MAWAHABI KIMYA SAUDIA KUSHEHEREKEA HALLOWEEN LAKINI MAWLID YA MTUME BIDAA!/USTADH SAMEER ZULFIKAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 86

  • @salmasalum5873
    @salmasalum5873 Před 2 lety +3

    Allah akupe umri mrefu shk samir uzidi kutufundisha mengi kwa hakika aliyekuwa hajaelewa haelewi tena

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před rokem +1

    AĹLAH SUBHANAHU WATAALA Anatuambia ktk kuwa Uma wetu ni mmoja na MOLA MTUKUFU Ni Mmoja hivyo tumuabudu.Rejea Al Anbiyaa. Hizi Ikhtilafu zinapigiwa sana chapuo na watu wahawaa .........

  • @rahmakarama4202
    @rahmakarama4202 Před 2 lety +1

    Ongeza bidii kuwaelewesha hao wanaoleta maneno yao ya kupinga kila kitu cha maana hapa duniani MwenyeEnzi Mungu ishallah akupe umri mrefu na maisha mazuri Amin usichoke Baba

    • @cheapunderage8228
      @cheapunderage8228 Před rokem +1

      Sio kupinga kila kitu ww wala dini sio ushindan ispokuws huendeshwa kwa misingi ya hoja na si shubuhat

  • @sheikhabdulmajidabdallah9625

    Maashallah,ahsante Sheikh Samir, Masalafi wanaisifia sana Saudia mpaka wanaiita dola ya kitawhid, sasa wawafuate basi na kwenye hilo

    • @cheapunderage8228
      @cheapunderage8228 Před rokem

      Uchafu au upotevu utabaki kuwa km upotevu km unavyoona mziki au tofauti ni kubadoisha aina ya vionjo

    • @muniraally4091
      @muniraally4091 Před rokem

      Hayo ni nje ya uisilam tumeambiwa hata wazazi wako watii vyote ila wakikupeleka ktk yasioamrishwa na Allah bas usiwafuate jamani mengine hata kutajwa hayafai halowin c ktk wenye kujifahamu tumejaaliwa fahamu tujitambue bas

    • @muniraally4091
      @muniraally4091 Před rokem

      Saudia wanasherehekea.
      Kwaiyo?

  • @mansoortotta2045
    @mansoortotta2045 Před 2 lety +3

    لا إله إلا الله محمد رسول الله 🌹

  • @saidiiddi9591
    @saidiiddi9591 Před 2 lety +2

    MashaAll Nimekuelewa Shekh Samir

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Před rokem

    Shukran sana habeeb kwa faida ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa faida

  • @dauddaud-vb3br
    @dauddaud-vb3br Před 2 lety +1

    Ndugu yangu Shkh Sameer, kaa ukijua hapa hapana cha wahabi wala watani. Sisi kama umma wa Kiislam, huo ni I msiba unatuandama. Suala la ukweli halipingiki.

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 Před rokem

    AJABU YA MAMBO IMAM SHAFIY HAMBALI MALIKI HANAFI HAWAKUIJUA SHEREHE YA MAULID NNABIY (S A W W)..mmeijua ninyi masufy...haya tajeni bid-a mnazo zijua ninyi.

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 Před 11 měsíci

      Kwani mm nauliza kitu ww km hupendi kitu acha yule anye taka afanye ilimradi anatamka shahada Kisha hukum tumuachie mungu ww hutaki mawulidi acha yule anaye penda muache asome mungu atahukum lakini ww binadam huwezi kumhukum mwezako

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před 2 lety +3

    Uzushi ni uzushi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety +3

    WE BOGAS TU, DINI SI YA WASAUDIA, NI NI YA ALLAH, NA NI WAISILAM WOTE,
    WASAUDIA WAKIKOSEA, SI UISILAMU UMEKOSEA,,NA HATUWAFUATI WASAUDIA, TUNAFUATA QUR"AN NA SUNNA ZA رسول الله صلى الله عليه وسلم. ACHA KUUDANGANYA UMMA,.

    • @ibn_maleeqqeibraheem_188
      @ibn_maleeqqeibraheem_188 Před 2 lety +2

      Safi sana brother.....hawa watu wa bidaa hawana hoja wakiambiwa hakii ni hiii wao hawataki ,hata wanaudhi

    • @muniraally4091
      @muniraally4091 Před rokem

      Good dini ni ya umma si yasaudia

  • @Khalid-mf3iu
    @Khalid-mf3iu Před 2 lety +8

    Acheni chuki nyinyi mikhurafi hao wanataka Halloween ni viongozi sasa hta mashekhe wa ki saudi watoe sauti wapinge si wanajitaftia balaa so msichukue advantage eti mawahabi kimya MAULIDI ITABAKIA KUA NI UZUSHI ULIOANZISHWA NA MASHIA.

