AĹLAH SUBHANAHU WATAALA Anatuambia ktk kuwa Uma wetu ni mmoja na MOLA MTUKUFU Ni Mmoja hivyo tumuabudu.Rejea Al Anbiyaa. Hizi Ikhtilafu zinapigiwa sana chapuo na watu wahawaa .........
Ongeza bidii kuwaelewesha hao wanaoleta maneno yao ya kupinga kila kitu cha maana hapa duniani MwenyeEnzi Mungu ishallah akupe umri mrefu na maisha mazuri Amin usichoke Baba
Hayo ni nje ya uisilam tumeambiwa hata wazazi wako watii vyote ila wakikupeleka ktk yasioamrishwa na Allah bas usiwafuate jamani mengine hata kutajwa hayafai halowin c ktk wenye kujifahamu tumejaaliwa fahamu tujitambue bas
Ndugu yangu Shkh Sameer, kaa ukijua hapa hapana cha wahabi wala watani. Sisi kama umma wa Kiislam, huo ni I msiba unatuandama. Suala la ukweli halipingiki.
AJABU YA MAMBO IMAM SHAFIY HAMBALI MALIKI HANAFI HAWAKUIJUA SHEREHE YA MAULID NNABIY (S A W W)..mmeijua ninyi masufy...haya tajeni bid-a mnazo zijua ninyi.
Kwani mm nauliza kitu ww km hupendi kitu acha yule anye taka afanye ilimradi anatamka shahada Kisha hukum tumuachie mungu ww hutaki mawulidi acha yule anaye penda muache asome mungu atahukum lakini ww binadam huwezi kumhukum mwezako
WE BOGAS TU, DINI SI YA WASAUDIA, NI NI YA ALLAH, NA NI WAISILAM WOTE, WASAUDIA WAKIKOSEA, SI UISILAMU UMEKOSEA,,NA HATUWAFUATI WASAUDIA, TUNAFUATA QUR"AN NA SUNNA ZA رسول الله صلى الله عليه وسلم. ACHA KUUDANGANYA UMMA,.
Acheni chuki nyinyi mikhurafi hao wanataka Halloween ni viongozi sasa hta mashekhe wa ki saudi watoe sauti wapinge si wanajitaftia balaa so msichukue advantage eti mawahabi kimya MAULIDI ITABAKIA KUA NI UZUSHI ULIOANZISHWA NA MASHIA.
Kweli mawahabi ni vichwa maji hamna kitu eti wapewe dalili ya Quraani na hadith hivi Tauhid 3 imeandikwa kwenye Quraan na iko hadith hata moja Allah kumfanya Anachoka mumetowa kwenye Quraan nyie mawahabi Allah kumfanya Ana mikono miguu kichwa mumetowa kwenye Quraan Hata kukusanya Quraan kuwa kwenye kitabu kimoja imo ndani ya Quraan Mashindano ya Quraan yamo ndani ya Quraan Baitul maal imo ndani ya Quraan Jee kuswali tarawekhe msikitini imeandikwa ndani ya Quraan nyie mawahabi hamna munachojua zaid ya ubishi husda uadui dhid ya waislam na kukufurisha waislam na hii ni Dhambi kubwa enyi mawahabi jirekebisheni kiama kinakuja
katika Saudi Arabia kuna maShia milioni 3 na masuufi karibu milioni 10, nadhani wanaosherehekea Halloween Ni mashia Na majisuufi, masalafi hawasherehekei Halloween Alhamdulilah.
@@hassanalhussein3982 tangu zamani masheikh wetu wakikataza watu kusherehekea Halloween au Krismasi au sherehe yoyote Isipokuwa Eid adha na Eid fitr. lakini masheikh wakimaquraafi kutoka azhar na jufri wanasema ni sawa kusherehekea Krismasi. yaa mujrim
@@ahmedhusseinshnoor1210 Wewe muongo hakuna Sheikh yeyote aliesema kuwa kusherehekea Christmas na Halloween inafaa.Tafuta lengine la kusema. Kilicho wanyamazisha kina Al Fauzan ni kitu gani ? Maana huyu Al Fauzan ndie mwenye kukufurisha umma wa kiislamu.
