🤙

  • @hittoptv
    @hittoptv Před rokem +70

    Love from BURUNDI 🇧🇮 HATUSHINDWAKI like ZANGu BASI...One Love

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před rokem +3

    kuma la mamaeeee nsludia tena mamaaaaree vany na mondi kimtoa kitu nyie watu niyikooo manaaaaeeeeeeee

  • @johnjoseph742
    @johnjoseph742 Před rokem +5

    Daaah kaka zangu nyie hamna Ngoma mbaya zote ni OG ✌🏾💪🏾 mkiwa mtu na dogo lake hapo me killing it van boy ft diamond platinum 🔥🔥🔥🔥🕊️

  • @humphreymushi5181
    @humphreymushi5181 Před rokem +86

    Tulio sikilizaa hili banger zaidiii ya Mara saba kwa ajili ya kuikariiii gonga likes hapa Ayeeeeeeeeeee wooooteeee

  • @edmundsilayo2736
    @edmundsilayo2736 Před rokem +52

    Woyooooooo..... These music chemists are back again, jamani goma tamuuuuu..... Nachizika na hawa wasanii wawili, kiruuuuu mpaka moshi

  • @jeffmadale4562
    @jeffmadale4562 Před rokem +15

    Ya Moto sana🔥 🔥 Rayvanny nakuona mbali kwa heshima na nidham kwa wakubwa zako walokuonyesha njia👌👌👌

  • @shamydehamy4787
    @shamydehamy4787 Před rokem +18

    Thanks Kenyans for your support for everything concerning African cultre,music e.t.c we loves you 🙋🙋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @salimnassir439
    @salimnassir439 Před rokem +127

    SIMBA na CHUI ndio wanaujua mziki n Biasha......bonge la kichupa vigogo...I salute you BIG guys 🙌🔥🔥🔥🔥💯

    • @sammwalongo2099
      @sammwalongo2099 Před rokem

      Rayvan vivan Lako jin mnyamwez toka mbeya hom boy kabisa blaza haipingwi na mwehu yoyote wafundishe kaz bab hatukwami hata kama kuna matope wenye nyumba makofi yanawahusu sas mmjichanganye chui kasema iyo miaka buku na huu ndio mshumaa usio zima hata kwa zima moto

    • @sammwalongo2099
      @sammwalongo2099 Před rokem

      toka Paulina mpak sas wew ni moto bab

    • @yusuphmpanga3044
      @yusuphmpanga3044 Před rokem +1

      Watanzania mjifunz mziki mwach kelele, drc Congo

    • @zachaamaster5378
      @zachaamaster5378 Před rokem

      #san kaka Yani watu awa moto hakuna kabisa wengine hao wafuata nyayo

  • @salimnassir439
    @salimnassir439 Před rokem +90

    Huu ndio unaitwa umoja na udugu... wengine wanapaswa kuiga mfano wa CHUI🐯...n NGULI wa Muziki wa East Africa 🌍 DIAMOND PLATINUMS 💎🔥🎶🙌

  • @MsChocoFlava
    @MsChocoFlava Před rokem +24

    I’m so happy for this song walio sema hawa watakua maadui Mko wapi leo 😂😂 nilisema rayvanny ana akili Sio kama pimbi 😂 yeye anataka kiki kila siku

  • @criscosapextv3700
    @criscosapextv3700 Před rokem +1

    Rayvany skills and Diamond platnumz expertise watu watadance Christmas mzima wakila rent (Kodi) mkisema hamtaki maswali nami siulizi tuende nao 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥

  • @jmhacker8991
    @jmhacker8991 Před rokem +40

    Mwaimbaji Bora East Africa akii mmetukoshaa.. hii ndo aina ya Sanaa tunaitaka East Africa nzima, vita tuwaachie walimwengu 💥💥💥

  • @antidiusdatius6075
    @antidiusdatius6075 Před rokem +48

    Mashabiki wapande zote mbili hili ndo jambo tunapenda inaonesha the way mko professional sio kutoka sehemu ikawa vita nashukuru sana vanny boy pamoja na Simba mnazid kuprove watu wrong keep going 💪💪💪👍💯🔥🔥🔥🔥🔥 waliofurahia hili jambo gonga like hapa👍

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před rokem

      Kaishalipa deni?

