HAWA HAPA WAKALI WA ACAPELLA THE VOICE NDANI YA JEMBE FM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • NA ALBERT GSENGO/MWANZA
    Kuelekea Kongamano la Kwanza la Kikanda kuhusu maandalizi ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya Mwaka 2050, waimbaji wa kundi la muziki The Voice wamatembelea Jembe Fm na kufanya mahojiano kisha kushare nasi utamu wa sauti zao.
    Kongamano hilo litaongozwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko huku likitarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Kwa Tunza Jumamosi hii, July 20, 2024 kuanzia saa 3:00 asubuhi.

Komentáře •