Sio lazima munkar ikatazwe na mawahabi,uovu kukatazwa ni jukumu la kila muislam,sas mukiwaachia mawahabi je wasiokuwa mawahabi wakataze nin,Saudia ni mjin mtukufu wahitajika kulindw na kila mtu muislam
Swali. Je hao wanaoshereheka wanfanya hivyo kwa kusema kuwa ni katika dini? Mbona hamjielewi. Mkiambia kitu ni upotofu msitazame nani anafanya. Angalieni dalili. Huyu jamaa anapenda kutumia hayo maneno saudia kuna hiki kuna lile. Nakumbuka kuna mwaka tulikwenda ofisi ya mufti kwa mgogoro wa kunuti katika swala ya alfajiri. Hoja yake eti miaka 100 nyuma makka ilikuwa ikisomwa. Ufalme huu ndio uloondoa. Kasahau pia kabla ya ufalme huu swala zilikuwa mbili msikiti mmoja. Mashafii yao na mahambal yao. Ufalme huu ndio ulikuja kuondoa.
Lkn shopping ya christmass saudia sasa hamshangai waisrael kupewa passport dubai na gulf hamuoni nyie ni maulid tu?mmefeli na maulid zipo na zitakuwepo kila pembe ya dunia mtasema mchana.
Hapa ndio shida ya waislamu tunapozungumzia haki hatumaanishi nchi tunamaanisha sheria katika jambo hilo kama ni la haki tunatumia nassi dalili zakuonyesha jambo hilo ndani ya kitabu ama hadithi hapa hatuoni nchi saudia ni nchi tuu kama nchi zingine kwa saabu ni watu ndio wanaishi kule sio malaika
Saudia ndo kitovu cha kupinga kila jambo na wanaokwenda kusoma kwao wakija wanakua kma wao so tunataka hawa wa hapa nao waseme kuhusu hili sio kuona maulid tu hio itakua sio kutafuta haki bali ni chuki tu
Nimelewa kitu kuhusu ilo hata saudi iseme ivi kuanziya leo tunanza kusherekeya maulidi ilo si katika dini itabaki kuwa bid'a tu kwa sababu Saudi haina sheria ya kuongeza kitu katika uwislam na tukisema saudia tanakusudia Macca na Madina njoo sehemu patakatifu kumbe tunataka Ayat ao Hadith kuhusu maulidi .
Kumpenda mtume kwa kumfuata sio kumnengulia viuno mbona yeye na maswahaba hawakufanya hayo masherehe? Muogope Allah wewe abdulwahab ndio kaleta shida hiyo? Kinachoniuma mwarabu alafu muongo mpumbavu aibu wallahi unawasingizia wasaudia uwongo muogopeni Allah nyie.
Allah akupe umri mrefu shk samir uzidi kutufundisha mengi kwa hakika aliyekuwa hajaelewa haelewi tena
AĹLAH SUBHANAHU WATAALA Anatuambia ktk kuwa Uma wetu ni mmoja na MOLA MTUKUFU Ni Mmoja hivyo tumuabudu.Rejea Al Anbiyaa. Hizi Ikhtilafu zinapigiwa sana chapuo na watu wahawaa .........
Ongeza bidii kuwaelewesha hao wanaoleta maneno yao ya kupinga kila kitu cha maana hapa duniani MwenyeEnzi Mungu ishallah akupe umri mrefu na maisha mazuri Amin usichoke Baba
Sio kupinga kila kitu ww wala dini sio ushindan ispokuws huendeshwa kwa misingi ya hoja na si shubuhat
Maashallah,ahsante Sheikh Samir, Masalafi wanaisifia sana Saudia mpaka wanaiita dola ya kitawhid, sasa wawafuate basi na kwenye hilo
Uchafu au upotevu utabaki kuwa km upotevu km unavyoona mziki au tofauti ni kubadoisha aina ya vionjo
Hayo ni nje ya uisilam tumeambiwa hata wazazi wako watii vyote ila wakikupeleka ktk yasioamrishwa na Allah bas usiwafuate jamani mengine hata kutajwa hayafai halowin c ktk wenye kujifahamu tumejaaliwa fahamu tujitambue bas
Saudia wanasherehekea.
Kwaiyo?
لا إله إلا الله محمد رسول الله 🌹
MashaAll Nimekuelewa Shekh Samir
Shukran sana habeeb kwa faida ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa faida
Ndugu yangu Shkh Sameer, kaa ukijua hapa hapana cha wahabi wala watani. Sisi kama umma wa Kiislam, huo ni I msiba unatuandama. Suala la ukweli halipingiki.
AJABU YA MAMBO IMAM SHAFIY HAMBALI MALIKI HANAFI HAWAKUIJUA SHEREHE YA MAULID NNABIY (S A W W)..mmeijua ninyi masufy...haya tajeni bid-a mnazo zijua ninyi.