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před rokem

      Rayvanny havuti bangi mzee

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před rokem +2

      @@furahachuma9039 Alipe nini nawakt ameondoka vzr?

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před rokem

      @@afterfull-time1348 Za ndani kapisa, bado hajamaliza deni.

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před rokem +2

      @@furahachuma9039 zandani ni. Msemo wa mashoga na wambea wanaume na mtu anaejtambua hawezi endekeza hyo misemo ya kijinga bali anaongea kwa evidence na reality

  • @tobiorhewere
    @tobiorhewere Před rokem +2

    I have listened to this song over 70 times today 🇳🇬🇳🇬🇳🇬🥂👍🏿🙌🙏✌🏿🦾🇳🇬🇳🇬🇳🇬

  • @stanyscottngslameur3485
    @stanyscottngslameur3485 Před rokem +6

    Nimeachwa staki tena maswali
    Naumwagilia Moyo Mziki kwa mbali ❤❤
    Good vibe

  • @miss.annitahofficial9039
    @miss.annitahofficial9039 Před rokem +17

    Yani wimbo za Dec....... Zimeanza kumwagika...... Yani without bongo music haina radhaaa💞💞💞💞😅much love to all seeing this 💓💏unanitakaaaa 🇰🇪

  • @sumbiasungwa8998
    @sumbiasungwa8998 Před rokem +140

    Baada ya kusikiliza hii Masterpiece imebidi nikamwagile moyo kwa gongo ya afutatu❤️

  • @odongoobiero9570
    @odongoobiero9570 Před rokem +4

    Ndungu zetu WA🇹🇿 Sisi wakenya🇰🇪 tumependezwa na hi collabo 🔥

  • @King-gpasteurrapH-
    @King-gpasteurrapH- Před rokem +11

    J'ecoutes cette chanson depuis Haïti🇭🇹🇭🇹 alors je sais que Diamond platnumz est l'une des meilleures artiste de l'afrique

  • @chachaali2255
    @chachaali2255 Před rokem +254

    Tunaopenda combination ya rayvanny na mondy wapi Like Zenu✔️

  • @hakizimanamoosa1157
    @hakizimanamoosa1157 Před rokem +23

    Duuuh hii niatari sana kweli Big hit 🎯💯
    Amapiano yangu Bora mdaa wote hii apa
    Combination ya chui na simba uwa hatari sana
    Ngoma limekuwa hit na alijaaciwa

  • @theofficial.takiida_931
    @theofficial.takiida_931 Před rokem +13

    Thank Allah.. imefika 1 Million Views.. thanks to Rayvanny de Next Level President.. Nipewe likes huku🔥🔥🤣🤣

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Před rokem +1

    Maisha yaendelee van boy usiishi kam mabange heshima kitu kidogo na muhimu kwenye maisha mkuu
    Kazi nzuri sn imekuwa wimbo wa Africa

  • @mosesmzena1718
    @mosesmzena1718 Před rokem +43

    Hii ngoma baba umenifanya nijione Kama shabiki wako namba moja nakubali sana van boy we nichui alafu kwasimba ndo unaefata kiukweli....🙌🔥🎧🔥🔥🔥📌

  • @abubakarimsere
    @abubakarimsere Před rokem +944

    Tanzanians 🇹🇿 don't know how much Kenyans 🇰🇪 Love them.... Kenyans let us support this sweet music🇹🇿🥰🇰🇪♥️

  • @oscaratonya2447
    @oscaratonya2447 Před rokem +4

    Wanakubali saana Hawa wanamuziki....254 represented...good work boyz...through both of you we have acknowledged that music pays good ...keep up..

