Zanzibar culture:Cheo chako - Rukia Ramadhan

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #zanzibarorchestra #nyimbo za rukia ramadhan #cheo chako kwangu mimi

Komentáře • 22

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Před 2 měsíci +2

    Home sweet home zanzibar i love you with my heart❤️

  • @mohamedseif7350
    @mohamedseif7350 Před 8 měsíci +2

    Mwenyewe ni sihaba juma nyimbo hii akiimba utafurahi 1989

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 4 lety +3

    Wahoi,wataabani kukijua wanataka
    Wenda mbio sakafuni,ukingoni wamefika
    Yaasalaam BI mama wangu Rukia Ramadhan
    Old is gold taarab Zanzibar, Asili haipotei

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 11 měsíci

    Niwengi walotamaaaniii ohh killed it❤

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 4 lety +2

    Taji lililo kichwani,Kabisa halitonivuka
    Pingu zilizo Moyoni ni muhali kufunguka
    Na cheo chako mwandani,Hakiwezi kugeuka
    KWA hapa ulimwenguni,Mwinginewe hatozuka

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 4 lety +2

    Asante Bi Rukia
    Maneno buli buli

  • @mamyhuuhuu7413
    @mamyhuuhuu7413 Před 3 lety

    Hiii ndio asili ya zanzib ...huipat popote

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 4 lety

    Tamtam za mwambao na Zanzibar Culture,Asili Haipotei
    Raha hizi wazipata hapa Zanzibar tu
    Nakumbuka wakati huo muda wa kwenda Madrassa
    Yaasalaam BI Rukia

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před 2 měsíci

    zanzibar yetu iyo,ila ishavamiwa na mayahudi

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 4 lety +3

    Ni wengi walotamani,watu wa kuaminika
    Wauelewe undani kwanin waniteka
    Wenda mbio sakafuni ukingoni wamefika
    Hata wakifanya nin, Muhali nje kutoka

  • @maryamomar3434
    @maryamomar3434 Před 4 lety

    yaaa salaaaam.

  • @fatmas7338
    @fatmas7338 Před 2 lety +1

    Nakumbuka hii ilikua mwaka 1989 kama sijakosea

    • @aliyussuf9126
      @aliyussuf9126 Před 2 lety

      Dah una kumbukumbu mwaka huo nnamiaka 5 mm nnaanza kujua kwenye tisiini na 7

    • @aliyussuf9126
      @aliyussuf9126 Před 2 lety

      Na hapo nimziki tu sijui maana

    • @fatmas7338
      @fatmas7338 Před 2 lety

      @@aliyussuf9126 ww unazaliwa mm nipo darasa la pili Enzi hizo

  • @ZANZICTSOLUTIONS2
    @ZANZICTSOLUTIONS2 Před 4 lety

    Cheo

  • @aliyussuf9126
    @aliyussuf9126 Před 2 lety +1

    Hii nyimbo lazima nikumbe kule niliko ishi.na bb yangu shamba pande zq konde uko wakati huo tunakunywa chai ya viazi vitamu na redio pembeni salam za asubuhi njema au saa 8.mchana

    • @mudigames5479
      @mudigames5479 Před 2 dny

      Bro, Abedi manya na Abedi robo, simai kahama kwao, ziwapo hazipo zipo kilindi, Ali makame kidungura, Ndege wa kibao

  • @ZanzibarOrchestra
    @ZanzibarOrchestra  Před 3 měsíci

    czcams.com/video/0HiAOzfd5zg/video.htmlsi=RapOwIjXkcaxTzsa