Kwani mm nauliza kitu ww km hupendi kitu acha yule anye taka afanye ilimradi anatamka shahada Kisha hukum tumuachie mungu ww hutaki mawulidi acha yule anaye penda muache asome mungu atahukum lakini ww binadam huwezi kumhukum mwezako
Uzushi ni uzushi
Ww usifuate uzushi
WE BOGAS TU, DINI SI YA WASAUDIA, NI NI YA ALLAH, NA NI WAISILAM WOTE,
WASAUDIA WAKIKOSEA, SI UISILAMU UMEKOSEA,,NA HATUWAFUATI WASAUDIA, TUNAFUATA QUR"AN NA SUNNA ZA رسول الله صلى الله عليه وسلم. ACHA KUUDANGANYA UMMA,.
Safi sana brother.....hawa watu wa bidaa hawana hoja wakiambiwa hakii ni hiii wao hawataki ,hata wanaudhi
Good dini ni ya umma si yasaudia
Acheni chuki nyinyi mikhurafi hao wanataka Halloween ni viongozi sasa hta mashekhe wa ki saudi watoe sauti wapinge si wanajitaftia balaa so msichukue advantage eti mawahabi kimya MAULIDI ITABAKIA KUA NI UZUSHI ULIOANZISHWA NA MASHIA.
Allahua'alam Mungu atusamehe peke yake Ndie Anaejua
@@rastafare878 kbsaa hawa jamaa chuki zimewajaa
Hata hao masheikh wa saudia pia hawakusema kitu chochote kusherehekewa kwa hiyo Halloween.
Na maulid kwetu ni bidaatun hasana kwa hivyo yataendelea paka youmul kiyama mupede msipende sisi ndio tunojua fadhla zake.
@@shariffhabshy6770 humkomoi mtu na sisi tutakunasihini mpaka mwisho wa uhai wetu
Kweli mawahabi ni vichwa maji hamna kitu eti wapewe dalili ya Quraani na hadith hivi Tauhid 3 imeandikwa kwenye Quraan na iko hadith hata moja Allah kumfanya Anachoka mumetowa kwenye Quraan nyie mawahabi Allah kumfanya Ana mikono miguu kichwa mumetowa kwenye Quraan Hata kukusanya Quraan kuwa kwenye kitabu kimoja imo ndani ya Quraan Mashindano ya Quraan yamo ndani ya Quraan Baitul maal imo ndani ya Quraan Jee kuswali tarawekhe msikitini imeandikwa ndani ya Quraan nyie mawahabi hamna munachojua zaid ya ubishi husda uadui dhid ya waislam na kukufurisha waislam na hii ni Dhambi kubwa enyi mawahabi jirekebisheni kiama kinakuja
Kwani ulienda makkah ama madina ukaona vituko hivyo. Hizo ziko mbali na makkah na madina. Hujielewi wewe
katika Saudi Arabia kuna maShia milioni 3 na masuufi karibu milioni 10, nadhani wanaosherehekea Halloween Ni mashia Na majisuufi, masalafi hawasherehekei Halloween Alhamdulilah.
pole yako kumbe unadhani bc.tahadharini na kudhanidhani kwani ni uwongo wa mazungumzo .unatakiwa ukadherehekee na mawahabi wenzio huko suudia
Muongo wewe . Hicho kimya cha hao mashekhe wenu maana yake ni nini
@@hassanalhussein3982
tangu zamani masheikh wetu wakikataza watu kusherehekea Halloween au Krismasi au sherehe yoyote Isipokuwa Eid adha na Eid fitr. lakini masheikh wakimaquraafi kutoka azhar na jufri wanasema ni sawa kusherehekea Krismasi. yaa mujrim
@@ahmedhusseinshnoor1210 Wewe muongo hakuna Sheikh yeyote aliesema kuwa kusherehekea Christmas na Halloween inafaa.Tafuta lengine la kusema. Kilicho wanyamazisha kina Al Fauzan ni kitu gani ? Maana huyu Al Fauzan ndie mwenye kukufurisha umma wa kiislamu.
@@hassanalhussein3982 yaa suufi yaa quraafi msikilize jufri alisema inaruhusiwa kusema marry Xmas kwa mkristo , asemaa mambo yamebadilika sasa.
czcams.com/video/wM8B-dpPtzA/video.html
Sio lazima munkar ikatazwe na mawahabi,uovu kukatazwa ni jukumu la kila muislam,sas mukiwaachia mawahabi je wasiokuwa mawahabi wakataze nin,Saudia ni mjin mtukufu wahitajika kulindw na kila mtu muislam
Swali. Je hao wanaoshereheka wanfanya hivyo kwa kusema kuwa ni katika dini? Mbona hamjielewi. Mkiambia kitu ni upotofu msitazame nani anafanya.