  • @gradnessrojas8343
    @gradnessrojas8343 Před rokem +24

    Africa mashariki TANZANIA ndo fundi wa mziki 🇹🇿❤️

  • @FredoBoy
    @FredoBoy Před rokem +89

    Fireeeeeeeeeee ❤️
    WCB & NLM forever
    Hapa hatuli moshi
    Mapenzi hayatutishi
    Tuna chapa kazi na Pepsi
    Tukichoka tuna order food kwa SHISHI.
    WASAFI Classic Baby always tunapata Raha
    Next Level Music tusile sigara
    Tusifilisike kama Kilandage wa Mtwara
    Just be wise and focus kama Mondi wa Mbagala
    👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍💯#Alfredodo

    • @verboyplatnumz1060
      @verboyplatnumz1060 Před rokem +1

      😁😁😁😁

    • @kakivajuma9517
      @kakivajuma9517 Před rokem +1

      Tishaaaa

    • @twalibu
      @twalibu Před rokem +1

      czcams.com/video/aUgfW-TfQ3c/video.html tazama watumishi wa ndani wanavyonyanyaswa nje

    • @twalibu
      @twalibu Před rokem +1

      czcams.com/video/aUgfW-TfQ3c/video.html tazama watumishi wa ndani wanavyonyanyaswa nje

    • @twalibu
      @twalibu Před rokem +1

      czcams.com/video/aUgfW-TfQ3c/video.html tazama watumishi wa ndani wanavyonyanyaswa nje

  • @josephmollel4526
    @josephmollel4526 Před rokem +30

    Mhmh 🔥🔥🔥🔥 2 legends never disappoint vanny boy featuring diamond platnamuz 🔥🔥nawakubali sana unyama mwingi

  • @Adolf_Ke
    @Adolf_Ke Před rokem +10

    ILE SHINGAPI HI SHINGAPI KWANI HAUNA HELA😂😂 MUCH LOVE FROM KENYA🇰🇪🇰🇪💯🎉

  • @simonibonifacemwakaniki3357

    Hongela sana vany mm nimependa ulichokifanya nakuombea kwamungu ufike mbali sana

  • @yohanaphediaphediantayagar5944

    Iiiiiii nyimbo ni 🔥🔥🔥🔥🔥 nakesha nayo kuanzia mda huu mpaka kuche #Nitongoze🐅+🦁

  • @princeogwelofficial4682
    @princeogwelofficial4682 Před rokem +34

    Combination of two giants both at one time in the family of WASAFI 💯💫🔥❤👌💪🤘 #Chui 🐯 #Simbaaa 🔥🦁

  • @thekenyaRugbyfans
    @thekenyaRugbyfans Před rokem +2

    The baddest combination...you guys should bring Harmonize onbord for a collabo...Huo ndio undugu kamili

  • @lukupanoda
    @lukupanoda Před rokem +2

    Harmo bila kutaja wenzake haezi imba...ila apa ufundi sana...big up R&D

  • @ericksingano3876
    @ericksingano3876 Před rokem +14

    Hii ndo nyimbo y kufungia mwaka sasa🔥🔥

  • @bamanotitv
    @bamanotitv Před rokem +30

    African music, i really love this song it's sound better guys, this is love from BURUNDI 🇧🇮🇧🇮 just in BAMANOTI TV

  • @devyokwongko3804
    @devyokwongko3804 Před rokem +19

    Kenya representing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @partymasters.entertainment6451

    Nampendah sana vanny boy kama unaweza toka wasafi alfu unafanya kazi na simba endelea hivo bro usikuhe kama harmonize...harmonize nimsaliti wa wasafi

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 Před rokem +14

    Diamond platnumz &rayvanny 🙌👑👑👑❤❤🇹🇿&🇨🇩

  • @nanioffical5260
    @nanioffical5260 Před rokem +22

    The best person ever, the most knowledgeable and the most of all has Allah created is prophet Muhammad 🕋❤️