    • @rastafare878
      @rastafare878 Před 2 lety +2

      Allahua'alam Mungu atusamehe peke yake Ndie Anaejua

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 2 lety +1

      @@rastafare878 kbsaa hawa jamaa chuki zimewajaa

    • @shariffhabshy6770
      @shariffhabshy6770 Před 2 lety +1

      Hata hao masheikh wa saudia pia hawakusema kitu chochote kusherehekewa kwa hiyo Halloween.

    • @shariffhabshy6770
      @shariffhabshy6770 Před 2 lety +2

      Na maulid kwetu ni bidaatun hasana kwa hivyo yataendelea paka youmul kiyama mupede msipende sisi ndio tunojua fadhla zake.

    • @ابومعاذاحمدناصر
      @ابومعاذاحمدناصر Před 2 lety +3

      @@shariffhabshy6770 humkomoi mtu na sisi tutakunasihini mpaka mwisho wa uhai wetu

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před rokem

    Kweli mawahabi ni vichwa maji hamna kitu eti wapewe dalili ya Quraani na hadith hivi Tauhid 3 imeandikwa kwenye Quraan na iko hadith hata moja Allah kumfanya Anachoka mumetowa kwenye Quraan nyie mawahabi Allah kumfanya Ana mikono miguu kichwa mumetowa kwenye Quraan Hata kukusanya Quraan kuwa kwenye kitabu kimoja imo ndani ya Quraan Mashindano ya Quraan yamo ndani ya Quraan Baitul maal imo ndani ya Quraan Jee kuswali tarawekhe msikitini imeandikwa ndani ya Quraan nyie mawahabi hamna munachojua zaid ya ubishi husda uadui dhid ya waislam na kukufurisha waislam na hii ni Dhambi kubwa enyi mawahabi jirekebisheni kiama kinakuja

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před rokem +2

    Kwani ulienda makkah ama madina ukaona vituko hivyo. Hizo ziko mbali na makkah na madina. Hujielewi wewe

  • @ahmedhusseinshnoor1210
    @ahmedhusseinshnoor1210 Před 2 lety +2

    katika Saudi Arabia kuna maShia milioni 3 na masuufi karibu milioni 10, nadhani wanaosherehekea Halloween Ni mashia Na majisuufi, masalafi hawasherehekei Halloween Alhamdulilah.

    • @omarimamboleo6990
      @omarimamboleo6990 Před 2 lety

      pole yako kumbe unadhani bc.tahadharini na kudhanidhani kwani ni uwongo wa mazungumzo .unatakiwa ukadherehekee na mawahabi wenzio huko suudia

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před 2 lety

      Muongo wewe . Hicho kimya cha hao mashekhe wenu maana yake ni nini

    • @ahmedhusseinshnoor1210
      @ahmedhusseinshnoor1210 Před 2 lety +1

      @@hassanalhussein3982
      tangu zamani masheikh wetu wakikataza watu kusherehekea Halloween au Krismasi au sherehe yoyote Isipokuwa Eid adha na Eid fitr. lakini masheikh wakimaquraafi kutoka azhar na jufri wanasema ni sawa kusherehekea Krismasi. yaa mujrim

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před 2 lety

      @@ahmedhusseinshnoor1210 Wewe muongo hakuna Sheikh yeyote aliesema kuwa kusherehekea Christmas na Halloween inafaa.Tafuta lengine la kusema. Kilicho wanyamazisha kina Al Fauzan ni kitu gani ? Maana huyu Al Fauzan ndie mwenye kukufurisha umma wa kiislamu.

    • @ahmedhusseinshnoor1210
      @ahmedhusseinshnoor1210 Před 2 lety +2

      @@hassanalhussein3982 yaa suufi yaa quraafi msikilize jufri alisema inaruhusiwa kusema marry Xmas kwa mkristo , asemaa mambo yamebadilika sasa.
      czcams.com/video/wM8B-dpPtzA/video.html

  • @rayshkeykeyraa5113
    @rayshkeykeyraa5113 Před rokem

    Sio lazima munkar ikatazwe na mawahabi,uovu kukatazwa ni jukumu la kila muislam,sas mukiwaachia mawahabi je wasiokuwa mawahabi wakataze nin,Saudia ni mjin mtukufu wahitajika kulindw na kila mtu muislam