Angalieni dalili. Huyu jamaa anapenda kutumia hayo maneno saudia kuna hiki kuna lile. Nakumbuka kuna mwaka tulikwenda ofisi ya mufti kwa mgogoro wa kunuti katika swala ya alfajiri. Hoja yake eti miaka 100 nyuma makka ilikuwa ikisomwa. Ufalme huu ndio uloondoa. Kasahau pia kabla ya ufalme huu swala zilikuwa mbili msikiti mmoja. Mashafii yao na mahambal yao. Ufalme huu ndio ulikuja kuondoa.
Bidaaaa
Hata we ni bidaa
Masufi ni majahili sana sasa saudia ndio dalili?
Wenye chuki nyie sikilizeni tafsiri hiyo na angalieni msikiti ulivyo jaa na sh. Samir anavyozungumza kwa adab na fasaha ya hali ya juu.
Wingi wa. Watu sio hoja kka wala ufasaha sio hoj akinachotizamwa ni haki .
Abdalla Issa twamnbnie wapi Mtume kasema maulid ni bid,a
@@muhidinn5648 na wapi kasema ni fardhi
@@muhidinn5648 tumuogope Allah , maneno yetu yawe kwa kipimo tusichupe mipaka. Tukumbuke tunao walinzi, wanaodhibiti maneno na vitendo
@@ابومعاذاحمدناصر Haki gani mulionayo mafatani nyie
Ama kama kweli maulidi yangesomwa madina Mbona hatujaskia maulidi yakisomwa madina
Lkn shopping ya christmass saudia sasa hamshangai waisrael kupewa passport dubai na gulf hamuoni nyie ni maulid tu?mmefeli na maulid zipo na zitakuwepo kila pembe ya dunia mtasema mchana.
@@bahiyalumelezy3016sio hoja hiyo mkuu ww km unafny fny ila itafika kipind mutacha
Hapa ndio shida ya waislamu tunapozungumzia haki hatumaanishi nchi tunamaanisha sheria katika jambo hilo kama ni la haki tunatumia nassi dalili zakuonyesha jambo hilo ndani ya kitabu ama hadithi hapa hatuoni nchi saudia ni nchi tuu kama nchi zingine kwa saabu ni watu ndio wanaishi kule sio malaika
Tunajua vizuri sana mbona hao wanojidai masalafi wa saudia na Tanzania mbona hakuna aliesema kitu.
Saudia ndo kitovu cha kupinga kila jambo na wanaokwenda kusoma kwao wakija wanakua kma wao so tunataka hawa wa hapa nao waseme kuhusu hili sio kuona maulid tu hio itakua sio kutafuta haki bali ni chuki tu
@@shariffhabshy6770mangufu yao
We una chuki tuu basi
Chuki ya nini ?
Nimelewa kitu kuhusu ilo hata saudi iseme ivi kuanziya leo tunanza kusherekeya maulidi ilo si katika dini itabaki kuwa bid'a tu kwa sababu Saudi haina sheria ya kuongeza kitu katika uwislam na tukisema saudia tanakusudia Macca na Madina njoo sehemu patakatifu kumbe tunataka Ayat ao Hadith kuhusu maulidi .
Wewe debe tupu huna hoja. Makondoo munafuata tuu .
Kumpenda mtume kwa kumfuata sio kumnengulia viuno mbona yeye na maswahaba hawakufanya hayo masherehe? Muogope Allah wewe abdulwahab ndio kaleta shida hiyo? Kinachoniuma mwarabu alafu muongo mpumbavu aibu wallahi unawasingizia wasaudia uwongo muogopeni Allah nyie.
Mradi kafanyeni shopping ya christmass saudia huko na waisrael wanapewa makazi dubai na gulf yote semeni na hayo sio keki na maulid tu.kazi mnayo.
@@bahiyalumelezy3016 mko wengi wajinga wajinga nilifiri ni yeye tu
@@selemankishema5780 mjinga ni wewe unaefuata kama kondoo
@@hassanalhussein3982 mie na wewe nani kondoo fala wewe
@@selemankishema5780 kondoo ni wewe usiekuwa na hoja watu wamo nawe umo kati.