Soma Yaa Latifu Mara 16641 / Kwa Uwezo Wa Allah Utapata Unachotaka / Mswalie Mtume /Sheikh Rusaganya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Soma Yaa Latifu Mara 16641 / Kwa Uwezo Wa Allah Utapata Unachotaka / Mswalie Mtume Muhammady (S.A.W) Mambo Yatanyooka /Sheikh Rusaganya
    Darsa la tafsiri Mwinyimkuu 2021 la mwezi Rabil Thanni mwaka 1443H lilotolewa na sheikh Hashimu Rusaganya kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks

Komentáře • 46

  • @lydiamoshi3498
    @lydiamoshi3498 Před 25 dny

    Shekhe mie nilifanya na nimeona mazito yakiondoka moja baada ya jengne.....mie nimefungukiwa sana Alhamdulilah....Allah akuweke

  • @HadiyaMuhammed-tt2xs
    @HadiyaMuhammed-tt2xs Před 5 dny

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @shimafuad6868
    @shimafuad6868 Před rokem +8

    Alhamdulillah nimefanya utaratibu huo na nimepata majibu Bada siku chache sana mpaka nimeshangaa

  • @hassanalimussa1340
    @hassanalimussa1340 Před 2 lety +10

    Wakati unaposoma Yaa Latiif ufuatishe na hii Waufawidhu Amrii Illah mara 16,641 au mwishoni ukishapata hizo idadi za Yaa Latiif ndio umalizie na hii Waufawidhu

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 Před 7 měsíci +1

    Shukran jazakala mwenyezi mungu akupe mwisho mwema ❤

  • @ramzansharif433
    @ramzansharif433 Před měsícem

    Masha Allah mungu akulipe zaidi shehk wangu

  • @ayshahassanjuma7517
    @ayshahassanjuma7517 Před rokem +1

    Allah akubariki ustadhi wetu tunakupnd san

  • @nuruali9608
    @nuruali9608 Před 2 lety +1

    Mungu akupe umri wenye Barka shekh Hashim akuzisishie ilmu yenye manufaa...

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Před 2 lety +3

    Jazakah Allahu Khairan

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Před 2 lety +3

    Alhamdulillah sheikh hashimu lusaganya nikweli kabisaaaa ,Mimi ni mmoja wapo ,nimeona siri ya jina hili la mwenye zimungu swt,

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před 2 lety +2

    Shukran

  • @swaumumakunga2469
    @swaumumakunga2469 Před 2 lety +1

    Masha Allah,Allah akuifadh shekh

  • @mohamedahmed-yj5rq
    @mohamedahmed-yj5rq Před 2 lety +1

    Mashallah Mashallah Mashallah

  • @user-hx5fb7ht7y
    @user-hx5fb7ht7y Před 4 měsíci +1

    Mi nilifanya sikumaliza ila nimeona maajabu yake Atari jazaka lau kher Shekh wangu

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b Před rokem +3

    Asante, sasa hii ni kwasiku moja shekhe!

  • @issaramadhan4015
    @issaramadhan4015 Před 2 lety +2

    Mashaallah

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 Před 2 lety +1

    Mashalllah

  • @BahatiKilindila
    @BahatiKilindila Před 5 měsíci

    Mashallah

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Před 2 lety +2

    Ni_kweli_usemayo_yaqin_ndio_kila_kitu

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm Před 6 měsíci +1

    Mwenyez kuwa na namba ya simu ya huyu shekh aniandikie Nina jambo nae

  • @raffeiystar2870
    @raffeiystar2870 Před 2 lety +3

    16641 unatakiwa usome kikazi kimoja au leo ukienda elfu 3 kesho 3 hivo hivo kila siku,

    • @chapwinto1091
      @chapwinto1091 Před 2 lety +2

      siku moja

    • @rashidyusuphmwatebela8802
      @rashidyusuphmwatebela8802 Před 2 lety

      Achana na hio ibada kwani niuzushi, ktk dini ewe mdugu yangu.
      Muombe Allah ktk zile nyakati zinazotarajiwa zaidi kupokelewa dua, kithirisha mema utawassali kwayo mbele za Allhah, kisha jifunze Dua almustajaba imethibiti ktk hadith sahihi.."الله إني عبدك وبن عبدك وبن أمتك..." Hadith imo ktk musnad imam ahmad na mustadrak ya imam alhaakim.
      Challenge;
      Ni kweli mtu atamuomba ALlah kwa moyo uliohudhuria kwa idadi hiyo, yaan azungushe ile tasbihi yenye mawe 129 , aizungushe mara 129...kweli?,..huku ni kujitaabisha mno, bali ni dalili ya kiakila kuwa si ktk mafundisho ya dini yetu kufanya hivyo, ALLAH hakutujaalia uzito ktk dini yetu. Alhamdulillah

    • @shimafuad6868
      @shimafuad6868 Před rokem +2

      ​@@rashidyusuphmwatebela8802 kwa nikivyofahamu hiyo tasbihi SI kwa ajili ya chochote ila ni kwa ajili ya kuhesabia hizo idadi unazotaka kusoma ili zisikupotee ulisoma ngapi. NA SIO kama hiyo tasbihi ndio itakayokuletea majibu.
      NADHANI nimefahamu hivyo

    • @idrissafayzer3417
      @idrissafayzer3417 Před měsícem +2

      Mm mwenyewe nilitumia na nikapata jibu kesho yake,hatar sana tuache uvivu

  • @humudmarhoon8044
    @humudmarhoon8044 Před 2 lety +1

    Nini maana ya yaa latif

  • @samaqq.9wan919
    @samaqq.9wan919 Před 4 měsíci

    Can anyone describe in english

    • @user-ts4mm1sb1j
      @user-ts4mm1sb1j Před měsícem

      If you can read this ya latwif 16641 and pray what you want and Allah will give it to you InShAllah

  • @muhammadbamba9445
    @muhammadbamba9445 Před 2 lety

    Tupeni dalili kwenye Quraan au sunna palipofundishwa Dhikri hii.Na wala hamtoipata na huu ni UZUSHI KATIKA DINI NA NI UONGO VILEVILE

    • @ag3044
      @ag3044 Před 2 lety +4

      Hii jina ya Latif ni katika majina ya Allah matukufu amesema Allah katika Quran niombeni katika majina yangu mazuri kwahiyo kumtaja Allah kwajina lake Ya Latif kwa idadi nyingi sio mbaya sisi binadamu tunatakiwa kujipendekeze sanaaa kwa Allah Subhanah

    • @mussamtupa
      @mussamtupa Před 2 lety

      Yaani kumuomba Mungu kwa majina yake Imekua Bidaa
      Nyinyi ndugu zetu Allah awaongoze kwakweli Msiba mkubwa
      Kwaiyo mwataka tumuombe Ibilisi?

    • @fatmaalzidy1170
      @fatmaalzidy1170 Před 2 lety +1

      Imekuja kwenye Quran Allah anatwambia tumuombe kwa maiina yake kwa hivyo haina shaka kuhusu idadi hii ni jitahada za maulama

    • @SalimSalim-ec9jo
      @SalimSalim-ec9jo Před rokem

      Kaka dhkri ni dhikri Al muhim unamtaja Allah usiwe mtu wakukashif kakangu kile kidogo ufanyacho kwa Mungu kina malipo yake..

    • @aslamrasheed342
      @aslamrasheed342 Před rokem

      @@fatmaalzidy1170 kuna watu wanapenda vitu viwe simple tu sasa kutaja jina la mola wake kwa idaid hiyo anaona uvivu na kuanza kusema bidaa anajua bidaa maan yake au anasejisemea tu bidaaa