  • @mohamedsaid1804
    @mohamedsaid1804 Před rokem +1

    Swali. Je hao wanaoshereheka wanfanya hivyo kwa kusema kuwa ni katika dini? Mbona hamjielewi. Mkiambia kitu ni upotofu msitazame nani anafanya.
    Angalieni dalili. Huyu jamaa anapenda kutumia hayo maneno saudia kuna hiki kuna lile. Nakumbuka kuna mwaka tulikwenda ofisi ya mufti kwa mgogoro wa kunuti katika swala ya alfajiri. Hoja yake eti miaka 100 nyuma makka ilikuwa ikisomwa. Ufalme huu ndio uloondoa. Kasahau pia kabla ya ufalme huu swala zilikuwa mbili msikiti mmoja. Mashafii yao na mahambal yao. Ufalme huu ndio ulikuja kuondoa.

  • @mohdbalwi9936
    @mohdbalwi9936 Před 2 lety +1

    Bidaaaa

  • @salumnuhu9066
    @salumnuhu9066 Před 2 lety +1

    Masufi ni majahili sana sasa saudia ndio dalili?

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 Před 2 lety +3

    Wenye chuki nyie sikilizeni tafsiri hiyo na angalieni msikiti ulivyo jaa na sh. Samir anavyozungumza kwa adab na fasaha ya hali ya juu.

  • @mohamedadam7880
    @mohamedadam7880 Před 2 lety +1

    Ama kama kweli maulidi yangesomwa madina Mbona hatujaskia maulidi yakisomwa madina

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Před 2 lety +1

      Lkn shopping ya christmass saudia sasa hamshangai waisrael kupewa passport dubai na gulf hamuoni nyie ni maulid tu?mmefeli na maulid zipo na zitakuwepo kila pembe ya dunia mtasema mchana.

    • @cheapunderage8228
      @cheapunderage8228 Před rokem

      @@bahiyalumelezy3016sio hoja hiyo mkuu ww km unafny fny ila itafika kipind mutacha

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Před 2 lety

    Hapa ndio shida ya waislamu tunapozungumzia haki hatumaanishi nchi tunamaanisha sheria katika jambo hilo kama ni la haki tunatumia nassi dalili zakuonyesha jambo hilo ndani ya kitabu ama hadithi hapa hatuoni nchi saudia ni nchi tuu kama nchi zingine kwa saabu ni watu ndio wanaishi kule sio malaika

    • @shariffhabshy6770
      @shariffhabshy6770 Před 2 lety +1

      Tunajua vizuri sana mbona hao wanojidai masalafi wa saudia na Tanzania mbona hakuna aliesema kitu.

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Před rokem

      Saudia ndo kitovu cha kupinga kila jambo na wanaokwenda kusoma kwao wakija wanakua kma wao so tunataka hawa wa hapa nao waseme kuhusu hili sio kuona maulid tu hio itakua sio kutafuta haki bali ni chuki tu

    • @cheapunderage8228
      @cheapunderage8228 Před rokem

      @@shariffhabshy6770mangufu yao

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 2 lety +1

    We una chuki tuu basi

  • @MrAmissi
    @MrAmissi Před 2 lety

    Nimelewa kitu kuhusu ilo hata saudi iseme ivi kuanziya leo tunanza kusherekeya maulidi ilo si katika dini itabaki kuwa bid'a tu kwa sababu Saudi haina sheria ya kuongeza kitu katika uwislam na tukisema saudia tanakusudia Macca na Madina njoo sehemu patakatifu kumbe tunataka Ayat ao Hadith kuhusu maulidi .

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 lety +1

    Kumpenda mtume kwa kumfuata sio kumnengulia viuno mbona yeye na maswahaba hawakufanya hayo masherehe? Muogope Allah wewe abdulwahab ndio kaleta shida hiyo? Kinachoniuma mwarabu alafu muongo mpumbavu aibu wallahi unawasingizia wasaudia uwongo muogopeni Allah nyie.

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Před 2 lety +1

      Mradi kafanyeni shopping ya christmass saudia huko na waisrael wanapewa makazi dubai na gulf yote semeni na hayo sio keki na maulid tu.kazi mnayo.

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 Před 2 lety

      @@bahiyalumelezy3016 mko wengi wajinga wajinga nilifiri ni yeye tu

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před 2 lety

      @@selemankishema5780 mjinga ni wewe unaefuata kama kondoo

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 Před 2 lety

      @@hassanalhussein3982 mie na wewe nani kondoo fala wewe

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před 2 lety

      @@selemankishema5780 kondoo ni wewe usiekuwa na hoja watu wamo nawe umo kati.