  • @barackamichael1474
    @barackamichael1474 Před rokem +2

    Mimi ni tem kiba ila hii ngoma nimeikubalii kinomaa 💥💥💥

  • @Kilifikeed
    @Kilifikeed Před rokem +2

    Chui and simba have never disappointed me.hawa jamaa ni wanyama

  • @Auddyplatz1670
    @Auddyplatz1670 Před rokem +4

    Chui#wakutongoze fireeeee yaani moto...Duma from Kenya much love bro....kumbuka tunakusubiri sato Nakuru 12 npitie nai twende wote...but before kesho nakusubiri 10over10 citizen #usiwasikize wanafki

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Před rokem +782

    Van boy Kama wewe ume iyelewa hi ngoma gonga like

  • @rowansampson8692
    @rowansampson8692 Před rokem +13

    Listening to the Evolution of Tanzanian Music from a South African perspective ✊🏾✊🏾✊🏾

  • @maureenodhiambo5346
    @maureenodhiambo5346 Před rokem +9

    TZ decided to show SA that they understand their music more, loving Bongo amapiano too liiit. Love from 🇰🇪

  • @ashirievara8542
    @ashirievara8542 Před rokem +80

    The best collaboration in Africa two biggest in one song Simba 🦁 killing verses in music is fire 🔥🔥🔥

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před rokem +6

    Mziki mzuri na chemistry ilio shiba 💥💥

  • @notkinuthiaa7403
    @notkinuthiaa7403 Před rokem +18

    Mziki tamu sana. Niwatongoze mnipe likes?

  • @clintonodhiambo653
    @clintonodhiambo653 Před rokem +5

    Staright outa 254Kenya but loving this mad tune banger🔥💥...Alaa basi nitongoze

  • @kisatusamweli3263
    @kisatusamweli3263 Před rokem +5

    Leo ni Moto 🔥 Chuii ft Simba ni Balaaa zito 💯💯

  • @mbavutatumedia5534
    @mbavutatumedia5534 Před rokem +47

    Rayvanny X Diamond Platnumz is always a banger 🔥🔥🔥🔥🔥Oyaaa like jamani 😜🥰

  • @theonyangosalego8759
    @theonyangosalego8759 Před rokem +7

    The video better be good walaaaaaiii...because the afrofusion mix in this is BUAAAAAADEST....Simba na Vannyboiiiii

  • @diamondplatnumz247
    @diamondplatnumz247 Před rokem +3

    Ahh..rayvanny and diasake..much much banger

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Před rokem +14

    Finally the lisong lipo hewani Chui × Mond never disappoint us 🔥🔥

  • @faustinejosephat2522
    @faustinejosephat2522 Před rokem +4

    Mad chune tiger respect mi bruv✌️

  • @kimmielol21
    @kimmielol21 Před rokem

    Basi nitongoze.....this song should be awarded a million times. Shot out to Rayvanny and Diamond

  • @Maxamedsomali5
    @Maxamedsomali5 Před rokem +10

    As always No DisAppoint and Superhit Song Rayvanny ft Platnumz 🔥🇸🇴🥰

  • @irambonaericwamakamba6659

    Tujipongeze kuona mzazi na mwana wakifanya mchakato together 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤

  • @vokehcling9352
    @vokehcling9352 Před rokem +14

    Kama wapenda rayvanny na diamond nipe likes❤️❤️

  • @starryicy2411
    @starryicy2411 Před rokem +6

    Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 Nigeria 🇳🇬 Africa 🌍 let's go get them 🎶... No doubt 🤷‍♂️ it's time ⌚ for Africa 🌍 👑 💪 to rule the world 🗺... Sending love 😍 from Nigeria 🇳🇬 💜

  • @youslayouyou2864
    @youslayouyou2864 Před rokem +2

    Basi nitongoze...😂😂😂😂, We love you guyz 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @jcker962
    @jcker962 Před rokem +3

