PESA YA BARUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 36

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 27 dny +1

    Izo zarau mjomba🤣🤣🤣🤣🤣🤣watimue awo mjomba😂😂😂😂😂😂

  • @gregoryluhanga2968
    @gregoryluhanga2968 Před měsícem +12

    Wakwanza leo naomba like 10 tu.

  • @johnwillingstone3121
    @johnwillingstone3121 Před měsícem +3

    Nakubali sana Nanga pamoja na wanao wote!!!

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 Před 23 dny

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mm sina la kusema

  • @macwilliamgeorge178
    @macwilliamgeorge178 Před měsícem +2

    😂😂😂 my Favourite comedian

  • @johnwillingstone3121
    @johnwillingstone3121 Před měsícem +2

    Skuiz naona unapiga mojamoja kwa mwanao Joti pia, imekaa poa sana, pamoja sana

  • @karimuselemani2850
    @karimuselemani2850 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂dah nanga unabalaa zito elimu ya kutosha sana unatoa

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981 Před měsícem +2

    Hata mimi sipokei buku pumbavu

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem +1

    😅😅😅Hivyo viti sasa halafu mchumba mpasuo mpaka paja lipo nje kuna mke kweli hapo mjomba Nanga

  • @jumashaibu6601
    @jumashaibu6601 Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂 nanga jau sana ujue

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před měsícem

    Hii kibokoo Nangaaa!akae kinmyaaa

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Před měsícem

    Wasenge hao mjomba nanga watimuwe 😂😂😂😂

  • @issahkalivata2916
    @issahkalivata2916 Před měsícem +1

    Kevoo anajifany mstaarabu...

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Před měsícem +1

    Buku plain😂😂😂

  • @MahmoodAhmed-yt9me
    @MahmoodAhmed-yt9me Před 25 dny

    Nanga kusema sababutu imeandikwa Qur'an ni dhereu Qur'an ni kitabu kutakatifu hakifanyiwi maigizo

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem

    😅unamuonea kevoo ati nilijua tu watu WAFUPI SIYO WAOAJI😅DAA

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před měsícem

    Nanga kuwa muhusika kama hivyo unachekesha sana bro.😂😂😂😂

  • @arbabaly631
    @arbabaly631 Před měsícem

    😂😂😂kwani MBANDE nauli shilingi ngapi

  • @NOVATISIYAME
    @NOVATISIYAME Před měsícem

    Mjomba chukuwa buku ngoja tukasongeshe mpesa

  • @waisakesalim1864
    @waisakesalim1864 Před měsícem +1

    Nanga nakuaminia

  • @youngjmstaarabu2559
    @youngjmstaarabu2559 Před měsícem

    Ahaaaa eti mjomba una shangazi ndani😅😅😅😅

  • @afas330
    @afas330 Před měsícem +1

    Dah et kulipa taka☺️

  • @emmanuelmasabo8194
    @emmanuelmasabo8194 Před měsícem

    Hapa nimecheka ila nimejifunza kitu, kuna simu nilipewa kazi ya kusoma barua ya posa baaday nilipewa kiasi cha pesa sikujua ni ya nini, kumbe ni haki ya msoma barua😂😂😂

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem

    Hela ya sungu sungu 😅buku plain halafu mchumba barua ikiletwa mchumba asiwepo akae ndani

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před měsícem

    Eti hii iko plain yenyewe

  • @mwetaminwamuyani5766
    @mwetaminwamuyani5766 Před měsícem

    Kali na nusu. 😅😅😢

  • @moseskabuka2004
    @moseskabuka2004 Před měsícem

    😂😂

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 Před měsícem

    Hahaha nanga 😂😂

  • @chefhemediali1375
    @chefhemediali1375 Před měsícem +1

    Hela ya kulipa taka!! 😅😅😅

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 27 dny

    Hawapo siliaz awo mjomba 🤣😂😂😂😂😂😂watimue awo mjomba wakajipange tena...hawapo siliaz awo mjomba😂😂😂😂😂apo mpwa wako akiolewa na hao hawatoweza kumlisha uyo mwanamke watamtesa...wabaili awo mjomba watimue😂😂😂😂😂😂

  • @robertmahenge3614
    @robertmahenge3614 Před měsícem

    Kkkkk😂😂😂😂😂

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před měsícem +1

    😂zalau

  • @seifabdalla6424
    @seifabdalla6424 Před měsícem

    😂😂😂

  • @ericakeung7987
    @ericakeung7987 Před měsícem

    😂😂😂