#BUNGENILEO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Doto Biteko amewashukia wanaokwamisha maendeleo ya Shirika la Umeme nchini na kuahidi uzembe ndani ya shirika hilo hautavumiliwa.
    Biteko ameyasema hayo wakati akichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2023 iliyowasilishwa bungeni leo Februari 6, 2024 mjini dodoma.
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

Komentáře • 3

  • @elifasiscawa5698
    @elifasiscawa5698 Před 6 měsíci

    Uko sawa betiko najua wew ni mchapa kazi,tusambazie na sisi uku Arusha Meru leguruki

  • @RamaZuberi
    @RamaZuberi Před 6 měsíci

    Kashapewa mlungula Amna kitu hapo porojo tu

  • @alstachiustachi675
    @alstachiustachi675 Před 6 měsíci +1

    Ujinga ujinga tu