    Naenda beach kula upepo wa bahari 😩 😪 😫 rayvany niko fun yako ku toka Somalia 🇸🇴 love U all Tanzanian

  • @slowdns3694
    @slowdns3694 Před rokem +26

    In east Africa,one amongst the awaited collaboration between two artists is diamond and Rayvanny,Simba x chui🔥

  • @remykahunda857
    @remykahunda857 Před rokem +2

    yaan hii ngoma imenikosha sana hongera xna kaka can't chui

  • @stanleyfreedom622
    @stanleyfreedom622 Před rokem +6

    If you ever wondered what Africa is about, welcome baby! 🎉 eishhhh 🔥

  • @aestheticaf5336
    @aestheticaf5336 Před rokem +10

    Very nice song . I was recommended here from the song “Dupe - Ndrangheta “ 🔥🔥🔥

  • @salimnassir439
    @salimnassir439 Před rokem +14

    Two Presidents of BONGO🔥❤️

  • @khalicharlesholfman8811
    @khalicharlesholfman8811 Před rokem +2

    🇰🇪💕💕💕🇹🇿we love tz because ov music zao!!

  • @pablomartkins4027
    @pablomartkins4027 Před rokem +2

    Mawaiter wanapenda huu wimbo kuliko walevi from 254

  • @bugleboy-eh7cw
    @bugleboy-eh7cw Před rokem +8

    NOTHER GLOBAL HIT...KAMA UNAKUBALI CHUI X LION WEKA LIKE HAPA

  • @robertnyanda2141
    @robertnyanda2141 Před rokem +3

    Daaaah NLM +WCB=Atomic 💥 fireeeeeeeeeeeeeeeee, hili ni bongeee la chupaaa huu ndo ushirikianoo tunaoutaka, chuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiNLM 🏆

  • @asareisaac704
    @asareisaac704 Před rokem +8

    Am from Ghana and I really love listening to this music, though I don't understand what they are saying but your music and kind of sound beat is really trending in Ghana 🇬🇭

    • @abdulijuma1769
      @abdulijuma1769 Před rokem

      @Asare Isaac he Said that 'im dumped and i don't want any questions,I'm going to the beach for drinking and fresh air, I'm a single just seduce me, you want me just seduce me (basi nitongoze), seduce me in Swahili language we say nitongoze,i hope you get something because i don't know well English

  • @neilkifano2504
    @neilkifano2504 Před rokem +1

    Kenya imekubali 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kingrama2289
    @kingrama2289 Před rokem +11

    Amazing song 😻 for South Africa Simba Vs chui

  • @unique33279
    @unique33279 Před rokem +25

    I thought rayvanny alikosana na diamond 💎💎,,kumbe they are great friends ,,big up rayvanny ,a lot of love from Kenya

    • @MsChocoFlava
      @MsChocoFlava Před rokem +1

      That will never happen this two people they are way too clever for them to fight they are here to make money

    • @Issa_negro
      @Issa_negro Před rokem +1

      And that's why I much appreciate these two niggaz💯👊

    • @alterboyafrica
      @alterboyafrica Před rokem

      Kwenye maisha ya mziki,ukiwa na upendo utaishi....aliwahi kuimba rayvanny

  • @crazyeduu
    @crazyeduu Před rokem +1

    Van boy uko sawa kabisa na diamond simba l love this song lyrics 😍😍😍

  • @puritywanyaga8404
    @puritywanyaga8404 Před rokem +1

    Nliiskiza wiki jana...tumeachana baada ya siku tatu...niliyaona yakija...napenda huu wimbo🤩

  • @barakanestory7366
    @barakanestory7366 Před rokem +5

    Amapiano khaliiiii kinomaa sanaaa aiseeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gaudencemusa7805
    @gaudencemusa7805 Před rokem +732

    Tulio usikiliza zaidi ya mala mbili tujuane kwa like hapa

    • @rahimalewe2835
      @rahimalewe2835 Před rokem +8

      naipenda hii nyimbo kutoka juzi 😂😂😂

    • @meckshirima6439
      @meckshirima6439 Před rokem +3

      Duuuuuuu wanyakyusaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    • @twalibu
      @twalibu Před rokem +5

      czcams.com/video/aUgfW-TfQ3c/video.html tazama watumishi wa ndani wanavyonyanyaswa nje

    • @twalibu
      @twalibu Před rokem +3

      czcams.com/video/aUgfW-TfQ3c/video.html tazama watumishi wa ndani wanavyonyanyaswa nje

    • @twalibu
      @twalibu Před rokem +3

      czcams.com/video/aUgfW-TfQ3c/video.html tazama watumishi wa ndani wanavyonyanyaswa nje

  • @Mikemo-mc4gt
    @Mikemo-mc4gt Před rokem +6

    Tunaopenda muziki tujuane hapa kwenye likes .tumwagikie moyo kama kawaida

  • @cutehayley8353
    @cutehayley8353 Před rokem +5

    Diamond platnumz killed it🥺😫❤❤

  • @gent.adv257
    @gent.adv257 Před rokem +38

    Diamond we r proud of u 🔥😁🇰🇪🇰🇪🇰🇪 this guy is unstoppable, great song 🔥🥰

  • @scottmontero6084
    @scottmontero6084 Před rokem +239

    Two young niggas showing what's the meaning of real brothers love....Damn it Legends, Killed it🔥🔥🔥

    • @BeeBee-wu1fz
      @BeeBee-wu1fz Před rokem

      Niggas? Are I completely ignorant. Stop using terms that come from racist white Americans, we are Black brothers and sisters, act like you know.

  • @mashopluck
    @mashopluck Před rokem +2

    This Song is So Sweety

  • @TIMTIMMUSICKE
    @TIMTIMMUSICKE Před rokem +2

    Certified long term short fired 🔥🔥 just thinking out loud 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @blandkubwatz4496
    @blandkubwatz4496 Před rokem +5

    Rayvany wasafi for life all time 💯 hakuna mabifu ya ovyo apa ♥️♥️♥️

  • @NetVoiceMusic
    @NetVoiceMusic Před rokem +9

    They Killed it🔥🔥🔥wapi likes za Chui & simba

  • @festusongaga9560
    @festusongaga9560 Před rokem +48

    Amapiano to the world 🌍.
    The beat should be played during world 🌎 cup.

    • @Olcool
      @Olcool Před rokem

      But the beat is not the best. A lot off and alot of discord. Beat maker should have done better

  • @lifeyumtravel
    @lifeyumtravel Před rokem +3

    Rayvanny + Diamond = 🔥🔥🔥 Bonge la hit…. I love this song, tunasubiri mshushe video

  • @willyjokozz4494
    @willyjokozz4494 Před rokem +20

    From 254...the song is on top like numerator..wapi like zangu jamani💪💪

  • @mohamadousissoko5347
    @mohamadousissoko5347 Před rokem +123

    Tanzania superstars Rayvanny & Diamond They bring it another wonderful music again🥰🥰🥰🙌✌️💪👏 I’m from 🇬🇲

  • @silasgraphy2547
    @silasgraphy2547 Před rokem +20

    Unanitaka?Eti unanipenda😌😂?Simba🦁🔥💫..Kazi safi vanny🔥

  • @Keiroohshow
    @Keiroohshow Před rokem +6

    It's the afro beats for me and a amapiano finish 👊🏿💯👏🏿👏🏿

  • @lucksonjk5776
    @lucksonjk5776 Před rokem +23

    Rayvanny good guy 🇿🇲🇿🇲

  • @malule006
    @malule006 Před rokem +19

    Simba ft Chui=🔥🔥 They never disappoint E.A ... More love from 🇰🇪🇰🇪

  • @bolivarsumailiongaobeboliv746

    Belle chanson Vanny

  • @samueljoto9884
    @samueljoto9884 Před rokem +6

    Jesus Christ loves you the way you are and wants to save you don't harden your hearts